Wimbo mzuri, fundisho bainifu la wimbo, mavazi yapatanayo na uchaji Mungu wa kweli, muonekano wa kicho. Basi ashukuriwe Mungu aliyewaongoza kufanya hivyo, maana suala la mavazi ni upepo mkali sana unaosomba wanawake wengi jehanamu. Waimbaji wanaovaa kama wa kidunia na mapambo ya nywele za bandia, ni mawakala wa kuwafukuza waislamu wasione kuwa ukristo ni dini ya adililifu katika unyenyekevu wa kweli unaowezekana kadri ya ufanywaji upya wa moyo kupitia neema yake. Maadui wakubwa wa wapagani na waislamu ni wakristo wenyewe kwa mienendo yao miovu isiyopatana na utauwa. Ashukuriwe Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo aliyetiwa Muhuri na Baba afaye upya ndani yetu. Neema iongezwe kwetu katika kumjua ipasavyo ili walio nje ya Kristo wasione makwazo kwetu.
Hakika nabarikiwa sana na nyimbo zenu
Kwanza hamuna mambo mengi sana hamsuki hamjipambi sana kweli nawapenda sana
Nawapenda sana. MUNGU akutunze na kuwabariki sanaaaa
Wimbo mzuri, fundisho bainifu la wimbo, mavazi yapatanayo na uchaji Mungu wa kweli, muonekano wa kicho. Basi ashukuriwe Mungu aliyewaongoza kufanya hivyo, maana suala la mavazi ni upepo mkali sana unaosomba wanawake wengi jehanamu. Waimbaji wanaovaa kama wa kidunia na mapambo ya nywele za bandia, ni mawakala wa kuwafukuza waislamu wasione kuwa ukristo ni dini ya adililifu katika unyenyekevu wa kweli unaowezekana kadri ya ufanywaji upya wa moyo kupitia neema yake. Maadui wakubwa wa wapagani na waislamu ni wakristo wenyewe kwa mienendo yao miovu isiyopatana na utauwa. Ashukuriwe Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo aliyetiwa Muhuri na Baba afaye upya ndani yetu. Neema iongezwe kwetu katika kumjua ipasavyo ili walio nje ya Kristo wasione makwazo kwetu.
Ahsante sana..
Naisubr kwa ham sheria kutoka galilaya
Touching beats good n blessed song
kwanzia nywele, long dress,white attire, utunzi na ubunifu WA kipekee, Mungu awahifadhi na awinuie siko zote za maisha na mzidi kumtumikia
Ahsante sana
Amen and Amen. Twaokolewa kwa neema bila kupuuza sheria...
Mvp hongereni kwa nzuri.picha nzuri, (mpangilio) mwonekano na n.k
Wimbo ulio na mahubiri tosha, hubiri kamilivu.
A whole sermon Law,sin, grace , Savior (Christ), Good news (Salvation), Church and Pastors. How they relate.Wonderful!
Amina; Barkiweni sana watumishi WA Mungu Kwa KAZI NZURI na NJEMA.
"Kwa pamoja we are one in the family of God"
Mungu awabariki sana, mzidi kumuinua Yesu watu wote wamwone 🙏🙏
Waoooo wimbo mzuri sana hauchoshi kusikiliza,Mungu awabariki sana.
KAZI zenu ni nzuri Sana MUNGU awalinde
Napenda mnavyoimba nabarikiwa sana nitazidi kuwaombea mungu awatie nguvu mnapoifanya kazi yake ili injili isonge mbele
Mnaimba sana jaman tutawaita tena mererani mje tena mmetugusa sana hakika huu wimbo ni mzuri❤❤❤❤
Barikiweni Sana Kwa kujitoa kwenu kumtumikia MUNGU 🎤🎶🙏
Hakika nyimbo zenu huwa zinanibariki naipenda sna hii kwaya
Congrats sana kwa wimbo mtamu
Mungu awa bariki wapendwa🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Get blessed wimbo mzuri,inspired by you spread the gospel
Jamani twaisubiria kwa hamu sana
Hakika Mungu awabaliki kwa huu ujumbe mkali.Kwa ukweli injili imesambazwa Kila pembe la dunia.
Hata mimi nafurahi sana mnavyomwimbia Mungu kwa furaha na Amani. Mungu awabariki mno mno
Ni kitu cha kuigwa
Huu wimbo wa kiinjilisti kabisa huu, mbarikiwe waimbaji
Aliyetunga huuu wimbo Mungu ambaliki Kwa kipaji hiki pia waimbaji Mungu awabariki Sanaa kwakwel ninabarikiwa Sanaa na huu wimbo
Natamani sana kuimba hiii kwaya au nyarugusu
Karibu sana
Asante Bwana Yesu sasa nmeelewa kupitia wimbo huu
Wimbo mzuri sana, Mungu atusaidie tukaimbe mbinguni
Na uku kwetu Burundi nyimbo zenu zinatufulahisha sana ❤❤
Amen karibu sana Tanzania
wimbo huu nimeupenda natamani siku moja tuimbe pamoja mungu awabariki
Mbarikiwe sana wapenzi.Mungu aende mbele yenu
MUNGU aitwe tu MUNGU mnahubiri sana maana wanavutwa naye roho wake njonii tukamilishe kazi yake aliyo twambia i really blessed.
Kwa kwelimnanibariki sana
Mubarikiwe sana wimbo muziri yani nashinda nausikiriza hata sichoki
Amen
Nimewapata vyema nimebarikiwa mnoo
Nawapenda❤❤❤❤
Mungu baba awasimamie nyimbo nzuri sana imetulia hadi inanipa amani ya Moyo 🙏👏
Amen Mungu ashukuriwe
Nawapendaga sanaaaa galilaya choir hakika wimbo ni mzuri songeni mbeleeee kwa kazi ya MUNGU tuzidi kuombeana nankutiana moyo.
Amen
So nice song
Mungu awabariki sana Galilaya kwaya kwa wimbo/ ujumbe mzuri sana unaotusogeza Mbele za Mungu.
Vizuri sana wapendwa katika kristo
Amen
Galilaya nawapenda sana Mungu awabariki sana kwa mahubiri yenu jina la yesu kristo liinuliwe
Naupenda sana huu wimbo mbarikiwe
Amen alléluia félicitations
My first encounter with the sweetest voice 2024 August 30th. Na neno litasimama. Wapi wakenya 🇰🇪🇰🇪 sending hugs from Singapore
Muzidi barikiwa nawapenda
Ooh waoooh aminaaa barikiwenii sanaaa
Mmeimba vzr Sana songeni mbele
Hakika mmetengeneza video nzuri love you guys
blessed alot,,,Mungu azidi kuwabariki saana
THIS SONG IS NUMBER ONE , AMEN. SO LOVELY TO ALL PRESENTERS .
Mbalikiwe wimbo unaujumbe
Your songs are so blessing and encouraging....keep the fire burning
Bwana awabariki Sana Sana azidi kuwainua ili muenderee kumtumikia bwana kwaunyenyekevu zaidi unyenyekevu wenu unalipa
Amen Pr .
Barikiweni Sana wapendwa 🙏
Bwana awabariki songa mbele
Mbarikiwe mnoo kwakweli ninyi ndio waimbaji Sasa wasabato harisi hamchezi hamsuki kwakweli mbarikiwe
Nakubaliana nawe Kabisa,they are the only SDA members that have remained standing
Jamani huuu wimbo unanibariki saana,, na umenifundisha mahisiano kati ya shetlria na neeema,, galilaya barikiweni mnoo,,
Amen
Mbarikiwe sanaa bando lanqu linaishiaqa kwenye huo wimbo unaniqusa sanaaa
Love the simplicity and natural beauty. God bless you all.
Safi Sana,ongera wana wa Mungu
Wimbo mtamu sana naomba nimjue mtunzi wa huu wimbo anitungie hata mmoja. Hongera sana kwake
ukimpata na mimi namuhitaji duuuu hongera zake
Mungu awabariki sana ❤❤
Wìmbo safiii, Ujumbee full na video swafii. Mbarikiwe
Glory to God give us all your songs in English all thanks to the mighty
Stlye yenu nmeipenda San mnahubri injil kutokan na muonekano wenuuuuuu
Mbarikiwe sanaaaa❤❤❤❤❤
Absolute truth in this inspired piece! 💯
Your songs are a blessing. 🙏
#KENYA
Yani kwaya hii mmeimba vizuli Sana mung awape nguvu msonge mbele
Amen
I love the kind of music have heard.
Nawaombea sana watumishi wa Mungu kwa huduma yenu njema
Amen ubarikiw
Mungu awabariki wimbo unangsa
May God bless you
From Ethiopia
Piga kazi na mbarikiwe sanaaaaaa ♥️
Amina sana edina
Really men and women of God. Be blessed brethren & sisters.
Bwana awabariki sana
Amen nabarikiwa sana
Mbarikiwe jamani
Amazing good song🙏💦
Kazi jema
Waoooh wonderful nice song
Nawapenda sanaa
AMINA
Wimbo huu unanifariji mungu. Awasaidie msoge mbele
Amen
Karibu sio muda tutakuja na wimbo unaoenda kwa jina la vitakatifu
Mungu hawazidishie chakula cha kila siku ,nimependa wimbo huu
Well done
Powerful message
Mungu awabariki kwa ujumbe mzuri
Amina
Amazing beautiful 🥰
nimebarikiwa sana huduma yenu kulé kwembe kwenye makambi ya 🎉magomeni bwana azidi kuwabariki
Amen
Amen
Kwaya yangu pendwa❤
Ubarikiwe
Amazing God bless all 🙏🇰🇪🇺🇸
Hakika muko vizuri MUNGU awabariki
Hakika mkuu wa mavazi anajua jinsi ya kuwapendezesha napenda nyimbo zenu sana mbalikiwe sana
Amen
Mmeupiga Mwingi sana.MUNGU Azidi kuwatumia kupeleka ujumbe.
Choir smart
Hongereni Sana ,,,, Galilaya wimbo no mzuri Sana,,,,,
nabaki kufurahia na kuuimba wimbo huu kila kuchapo jmn MBARIKIWE
VYOTE NI UMOJA
"SHERIA YA BWANA NI KAMILIFU TENA HUIBURUDISHA NAFSI"
Nice song
Nawapenda
Ki ukwel mmenibariki ninyi ni mfano mzr wa kwaya za kisabato msibadilike mbaki hivo hivo
Amen Mungu aendelee kuwa pamoja nasi
Mungu awabariki galilaya choir nimeumpenda wimbo n mzuri msonge mbele
Nawapenda sana❤❤❤❤❤
Ahsant sana tunakupenda pia
Asanteni sana kwaya ya garilaya kutubariki mazimbu
Mungu awabariki sana
Tubarikiwe wote
Huwa nasikia Amani nikisokia Kwa ya yenu Mungu awabariki msonge mbele Kwa Injili
Amen
Tunawaitaji UKONGA Kwenye MAKAMBI 2024BWANA Awabariki.
Nimebalikiwa sana nawimbo wa shelia mungu awabaliki sana tukopamojaaa sana namkazane mkaimbe nambinguni pia asanteniii sana 🐦🐦🐦