I was in my early schooling in 1980s, I didn't understand the programme all I knew was to chorus with him "JE HUU NI UNGUANA" after every conversation he made, happy birthday dad lenny
Leonard Mambo Mbotela,nilianza kumsikiliza katika redio nikiwa mtoto,sasa ni mtu mzima.Nilikuwa napenda sana vile anavyoongea,anavyotangaza.Nafurahi kumuona bado ana afya njema.😊😊 Naangalia kutoka Tanzania 🇹🇿
HAPPY BIRTHDAY Legend, mzee Mambo Mbotela. Your voice on Radio Broadcasts is still fresh in the minds of senior citizens in Kenya and in deed East Africa. Those were be best of times as Radio was the undisputed media. No comparisons to today's state of the news media. Yours was a labor of love and a gift to Kenya. Thank you legend. May God add more years to your life!
Mzee hongera sana ,kipindi nasoma mwaka 1995 nilikuwa nikitoka kanisani siku ya jumapili nilikuwa lzm nisikilize kipindi chake cha je huu ni ugwana .nafurah sana mzee wangu leo ndio nimebahatika kuona sura yako ,mm nilikuwa naijui tu saut yako .Mungu akujalie maisha marefu mno kwa ww ni mtangazaji mzuri sana rombo tanzania tulikuwa tunaenjoy sana kwa kipindi chako kizur.
I find it hard to refer him as Mzee Mbotela. I recall in the early 70s how my late dad and I used to tune to Njee huu ni ugwana. He was the best entertainer. Memories are still fresh of his wonderful voice by then. How he was forced to announce for Kenyans about the coup in Kenya. We took cover since we were living near Vok by then. Happy Birthday Leonard Mambo Mbotela. We love you big.
A very happy birthday to you iconic broadcaster Kenya has ever had. Leonard Mambo Mbotela. I enjoyed Jee huu niungwana programme all my youthful years. Live to be hundred please bwana Mambo.
This is Great... happy birthday mambo mbotela,we also stayed in ngara government quarters .am happy to see this kind gasture to veteran broadcaster.God bless mambo mbotela
Happy birthday Mambo Mbotela remember your best radio presentation Hii ni Ungwana the smooth well presented episode long life Mambo you’re an icon stay safe
May God bless mzee, namukumbuka nikimfungulia mitambo asubuhi na kumonita sauti kutoka CAR tukiwa na Mungai 1982.May God bless mzee mambo mbotela. Mimi James Michael Angwenyi.
Kwa wafanyakazi wa KBC kufanya jambo hili kwa nguli wa utangazaji Leonard Mambo Mbotela, hakika HUU NI UUNGWANA! Kwa upendo mkuu kutoka hapa Dar es Salaam Tanzania, Mungu awabariki nyote!
Happy birthday Mambo. You’re a true legend. Your voice reigns supreme above all others. Your days were divine and fabulous as a news reporter. My late mother took everything you said religiously. Remember one time she bought doom vim powder and then the kunguni didn’t disappear like the way you had expressed it. And she couldn’t stop laughing hysterically suggesting that Mambo can make you do anything he says without even thinking twice 😂. Long live legend in good health 🌹🌹🌹
" Alles gut zum geburtstag Lenny" Hapo kuna magwiji, icons and the presenters of the day, wachukue mifano!! Iam a former resident of Frere town/ Mlaleo Barisheba ( 1974--1984) !! And to you Mum E.Obega, ulinifanya nichelwe kazini kwa jamms zako
I was in my early schooling in 1980s, I didn't understand the programme all I knew was to chorus with him "JE HUU NI UNGUANA" after every conversation he made, happy birthday dad lenny
Never thought I would shed a tear. Thanks to all those who made it possible. Happy birthday Lenny.
Na jee!huu ni uungwana?huu ni uungwana happy birthday mzee Mbotela
Leonard Mambo Mbotela,nilianza kumsikiliza katika redio nikiwa mtoto,sasa ni mtu mzima.Nilikuwa napenda sana vile anavyoongea,anavyotangaza.Nafurahi kumuona bado ana afya njema.😊😊
Naangalia kutoka Tanzania 🇹🇿
HAPPY BIRTHDAY Legend, mzee Mambo Mbotela. Your voice on Radio Broadcasts is still fresh in the minds of senior citizens in Kenya and in deed East Africa. Those were be best of times as Radio was the undisputed media. No comparisons to today's state of the news media. Yours was a labor of love and a gift to Kenya. Thank you legend. May God add more years to your life!
Mzee hongera sana ,kipindi nasoma mwaka 1995 nilikuwa nikitoka kanisani siku ya jumapili nilikuwa lzm nisikilize kipindi chake cha je huu ni ugwana .nafurah sana mzee wangu leo ndio nimebahatika kuona sura yako ,mm nilikuwa naijui tu saut yako .Mungu akujalie maisha marefu mno kwa ww ni mtangazaji mzuri sana rombo tanzania tulikuwa tunaenjoy sana kwa kipindi chako kizur.
I find it hard to refer him as Mzee Mbotela. I recall in the early 70s how my late dad and I used to tune to Njee huu ni ugwana. He was the best entertainer. Memories are still fresh of his wonderful voice by then. How he was forced to announce for Kenyans about the coup in Kenya. We took cover since we were living near Vok by then. Happy Birthday Leonard Mambo Mbotela. We love you big.
A very happy birthday to you iconic broadcaster Kenya has ever had. Leonard Mambo Mbotela. I enjoyed Jee huu niungwana programme all my youthful years. Live to be hundred please bwana Mambo.
Happy birthday mzee mbotela..legend!
This is Great... happy birthday mambo mbotela,we also stayed in ngara government quarters .am happy to see this kind gasture to veteran broadcaster.God bless mambo mbotela
Happy birthday Leonard.....twakuombea Mungu azidi kukupea miaka mingi...
Happy birthday Mambo Mbotela remember your best radio presentation Hii ni Ungwana the smooth well presented episode long life Mambo you’re an icon stay safe
Happy Birthday Leonard Mambo Mbotela!!
Mzee hongera. Sana
May God bless mzee, namukumbuka nikimfungulia mitambo asubuhi na kumonita sauti kutoka CAR tukiwa na Mungai 1982.May God bless mzee mambo mbotela. Mimi James Michael Angwenyi.
Alikua jirani yetu nakuru kivumbini nikiwa mtoto dada Aluti na dada paulina.Happy birthday. Mwenyezi Mungu azidi kukuongezea umri.🇬🇷🇬🇷🇬🇷❤
May God bless mzee mambo mbotela his sounds saved the country when I was just 1 year old. HAPPY BIRTHDAY MAMBO MBOTELA 🎉❤ . I LOVE YOU BABU
God bless Mambo mbotela
Kwa wafanyakazi wa KBC kufanya jambo hili kwa nguli wa utangazaji Leonard Mambo Mbotela, hakika HUU NI UUNGWANA!
Kwa upendo mkuu kutoka hapa Dar es Salaam Tanzania, Mungu awabariki nyote!
Huu ni ungwana kabisa. Wonderful wonderful! Happy birthday to Mambo Mbotela
Merci beaucoup
Nauliza je huu ni ungwana😂😂😂Lenard Mambo Mbotela 🎉🎉🎉
Happy birthday Bw Leonard Mambo Mbotela,utangazaji wako ulibamba sana enzi hizo.Long live Lenny.
A true hero!
Wow that was great of you guys. Happy birthday Leonard Mambo Mbotela❤
Happy birthday Mambo. You’re a true legend. Your voice reigns supreme above all others. Your days were divine and fabulous as a news reporter.
My late mother took everything you said religiously. Remember one time she bought doom vim powder and then the kunguni didn’t disappear like the way you had expressed it. And she couldn’t stop laughing hysterically suggesting that Mambo can make you do anything he says without even thinking twice 😂.
Long live legend in good health 🌹🌹🌹
" Alles gut zum geburtstag Lenny" Hapo kuna magwiji, icons and the presenters of the day, wachukue mifano!! Iam a former resident of Frere town/ Mlaleo Barisheba ( 1974--1984) !! And to you Mum E.Obega, ulinifanya nichelwe kazini kwa jamms zako
The ungwana mzee
HAPPY BIRTHDAY MAMBO MBOTELA MAY LIVE HEALTHY AND LONG LIFE FROM ITALY 🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹
Congratulations Uncle Leonard Mambo Mbotela, God loves you and God bless you more.
Jee huu ni ungwana?😀
Asante sana Mzee Mambo, wengi sana walifaidika tuliposikiza kipndi chako cha jinsi kuwa wangwana
Congratulations all. That was great. We so happy to see you guys. We love you all. Mambo may Hod bless you happy birthday
I connect the blessings for me and husband long life is our portion in Jesus name Amen
Happy Happy birthday legend! Mambo Mbotela. Enjoy your time... you have inspired many ❤ God bless you mightily 🙏
Happy birthday Leonard Mambo Mbotela...🤣🤣❤️🙏
Haki Mbona kizungu. Si kuna lugha ya Taifa.
NA KUTAKIA KILA KHERI BWANA MAMBO.
Kweli Kiswahili ni lugha yetu tunaipenda,izungumzwe.
Nauliza, Ni Ugwana???
Happy birthday, Mzee Lenny Mambo Mbotela❤❤
Happy Birthday Baba Leonard Mambo Mbotela.
Happy Birthday mzee mwenzangu from Miriam ❤
Great moment, Mbitela you have a long way to go
May Allah blessing you with good health 84 same voice which I used to hearing ❤
Je huu ni ungwana kifanya suprise kwa mzee bila watangazi ngwji wote wa VOK? Happy birthday Legend you educated and entertained my youth 🙏
Mungu ni mwema. Hongera Lenny.
Elizabeth obege salami za hodi hodi, my favourite show every Wednesday 2pm
Happy birthday mbotela
Hearts off...Mr. Mambo...we love you so so much.
Nauliza, je ? Huu ni uungwana???🎉🎉🎉🎉
Happy birthday my legend 🎉🎉
Wonderful Work My Sis Jaccky. Much Love❤❤❤
Long Live Mambo..
Thanks Siz
Legend many more years
Let me be the first to comment. Kazi safi sana Producer Jackie.
Ahsante sana
Huu ni ungwana kabisaa
Happy birthday to youu lenny 🎉
HAPPY HAPPY BIRTHDAY MR Mambo Mbotela may you live many many many more YEARS WE LOVE YOU MR MAMBO M🫶🫶🫶🫶🎂🎂🍷
Legend Leonard Mambo Mbotela live long
Leonard mambombo tela je?huu ni ugwana..
The Legend 🎉🎉
Our jirani in Frere Town mtoto Wa mama Ida Mbotela uncle Lenny
Happy birthday!!
Happy birthday mambo
Watu wa 2000 I pity you you ve found trash in media , once upon a time there was Leonard Mambo mbotela and many more pure talents.
Wishngekua hapo mambo mekumis sana turikua twakura mali yetu nakuru stem hotel
Happy birthday Mzee Mbotela
Happy birthday legend ❤
Ni Ungwana kweli kumshangalia Leonard Mambo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢
Happy birthday
Happy birthday Mambo.
Hebu fungeni shtesheni ya radio na miss hizo sauti Elizabeth obege Khadija Ali nawengine wapi machoka jameni
🎉🎉🎉
Long life
Je huu ni uungwana???😂😂😂
sakina nimekuona
Je Kweli huu niungwana? Kudanganya miaka
Give your life to Jesus mambo
Mbotela
He has two wives?
Kbc employees
God has given you enough time to repent...
Alikua jirani yetu nakuru kivumbini nikiwa mtoto dada Aluti na dada paulina.Happy birthday. Mwenyezi Mungu azidi kukuongezea umri.🇬🇷🇬🇷🇬🇷❤
God bless you Mambo Botela 🎉🎉🎉🎉🎉🎉