Kikokotoo kipya cha mafao kimekuwa mwiba mchungu kwa wastaafu. Nini maoni yako juu ya mfumo huu mpya? #clouds #ethics #philosophy #wasafi #clouds #aristotle #cambridge #tbc #trending
Tunashangaa selikali kufurahi kuwafukarisha watu waliohudumia chi YA kwa moyo MPAKA wamezeeka .nguvu hamna hatuwezi tena kuchakarika nguvu zimekwisha mbona wabunge wanapata mahela kubaka?
Tunashangaa selikali kufurahi kuwafukarisha watu waliohudumia chi YA kwa moyo MPAKA wamezeeka .nguvu hamna hatuwezi tena kuchakarika nguvu zimekwisha mbona wabunge wanapata mahela kubaka?
Mungu wasaidiyee wanawako mungu yupo mungu yupoo
💯💯✔
Yaani wamezidiwa.na wafanyakazi wa.ndani wa.Oman
Sio haki kwakweli serikali haijatenda haki hapa watasababisha watumishi wawe wezi na wataibiwa sana
Kweli kabisa
Inauma Sana Kwa kweli
Kimeanza tangu tarehe 1 mwezi 7 2022
Tumestukizwa mwanangu wangeanzia angalau Akira mpya.
Angalau watakuwa wamejiandaa
Ni hatari sana ndugu yangu
Kikotoo kimeanza tarehe July mosi 2022 tiliostafu baada YA hapo tukaathirika vibaya KWA kwani walitangaza kingeanxa 2023
Serikali inawauuwa watumishi wake ki masosaso kwa kuwanyima haki zao kuhusu kikokotoo
Yaani kumbe huyo mtumishi akifa hizo hela ambazo serikali eti inawatunzia zinabaki serkalni we mungu wasaidie hao watumishi
Ni hatari kwa kweli
Kikokotoo hawakitaki watumishi wote
Hakuna snaekihitaji kikokotoo walipen watu pesa zao
Ni hatari kwa kweli
Ni hatari kwa kweli
Ilitakiwa mtu anpoanza kazi ndiye asaini mkataba akubaliane kanuni mpya ya mafao siyo kumshitukiza mtu
Kabisa,
Hii haijakaa sawa
😂😂😂