Ni kutoka kwenye basi la Wasanii wa bongofleva wakiwa safarini kwenye show za FIESTA tamasha ambalo linafanyika kwenye mikoa mbalimbali Tanzania sasa hivi.
Namkubali sana mchomvu kwa mashavu aliyowapa wana na ukizungumzia mziki wa tz hauwezi kuacha kumtaja mchomvu salut sana kaka nakubali voice yako pia watu wengi wamekopi sauti yako
shishi ata mwenyewe alishasema hajui English. usijaji watu wote kwa kumwona mtu mmoja watu wengi waliosoma Tanzania wanajua English tena vizuri kabisa.
Rusesa Wear English yako imekusaidia nn ? kwani lugha ya Taifa ya Tanzania ni kingereza tuache, mbona maisha yako hovyo na hicho kingereza chako hakijakusaidia...cchogo kweli wewe
ahahahahahahahha nimecheka sana msione tumekaa kimya mkaona kama vp mbona hatuulizi sasa ss tulikua tunamaswalai yetu tunauliza vp ahahahahahahahahahah dah nimecheka hatari
Mi nafikiri Shilole kama hawezi kuongea Kiingereza aongee kiswahili tutamwelewa tuu. Kuongea kiswahili ni utambulisho na pia ni ufahari. Anaweza kuongea kiswahili tuu.
Mtu wa nguvu millard ungefanya kama kuwa unatupa vipande kama hivi ambavyo huwa vina happen fiesta mkiwa safarini kwenye basi mie nafikiri vingemake headline sana mtu wa nguvu... kwan mastory kama haya nna maswali yake mashabiki tunaenjoy.. think about it
Namkubali sana mchomvu kwa mashavu aliyowapa wana na ukizungumzia mziki wa tz hauwezi kuacha kumtaja mchomvu salut sana kaka nakubali voice yako pia watu wengi wamekopi sauti yako
"She is my young brother"😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nina swali ujue au vipi bhana?
adam ni tatz aseeeeeeeeee
Mchomvu nakuelewa sana presenter upo vizuri na unakipaji Jombaa big up sana aisee sema nini hzi clip ziwe continuously basi msi ishie hapo tu
adam noumaaa sanaaa a .town 100
Shilole wala usijisikie vibaya iko siku utafika utaongea kingereza safi, waache waseme, iko siku watakuona unafanya interview BBC English.
*Abby Msa* Exactly my
Abby Msa Umeona Heeeee!!!!!
..:-C:'(,-):-\B-):O=-O:-$
@@saumuhassan1365 x
da kingereza wito why don't we use kiswali as our nation language?
Mungu we! ni shida kwa kweli!
adam anazingua khaaa😂😂😂
Adam nomaaaa saaana
nc
Daah nimemic fiesta tena Adam bhna
GOD BLESS YOU ADAM. YOU ALWAYS MAKE ME HAPPY MA NIGGA
Yaani wasanii watanzania mnanipa raha sana zaidi ya raha.
Adam jamaa nomaa!
shilole ongea tu kiswahili
+Roger Mwinyi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
shilole anapenda kingeleza jitaidi utaweza au jipendekeze kwa wema na Vanessa kwakweli
Mmetisha mazee
Tanzania kweli English balaa! Njooni kenya tuwafunze moja mbili.
shishi ata mwenyewe alishasema hajui English. usijaji watu wote kwa kumwona mtu mmoja watu wengi waliosoma Tanzania wanajua English tena vizuri kabisa.
Watanzania wengi wanajua English vizur Sema huyo hajenda shule # kumbuka education is free of charge in Tanzania
+Fetrishaz Kidai nice mamy umemjibu poa coz kenya kiswahili yao ni mbovu but hajaiona ameona english ya tz
Rusesa Wear ndomana mtawaliwa na wekundu wa msimbazi kama unaona kingereza kinamaana kwako mbona unazeekea kenya chupi wew
Rusesa Wear
English yako imekusaidia nn ? kwani lugha ya Taifa ya Tanzania ni kingereza tuache, mbona maisha yako hovyo na hicho kingereza chako hakijakusaidia...cchogo kweli wewe
Au veep bhana
dah Adam bana mecheka mpk machozi
blue amechekeka sana😂😂😂😂😂
Apo u team haujaanza shilole
Shilole nakupenda sana she's ma young blaza hihihiiiii
adam uko vizuri
Bro Adam funga kazi. Chekesha mbaya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂!!!
ahahahahahahahha nimecheka sana msione tumekaa kimya mkaona kama vp mbona hatuulizi sasa ss tulikua tunamaswalai yetu tunauliza vp ahahahahahahahahahah dah nimecheka hatari
imamu mponda 😂😂😂😂😂😂
imamu mponda 😂😂😂😂
daaaah adamu ni tatizoooooooooo hahahahaaaaaa
ila kweli, mbn kawa mweupe?
Ninja wangu blue kashapata mambo anacheeeka
Ahsante ADAM! Hahahahahahahaaaaaaa
Noumaaa sanaaa imooo
we kaka noma unasifa mi nasubli swali nisikie we wafany ivyo khaaaaa nom san
adam katisha sana 😃😃😃
umenivunjaaa mbavuuuu kaka ww 😁😂😂😂😃😅😅
my braza👐👐👐
Au vp bhana duuuuuuuuuuuuuuuh mbav za ngap. 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
hahahhahh mchovu nomaaaaa
Shilole anaboaaaaaa sana!!!
2024
Japhet Steven
Adaam si kulaumu tatizo kitu cha Arusha kina kusumbua kichwaa
TV i
daah kweli kajikoboa
Rip Gardner 😢
Akikosekana teja we unafaa Sudii
nc my blood
nimeipenda hiyo
😂😂😂😂😂 mchomvu umenishinda tabia chaaaaaa!!
Gud
She is my young brother .. 2020#Corona . hahaha
Nomwa Sana
Ata naw shi shi mbon unatumia mkorog pia🤨🤨🤨🤨🤨😐😐😐😐🤔🤔🤔🤔🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️?
baba la baba Adam teh teh
Au vip bana..!
shilole anajitoaga ufahamu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
tok kiswahili ww shishi plzz
Hivi shilole kuna ulazima uzungumze Kiingereza wakati hakipandi?
*Kama unamkubali young killer msodoki gonga like*
hahhahah Adam kiboko kbs
shule si zipo si usome elim haina mwisho usisikie aibu kusoma km hv ambavyo unaropoka tu she is my young brother
Mchomvu anavutia kaya chooni walahi tena, alafu mbichi 😁😁😁😁😁😂😂😂
slow slow but show
i like
She's my young brother
Adam Adam nakuona nakuona
Mbavu zangu😂😂😂😂😂🙌
shilole kweli rahaa
hahahhahahah kuna mwenye swali
baba joniiiiiiiii tisha sana
😂😂😂😂au vp bana....adam kivhwa chako ni kilobytes
taarifa
d ommy alishashtuka mwanzoni kuwa atakachofanya #adam ni kichekesho alishaanza kucheka kabla
Ahahahahhh...Kila mtu ana maswali yake binafsi
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅Adam
Hahahahaha uwiii au VP bwana mbavu zangu mie
Adam ni noumaaa
duh kweli icho kisheriii cha Abuja
A K A kiporo cha shada
Young killer anaogopa demu
M
Mr bluu jaman mbona uko ivyo sijakujua kabisaa mwe kama unakwashakoo
Nna enjoy Mr blue anavyochek apo... Mchomvu motoo
Huyu Shilole kama hajui kingereza bora anyamaze ati she's my brother!! 😣😣
Adam Adam jamani mbavu zanguuuuu duuuh
nice
C uyo Killer, c uyo Shilo, wote nawaonen mmekua wapotevu 2 so bera start loving yoselves na muachen kuharib MILI yenu bure!!!!!
mr blue aujui kucheka
Gosebert Kadimi we unajua
Mi nafikiri Shilole kama hawezi kuongea Kiingereza aongee kiswahili tutamwelewa tuu. Kuongea kiswahili ni utambulisho na pia ni ufahari. Anaweza kuongea kiswahili tuu.
wanaelekea wapi hao?
motoni
+ibn Moses 😀😀😀😀😀
ibn Moses...hahaaa umenimaliza..
hata form form hajariza utasikia befor
Nyccc
Mtu wa nguvu millard ungefanya kama kuwa unatupa vipande kama hivi ambavyo huwa vina happen fiesta mkiwa safarini kwenye basi mie nafikiri vingemake headline sana mtu wa nguvu... kwan mastory kama haya nna maswali yake mashabiki tunaenjoy.. think about it
Shilole nenda English corse
umechekesha kaka safi
😅😅😅mbavu zangu adam
😂😂😂😂ur very funny
She ........
Kati ya shilole na young killer sijui nani kamuumbua mwenzake!
Haaaàa
acha ushamba shilole kingereza hujui
hahahahhaha mchovu shikamooo
nace
Kweli kanajichubua Aka katoto kama Mabatin kwenye Mafuriko