#live

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 29

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt 2 หลายเดือนก่อน +6

    😂😂eti chama ashakua mweupe.

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 2 หลายเดือนก่อน +8

    Hamna kitu hapa, Gamond ni professional.

    • @brightmichael2846
      @brightmichael2846 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mtawakata watyu siku moja

    • @minazsaid2470
      @minazsaid2470 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani hawa wachambuzi huwa mnawatoa watu no professional yeyote

    • @johnnyambuya8671
      @johnnyambuya8671 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani umemsikiliza kweli au umeangalia tu Title.

  • @emanuelpetro9591
    @emanuelpetro9591 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mnateseka hapa woooote ni Makolo, subirini ni suala la muda tu 10-1 mlivyosajili wanafunzi wa msingi mtaendelea kujitafuta sana

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hata kizungu chake kibovu kinanuka!!accerate maana yake!

  • @FadhilSuleiman-e8b
    @FadhilSuleiman-e8b 2 หลายเดือนก่อน +7

    Ujui mambo ya mpira wewe gamondi bonge la kocha alafu uliwaza na real Madrid ingeweza kuimprove na wale mastaa na Kila mtu alipaform kwa wakati wake uliwaza hayo tafuta Jambo la kufanya kaka

    • @johnnyambuya8671
      @johnnyambuya8671 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwani mmemsikiliza mpaka mwisho ama

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo 2 หลายเดือนก่อน +3

    wao makolo wanaumia

  • @paulmwandambo7799
    @paulmwandambo7799 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mi huyu kenge simuangaliagi ananimalizia mb TU msomali fala huyu

  • @Yangadamu
    @Yangadamu 2 หลายเดือนก่อน +3

    Muangalie watu wakuwahoji

  • @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
    @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts 2 หลายเดือนก่อน +5

    David utakuja kujishusha wewe mwenyew kwasasa uko hovyo

    • @johnnyambuya8671
      @johnnyambuya8671 2 หลายเดือนก่อน +2

      Akishushe kwa lipi sasa wakati hujamsikiliza zaidi ya kuangalia tu Title.

    • @barakawabuge5285
      @barakawabuge5285 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kosa lake lipi..kuisifia Yanga mabingwa wa muda wote wa tanzania??😂😂

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jinga ameulizwa nani hayo? Mara hii ameshaanza kuwa Gamondi?

  • @Jobiso
    @Jobiso 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tena hyu ndio hovyo kabisa

  • @user-sz6ht5wm2g
    @user-sz6ht5wm2g 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe unamuonaje Gamond au unamchukiliaje kwenye kikosi chake! subirini

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 2 หลายเดือนก่อน +2

    MICHAMBUZI YA MICHONGO KAMA HII AMBAYO HAINA ELIMU YYTE YA UKOCHA MBALI NA KUCHAMBUA MPIRA KWA KUANGALIA KWENYE TV....INAJIFANYA KUUJUA MPIRA

  • @carolinambalamwezi4216
    @carolinambalamwezi4216 หลายเดือนก่อน

    Leo friji bovu wape ukweli

  • @MasanjaMasanja-mz3ll
    @MasanjaMasanja-mz3ll 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kila siku kuiponda Yanga tu,,

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nani analita hilo friji bovu?huyu jamaa anajivisha mambo ambayo ni usiku wa giza kwake! Akauze mbolea ya kinyesi!!! Hebu muulize alisema Azizi Ki habaki Yanga!!

  • @allysinde6208
    @allysinde6208 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @johndavid1593
    @johndavid1593 2 หลายเดือนก่อน +1

    Makolo acheni makasiriko

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sooo stupid,kocha yoyote anapenda kuwa na DEEP SQUAD! Yanga ina mashindano kibao,ana choices!

  • @JumaJuma-g5e
    @JumaJuma-g5e หลายเดือนก่อน

    Wakati. Mkumu. Unao. Wewe. Mpuuuzi. Usiojuwa. Kitu. Tokazakoh

  • @collectionline6055
    @collectionline6055 หลายเดือนก่อน

    Kwa kikosi hicho hawachomoki

  • @user-nh5wn4dj1b
    @user-nh5wn4dj1b หลายเดือนก่อน

    Unampelekea Nani ww fala

  • @khmissalum3881
    @khmissalum3881 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huna unalolijua wewe nenda kajambe