MASHARTI YA SIRI | UMUHIMU WA KUTUNZA SIRI | OTHMAN MAALIM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- MASHARTI YA SIRI | UMUHIMU WA KUTUNZA SIRI | OTHMAN MAALIM
Siri Ni Maneno Au Kitu Chochote Ambacho Kinajulikana Kwa Baadhi Ya Watu Na Wengine Hawaitajiki Kukijua Kitu Hicho Au Maneno Hayo Hiyo Ndio Siri.
Mashallah laiti ingelikuwa binti yng kashafikia umri wa kuolewa ningelimuozesha huyu shekh lkn ndio kwanza binti yng ana mwaka mmoja allah akuhifadh shekh wetu
Utaniozesha mimi usijal
Yarab nijaalie kijana wangu awe mfano wa shekhe huyu mashAllah nafiraika sana kusikia maaaidha yk shekhe Allah akulipe kheri inshAllah
Mashallah maneno mazuri sana Sheikh wetu, Mwenyezi Mungu akujalie Maisha marefu na afya njema
Maasha Allah sheikh Othman shukraan jazzakah Allahu kheir kwa kutupa maneno ya faida kubwa katika Dini
Allah akujazeni kheri masheikh wetu na awadumisheni ktk kazii hii njema
Nakuelewaga Shekh Othaman maalim
ALLAH AKUJALIE KILA LA KHERI HAPA DUNIANI NA PIA AKURUZUKU PEPO KESHO AKHERA.
Allahumma swali alaa Muhammad yarabbiswali alaiy wassalam. Swallallahu alaaih wasallam. Mashaallah.
MashaAllah uhibbuk yaa Rasulullah
Allahumma swalli wa sallim alaa nabiyyina Muhammad
انما یخش اللھ من عبادہ العلماء۔۔۔۔Hakika wanaomcha Allah miongoni mwa waja wake ni wanazuoni..Allah akupeni mwisho mwema maulamaa woote na waislaamu woote duniani
Amiin Thumma amiin
Allahumma Aamiyn
Wallahi kuwa muislamu raha na kuskiliza mawaidha raha Allah atujaalie khusnulkhatima 🤲🏻
Shukrani maalim Othman, Allah akuhifadhwi ktk dunia NA akubashirie pepo Akhera Insha allah
Masha Allah shekh
Masha Allah. Allah akupe umri sheikh Uthman Maalim
Maa shaa Allah jazzakahllahu kheir sheikh othman
Huyu shekh nampenda sana sana siku nikija kukutananae nitamuomba anisilimishe kabisa nampenda sana na huwa namfuatilia sana .mwenye namba yake naiomba .ana busara sana
Nifate inbox mana no yake haitoki tu 0786651322 nitafute kwa no hio ili nikupatie no yake
Utampata Zanzibar muulizie maarufu sana na Mola atakupa uongofu in shaa Allah kusilimu.
@@fahadayoub3719 ok nitakutafuta
Mwenyezi Mungu akutangulie INSHA ALLAH
Allah akuongeze
MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHERI INSHALLAH SHEIKH WETU
Sheikh Masha Allah Jazakumullah kheiran kuwa na umri mrefu insha Allah Allah akuzidishie na tunashukuru kwa mawaidha yako yote ❤️
Allahuma ameen ya rabbali alameen kwa sote
Mashaa ALLAH. Mola akupe afya na umri
Jazakallah khayran
Mashallahu maneno matam sana mungu akupe wngi wa neema zake ishalla
Allah Akulipe kheiry
Mashaallah nakupenda kwa ajili ya Allah
Shukran
Mashaa Allah shukuran shekh wetu
Mashaallah jazakallahu kheir
Shukraan sheikh Allah akuzidiee umriii, wenyee manufaa ,,, Santeeeeeeee kwa masomo yako mazurii unayo tuleteagaa kila siku zinazoenda kwa mungu,
Allah awabariki nyotee
Jazakaallah khair
Shukraan Sana sheikh wetu Allah akujaalie kila la kher jazaka Allahu khair
Allahuma swali ala saidina Muhammad waalaa ahlihi waasihabihi wasalam shukran wajazaka llahu heri
Mashaa Allah ,Allah akujalie umri mrefu wenye kheri na wewe
Jazzakallah kher
Mashallah tabaraka Allah
Mashaallah Allah atujaalie tuwe nyuma ya fatma aazaharaa albatul inshaallah shukran sheikh wetu na midia yetu hii pendwa kabisa
Amiin yaa Rabb
Mashallah mngu atujalie na ss tuwe niwenye kuzingatia mazuri nakutenda wema na ww mngu akujazi kwa maneno mazuri
Maa shaa Allah
Shukran sana Shaykh wetu
Baaraka Allahu fiyka
Mashaa allah
Mashaaallah
Ma Shaa Allah.! Shukran Sheikh.
MashaAllah
Allah akupe swihaa njema na sisi wote
Mashallah shekhee wetu
Hongera sana sheikh.
Masha Allah shukran sana kwa mawaidha mazuri
Maa shaa Allah
Mashhaallahh
ALLAH akujaalie maisha mazuri ya hapa dunian na kesho akhera INNSHAALLAH
Mashallah shukrain allah akujaliye kila lakher shekhe
اللهم صلى وسلم وبرك عليه
Mashallah shekh wet japo tunajiombea duwa lakin ww unakuburi yako nahitaj dua yako nipo dodoma
Allahu Akbar
Maashaallaah
❤❤❤❤
اللهم صلى وسلام عليه
Allah akbar
Swallallaaahu aalai
mashallah
Mashallah
Maashaallah
Jazakumullahu kheyr , sheikh
Allah Akbar
Masha Allah Allah azidi kukupa nguvu uzid kutupa dawa
She mungu atakuripa
Je sheghe kama utateleza ukatoa siri kwa bahati mbaya ni dhambi kwa mungu?
May Allah bless you
Mashallah shukurn 🇧🇭🙏
🙏🙏🙏
Mashaallah Allah atujaalie tuwe miongoni mwa waja wema kama wema waliopita kwa Rehma zake Allah atujaalie tuwe ni wenye kuficha siri
Alhamdulillah
Mwenyezi akujalie pepo
@@josephinemacha4233 Ameen 🤲
Masha laah.
Allahumma Aamiyn
🤗
Assalam aleykum, Mimi naomba kuuliza swali, kuweka dawa ya kulainisha nywele kichwani inaswihi?
Bora ikuwezeshe kuchukua udhu....
Mafuta ya kawaida tyuu yanaswiih but dawa kabisa ile inayobadili uhaalisia wa nywele...haitakiwi kuweka ktk nywele zako
Rzka na hali aliyokujaalia allah
Mapish
Wali Wa asmini
Mashallah ,sheikh mm natamani niolewe Nina miaka 6-7 mume wangu amekatalia kuniacha na naishi peke yangu na watoto na hisia nnazo na ntakapo jaribu kukwenda kwa kadhi azidi kuniumbua na kwa kadhi haji na shirq mbele ili asimuache na yy hanitaki 🤦
Ndoa nyingi zina matatizo hakuna mapenzi ndani ya wanandoa, kuna wanaume wengi wanateswa na wake zao pia.
🤣poleni maana hapa mmekutana Ila tunatakiwa kuwa na subra. wewe dadayangu unatakiwa Uwe unafunga j. 3 na alhamis na kuswali swala za usiku sana uombe Allah kwa hajayako in Sha Allah atakufanyia wepesi
MATATIZO YA NDDA KIMBILIO LAKE NI KUZISHIRIKISHA FAMILIA MBILI KWA MUME NA KWA MKE.
IKISHINDIKANA KUTATULIKA BASI KIMBILIO NI KWENYE MAHKAMA ZA KIDINI ZILIZO KUEPO ULIPO, VIONGOZI WAO NDO WATA TOA USHAURI NA UFUMBUZI WAKE IN SHAA AL-LAAH.
HIVYO NJIA NDO HIZO , SASA UKIENDELEA KUOGOPA HADI LINI ?!
HUONI MWISHO TUTAFANYA DHAMBI HUKU ZIKUSUDIA. !
@@user-hb8vi9fx6g umejitahidi Ila kunawatu wanakutana na mitihani hawawezisema ikiwa mwanaume ameoa kisheria kisha anamwambie mkewe tumekutana kimjin mjini hivyo wazazi wangu hawakuhusu na marufuku kwenda kwetu. utafaninisasa?...
Allah akupe kher
Msion
Gk
Allahumma swalli wa sallim alaa nabiyyina Muhammad
Ma in sha a Allah
mashallah
Mashaallwa
Maashallah
Masha Allah
Maa shaa Allah
Mashaa Allah.