EXCLUSIVE: MREMBO AELEZA UKWELI KUHUSU UTAPELI KWENYE NETWORK MARKETING....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 166

  • @peterpallangyo8053
    @peterpallangyo8053 ปีที่แล้ว +5

    Hii ndo biashara ya Karne ya Ishirini na moja ila watu wengi ndo hivyo Tena hawaijui wanabaki tu kwenye magenge na vibarazani kuponda wasivyovijua na kubaki na ufukara. Tatizo kubwa hapa ni umasikini wa fikra Kwa watanzania wengi

  • @erickgadson1617
    @erickgadson1617 2 ปีที่แล้ว +19

    Changomoto wa hiyo biashara wanaokupa tarifa kuhusu biashara hiyo anakupa moto utafikiri unakuwa bilioner kesho lakini inalipa kama ukiwa na nguvu ya dola katik kuanza kujijenga hiyo nibiashara inalipa sana

  • @monicahanzazi1124
    @monicahanzazi1124 11 หลายเดือนก่อน +2

    Very powerful

  • @adriankaria734
    @adriankaria734 2 ปีที่แล้ว +8

    Waoooh this is powerful.

    • @zariajuma8290
      @zariajuma8290 2 ปีที่แล้ว

      Upo interested kujoin nikuelekezee?

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 ปีที่แล้ว +3

    Mserereko sio mzuri networking ni utapeli mkubwa mno eti company yake ina miaka 60 imemtoa nani tajiri hapa mjini

  • @butane7860
    @butane7860 ปีที่แล้ว +2

    Best explaination

  • @abednego3876
    @abednego3876 2 ปีที่แล้ว +13

    Mnayo haki ya kutapeli watu maana ata ukisoma coment watu hawajielewi. Kampuni igawane faida na wewe iyo ni kampuni ya babako au mamako. Shenz

    • @goalpost6753
      @goalpost6753 2 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @hassanmakame
      @hassanmakame 2 ปีที่แล้ว

      True that..😀

    • @swahiliwellness
      @swahiliwellness ปีที่แล้ว

      Uko na pengo la ufahamu tu.. hata hujui unachokisema

    • @kihombobadman938
      @kihombobadman938 11 หลายเดือนก่อน +1

      Upo sahihi bro

  • @TheCvm229
    @TheCvm229 19 วันที่ผ่านมา

    Hajaeleza kuhusu hizi kampuni zinazochukua pesa na kuziwekeza eti mtu atapata double au triple, hii anayoeleza hapa ni bidhaa kunakampuni hazina bidhaa zinalaghai wekeza pesa pesa inazaa bila kufanya kazi yyt, hizi ndo hatar na nusu tofuati na hizi za kununua na kuuza bidhaa. Changamoto ya hizi za bidhaa ni gharama ya bidhaa mfano sabuni ya kuogea sh elfu 20 au elfu 10 au dawa ya meno elfu 20 au 30 ndo changamoto ya hizi bidhaa utamuuzia nani atakayenunua kwa uchumi wa watanzania. Hili huwezi kuambiwa wakati wa kuanza hii bishara

  • @neemageorge723
    @neemageorge723 2 ปีที่แล้ว +3

    Poweful sharing!!!Tunachukia kwenye vitu ambavyo hatuvifaham this is bad…

    • @AyubuKiuongo
      @AyubuKiuongo 7 หลายเดือนก่อน

      Hii biashara unasain mkataba 😊

    • @swaleabuu-ws9bs
      @swaleabuu-ws9bs 4 หลายเดือนก่อน

      Hap​ana@@AyubuKiuongo

    • @mohamedadam2973
      @mohamedadam2973 หลายเดือนก่อน

      ​@@AyubuKiuongo no mkataba sio kazi business opportunity

  • @josephlazaro5406
    @josephlazaro5406 ปีที่แล้ว

    Ni kweli watu wakawainda tunandoto nyingi ila mda mwingine tunakosa tu kiunganishi katika kufikia ndoto zetu unakuta unaaidia ya kufanya biashara flani lanini kunavitu vinakua sababu japo unajitahidi kupambana navyo lakini unakuta bado ila umezungu mzia kitu kizuri sana na pia na vijana wengi katika kuipata furusa hawataki kuifanya Ile fursa iwe kubwa Ili iwe na faida kubwa ila wanataka wanapo para fursa hapo hapo iwape faida ni sawa faida utaipata Lani ni itakua ni ndogo tofauti na ingekua kubwa ingeingiza faida kubwa zaidi kwaiyo ndy hivo tunakosa tu vinganishi kufikia vya kufikia kuwekeza ndoto zetu

  • @Sebastianmoses-o4x
    @Sebastianmoses-o4x 27 วันที่ผ่านมา

    Yani kama huna eleimu ya online network marketing lazima utasema ni matapeli au ushakutana na matapeli wengi hujakutana watu wa ukweli au kampuni ya kweli. Mm kwa mwezi nakula laki tano na arubain kwa mwezi kutoka online market na nina timu inafaidi pesa kaeni ivyo ivyo na umaskini wa fikra

  • @veronicaEvaristus
    @veronicaEvaristus หลายเดือนก่อน

    👍👍

  • @PUKTTAMEDIA
    @PUKTTAMEDIA 2 ปีที่แล้ว +11

    Whoever reading this please don't give up 🙏

    • @pauline6375
      @pauline6375 2 ปีที่แล้ว

      Naomba namba ya huyu Dada tafadhali

    • @pauline6375
      @pauline6375 2 ปีที่แล้ว

      Naomba kupata elimu zaidi

    • @hisanmwakijungu10
      @hisanmwakijungu10 2 ปีที่แล้ว

      Duuuuuuu so sad

    • @lukmanomar6110
      @lukmanomar6110 2 ปีที่แล้ว

      Na mm naomba no ya huyo dada

  • @HildaKoka
    @HildaKoka 8 หลายเดือนก่อน

    Mentor slela naomba uwe mentor wangu 😊

  • @emmanuelmtedzi4368
    @emmanuelmtedzi4368 2 ปีที่แล้ว +8

    Nimejifunza Watu Hawana kabisa Skills Za Network Marketing ndio maana wengine wanaiponda. Ujinga Ni Umasikini mmoja mbaya sana

  • @philipocharles9239
    @philipocharles9239 2 ปีที่แล้ว +3

    Dada naomba msaada wako nataka kujiunga kwa team yako

  • @HildaKoka
    @HildaKoka 8 หลายเดือนก่อน

    Boss ❤

  • @lianahtatile4563
    @lianahtatile4563 2 ปีที่แล้ว +4

    Congratulations Stella

  • @MaryBunzu
    @MaryBunzu 5 หลายเดือนก่อน

    Jmn mbona nyinyi mnao sema ni utapeli sijaona mnachotapeliwa msikalili maisha amkeni network marketing inalipa so usiongee Kitu usichojua

  • @libeberu
    @libeberu 2 ปีที่แล้ว +7

    Mimi sijaelewa, huyu mwandishi aliemda kuhadithiwa story au kuinyerview
    Sijasikia maswali yake yanayotakiwa kujibiwa na mwongeaji

  • @nyandaminziku9742
    @nyandaminziku9742 ปีที่แล้ว +1

    Jamani watanzania kuweni Malini hao wanaokomenti inalipa ni wao kwa wao sijui Tanzanian wataamka lini kila siku kutapeliwa Bora kahonge hiyo hela achana na Hawa wakinga wanaiba kisomi by mwl masalu minziku nchimani maalufu Kama NYANDA MINZIKU ingia TH-cam Bora tuburudike pamoja achana na hao wezi

  • @MashaMawenje
    @MashaMawenje 5 หลายเดือนก่อน

    Mmmh hakunaga utapeli watanzania wenzangu amkeni fursa ni nzuri sana hasa aim global

  • @philipocharles9239
    @philipocharles9239 2 ปีที่แล้ว +6

    Dada samahan hebu nisaidie namba yako ya whatsapp

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 2 ปีที่แล้ว +1

    Kafanana na jaydee

  • @PUKTTAMEDIA
    @PUKTTAMEDIA 2 ปีที่แล้ว +6

    Good Morning From KENYA 🇰🇪

  • @198140206
    @198140206 2 ปีที่แล้ว +1

    huyu Mtangazaji sijui Kapataje kazi hapo wasafi
    Angetegesha Mike tu iwe kama story

  • @nasrimanofu708
    @nasrimanofu708 2 ปีที่แล้ว +1

    Dada dah tutajie hiyo platform tupige kazi na sisi

  • @eufrosiainziku4898
    @eufrosiainziku4898 2 ปีที่แล้ว +3

    I need net work marketing course

    • @makakitv7821
      @makakitv7821 2 ปีที่แล้ว

      Pass through my CHANELL

    • @zariajuma8290
      @zariajuma8290 2 ปีที่แล้ว

      Are you serious about this nikuunganishe

    • @dennissisi2770
      @dennissisi2770 2 ปีที่แล้ว

      If you're in kenya, see me

    • @jeremiamhando4420
      @jeremiamhando4420 2 ปีที่แล้ว

      @@zariajuma8290 i prefer to learn about it

  • @lewisjoel5517
    @lewisjoel5517 7 หลายเดือนก่อน

    Naomi kakosakazi Sasa ameingie kwenyeutaoeli kunawatu nawaina wakitapeliwa kwa huo upumbavu aliouongea hapa, watanzania wenzangu ninani aliewaloga? Pesa inapatikana kwa kufanyakazi tu.

    • @MENTORFEMEMY-gk1mg
      @MENTORFEMEMY-gk1mg 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani network marketing hufanyi kazi acha ujinga

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 2 หลายเดือนก่อน

    Utapeli mtupu😊

  • @BwireNelson-xr9jf
    @BwireNelson-xr9jf ปีที่แล้ว +1

    SHUKURANI DEMU NA MUNGU ABARIKI

  • @victorbrown6726
    @victorbrown6726 ปีที่แล้ว +1

    Hellow super woman

  • @zariajuma8290
    @zariajuma8290 2 ปีที่แล้ว +5

    Kama unahitaji kujiunga na hii fursa nitafute. Mimi ni mmoja wa members wa Neolife 😊

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna mda nilikuwa nawaza mnatoaji vibali kwa hawa watu na kingine ebu tazama wanavyowatapeli watu ukifika ofsini kwao ni uhuni mtupu.

  • @mwangalachrissy471
    @mwangalachrissy471 2 ปีที่แล้ว

    I need a member to take me to the temple for initiation

  • @MahadiKalekela
    @MahadiKalekela หลายเดือนก่อน

    Pumbaffuuu sana😂😂😂

  • @alfredylameck4627
    @alfredylameck4627 ปีที่แล้ว

    HUYU DADA HAJAKUTANA NA WATU WALIOFANIKIWA KTK NETWORK MARKETING…. HAMIS MGUTA JARIBU KUTAFUTA KAMPUNI SAHIHI ACHANA NA CRYPTO CURRENCY INDUSTRY HUTAPATA REALLY CONTENT
    HYU DADA HANA PERSONAL DEVELOPMENT
    HANA DESIRE UTAFANIKIWA VP???

  • @juliusmuna6955
    @juliusmuna6955 2 ปีที่แล้ว +3

    Inahitajika upumbavu wa hali ya juu ili kujua huyu msomi ni mpumbavu. Tena mpumbavu anaejiamini

  • @barakakings
    @barakakings ปีที่แล้ว

    Wasafi,mtafuteni tena huyu Dada,maana kimesha nuka huko

  • @sarafinasabas8845
    @sarafinasabas8845 2 ปีที่แล้ว

    Nataman kujifunza network marketing

  • @joeljohn5527
    @joeljohn5527 2 ปีที่แล้ว +5

    ndugu zangu napenda kuwasihi akunaga pesa lahisi so tumiaakili usije ukajilaum

    • @sidebuggat5200
      @sidebuggat5200 2 ปีที่แล้ว

      Usipende kuongea vitu ambavyo una maarifa navyo na sio pesa yaja bure mtaji wako nd nguvu yko acha kupotosha umma

    • @joeljohn5527
      @joeljohn5527 2 ปีที่แล้ว

      @@sidebuggat5200 we ume juaje sina maarifa au una ropoka tu ww

    • @swahiliwellness
      @swahiliwellness ปีที่แล้ว

      Uko na knowledge gap rafiki . Ni hatari sana kwa kijana kufunga ubongo wako mapema bila kuelewa vizur utakosa vingi.. Biashara ipo Dunian zaidi ya miaka 40.. kutoijiua wewe haimaanishi hailipi au haifanyi kazi...
      Hapo umedhihirisha usichokijua kwa kujifanya mjuaji

  • @SweyaNano
    @SweyaNano 16 วันที่ผ่านมา

    10:22

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 2 ปีที่แล้ว +7

    Huyu kampuni yake ni legit Neolife inaaminika sema kuna wajinga wengine wanadai wanafanya network marketing halafu hakuna wanachouza wala kununua hao ni matapeli kama Madogo wa Delaska, Qnet, D9 Smart Pesa etc

    • @lucasandrew1112
      @lucasandrew1112 2 ปีที่แล้ว

      Pia kuna hii inaitwa vunaqash technology nayo ni ya hao hao delaska

    • @Quyatz45
      @Quyatz45 2 ปีที่แล้ว

      Una uhakika gan Qnet hawauzi bidhaa na huduma you talkin' nonsense brooda

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 ปีที่แล้ว

      @@Quyatz45 wanauza bidhaa gani?

    • @hildaisack5165
      @hildaisack5165 ปีที่แล้ว

      Usipotoshe wewe sio kampuni zote

    • @hildaisack5165
      @hildaisack5165 ปีที่แล้ว

      Qnet tuna bidhaa tena zimesaidia wengi waliokuwa wamepoteza tumaini LA kupona na Leo afya na kipato vyote wamepata,hivo ukiwa huna elimu na kitu usikitolee majibu direct nenda kajifunze kukuelewa utanishukuru na huna cha kunilipa

  • @rehemawanjala-bu5oq
    @rehemawanjala-bu5oq 25 วันที่ผ่านมา

    Hiyo biashara ni ya kwl lakini wanaofaidi ni waliojuu maana ni pyramid scheme

  • @johnjohnson9374
    @johnjohnson9374 2 ปีที่แล้ว +3

    Vijana walio wengi hapa ni wajinga wanaamini kuna pesa za bure huo ni utapele nendeni itv media mkaone wenzenu walivyofanywa

    • @neemageorge723
      @neemageorge723 2 ปีที่แล้ว +1

      Watanzania wengi tutakufa masikin sababu kwanza ni wavivu alfu hatutak kujifunza…tunahs kila kitu ni utapeli

    • @patrickzacharia7483
      @patrickzacharia7483 ปีที่แล้ว

      Hii Bussnesss Kuna watu Wana miaka zaidi ya 10 kwenye biashara analinganisha na hio ilikaa miez 5 sijui. Na havifanani hata utendaji Kaz wake

  • @PUKTTAMEDIA
    @PUKTTAMEDIA 2 ปีที่แล้ว +1

    Pitieni Kwangu tujengane aisee

  • @wilyakyoo9302
    @wilyakyoo9302 2 ปีที่แล้ว +1

    Mbona hukusaidia hao ndugu zako?

  • @sungura0
    @sungura0 2 ปีที่แล้ว

    Kamata uyoooo ndio mmoja wa Qnet

    • @lucasandrew1112
      @lucasandrew1112 2 ปีที่แล้ว

      Sio kwel ofisi zao zipo pale karibu na itv Kwa watu wa Dar

    • @hildaisack5165
      @hildaisack5165 ปีที่แล้ว

      Nitafute nikutoe upofu. Ungejua qnet inavyowatoa watu kila iitwapo leo usingesema tenga mda jifunze sio kuongea negative

  • @hassanmakame
    @hassanmakame 2 ปีที่แล้ว

    Click bait header...😁

  • @prosperpaschal8978
    @prosperpaschal8978 2 ปีที่แล้ว

    Wewe huyijuyi bishara network tulia

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 2 ปีที่แล้ว

    Please don't

  • @innocentchavala9879
    @innocentchavala9879 2 ปีที่แล้ว

    Mh apa ntapgwa kama SME

    • @anord633
      @anord633 2 ปีที่แล้ว

      S.m.e bwana wamenila saana

  • @wilyakyoo9302
    @wilyakyoo9302 2 ปีที่แล้ว

    Mhh nyie matapeli kabsa

  • @patrickzacharia7483
    @patrickzacharia7483 ปีที่แล้ว

    Wengi wanaongea hapa nimejua wanafananisha hii biashara na vi company vyao vya upatu.

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 ปีที่แล้ว

    Akili mtu wang.

  • @estonsanga9355
    @estonsanga9355 2 ปีที่แล้ว

    Wasafi ni wizi huo elimisha watu

  • @japhetjairos7693
    @japhetjairos7693 2 ปีที่แล้ว +1

    Ata simuelew

    • @hansmwasakyeni3038
      @hansmwasakyeni3038 2 ปีที่แล้ว

      mi nahisi wewe umeelewa! Mimi nimetoka kapa kabisa hamna nilichoelewa!

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 2 ปีที่แล้ว +3

    Kusafiri dunia 😂

  • @ENEAHTV
    @ENEAHTV 2 ปีที่แล้ว +2

    Tazama Umri na Miaka ya kuzaliwa ya Mastaa mbalimbali wa bongo
    👇👇👇
    m.th-cam.com/video/5IaWx-DJrTc/w-d-xo.html

    • @sknapoleonshoo3145
      @sknapoleonshoo3145 2 ปีที่แล้ว +1

      Alafu inakuaje? Peleka uPumbafu wako huko kenge wewe

    • @libeberu
      @libeberu 2 ปีที่แล้ว

      so what?

  • @lukmanomar6110
    @lukmanomar6110 2 ปีที่แล้ว +1

    Jina la hiyo biasha ndio ipi

  • @donedaddy4561
    @donedaddy4561 2 ปีที่แล้ว

    Matapeli mie nimepigwa na hao viumbe fresh yan

    • @fatmamatangula3193
      @fatmamatangula3193 2 ปีที่แล้ว

      Washenz awa wezi maaaaaaaa mae zao

    • @patrickzacharia7483
      @patrickzacharia7483 ปีที่แล้ว

      Ulikuwa company gani wewe Hadi ukatapeliwa au ukishindwa kufanya Kaz na mafunzo ulikosa

  • @yasiniamri5458
    @yasiniamri5458 2 ปีที่แล้ว +3

    Wapuuz tyu nyie

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 ปีที่แล้ว

      Kama wewe mbwa

    • @philiptz118
      @philiptz118 2 ปีที่แล้ว

      @@miriamwinston9908 imekuuma hiyo risk ni kubwa sana

    • @saiditours
      @saiditours 2 ปีที่แล้ว +2

      Hell na! Hell na! Hawa watu sio wanajua kujieleza kichizi i know a lot.. so you can't convince me anymore damn it!😕😕

    • @smile-mh1nl
      @smile-mh1nl 2 ปีที่แล้ว +2

      Wapuuzi kweli . Yaani Tena wezi Hao jitahidinii sana kukaa nao mbali wanabrainwash watu akili mbaya

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 2 ปีที่แล้ว

    Pumbavu sana nyie matapeli

  • @nyovestkaslati5971
    @nyovestkaslati5971 2 ปีที่แล้ว +2

    SCAM

  • @anord633
    @anord633 2 ปีที่แล้ว

    S.m.e wamenipiga saana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @jeunajuatv817
    @jeunajuatv817 2 ปีที่แล้ว

    Hahaha ha network marketing ni utapeli asilimia mia

    • @frankkashner
      @frankkashner 2 ปีที่แล้ว

      Sio kweli mkuu Mimi nimeijua hii biashara nikiwa chuo na sasa kiukweli imebadilisha Maisha yangu kweli …

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 2 ปีที่แล้ว

      @@frankkashner endelea kuwatapeli wengine

    • @rosembuya2810
      @rosembuya2810 2 ปีที่แล้ว

      Hata me nlijua ni utapel imenichuku miaka miwil kuikubal. Kwa mtu mvivu anayedhan ni shortcut ya maisha ataona utapel hakuna kaz ya lelemama lazma uwork hard, sasa network marketing ukiwork hard lazima utoboe wala si utapel

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 2 ปีที่แล้ว +2

      @@rosembuya2810 ci mpk utapeli wengine

    • @frankkashner
      @frankkashner 2 ปีที่แล้ว

      @@jeunajuatv817 Sawa mkuu hakuna shida

  • @Ntomolapagu255
    @Ntomolapagu255 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuelewa sana boss m.th-cam.com/video/c5jEIQr-CgA/w-d-xo.html