UMUHIMU WA DUA | SIRI YA JINA YAA HAYYU YAA QAYYUM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
  • Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh Bila Shaka Munaendelea Vizuri, Tuendelee Kupata Faida Katika Siri Ya Jina La M/Mungu Yaa Hayyu Yaa Qayyum

ความคิดเห็น • 50

  • @Shafaakallwahhu
    @Shafaakallwahhu  ปีที่แล้ว +20

    DUA AMBAYO UTAKAYOISOMA X3 NI HIII
    *KWA KIARABU*
    يا حي يا قيوم برحمتك استغيث اصلح لي شأني كله ولا تكلني الى نفسي طرفة عين
    *KISWAHILI:*
    YAA HAYYU YAA QAYUUMU BIRAHMATIKA ASTAGHIITHU ASWLIH LII SHA,AN KULLAHHU,WALAA TAKILNII ILAA NAFSII TWARFATA AYNI
    *TAFSIIRI YAKE:*
    EWE ULIE HAI MWENYE KUDUMU (MLINZI),NITENGENEZEE MIMI MAMBO YANGU YOTE,WALA USINIACHE PEKE YANGU KWA KUPEPESA JICHO

  • @AHAMADISELEMANI
    @AHAMADISELEMANI 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mashallah maelekezo mazuri allah akilipe kheri naomba teweke hiyo dua ulo sema utatuwekea kwenye comments

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 8 หลายเดือนก่อน +1

    ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH

  • @SalmaSlum-pe5hs
    @SalmaSlum-pe5hs ปีที่แล้ว +2

    Mashallah ni dua nzuri sn mashallah naitumia sana na inanisaidia mashallah kwa uwezo w allah allah ni mkubwa hamdulilah 😍

  • @SaleheMeza
    @SaleheMeza 27 วันที่ผ่านมา

    Swadakta Sheikh zid kutuelimisha

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed ปีที่แล้ว +1

    Alhamndulillah Dua njema Inshallah Namuomba ALLAH Akujalie Kupata Malengo Yako Amiina

  • @faizaabdulrasul1962
    @faizaabdulrasul1962 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Alhayuqayum

  • @luckymilani8927
    @luckymilani8927 6 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulilah ❤

  • @MaubaAli-dq1zk
    @MaubaAli-dq1zk 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran ustadh kwakutuelimisha tuiyokuwa hatuyakuwi Allah atakulipa

  • @FatmaAbdulkadir-in2zx
    @FatmaAbdulkadir-in2zx 5 หลายเดือนก่อน +2

    Asalam aleykum shukran Kwa faida zote Allah awape swiha muzidi kutukumbusha mambo mambalimbali zaidi Amiin

  • @khamissaid1950
    @khamissaid1950 ปีที่แล้ว +2

    Allaahu yaziyduka fiy ilmika

  • @issaibrahim4465
    @issaibrahim4465 5 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh
    Allah akulipe kheiri nyingi sheikh yetu
    Tunasubiri hiyo duwa

  • @fatmamohammed9933
    @fatmamohammed9933 4 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran Allah akujaalie kila ya kheri. Tunaomba dua shehe tupate maana umetuweka kwenye njia ya kheri

  • @zuhurazabiir3769
    @zuhurazabiir3769 ปีที่แล้ว +2

    Jazakalahu kheri shekhe 🙏🏿

  • @rukiakishar1155
    @rukiakishar1155 ปีที่แล้ว +2

    Jazaqlahu haira❤

  • @SidMbwana
    @SidMbwana 6 หลายเดือนก่อน +1

    allah azidi kukufungua tujue mengne ishallah

  • @MakameSheha-b9r
    @MakameSheha-b9r ปีที่แล้ว +1

    Ok,shukra nmeiona

  • @mudiali4506
    @mudiali4506 ปีที่แล้ว +3

    Sheikh tunashkur kwa duaa
    Tunasbir dua in sha allah

  • @IshimweHuda
    @IshimweHuda 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah jazakallah Hrayru

  • @umutetsidayana5770
    @umutetsidayana5770 ปีที่แล้ว +2

    Jazaka llah shehk wetu Allahazidi kuku bariki azidi kuku funguliya yalio mengi Piya Allah akujalie mwisho mwema Dua hiyi na kwenda ku ifanyia kazi insha Allah

  • @adiluadam6090
    @adiluadam6090 ปีที่แล้ว +3

    Maa sha Allah

    • @ibrahimayoub8623
      @ibrahimayoub8623 ปีที่แล้ว

      Utasoma istighifari mara 100 swalat alla nabii mara 100 na sijaelewa nyingine ya tatu ni ipi mara 100?

    • @Shafaakallwahhu
      @Shafaakallwahhu  ปีที่แล้ว

      TAHLIL YAANI KUSEMA
      LAA ILAAHHA ILLA ALLAHH × 100

  • @amanimossi809
    @amanimossi809 ปีที่แล้ว +2

    Barakallahu fiika

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 ปีที่แล้ว +1

    Shukran zaidi

  • @myme9447
    @myme9447 ปีที่แล้ว +2

    Ma shaa Allah....jazaka llahu l kheir

  • @mwanaathumani9594
    @mwanaathumani9594 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sana amiin

  • @mudiali4506
    @mudiali4506 ปีที่แล้ว +2

    Askm sheikh
    Tuna Subiri hiyo duaa

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 ปีที่แล้ว +2

    Maash Allah jazakallah kheir Sheikh wetu

  • @zubaidazu6221
    @zubaidazu6221 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallaah kwa darsa yenye mafundisho mazuri

  • @minaniabdur2452
    @minaniabdur2452 ปีที่แล้ว +2

    Man shaa Allah

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw ปีที่แล้ว

      Asalaam alaykum eti atahalili ndiyo nini

  • @fatmaahmed-yw3dx
    @fatmaahmed-yw3dx ปีที่แล้ว +1

    🎉🎉

  • @MesalimRashid
    @MesalimRashid ปีที่แล้ว +2

    Ya hayyu...ya kayyum...ya...wahabb.

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amee6

  • @MakameSheha-b9r
    @MakameSheha-b9r ปีที่แล้ว +2

    Asalam alaykum warahmatullah,, shekh mbona sijaiona Duua uliyo tuahidi?

  • @maryamngitami2143
    @maryamngitami2143 2 หลายเดือนก่อน

    Asalaam Alaykum !
    Embu naomba utufafanulie- baada ya Rakaa ya pili kusoma Aya ya pili kwenye surah Al-Imraan, twasoma mara moja au mara 7? Sikuelewa kufanya vipi kwenye Rakaa Ya Pili. Tafadhani naomba utueleze
    Jazaka Allah Khayrun

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 ปีที่แล้ว +2

    tuekee dua yake

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 9 หลายเดือนก่อน +1

    dua hii waifanya muda gan???????

  • @zubaidazu6221
    @zubaidazu6221 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallaah kwa darsa yenye mafundisho mazuri