MBOLEA ZA MAJI ZA AGRAMI ZINAVYOLETA UFANISI SHAMBANI.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ย. 2024
- Mkurugenzi wa kampuni za Agrami na Mzuri Africa Bw. Shaban Mgonja, amesema wamejipanga kuongeza ufanisi kwa mkulima wa Tanzania ili kupata uhakika wa mavuno kwa kutumia teknolojia walizonazo za mbolea ya maji na mashine ya Mzuri pro Till.
Je mnapatikana wapi???. Tunataka huduma yenu
No simu hajaweka bei muw mnataa si tuuongea