Shekhe Shafii ana maarifa hakika aliosema yote kweli kwa mtu mwenye akili timaru atajiuliza maswali kwa nini wamshtaki na wao wameruhusu ushetani huu ufanywe.Waharibifu wa kizazi na baadhi ya wasanii wanawasaidia kusambaza ushetani Aisha kwa nguo wanazovaa au vitendo vya kukosa maadili hadharani. Allah atulindie vizazi vyetu.Shukran Sheikh hukupindisha maneno
Hapa ndo naamini kwamba uislamu ndo dini ya kufuatwa maana hawawezi kuruhusu ujinga kama huu makanisa yanafunganisha ndoa za jinsia moja baadhi yao Duuuuuu mwenyezi mungu tunaomba utunusuru😭😭😭😭😭😭😭
Mada hii ni sahihi sana. Ila serikali iko kimya , Basata pia iko kimyaaaa na wasanii wadogo wameanza kuigiza habari za P didy Hii inahalibu kizazi kijacho. Shida ni kizazi kijacho
Sheikh nilikuwa nakuheshimu sikuheshimu tena, nawe unasaidia kuupromot ushoga kwanini ukubali kuhojiwa na mambo ya kijinga kama haya af unaongea unarembua macho kabisa na unakicheko flani hivi cha kimahaba !mwanaume unapocheka kaza mdomo.
Shekhe Shafii ana maarifa hakika aliosema yote kweli kwa mtu mwenye akili timaru atajiuliza maswali kwa nini wamshtaki na wao wameruhusu ushetani huu ufanywe.Waharibifu wa kizazi na baadhi ya wasanii wanawasaidia kusambaza ushetani Aisha kwa nguo wanazovaa au vitendo vya kukosa maadili hadharani. Allah atulindie vizazi vyetu.Shukran Sheikh hukupindisha maneno
Hapa ndo naamini kwamba uislamu ndo dini ya kufuatwa maana hawawezi kuruhusu ujinga kama huu makanisa yanafunganisha ndoa za jinsia moja baadhi yao Duuuuuu mwenyezi mungu tunaomba utunusuru😭😭😭😭😭😭😭
Mada hii ni sahihi sana.
Ila serikali iko kimya , Basata pia iko kimyaaaa na wasanii wadogo wameanza kuigiza habari za P didy
Hii inahalibu kizazi kijacho. Shida ni kizazi kijacho
Na huu ndio ukweli wenyewe!!
Shekh shafi kwa ukweli tu.nakupenda bureeeeee
Congration shehe
Upo sahii shekhe shafii
Hivi nyinyi masheikh hamna mambo ya muhimu kutuambia sisi waislamu ila kurukia mambo ambayo hayana maana kwetu sisi
Naam hata mimi nimliwasikia wakisema tundu lisu na Fatma karume niliyasikia hayo yakisemwa. Allah arawashinda
Sheikh mambo haya ya nini, utajikuta unapromote vitu vya kidunia sheikh si sawa
Shekhe ndio shekhe ilo nitangazo kweli.
Kweli shekh ni washenzi tu wasumbuwa dada zetu na ushoga uko free shenzi sanaa
Shetani haoni hatari kuwazalilisha watu wake ili lengo lake la kusambaza ushoga lifanikiwe🎉
Bora aulizwe mwenyewe
Sheikh nilikuwa nakuheshimu sikuheshimu tena, nawe unasaidia kuupromot ushoga kwanini ukubali kuhojiwa na mambo ya kijinga kama haya af unaongea unarembua macho kabisa na unakicheko flani hivi cha kimahaba !mwanaume unapocheka kaza mdomo.