Good morning all. Putin ni mjanja na ana akili nyingi sana. Anatumia hekima zaidi kuonyesha Hana upande Wala ubaya wowote. Yeye kusupport Biden kuendelea kua raisi anajua kwake itakua yenye faida ili kuwakaanga wamarekani. Mjanja sana uyo.
@@kwisa4899 Hapana, kwa akili kubwa ya Putin kuendelea kwa Biden inalipa zaidi kwa Russia maana Marekani na sarafu yake "wanarudi kwao" kwa speed ya sauti. Yaani ndani ya utawala wa Biden Marekani inaondoka kwenye u-super power kwa kasi ya sauti. Lakini akiingia Trump atapunguza tu speed hiyo lakini hataiondoa kabisa.
Rais wa urusi ni mtu ambaye anaelewa siasa sana na anajua nini anachokifanya wengi watampiga vita kwa nini ameendelea kumsifu adui wake lakini yeye ni mtu ambaye anatumikisha akili za ziada sana na anajua nini anachokifanya
Sawa wewe ni mtoto wa Dada ake amekutumia message kwamba anamaana yake, Ila show anaijua, Biden ni mpole ndomana anamtaka ila angekua Rais kama George Bush mapema sana URUSI ingekua kama Gaza.
Putin akili mingi...Yan hapa "zuzu mpe cheo" azid kujidai..Lkn huyu jamaa mtamu mno kwenye speech ana vitumaneno vyake vitamu mno huwa vyanikosha roho sana. Hususan akielezea mambo ya kivita..atar san
@@raydanfrenk Hapana hizo ni kejel, vijembe, chumvi na udambwi dambwi...Somet ukitak kumlevya mtu msifu ili ajae upepo then toboa apige basta mithir ya tail imepata pancha
Mm sizani Kama sela ya marekani itabandirika ata kama Ni Trump kwani hawenzi kuicha uraya basi ikiwa hivo ata marekani itakoswa guvu pare umoja wa uraya ukiaguka acha tuone Kama Trump ata icha uraya ware ni jaami moja hakuna kitakacho bandili zaind tu ni ushidi kwao magaribi
Kweli kabisa USA siyo level ya URUSI ajapo siwapendi wa marekani, ila Wana nguvu Sana na watu wengi Wana fikiriya kwamba RUSIA Ana nguvu ya ku mpiga MAREKANI....... Ukweli usemwa bado sana
Marekani zamani na propaganda nyingi,dunia imebadilika na mambo yanaenda kasi sana,ondoa mawazo mgando,usitegemee mrusi atamhofia mmarekani kama unavyodhani,vinginevyo asingingia vitani na Ukrain,sababu marekani alimsihi sana asivamie
Tatizo ni ushabiki, brother vita ni pesa na marekani Wana pesa zaidi ya urusi, Ukraine inasaidiwa tu pesa na vifao siyo military personnel, narudi Tena..... Do your research between USA AND RUSSIA is very powerful in military intelligence, military technology and military budget
Siasa za kimataifa na za kimaslahi Zina mambo mengi sana tena sana na hazina Adui wa kudumu Wala Rafiki wa kudumu Bali Zina Maslahi ya kudumu, Wala sio hivyo umaanishavyo ww hapa na hii comment yako.
Kupitia utawala wa Biden, Putin ameishika Marekani pabaya, doller "inarudi kwao' kwa speed ya sauti na uchumi kadhalika, sasa akiingia Trump atapunguza kasi hiyo. Sasa hakuna nchi yoyote inayotaka kuwekeza fedha zake katika dola maana Marekani haiaminiki tena na hiyo ndiyo safari ya kuporomoka kwa dola na uchumi wa Marekani
@@hamisisalum6116 Unalolisema Lina ukweli ila Dollar kuporomoka sio Leo Wala kesho mkuu maybe 50+ years to come, Ila Marekani kashajua ya mbeleni ndo maana kaja na crypto-currency kama mbadala wa dollar ikija kuporomoka.Pia unadhani dollar ikianguka pesa Gani ndo Itakuwa global medium of exchange, maana ili pesa iwe na thamani zaidi inategemea na nguvu yake kwenye soko la hisa mkuu.Ni lazima mataifa ya Uchina na Russia kama wanataka kuhakikisha Dollar inaporomoka wanaweka mazingira mazuri ya kibiashara kwao ili kuvutia mitaji ya nje kuingia ndani, jambo ambalo Marekani kafanikiwa sana tena sana mkuu.
Hapa tuna msubili mnze wa fuyuz kipalandezi havute bangizake haje kujamba jambahapa uwongowake urusi hawezi pimana ubavu namarekan hataskumoja urusi bado mtoto sana hamwelewi Ukraine pale hanapewa slaha ndogo ndogo sana zahazi yachin zilizochoka za zamani rakini urusi hanatoka jasho je hakiingia kwa marekani hatatoka nn
We nae ni mpumbafu mmoja tuuu. Aya chkua nchi 32 za NATO,zote zmepeleka silaha zao hapo,na zana zinginezo za kijeshi hapo. Alafu unasema et n silaha za zamani!!!? Unaijua kifalu Reopard ya marekani wew!,je,Abraham ya kimarekan!? Unaijua kombora aina ya atacms wew!!,tulia sasa maana hujui. Urusi ana silaha nyingi za kisasa na hazijafikriwa kutumika,na wew unatamka uonavyooo tuuu
Trump ni mtu aliyepandikizwa na mrusi kuongoza taifa la marekani hivyo ana act kumsifia Biden ili waende opposite nae ili akamilishe jambo lake ,coz anajua trump atachukua kiti na trump ni mtu wao wamemtengeneza wao kama mtakuwa mnakumbuka Urusi walimsaidia sana Trump kipindi kile anashinda uraisi msimu ule..
Ukitaka kumuua adui yako kirahisi, hupasi kuonyesha taswira ya chuki yako wazi wazi. Putin ni mjanja sana. Kumbuka kuna mambo ya kidipromasia bado yanaendelea kati ya USA na RUSSIA.
@@raydanfrenkwabobgo wamekariatu unaziunaz marekani yupoju kwa kiraktu yan yeye niwakwanza kwa kilaktu urusi kwa marekan mado sana yani pale Ukraine wanampa slate ndogondogo lakini urusi hanatoa jasho
Putin ana ujua mziki wa marekani anajua wanaweza kufanya lolote wakitaka, yaaani hawa watu wako mbali kwa mengi, ukiwa huku ndio utaelewa kirahisi. Wanaishi dunia ya kwanza
Nkukumbushe tu unajua wakati Trump anaingia kulizuka tetesi kua Trump alidukua mfumo wa kura na kuiba kwa msaada wa putin, unajua moja ya shutuma za Trump akiwa Rais walisema Ana urafiki na Putin, ahadi za Trump ni kua ndani ya saa 24 akiwa raisi atamaliza vita , hivyo basi Iyo kauli ya Putin ni yakebehi tu yeye na Trump ni watu wa karibu
Kumbuka balozi za urusi ziliondolewa kwa ajili ya uchaguzi trump alipo pata uraisi ina semekana urusi aliingilia mfumo wa kura wa marekani na trmp akapata kura nyingi zaidi ss wao wana mashaka sana nae kua ana elewana na Putin vizuri sana
Good morning all. Putin ni mjanja na ana akili nyingi sana. Anatumia hekima zaidi kuonyesha Hana upande Wala ubaya wowote. Yeye kusupport Biden kuendelea kua raisi anajua kwake itakua yenye faida ili kuwakaanga wamarekani. Mjanja sana uyo.
jibu ni kwamba yeye amuogopi Biden yupo tayari kwa lolote
@@kwisa4899
Hapana, kwa akili kubwa ya Putin kuendelea kwa Biden inalipa zaidi kwa Russia maana Marekani na sarafu yake "wanarudi kwao" kwa speed ya sauti. Yaani ndani ya utawala wa Biden Marekani inaondoka kwenye u-super power kwa kasi ya sauti. Lakini akiingia Trump atapunguza tu speed hiyo lakini hataiondoa kabisa.
@@hamisisalum6116ila dollar ina zidi kupanda
😂😂😂😂
Kuwakaanga
😅😅umejuaje😅😅
IJUMAA KAREEM Y'ALL
The message is loud 📢📢 and clear, pambana naya kwako na mengine haya kuhusu. Majibu ya Putin
Rais wa urusi ni mtu ambaye anaelewa siasa sana na anajua nini anachokifanya wengi watampiga vita kwa nini ameendelea kumsifu adui wake lakini yeye ni mtu ambaye anatumikisha akili za ziada sana na anajua nini anachokifanya
Uwe unaelewa usikarir
Hilo ni jibu lenye maana nyingi sana kwa wanadiplonasia
Jasiri jamaa anjibu kwa vjembe sana genius
Uko sahihi kabisa
Putin mjanja, mtu wake ni trump 100 percent
Sawa wewe ni mtoto wa Dada ake amekutumia message kwamba anamaana yake, Ila show anaijua, Biden ni mpole ndomana anamtaka ila angekua Rais kama George Bush mapema sana URUSI ingekua kama Gaza.
@@johannesssamsonambogo4125unaota asubuhi wenzako wanaota usiku.Akili yako imeganda sana hauelewi kitu tangia shule nakujua 😂😂😂😂
Not 100% Putin 70% the least Trump
@@PAULNYANDILE😅 anaota kweli
@@johannesssamsonambogo4125 unatumia akili kwel au
Chuma cha kirusi icho
Putin ataki kusitisha vita Trump anaongea sana atataka Amani putin ataki anatakakushusha dollars
Well said man
Anajua kabisa madhara ya Trump kuchaguliwa kwa Urusi
Hamna trump ni mshkaj wake so ata muharibia mipango yake anajua iloo
Ongoo urusi ni babee bro hat mungu ana mpinzani wake
Anamaana yake kumsifia biden
Amewaogopa pu pure putin Ana muhogopa Mungu
IJUMAA NJEMA KUTOKA DANDORA NAIROBI CROWN TUNATISHA
Hiyo jingo mbn kali hivyo si unaweza toa official song
😂😂😂😂 safisana
Putin akili mingi...Yan hapa "zuzu mpe cheo" azid kujidai..Lkn huyu jamaa mtamu mno kwenye speech ana vitumaneno vyake vitamu mno huwa vyanikosha roho sana. Hususan akielezea mambo ya kivita..atar san
ila Bongo kama sote tuna akili hiz amna kitu yy nakubali kuwa America ni atari alafu ww unamkatalia
@@raydanfrenk Hapana hizo ni kejel, vijembe, chumvi na udambwi dambwi...Somet ukitak kumlevya mtu msifu ili ajae upepo then toboa apige basta mithir ya tail imepata pancha
@@raydanfrenkkwani hujawah kuskia marekani anasema taifa la urusi kila likikua ni hatari kwa nato hajasema kwa marekani kwa nato
Putin amepata jinga la kulicha ndomana anamsifia kikongwe 😅😅😅
Mm sizani Kama sela ya marekani itabandirika ata kama Ni Trump kwani hawenzi kuicha uraya basi ikiwa hivo ata marekani itakoswa guvu pare umoja wa uraya ukiaguka acha tuone Kama Trump ata icha uraya ware ni jaami moja hakuna kitakacho bandili zaind tu ni ushidi kwao magaribi
Alafu wewe sns unasema marekani sio taifa lenye nguvu
Acha uruss iendere kuwatandika mashoga ooote
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Free Palestinian 🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇵🇸
🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿👏
Putin alishasema hawatak mazungumz kwa adui kuishiw slaha.
😂😂
Kkkkkkkkkkk 1:50 1:50 😂😂😂😂😂
Kweli kabisa USA siyo level ya URUSI ajapo siwapendi wa marekani, ila Wana nguvu Sana na watu wengi Wana fikiriya kwamba RUSIA Ana nguvu ya ku mpiga MAREKANI....... Ukweli usemwa bado sana
Marekan mjanja tu ana nguvu wapi labda wachanganyike wote awo nato ndio useme sawa na urusi
Do your research on USA and Russia and you will understand what am saying
Marekani zamani na propaganda nyingi,dunia imebadilika na mambo yanaenda kasi sana,ondoa mawazo mgando,usitegemee mrusi atamhofia mmarekani kama unavyodhani,vinginevyo asingingia vitani na Ukrain,sababu marekani alimsihi sana asivamie
Hauja mwelewa PUTIN na hawezi kumuelewa kama haraka inakubidi uchukue muda wakuelewa maneno ya wafanya siasa
Tatizo ni ushabiki, brother vita ni pesa na marekani Wana pesa zaidi ya urusi, Ukraine inasaidiwa tu pesa na vifao siyo military personnel, narudi Tena..... Do your research between USA AND RUSSIA is very powerful in military intelligence, military technology and military budget
Putin Anachekesha Sana Yni Ukiona Mtu Anaacha kumsifia Rafiki Yake Badala Yake Anamsifia Adui Yke Ujue Ni Kebei iyoo😂😂😂
Siasa za kimataifa na za kimaslahi Zina mambo mengi sana tena sana na hazina Adui wa kudumu Wala Rafiki wa kudumu Bali Zina Maslahi ya kudumu, Wala sio hivyo umaanishavyo ww hapa na hii comment yako.
Kupitia utawala wa Biden, Putin ameishika Marekani pabaya, doller "inarudi kwao' kwa speed ya sauti na uchumi kadhalika, sasa akiingia Trump atapunguza kasi hiyo.
Sasa hakuna nchi yoyote inayotaka kuwekeza fedha zake katika dola maana Marekani haiaminiki tena na hiyo ndiyo safari ya kuporomoka kwa dola na uchumi wa Marekani
@@hamisisalum6116 Unalolisema Lina ukweli ila Dollar kuporomoka sio Leo Wala kesho mkuu maybe 50+ years to come, Ila Marekani kashajua ya mbeleni ndo maana kaja na crypto-currency kama mbadala wa dollar ikija kuporomoka.Pia unadhani dollar ikianguka pesa Gani ndo Itakuwa global medium of exchange, maana ili pesa iwe na thamani zaidi inategemea na nguvu yake kwenye soko la hisa mkuu.Ni lazima mataifa ya Uchina na Russia kama wanataka kuhakikisha Dollar inaporomoka wanaweka mazingira mazuri ya kibiashara kwao ili kuvutia mitaji ya nje kuingia ndani, jambo ambalo Marekani kafanikiwa sana tena sana mkuu.
Hapa tuna msubili mnze wa fuyuz kipalandezi havute bangizake haje kujamba jambahapa uwongowake urusi hawezi pimana ubavu namarekan hataskumoja urusi bado mtoto sana hamwelewi Ukraine pale hanapewa slaha ndogo ndogo sana zahazi yachin zilizochoka za zamani rakini urusi hanatoka jasho je hakiingia kwa marekani hatatoka nn
We nae ni mpumbafu mmoja tuuu. Aya chkua nchi 32 za NATO,zote zmepeleka silaha zao hapo,na zana zinginezo za kijeshi hapo. Alafu unasema et n silaha za zamani!!!? Unaijua kifalu Reopard ya marekani wew!,je,Abraham ya kimarekan!? Unaijua kombora aina ya atacms wew!!,tulia sasa maana hujui. Urusi ana silaha nyingi za kisasa na hazijafikriwa kutumika,na wew unatamka uonavyooo tuuu
Mh kazi unayo mjomba kweli another smartphone in a bad hand
Trump ni mtu aliyepandikizwa na mrusi kuongoza taifa la marekani hivyo ana act kumsifia Biden ili waende opposite nae ili akamilishe jambo lake ,coz anajua trump atachukua kiti na trump ni mtu wao wamemtengeneza wao kama mtakuwa mnakumbuka Urusi walimsaidia sana Trump kipindi kile anashinda uraisi msimu ule..
Ukitaka kumuua adui yako kirahisi, hupasi kuonyesha taswira ya chuki yako wazi wazi. Putin ni mjanja sana. Kumbuka kuna mambo ya kidipromasia bado yanaendelea kati ya USA na RUSSIA.
Like 10 ty
Ataka wazichape aonakane nani mbabe
😂😂muuska mkuu yy anakuba America alafu ww et wazichap
@@raydanfrenkwabobgo wamekariatu unaziunaz marekani yupoju kwa kiraktu yan yeye niwakwanza kwa kilaktu urusi kwa marekan mado sana yani pale Ukraine wanampa slate ndogondogo lakini urusi hanatoa jasho
@@user-tq4lx9si1nnenda shule alaf urudi tena hpa uje umalizie comment yako
Lazma akubali
Na wewe tombola mbona Una nyege
Huyo nikibaraka hajui anachoandika siasa nimchezo mbaya 😂😂😂 ukimjua adui yako msapoti kwenye ujinga wake
jinga iliapa lisiloijua siasa vizuri.😂😂😂
Putin ana ujua mziki wa marekani anajua wanaweza kufanya lolote wakitaka, yaaani hawa watu wako mbali kwa mengi, ukiwa huku ndio utaelewa kirahisi. Wanaishi dunia ya kwanza
Nyie jamaa zetu ndio maana mnaingizwa mkenge kwa kufikiria karibu mna akili kama za kuku Putin ni mastermind
@@MohamedAhmada-ie7ke kubisha na asiyeelewa ni kupoteza muda.
Putin yy anaogopa Tramp likishika madaraka lile ni atari😅 yan
Nkukumbushe tu unajua wakati Trump anaingia kulizuka tetesi kua Trump alidukua mfumo wa kura na kuiba kwa msaada wa putin, unajua moja ya shutuma za Trump akiwa Rais walisema Ana urafiki na Putin, ahadi za Trump ni kua ndani ya saa 24 akiwa raisi atamaliza vita , hivyo basi Iyo kauli ya Putin ni yakebehi tu yeye na Trump ni watu wa karibu
Kumbuka balozi za urusi ziliondolewa kwa ajili ya uchaguzi trump alipo pata uraisi ina semekana urusi aliingilia mfumo wa kura wa marekani na trmp akapata kura nyingi zaidi ss wao wana mashaka sana nae kua ana elewana na Putin vizuri sana