ALIKIBA Amchana DIAMOND/Anaropoka/Yeye ni Nani/ZUCHU /Namuheshimu sana
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- King wa Bongo Fleva Alikiba amepiga stori na Rick Media na kufunguka juu ya Kolabo kati ya Diamond na Abdu Kiba, Alichokisema Zuchu kuhusu Show yake ya Simba Day n.k
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Alikiba #Diamond #Zuchu
Mfalme wa wafalme ali kiba forever sharati sana broo
MFALME KA MFALME NA HESHIMA ZAKE....RESPECT BRO 👌👌👌👌
Kiba ni Msanii mzuri sana, lkn linapokuja swala la kumzungumzia Mpinzani wake, hapo ndipo anakosa Usmart. Hajui namna ya kujibu ili asionekane yeye sio chanzo cha Uadui. Majibu yake yanaashiria kweli yeye ndio chanzo cha Uadui.
Media za Tanzania ni wachoganishi sana awanaga maswali ya msigi.
Kabisa, nimeliona hilo, maswali ya uchochezi tu
Hiz media hovyo sanaa
Alikiba Usijifanye mjina simba anajua kucheza siyasa ya mziki wa bongo fleva, alichokifanya mondi nikuweka tu mtego ili jamii ione hana shida na ww au Harmonize ila wooote mmeingia kwenye mtego 😂😂😂😂😂😂
Amejibu alichoulizwa Sasa hapo kaingiaje kwenye mtego hiv uunahic Ally hazijui figisu za kwevo??
Domo MNAFIKI Sana manina zake
We nae utatombwa
Rahisi wa bongo King kiba fleva
Waandishi wahabari jitaidini kuana maswali ya muimu nasio kuwachonganisha
Kabisa wewe ni kigi unajibu kiume pia kibinadamu kweli Mungu azindi kukulinda ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂 wasi kusumbuwe kigi wetu wale wtu waupande wapili
sio kigi na ww ni king😒
Ali kiba wewe una Mdomo Mdomo Sana ndiomana unafeli kwanza umesha zeeka ila auna Hekima Bora urudi Kijijini.
Bro nakuhurumia
Kikubwa anatakiwa ajiongeze aache kubishana na watoto wenye vipaji%
Nadhani hata wewe ukiona Ana ropokwa utaona umevunjiwa heshma....bro that guy is King na jina hakujiita watz ndio tulimwita so respect kidogo kabla hujaongea mengine
Labda ni King kwako wewe ila sisi atumtambuh !!!!
Uliona wapi King akaongea ongea ovyo?
Yes, Mwanzo nilimkubali Sana ila kwasasa anavurunda mdomo mdomo kwake umekua Too much%
Anafeli wapi ? While his life is going well utajuri anao. Nyie wa Tanzania hamjui the meaning of fail
Kiba ana jua
Mine🔥👑❤️
Unaroho mbaya sana ww kaka mwezio kajubu maswali yake vizuri ila ww nimshenge tu pumbavu ww ndomana ufiki mbali kwaroho yako mbaya
He prooves the grudge comes from him
Hahaaa eti Simba wa picha huyo
Alikiba mnafski 😊
Nice
Hahahaha ayaya bhana
Alikiba imeshakuwa kwanini musiache mziki
Ali kiba nakukubali lakini una dharau punguza dharau
ana roho mbaya sana huyu jamaa na mbinafsi sana, ana wivu na mond kwa kuwa kamzidi maisha , kamtungia mond majina kibao ya kejeli ila hawajahi jibiwa, kajibiwa juzi safi mond, mond nae binadamu kukaa kimya kila siku haiwezekani
Utakuwa na ulemavu WA Akili wewe
hajawahi jibiwa? hivi unafatilia mziki? hujaona juzi kamuita malkia? 😂
Jibu unavyo jisikia
Kiba anaringaa sanaaaaa 😂 alaf ni 0 tu. Mario mwenyew kakukata parefu.
Huyu jamaaa hajakaa kisanii kabsaaa
Apo kwa zuchu patamu sana 🙏 humble reply
K2ga anajua sana kuimba lakini sasa nyimbo zinaishia mbezi kibanda cha mkaa
Toa Yako ifikike marekan
Kiba angetumia mitandao kufanya Promotion kwa ajili ya wasanii wake na sio kutukanana na Diamond platinum A Boy From Tandale Tanesco Samalend.
Ali musenge kama wasenge wengine linaongea kama limekabwa
Chuki ukijumlisha na umaskini ni ugonjwa mbaya Sana..
Nilizami mondi. Anashida kumbe wewndiounashida utazeeka narohombaya hiyohiyo mavi mukubwa ww unajiona Nani labda
Kiba we uko xwa
Kiba mutu roho mbaya 😡
Ali kiba wacha zako, kila mtu aende kivyake bwana!
Ali Kiba ukimuangalia to ,ni mtu roho chafu , mazungumzo yake ata jinsi alivyo.
Mmmmmh kumbe ckuizi Kuna Watu wazijua roho za watu
Mnafki