Huwa ninaamini waeza toa ushauri muzuri saana kila nikuonapo sehemu tofauti,,lakini 1_usiongee kwa kujipendekeza. Ongea kwakuhofia maisha na uhai wako maana waeza kuja twaliwa hapo ulipo,,'2_Ruto tuna mujua vizuri Sana, Ruto anachezea akili wananchi.ruto anajua baada ya siku 14, automatic itaku finance bill no sheri, kwahiyo watu wako macho ijuma inne maandamano Teena,
Mahzbi mna taabu kweli .... Watu wanaoneza ufisadi mnawasifu. .. Subhanallah
Weee mzeeee fikiria sikuelewi
Wazee kama hawa ndio wanaleta matatizo kwa inchi
Hawa mashekhe walitoka kupinga ushoga mashaallah kwawingi lkni kwabahati mbaya walijifita nyote mulikuw muwe msari wambele kwenye mandamano nasasa muamsifu ruto hhhhh
Na watoto wako mbona hawakujitokeza uliwafungia ndani,acheni kutufanya wajinga
Huwa ninaamini waeza toa ushauri muzuri saana kila nikuonapo sehemu tofauti,,lakini 1_usiongee kwa kujipendekeza. Ongea kwakuhofia maisha na uhai wako maana waeza kuja twaliwa hapo ulipo,,'2_Ruto tuna mujua vizuri Sana, Ruto anachezea akili wananchi.ruto anajua baada ya siku 14, automatic itaku finance bill no sheri, kwahiyo watu wako macho ijuma inne maandamano Teena,
Kwenda wewe Mavi ya kuku!
Mahizbi acheni kuchochea fitna. Muslim Brotherhood ambao ni mrengo wenu ulivyoleta balaa katika mataifa ya Kiislamu hampati ibra .
وَإِذَا قِيلَ لَهُمْ لَا تُفْسِدُوا۟ فِى ٱلْأَرْضِ قَالُوٓا۟ إِنَّمَا نَحْنُ مُصْلِحُونَ
Quran: Al-Baqara (2:11)
أَلَآ إِنَّهُمْ هُمُ ٱلْمُفْسِدُونَ وَلَٰكِن لَّا يَشْعُرُونَ
Quran: Al-Baqara (2:12)