ZELENSKY: TUPO TAYARI KWA MAZUNGUMZO IKIWA RUSSIA ITAACHIA MAENEO YETU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 24

  • @mfupakhamis9751
    @mfupakhamis9751 ปีที่แล้ว +2

    Zelensky hana jipya .
    Ufalme wa Mungu Usimame.
    Amin.

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td ปีที่แล้ว +3

    From 🇧🇮🇧🇮👊👊 shoga ameumbuka

  • @abdallahkhalfan3966
    @abdallahkhalfan3966 ปีที่แล้ว +3

    Bado hajawa tayari kwa mazungumzo wacha kichapo kiendelee

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 ปีที่แล้ว +3

    Huyo ni mcheshaji ndivo anavyowaza.... Hizo ni ndoto kukomboa majimbo yote itatumia miaka 107

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 ปีที่แล้ว +3

    Maji shingoni. Siuliambiwa ingia mazungumuzo ukakataa? Tulia unyolewee😢

  • @jumajux730
    @jumajux730 ปีที่แล้ว +4

    Tupo pamoja mkono kwa mkono hadi mwisho Russia for life

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje8743 ปีที่แล้ว +3

    Huyo shoga aendelee kupewa kichapo cha mbwa Koko kama kawa

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 ปีที่แล้ว +4

    Huyu zelenzky ni mbuzi wa kafara hajitambui tu,,

  • @ZiadaMlowe-e7w
    @ZiadaMlowe-e7w ปีที่แล้ว +3

    Marekani anabambiwa kila kona huku china kule korea af uku kipolo na Mrusi ukren

  • @dannywillson5874
    @dannywillson5874 ปีที่แล้ว +3

    Bado akili Hana

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 ปีที่แล้ว +3

    Zelenzky mwehu huyo hivi Kwa akili ya kawaida putini aachie maeneo aliyoyapambania!!🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪💪💪

  • @nafuutayb8452
    @nafuutayb8452 ปีที่แล้ว +2

    Huyu jamaa lkn akili zipo sawa

  • @hudumablack9339
    @hudumablack9339 ปีที่แล้ว +4

    Awali nilimsikia Zelensky akisema kwamba atafanya mazungumzo ikiwa Putin ataondoka madarakani. Je! Inakuwa je tana?😂

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 ปีที่แล้ว +2

    America imevamia muno mwenzao kavamia tu Ukraine. Wampe support amalizie

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 ปีที่แล้ว +2

    Kichapo kiendelee

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa milio ya mabom yameshaufyatua ubongo wake, si leo tu amesema Russia imeshashindwa vita.. Nilicomment pale kwa bro bundala sns Kuwa ameongea kinyume ndo hiki sasa 😂😂😂

  • @Mumewangu
    @Mumewangu ปีที่แล้ว +2

    Hawataki mazungumzo. Manake wanajuwa kuwa urusi hawatakubali. Ivi uchaguzi lini ukrein ili huyu mbwa aondoke

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa hana adabu hata yakuvalia nguo anafkiri putin mjinga

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 ปีที่แล้ว +2

      Mwezi wa 3 mwaka jana Urusi aliondoa Vikosi vyke Kiev kufuatia mazungumzo huyu jamaa akapanda kiburi
      Russia hawez kurejea hilo kosa

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi ปีที่แล้ว +1

    Tumechoka na huyu zelensky. Hata kumsikia sitaki. Maana amesababisha hasara kubwa sana kwa ukrein.

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 ปีที่แล้ว +3

    Mpuuzi wewe yani ghalama yote ilio tumika leo tuyaachie maeneo ki bwelele tu namna hio

  • @MichaelMollely
    @MichaelMollely ปีที่แล้ว +1

    Puttin BIGGEST lion🙏🙏🏼🙏

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 ปีที่แล้ว +3

    Adabu inaanza Wewe jiudhururu kwanza halafu wanaume zako Waache kukupa kiburi. Nabado ukitaka kutoroka vaa dela na baibui upake makeup na wanja. Utamaliza Raia.

  • @mustaphamatelefone-lc9pr
    @mustaphamatelefone-lc9pr ปีที่แล้ว +1

    Uyu zelensky ni jinga anaongea ivo kama ntu alie ombwa amani yeye ndo inayo mshinda vita alafu anataka apewe maeneo bule kama bwana arusi uyu zelensky si bure ni chizi uyu akapimwe akili