KIKWETE ALALAMIKA KUKOSA PAPA WANANCHI WAMJIBU "USHINDWI NA JAMBO"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 115

  • @imbatokamoyoni2209
    @imbatokamoyoni2209 5 ปีที่แล้ว +9

    Kama umekuja hapa kwa AJILI ya kukosa P PAPA,,gonga#imbatokamoyoni,, KISHA LIKE

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo 7 หลายเดือนก่อน

    Kama kuna aliyemuona kikwetw anaxbr chenj agonge like hapa

  • @bilioneabichwa
    @bilioneabichwa 5 ปีที่แล้ว +1

    Kikwete, kikwete ,kikwete , yàaani! Miss u so much mzee! Mungu akubariki na uendelee kwa na maisha mazuri

  • @mohamediiddi761
    @mohamediiddi761 5 ปีที่แล้ว +4

    Pangani yetu Hiyo mungu Aibariki kama umezaliwa Pangani Gonga like.

  • @benedictkiteji5089
    @benedictkiteji5089 5 ปีที่แล้ว +6

    MUNGU akupemaisha marefu mstafu kikwete tumekumiss

  • @dainesigebo7019
    @dainesigebo7019 5 ปีที่แล้ว +3

    Hehehehe zamani ungenunua hivyo vitu kweli au ungekwenda kununua ulaya Asante 👏

  • @mashamwaki6384
    @mashamwaki6384 5 ปีที่แล้ว

    Pangani yetu mashaallah mungu akujaalie umri mrefu muheshimiwa jakaya

  • @geofreykajengile1788
    @geofreykajengile1788 4 ปีที่แล้ว

    Safi mtu wetu jakaya baba mwenye nyumba dah nakuamini sana mzee

  • @ameknews2315
    @ameknews2315 5 ปีที่แล้ว +19

    Si mulisema mm mpole mpole sasa nawaletea chuma hichi kinatema cheche aaaa mstaafu kikwete daima tutakukumbuka ww ni genius in politics

    • @paull8659
      @paull8659 5 ปีที่แล้ว

      lakini hatukusema tunataka dikteta.

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 5 ปีที่แล้ว

      amek -02 AMEIR Mmmh kweli mburula hawaishi.

    • @ameknews2315
      @ameknews2315 5 ปีที่แล้ว

      Wataisha wala usijali kwan tumeona for 7.1% of GNI per capital ilivyokuwa

    • @paull8659
      @paull8659 5 ปีที่แล้ว +1

      @@freddymello3227 :.GDP inayotangazwa na TBC, isiimini tena. Toka wakataze independdd statistic , sasa kila ni propaganda tu ili isiinekone serikali inafanya vibaya au kukosea. Mwezi uliopita Gazet la citizen, limetangaza.kuwa Tsh imeshuka, likafungwa wiki moja. wakati ukienda kwenye data za kimataifa ni kweli. Serikali huko kusini imeshindwa kununua korosho, ukisema utaambiwa mpotoshaji. Hatusemi JKM alikuwa safi, lakini afadhali yeye alikuwa mkweli na muazi, na kuacha wananchi waongee wanavyotaka na.kulikiwa na amani. leo unaweza ukasingiziwa kesi,.mahakam ikalazimishwe ikufunge au ukateswa, au kupotea au kuwawa na Polisi kituoni . Huoni hatua zozote zikichukuliwa au kukemewa. Tumefungwa 🤐 magufuli midomoni. Heri enzi ya JKM, Tulikuwa tunalalamika na furaha. JKM alikuwa always happy.

    • @freddymello3227
      @freddymello3227 5 ปีที่แล้ว

      Paul Porubsky ,Nakushukuru kwa hoja nzuri sana ulizoainisha.
      ila sidhani kama unafahamu namna ya mwenye maduka ya Home shopping centre alivyofanya hapa nchini.na sijui kama umehoji yalipoishia maduka Yale....
      kifupi tuu nikuambie kuwa J.P.M ni zaidi ya hao wote waliowahi kuikalia hiyo nafasi.huwezi mlinganisha kwa maamuzi,ubora wa fikra,na ukweli na uwazi na yeyote.
      nchi hii ilikuwa shamba la bibi.jamaa wamejitajilisha kwa kukwepa ushuru wakishirikiana na viongozi wa juu katika Taifa hili.ila J.P.M kadhibiti wizi wote na kampuni feki zilizofanya wizi kwa miaka mingi zimepotea.
      Tujifunze kuwa wakweli na wenye shukrani.
      kwani usipomshukuru Binadamu mwenzako hata mwenyezi Mungu huwezi mshukuru.
      J.k tulimpenda tena sana kama watanzania,alikuwa kijana mcheshi n.k lakini akatuacha kwenye mataa.
      Taifa likawa soko la madawa ya kulevya.(walioharibika ni kaka na Dada zetu)mf.Mangwea,Masogange,Matonya ,Ray c n.k
      J.P.M kamaliza biashara hii haramu.Leo hata mateja mitaani ni wakuwatafuta.
      Watanzania tuache hangover ya mapenzi kwa watu walioshindwa kutusaidia.tumthamini huyu aliyemikononi mwetu mwenye nia ya dhati kutukomboa kama Taifa.asiye mlanguzi wala mfanyabiashara wa madawa ya kulevya au mkwepa ushuru au fisadi kama tulivyozoea.
      J.P.M simba wa Tanzania
      "hapa kazi tuu!!!!"

  • @Itarusii
    @Itarusii 5 ปีที่แล้ว +8

    Hii ndiyo faida ya Tanzania. Rais unastaafu kwa raha zako

    • @hamedmaskari518
      @hamedmaskari518 5 ปีที่แล้ว

      Wewe unajua izo nchi nyengine wanaostafu wanakua hali gani

    • @paull8659
      @paull8659 5 ปีที่แล้ว

      alistaafu bila kungangania madaraka kwasababu hakumuonea mtu, hakumpiga mtu risasi, hata wale waliompinga aliwalinda.

    • @Itarusii
      @Itarusii 5 ปีที่แล้ว

      @@hamedmaskari518 temebea uone nchi nyingi za Africa.

  • @Communication863
    @Communication863 5 ปีที่แล้ว +9

    Duhhh hal ngumu kwel mzee hajaacha hta change😂😂😂😂

  • @aboudmsonde886
    @aboudmsonde886 5 ปีที่แล้ว

    Allah akupe afya JK

  • @anthonyfaru9908
    @anthonyfaru9908 5 ปีที่แล้ว +2

    Dah sa hivi ningekuwa meamia kwenye nyumba yangu ila dah mebki kueka kibubu mh nwaka wa nne sasa

  • @sonyomohmed2178
    @sonyomohmed2178 5 ปีที่แล้ว

    Man of the people.

  • @magdalenakidumbuyo1505
    @magdalenakidumbuyo1505 5 ปีที่แล้ว

    Mic u mr president

  • @aishaail4455
    @aishaail4455 5 ปีที่แล้ว

    Gigy alisema papa samaki ,leo mh.kikwete amekosa papa,tena papa umuunge nazi.

  • @lucasmbuba3149
    @lucasmbuba3149 5 ปีที่แล้ว

    Uko poah sanaaaa kikwete

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 ปีที่แล้ว

    SOCIAL PRESIDENT EVER IN TZ

  • @emmanuelgavile2737
    @emmanuelgavile2737 5 ปีที่แล้ว +6

    Raisi rafiki

  • @kaloli12masawe69
    @kaloli12masawe69 5 ปีที่แล้ว +3

    Mzee anatufundisha maisha ya kawaida tu ni mazuri kabisa.

  • @fatmamasoud2969
    @fatmamasoud2969 5 ปีที่แล้ว

    We miss you JK❤️

  • @ibrahimcharlesswaleh
    @ibrahimcharlesswaleh 5 ปีที่แล้ว +1

    Pangani nyumbani kwetu..

  • @fatumamuba5580
    @fatumamuba5580 5 ปีที่แล้ว +1

    We miss u

  • @noelmichael2855
    @noelmichael2855 5 ปีที่แล้ว +2

    Eti nn?? mzee baba kakosa #PAPA 😂😂😂😂😂

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 5 ปีที่แล้ว

    Hii pangani.duh nimekumis sana nyumbani.30.03.19.

  • @angelojoseph7476
    @angelojoseph7476 5 ปีที่แล้ว +7

    Huyu ndiyo jamaa yetu kipindi chake mtu akikuomba 2000 Unampa 5000 sasa hivi mtu ukimuona ndugu yako ana kuja nyumbani unaanza kutafuta njia ukiofia kuombwa pesa duuuuuhhhhhhh JPM Legeza kidogo tupate kupumua.

  • @yohanamuumbe4628
    @yohanamuumbe4628 5 ปีที่แล้ว

    Raisi kikwete wetu safi!!

  • @jackinno8287
    @jackinno8287 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee noma san

  • @ramamudi749
    @ramamudi749 4 ปีที่แล้ว

    morelife

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun4657 5 ปีที่แล้ว

    Naona watu wanajisikia furaha kabisa kukutana na huyu rais mstaafu, nadhani ni video nzuri

  • @makungudominic6163
    @makungudominic6163 5 ปีที่แล้ว

    Wabongo tuna visa

  • @jrabuudaldaa2682
    @jrabuudaldaa2682 5 ปีที่แล้ว +4

    video cyo quality

  • @isayakilangi5888
    @isayakilangi5888 5 ปีที่แล้ว

    Love you jk wetu

  • @mako331
    @mako331 5 ปีที่แล้ว

    Msilete uchonganishi aisee, Jk alifanya yake akamaliza ngoja Jpm naye afanye kazi yake, tunawapenda viongozi wetu wote kwa sababu wanaitakia Tanzania mema

    • @paull8659
      @paull8659 5 ปีที่แล้ว

      Viongozi wanayoitakia mazuri Tz, inatakiwa wajue tuko mil55. na kila mtu ana mawazo tofauti, na yote hayo matofauti ni ile nchi ieendelee. Sisemi kwamba kiongozi asikilize kila kitu, lakini waTz tunata tuwe na uhuru wa hoja bila woga. na kila mtu aheshimiwe siyo kunyanyaswa na siyo kila mtu aseme " tumsifu JPM, CCM oyee" . Nobody is perfect. Mimi nipigwe risasi au siyo mzalendo kwasababu naona ni vizuri tutumie gas ya Mtwara badala ya kujinga bwawa kwa matrilion la SG? nk...

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 5 ปีที่แล้ว +1

    Mkuu anataka papa wameshindwa kumuuzia

  • @masungajacob2628
    @masungajacob2628 5 ปีที่แล้ว +6

    Huyu tunamkumbuka sana, ila meeengi sana alifeli ktk uongozi wake

    • @jorampaulo7008
      @jorampaulo7008 5 ปีที่แล้ว +1

      Masunga acha kuvuta bangi.JK kashindwa mambo gani?,kama sio usukuma wako unakusumbua.

    • @hamedmaskari518
      @hamedmaskari518 5 ปีที่แล้ว

      @@jorampaulo7008 mwambie afahamu

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 5 ปีที่แล้ว +1

    Good baba

  • @williamkitengai3608
    @williamkitengai3608 5 ปีที่แล้ว

    Upole sio kosa ila ukatili ni dhambi, nimepamisi sana Pangani, Mkwaja Sadan

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 หลายเดือนก่อน

      Angekuwa mpole Babu seya angeozea jela? Acha uchawa huo

  • @mdaomasalimu
    @mdaomasalimu 5 ปีที่แล้ว +1

    uyo jamaa amepiga mule mule swal 😂😂

  • @honestbalilo9519
    @honestbalilo9519 5 ปีที่แล้ว +7

    Ukiwa mwema kwa wananchi hawawezi kukutupa. Hivi mkapa alienda wapiii.

    • @atukuzweluhanga7401
      @atukuzweluhanga7401 5 ปีที่แล้ว

      Honest Balilo nahic mkapa ndo rahic pendwa ukiacha nyerere

    • @honestbalilo9519
      @honestbalilo9519 5 ปีที่แล้ว

      @@atukuzweluhanga7401 Labda kinafiki kama inavyoendelea sasa.

  • @simbabbq4427
    @simbabbq4427 3 ปีที่แล้ว

    Kikwwte anatakapapa azidishe munkari siombaya

  • @paull8659
    @paull8659 5 ปีที่แล้ว

    People's president👆😁

  • @hemedwow8802
    @hemedwow8802 5 ปีที่แล้ว

    Jamaa jibu kapiga palepale yani😁😁

  • @PETERJOSEPH-zz4bq
    @PETERJOSEPH-zz4bq 5 ปีที่แล้ว +5

    mtu wa watu

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 5 ปีที่แล้ว

    Papa?haya baba😂😂

  • @nurdinhemed6
    @nurdinhemed6 5 ปีที่แล้ว

    Mzee katinga shati lakijani kabisa...alijua kuna neema...wakat mkuu kesha staaf

  • @simonaugustino6327
    @simonaugustino6327 5 ปีที่แล้ว

    Tumefarijika sana kwa ujio wako wa Pangani

  • @alistairelias536
    @alistairelias536 5 ปีที่แล้ว

    Hamna hata maelezo chini ya caption kueleza mheshimiwa alikuwa wapi na kwa sababu zipi? Kuwa na weledi Millard Ayo.

  • @zackjr3177
    @zackjr3177 5 ปีที่แล้ว

    c kukosa papa 2...wa2mish 2mekosa hata nyongeza bado 2nalipwa uliouacha shemeji...

  • @salumsaleh6186
    @salumsaleh6186 5 ปีที่แล้ว

    pangani kwetu naona mjomba rajabu mng'ombe anampa maswali jk

  • @omaredhasaidal.obthani4775
    @omaredhasaidal.obthani4775 5 ปีที่แล้ว

    Tunakumiss baba rudi ugombee tena

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 หลายเดือนก่อน

      Agombee nn? Ili majizi yaendelee kushamiri? Sasa kuna jipya gan la kurudi agombee? Tunataka vijana wazalendo kama akina Makonda kuchukua nchi hii

    • @omaredhasaidal.obthani4775
      @omaredhasaidal.obthani4775 8 วันที่ผ่านมา

      Wazalendo wa media wale sio wanchi hii

  • @stephanomchenya6344
    @stephanomchenya6344 5 ปีที่แล้ว +1

    Kikwete nomaa

  • @augustryann365
    @augustryann365 5 ปีที่แล้ว +3

    Wamuulize gigy kapeleka wapi Papa.

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 5 ปีที่แล้ว +1

    Hii ni kile kipindi bado yupo madarakani kulikua hakuna njaa km kipindi cha awamu hii

    • @yudamwinami6011
      @yudamwinami6011 5 ปีที่แล้ว +1

      Shaaban Ramadhan nabado kwanza ukame unaanza nchi nzima mvua shida

    • @rosemarymsulwa203
      @rosemarymsulwa203 5 ปีที่แล้ว

      @@yudamwinami6011 dodoma inanyeesha.

  • @lydiathadeous6644
    @lydiathadeous6644 5 ปีที่แล้ว

    Jk♥️♥️♥️

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 5 ปีที่แล้ว

    Kikwete mtu wa watu.

  • @alexchungu8823
    @alexchungu8823 5 ปีที่แล้ว +1

    Mjomba

  • @fredrickswai2566
    @fredrickswai2566 5 ปีที่แล้ว +2

    Namuona jaji kwa mbali...

  • @ramadhanbahati5519
    @ramadhanbahati5519 5 ปีที่แล้ว

    Mzee kikwete mtu wa watu

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 5 ปีที่แล้ว

    Mtu hana thamani mpaka aondoke hapo alipo

  • @jamesjames5129
    @jamesjames5129 5 ปีที่แล้ว

    Jembe letu hilo

  • @mjakaoswams4102
    @mjakaoswams4102 5 ปีที่แล้ว

    Duuh!! Kuvua pp 16m??

  • @hasamlawatv9790
    @hasamlawatv9790 5 ปีที่แล้ว +1

    Pangani

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 5 ปีที่แล้ว

    mzee huyu bhana

  • @TheAlman
    @TheAlman 5 ปีที่แล้ว +2

    We still remember you mr president

  • @abuuchaula6961
    @abuuchaula6961 5 ปีที่แล้ว

    Kipenzi chao

  • @hamedmaskari518
    @hamedmaskari518 5 ปีที่แล้ว +1

    Vp mzee huna mazoezi mbona kitambi kiko juu

  • @emmanueljohn6765
    @emmanueljohn6765 5 ปีที่แล้ว +2

    pombe nimashine yakazi huyu mzee alikuwa mpole sana

    • @piusgadau6328
      @piusgadau6328 5 ปีที่แล้ว +1

      kila mtu ana pray part yake mkuu

    • @aristidespendazungu9275
      @aristidespendazungu9275 5 ปีที่แล้ว +1

      eeh mwenyezi mungu mpe Afya njema Rais wetu mstaafu

    • @salimkhamis3638
      @salimkhamis3638 5 ปีที่แล้ว +3

      anapray ama anaplay😅😅😅

    • @jorampaulo7008
      @jorampaulo7008 5 ปีที่แล้ว +2

      Kwa taarifa yako Emmanuel Jk ndiio rais bora kuliko wote na ndio maana akipita mtaani ana mvuto kwa watu.roho yake hainuki damu

    • @namirihamisi3899
      @namirihamisi3899 5 ปีที่แล้ว +1

      Uhuru mzuri bwana ukiwa kiongozi unabanwa sana sasa hureeeeee.

  • @makongorojulius4965
    @makongorojulius4965 5 ปีที่แล้ว +1

    Kama arudi kwenye kiti chake hivi

  • @nurdinnswebe1905
    @nurdinnswebe1905 5 ปีที่แล้ว

    Mmmmh huyo mkuu wawilaya

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 5 ปีที่แล้ว +1

    Ukiacha madaraka TU Ndio utapendwa nakumbuka koment kipindi ukiwa kama Jpm

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 5 ปีที่แล้ว

    Raisi wa watu

  • @fatumamuba5580
    @fatumamuba5580 5 ปีที่แล้ว

    We miss u