DARASA LA UMEME jifunze kufunga switch ya two geng pamoja na switch soket

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2024
  • #darasalaumeme #wasafitv #bongotrending #ipotv

ความคิดเห็น • 28

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Asante Mwalimu.

  • @dishonraphael111
    @dishonraphael111 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akupe ujuzi zaidi mwalimu tuendelee kufaidi

  • @AbdallahHamd-zb1dz
    @AbdallahHamd-zb1dz ปีที่แล้ว

    Hivo naomb San weka daras kwa ajil ya kuvisomesh vivo jiins ya kuunganisha taa nimeweza ila jins ya kutoa huo moto kutoka kweny main switch ndy imenikwaz mana ukitaja soocett brekar siijuw

  • @surekingu5719
    @surekingu5719 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwee xnaaa mwalim wetu

  • @AbdallahHamd-zb1dz
    @AbdallahHamd-zb1dz ปีที่แล้ว

    Assalam alaykum mm pia no mwanafunz wa darasa lako TH-cam nataka nivijuw vifaa ukitamka main switch au switch gang au socet yan nivijuw kwa kuviona

  • @francisedger2095
    @francisedger2095 ปีที่แล้ว

    kote nimeelewa vizuri isipokuwa hopo tu !!

  • @francisedger2095
    @francisedger2095 ปีที่แล้ว

    kwani wire unao toka kwenye main switch hauzingatiwi saizi yake kwenda kwenye socket? hasa amps na cross section ya Kila wire.

  • @reyleonel8310
    @reyleonel8310 10 หลายเดือนก่อน

    Ticha tunakuomba utufunguz macho kwann unachanganya nyaya za socket na za taa,,

  • @francisedger2095
    @francisedger2095 ปีที่แล้ว

    au ili mradi switch socket na taa zifanye kazi? siyo hatari? hata life pan ikoje?

  • @francisedger2095
    @francisedger2095 ปีที่แล้ว

    cross section, currents,resistance,havizingatiwi ktk ufungaji wa wire za scket na taa? ktk box kutokea kwenye chanzo(main switch). sijaelewa

    • @reyleonel8310
      @reyleonel8310 10 หลายเดือนก่อน

      Nahisi kuchanganywa kama ww

  • @francisedger2095
    @francisedger2095 ปีที่แล้ว

    kwanini wire za switch socket zisiwe na Saket wire zake pekee kutokea kny main switch ikizingatia na saize ya wire,kuliko kuchanganya saize ya wire za taa na za socket kwny junction box?

  • @francisedger2095
    @francisedger2095 ปีที่แล้ว

    sijaelewa,nimebaki nyuma mdomo wazi !!!

  • @francisedger2095
    @francisedger2095 ปีที่แล้ว

    switch socket hiyo kwanini inafungwa pamoja na wire za taa kutoka kwenye chanzo

    • @abubakarmago2623
      @abubakarmago2623 6 หลายเดือนก่อน

      Kusave wire km tajir atakuwa hana kipato ndugu yang

  • @fredwekesa5154
    @fredwekesa5154 2 ปีที่แล้ว

    Nice job 👍🙏

  • @francisedger2095
    @francisedger2095 ปีที่แล้ว

    kwanini wire za switch socket zisifungwe kwenye nyaya zake kutokea kny main switch ?pekee.

  • @hemedidotty5693
    @hemedidotty5693 2 ปีที่แล้ว

    mwalimu mim nime tumia kwenye switch 2.5mm cable lakini kwenye taa nikatumia 1.5mm cable nikija kuwasha kweny sucket braker inajizim msaada mwalimu wang

  • @francisedger2095
    @francisedger2095 ปีที่แล้ว

    kufanya hivyo SI hatari kubwa?

  • @jamesgithuku1678
    @jamesgithuku1678 2 ปีที่แล้ว

    Asanti bro umenisaidia

  • @surekingu5719
    @surekingu5719 3 ปีที่แล้ว

    Ila naomba urudiee darasa na kufunga circuit braker maana ulitoa maelezo tu

  • @allyhamisikau9255
    @allyhamisikau9255 3 ปีที่แล้ว

    Mwalim shukulan xn kwa darasa lako

  • @alsamali6964
    @alsamali6964 3 ปีที่แล้ว

    Inawezekanaje switch socket 2.5mm cable halafu kwenye source ya umeme ukatumia 1.5mm cable ? Msaada plz

  • @hizamp1827
    @hizamp1827 3 ปีที่แล้ว

    Sijabaki nyuma kufatilia kipind

  • @selestinekasangala9320
    @selestinekasangala9320 3 ปีที่แล้ว

    Naomba yako WhatsApp brother

  • @nassorresa7901
    @nassorresa7901 3 ปีที่แล้ว

    Tunatak vitu vipya zaid mwalim