Mbona kama hao wanasayansi wanatuchea wanasoma kutabu chetu halafu waieleza habari hii kwa lugha ya kingereza tunaona kama wamefanya tafiti. Na kama wametafiti kweli basi hongera zao na wamjue muumba
Yesu amesema hakuna anajua mwisho wa dunia Wala yeye hajui. * Acheni kuwatisha watu.kama unataka kuzifahanu dalili za mwisho wa dunia na kuja Kwa Yesu mara ya pili,soma Biblia Mt.24:1... nakuendelea
Ww umefata yesu wa mzungu alie wapigia picha yesu na mitume wote wa mmungu mmoja na mmungu ndio mwenye kuabudiwa hata yesu pia alipewa injili na mmungu na mungu nido mmoja wa kumuomba yesu alimuomba msada wakati wayahudi wanataka kumsulubu mitume wametokana na ibrahim na wote ni waislam hata isa yesu. Muislam
Mmungu ndio alitaja ktk qiruan ndio kitabu cha mwishooo funga kazi sio nyiyi mana bee wa uongo wanaletwa kila siku mnapingina na mmungu mcheza film wa yesu mnafanya ndio yesu mnaeka picha huo ndio ujinga
Mbona kama hao wanasayansi wanatuchea wanasoma kutabu chetu halafu waieleza habari hii kwa lugha ya kingereza tunaona kama wamefanya tafiti. Na kama wametafiti kweli basi hongera zao na wamjue muumba
Asalam Ayekum tunaomba namba ya shekh tumtumie sadaka yake Inshallah
Aslam allekum Allah bless you
from Rwanda
Allah azidi kukulinda sheikh wetu.
Mungu akubariki shekhe wangu
😢😢😢😢
Hallo naomba no ya huyu shekh
Yaahaiyu yakayumu tustili
Njoo private nitakupa
Yesu ni nani?
Yesu amesema hakuna anajua mwisho wa dunia Wala yeye hajui.
* Acheni kuwatisha watu.kama unataka kuzifahanu dalili za mwisho wa dunia na kuja Kwa Yesu mara ya pili,soma Biblia Mt.24:1... nakuendelea
Km hujaelewa uliza acha ujinga
Ss watu wasituelimishe kwa sababu yesu hakusema ss inatuhusu nn.
Ndipo pale Munapoambiwa yesu sio Mungu inakuaje tena Mungu haijui siku ya kiama hujiulizi wewe??
Ww umefata yesu wa mzungu alie wapigia picha yesu na mitume wote wa mmungu mmoja na mmungu ndio mwenye kuabudiwa hata yesu pia alipewa injili na mmungu na mungu nido mmoja wa kumuomba yesu alimuomba msada wakati wayahudi wanataka kumsulubu mitume wametokana na ibrahim na wote ni waislam hata isa yesu. Muislam
Mmungu ndio alitaja ktk qiruan ndio kitabu cha mwishooo funga kazi sio nyiyi mana bee wa uongo wanaletwa kila siku mnapingina na mmungu mcheza film wa yesu mnafanya ndio yesu mnaeka picha huo ndio ujinga