Kwanini umtoboe mwenzako kama umemchoka si nibora tuu muachane ili kila mtu akaanzishe maisha mapya kwani kuna dini inayokataza kuachana kama mmefikia hatua mbaya?
Muheshimiwa raisi wetu mpendwa ingilia Kati hili jambo angalau huyu binti aweze kuona tafadhal muheshimiwa mana wewe ndio mamlaka na kila jema ulitendalo mung atakusaidia msaidie muheshimiwa mana inaumiza sana
Kuna yule aliyemkata mikono mwanamke kule Mtwara, kuna yule scorpion aliyemtoboa macho yule kijana pale Buguruni, na leo ndio huyu,,,,wote tumeona hukumu zao!! Imefika wakati sasa kuanza kutekeleza hukumu za kiislamu ndio zenye kutoa haki
Yani kama mbwai mbwai nae atobolewe shuwain kabisa.Maskini dada wa watu bora ingekua jicho ata moja yote mawilo huo ni unyama kabisa yani kusudi kubwa mno shenzi kbsa.Familia nao hana mimi ningelipa kisasi cha hatari ingekua fundisho kwa wote
Jaman hap mmejifunza nin nyie mnao pensa kurudian na watuy ambao waliwaacha siyo macho tuy mtatolew miguu mtuy umeachan nae unamwamin kweli dunia yenyew hii wabadam wamekosa utuy wamekuw hata wanyam hawako hiv
We kumbe musji sio? Au ndo nyie watu munaitwa wasio julikana? Mpaka ss una idade ya watu wangapi ulie wauwa marundo yako ya pumzi ambayo utakuja kukatwa bila matarajio paka shume ww
Pole sana binti . Huyo macho yake yatatobolewa na muumba mbingu na nchi
Kwanini umtoboe mwenzako kama umemchoka si nibora tuu muachane ili kila mtu akaanzishe maisha mapya kwani kuna dini inayokataza kuachana kama mmefikia hatua mbaya?
Pole dada Mungu atusaidie
Uyo alijuwa kauw ndo mana alimtobowa machoo MUNGU akupe maishaa marefu
Poleni sana Kwa janga kubwa.
Fanyeni haraka mgojwa afikishwe haraka sana CCBRT Dar es salaam.hilo jicho jicho litasalimika HAKIKA.
Pole mwanagu kwa mtihani uliokukuta mtegemee Mungu
Pole sana dada hali yasasa adui yako muogope sana usijiaminie kihivyo hata mimi nilisamehe vyombo na maisha yanaendelea wakati tuliopo ni mbaya sana
Mungu wangu tuhurumie mini ichi
Mungu akuponye kwa wepes
huyo baba wamtoe macho yake wamuwekee huyo dada maisha mengine yaendelee
NayeyeyAtolewe macho yake hakunakumfungawalalanini
Pole sana ndugu yangu
Yani uyo kaka kiukweli ningekufa nae aki tena khaaaa!!!
Mungu atakuponya
Muheshimiwa raisi wetu mpendwa ingilia Kati hili jambo angalau huyu binti aweze kuona tafadhal muheshimiwa mana wewe ndio mamlaka na kila jema ulitendalo mung atakusaidia msaidie muheshimiwa mana inaumiza sana
SEMA wangu usitushirikishe wengine
@@celinamosha9420😅😅😅😅
Pole aanA
Ukatili wa hali ya juu sana huu serikali komesheni hiki kitu
Naomb kuuliza, inamaana huyu dda haon hata jcho moja?ssa itakuwaje
Yani nakosa cha kusema Pole binti yangu 😢😢
Mapenz cjui kwann mwishoe huwa uwadui labda mtu mngekuwa tu urafiki wa kawaida labda mtu mngekuwa marafiki wazur haki pole kipenz ❤❤❤
hayo siyo mapenzi, ukimpenda mtu huwezi kuwa adui yake.
Duhh mtihani Mkubwa Wallahi hadi huruma
Kama mhanga alivyosema afadhali na yeye atolewe macho tu wamwache
Kwa kweli jamani utamtoaje mwenzako macho jamani uchungu mkubwa
KWANI wataalam hakuna uwezekano ya HAYO macho ya HUYO bwana akaeekewa HUYU dada kitaalam yaani yakapandikizwa na Haya aliyoyatoboa akapewa yeye ??
SubhanaAllah
Hata ije ifikie kutoboana macho..kuna mengi zaid huyu dada ameyavulilia,..
Kuna yule aliyemkata mikono mwanamke kule Mtwara, kuna yule scorpion aliyemtoboa macho yule kijana pale Buguruni, na leo ndio huyu,,,,wote tumeona hukumu zao!! Imefika wakati sasa kuanza kutekeleza hukumu za kiislamu ndio zenye kutoa haki
Alithani amekufa ndo maana kamtoboa macha
Pole sana
Utake wanawake wengi wengi na uwezo huna..humtaki na macho pia ukayachukua,si hasidi huyu...
Yani kama mbwai mbwai nae atobolewe shuwain kabisa.Maskini dada wa watu bora ingekua jicho ata moja yote mawilo huo ni unyama kabisa yani kusudi kubwa mno shenzi kbsa.Familia nao hana mimi ningelipa kisasi cha hatari ingekua fundisho kwa wote
Kakumiza yeye. Kwakuongeza mke wapili umekubaliana nayo kisa kuachavitu anakumizaa 😢😢🥲
Like namimi leo wa kwanza
Yote xikizake zimemfanya atake kukuuwa kukutaka hakutaki ila vituvyako anavitaka kitabda na godolo ndilo lilikualinamuuma nakajua nayule.dem pia atamkimbia. ,,polesana Munguatakulipa .ilanae akaejela asitoke.umbwa huyo
Watoe macho ya jamaa wamuwekee uyo sista
Unamfanyia yote hayo mwenzako ya nini? Kama hamuelewani si muache tu aishi na fata mambo yako
Kumbe dada yako alikupo kabisa,kwanin haukwenda kulala kwa dada yako,ukaenda kulala nae gest jmn
Wanaume mmezidi ukatili cmtafute vya kwenu? Yaani uroe mwanamke halafu mkeo mkubwa ndo ampe vyombi c ujinga huo
Jaman hap mmejifunza nin nyie mnao pensa kurudian na watuy ambao waliwaacha siyo macho tuy mtatolew miguu mtuy umeachan nae unamwamin kweli dunia yenyew hii wabadam wamekosa utuy wamekuw hata wanyam hawako hiv
Duu
Dunia inamitiani
Pole dada ila aman ya moyo ni kusamehe wale waliokutendea mabay acha mamlaka imuhukumu, pole san
Hv waziri Wa jinsia kwanini asitumbuliwe. Hakuna anapojitokeza kwenye majanga km haya. ATUMBULIWE TUU
Mmh jamani huwa anajitahidi sana mama wa watu ila hawezi shiriki kwenye kila tatizo ndio maana yakuwa na vyombo vya sheria
Mmh jamani huwa anajitahidi sana mama wa watu ila hawezi shiriki kwenye kila tatizo ndio maana yakuwa na vyombo vya sheria
Lp😊lp
L
p@@JacquelineMacha-y3n
😮😅😅
Lll
😂😂
Naww ukaamka
Kiukweli huyo kijana anaroho mbaya kweli kweli ukiangalia umri wake na kitendo chake alichokifanya kinaogopesha
minajuwa kwakuwa mtumiwa ayupo kunajambo ambalo iko nyuma yapazia hao watu walizozana usiku mzima nachanzo chakuzozana nimke mwenza yawezekana naunyumba alinyimwa
Ivi kwanini eti?
Ambaye hajawajua Waha viumbe anaweza kumuona jamaa ni katili ,lakini hao viumbe ni hatari hata Mimi naweza hawafai Hawa mbwa ilitakiwa auwawe
Kenge wewe😊, ndo maana mama yako pia n mbwa coz na yeye ana k***
Wewe Fala sana, unatafutwa kwenda kufirwa jela
We kumbe musji sio? Au ndo nyie watu munaitwa wasio julikana? Mpaka ss una idade ya watu wangapi ulie wauwa marundo yako ya pumzi ambayo utakuja kukatwa bila matarajio paka shume ww
Kwani hawawez kubadilisha macho nimeogopa sana