HITAJI LA MOYO - PART 03 [ MWISHO ] - SIMULIZI YA MAISHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2023
- Sara akiwa na mwanaye ( JUSTINE ) gari lilifika maeneo yale na kupaki, Baada ya sekunde chache Kijana Steve alishuka na kuanza kuelekea lilipokuwa genge la Sara na Sara alipomuona Steve alimkumbuka.
- บันเทิง
Yan ukweli nakuwa w1 jameni like Zen ♥️🙏 ahsante Ankojay simulizi ya mafunzo Yan Mungu wetu wambi akuzidie kipaji chako zaidi 🙌🙏♥️🪑🎧
!
Asante jey
😊
Daah huyo Rose chafu sijapata khaa aozee jelly huyo na dektari wake
Simulizi nzuri kweli Elizabeth kutoka KENYA 🇰🇪 ❤
Rose kula chuma hiyoo ww nahuyo doctor wako yani unaua mwanamke mwezako kisa mapenzi nani alikuambia kuna mapenzi ya damu mana hayo nimapenzi yadamu sio kwaunyama huo
Anko jay na team yako MUNGU azidi kuwazidishia maisha nakuwapa maisha marefu pia awape matamanio tenure zaidi akiwalindia familia zeu nanyi pia na kuzidi kuwapa moyo wakutufundisha pia kutuburudisha
Wooooh anko J. Dah sio kwa simulizi hii tamu sana. But inafundisha sana hasa kwa watu wenye roho mbaya kama ya ROSE Dah 🥰🥰😢😢😭.
Asante Akoy j Kwa simulizi zenye mafunzo.
Thanks anko jay kwa simulizi nzuri sana🙏🙏🙏👌👌👌🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Yeani Anko jay simulizi mzuri sana yenye mafuzo kweli wanawake sie kutamani mali wacha tu BUT simulizi mzuri sana Asante Anko jay much❤❤❤❤
😂😂😂😂😂ila anko j unajua kujisifia
Anko Jay mapesa simulizi. This hitaji la moyo wangu was lovely. Mimi ujifunza some love sentences
Leo wakwanza wap likes za wanafamilia wa ankojay simulizi
Hongereni kwa kushinda na kulala you tube kwenye account ya Anko jay looooh😂😂😂😂😂
Asante San ankojay kwa simuliz nzur yenye mafunz makubw ❤❤❤
Some stepmothers are really wicked... but always remember this what goes around comes around thanks Ankojay, we learn a lot ❤
Wow ankojay umejua kutufuraisha leo mob love kwako dear❤❤❤
Honey !!honey!!!! asanti 😂😅 kwa part 3
❤❤❤❤wa kwanza leo
Pongezi kwa mtunzi wa hii simulizi pamoja nawa anko Jay kwa kusimulia vizuri mungu awabariki from zambia
Mwanamke kama Rozy alaaniwe kabisa
Asante Anko j na stev ninzuri lna mafunzo pia tunakupenda asante
Hatimae tunamalizia simulizi yetu nzuri ❤Ahsante sana kipenzi cha wote Mr.Anko jay
simulizi nzuri sana rose roho mbaya yako imekufikisha pabaya
Nimeipenda Sana uncle Jay huna shughuli Mbaya big up
Leo nimewahi 🎉🎉🎉yangu
Shukurani sana bro 😅😅😅leo kweli umewesa
Wow amazing story Anko please say hi to Steve God bless you so much
Asant anko jay kwasimlizi zak zuli sana mungu akusaidie kanzi zuli ziendelee❤❤❤❤❤❤
Nimeona mwisho ikabidi nianze kuskiza part one
Mambo ya kungojea spendi😅😅😅😅
😂hiyo ndio style yangu
😂😂😂
Mi pia😂😂😂
Me pia
Yaani anko Jay upo vizuri saana,hadithi zako zina mafunzo mazuri saana
Asante sana anko Jay mapesa twakupenda sana Jabali wetu King 👑❤❤❤🎉🎉
Asante sana kwa smlz tamu yenye mafunzo ndani yake Anko J Mapesa
Nyie watu mnakuwaga wapi jmn kila siku mnawah nyie tuu😅
Naitaji kununuwa gari kama ya anko jay misifa 😂😂 asante kwasimulizi nzuri sana mwandishi upo vizuri sana bila kusahau msimuliaji 😂🥰
😂😂😂😂gari tena na huku alisema hata baiskeli ya uridhi hana heheeee
@@Pretty22750 😂 duh ndomana wanasema ukiwa muongo uwe na kumbukumbu yani huyu mkaka 😂😂😂😂
@@uwimanaantoinette6417 kasha jisahau hivyo 😂😂😂😂
@@Pretty22750 😂😂😂
@@uwimanaantoinette6417🤣🤣🤣🤣🤣🤣anajisifu sbr rose amuue mkewe Aje yy😂😂😂😂😂😂😂
Simulizi tamu sana Asante ankojay Kwa simulizi hii ya kuherimisha
Wakwanza mupo wadau❤❤❤❤
Asante sasa Ankojay kwa kutumalizia hii simulizi taamu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪twakupongeza
Kwa kweli lemme say hv bn enjoying and hv learnt dht always we hv to learn how to shw love to others, and in everything we do whether good or bad we will harvest at d end
Jamani anko j si ulisema ata baiskeli ya urithi huna sasa gari kama la kwako imetokea wapi
Mwisho waubaya ni aibu😢😢😢😢
asate sana anko mungu akubariki kwahi simulizi nisimulizitamu nayenye mafuzo mazuri nasisi wanawake tunapaswakujifuza thank you anko❤❤❤
hongera Sana jina umetisha hila uyu mama amekuwa na moyo kama sheni wamama jamani tuwapende watoto hila kujari umelala ww au laa. Kwani akuna anaekua kesho yake ww mama mungu anakuona una rohoo mbaya mnoo hila kina Zakaria umetisha 😅😅
Leo wa mwanzo dina mbamba asante anko j nakupenda bure
Ahhhh anko jay leo nimekupenda bure aloooh mmwwaahh
Kwa kweli tunainjoi tuu simulizi tamu apewe maua ake steve🌹🌹🌹
Ahsante ankoj ❤
Asante sana mtungaji pia hongera zikufikie msimulizi umeitendea haki ankojjj
Asante mtunzi katamu kasimulizi ❤❤
Jmani Asante anko Jay,,ww kiboko mara hii mzigo chonjo❤❤
Dah!kwakweli mtaka vyote hukosa vyote 😢
Asante sana anko j kwa zimulizi tamu sana ila akina rose chungeni mzije kawa kama huu shetani
Umetisha anko j mipesa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Safi san Ankojay kwa simulizi tamu sana 😊😊🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂oy kaeni mbali na Rose akili zake anaijua mwenyew
Yaan nlianza kucklza kabla kulike ❤❤❤
Upo vzr sasa bora ije ya mapenz
I liked how the story end and Rose🌹 learned her lesson of been a bad mother Asante Sana anko Jay nimependa sana haii simulizi nzuri HITAJI LA MOYO💕💕💕from south Africa 🇿🇦🇿🇦❤
Ongela kaka ❤❤
Ubarikiwe sana anko jay mungu akupe maisha marevu
Asante kaka ake
Hongera sana Anko Jay mtoto wa mama mwenye sifa zote km Jay wangu hapa 😂😂😂😂 kw simulizi nzuri kila siku naelemika kivyangu napenda sana ubarikiwe❤❤❤❤
Shukran sana Anko Jay kiukweli we ❤❤❤ you and match respect
Kazi nzuri sana hakuna kulala😊
Wow shukran Mr jay kwa simulizi tamu ❤
WAWO Asante kwa part two much love Ankojay ❤❤❤❤❤❤❤
Wow kumbe ishatoka shukran kaka Ankojay
Kunywa soda mjomba jay Bill juu yangu❤❤
Asate sana ako Jay ubalikiwe sana
Sema tu Ankojay 😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante anko jay nmekua wa kwanza leo
Ama kweli wakati ni ukuta hongera anko kwa wajib wako❤❤❤
Jamani mnalala mtandaoni
Ubarikiwe sana ankojay 🙏🙏🙏🙏
Nina furaha Sana Yani bandika bandua☺️☺️☺️☺️☺️☺️
Asante kwakutuletea leo leo Maan ilinoga sana
Chief chin
🌹🌹 chukua maua yak ankol
Watu mko fast jmn❤❤❤❤❤
Sawa Asante kaka hapo Sawa
anko j bwana ety mgari kama wa anko j🤩
Leo kaz zimeongozana tu aise Anko jay noma na nusu tuna kukubal
Anko j ❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Wow wow wow 😂😂 Asante anko jay 😘😘😘😘
Ahhh anko j remember me kabisa me best ako wa long time kipindi unaenda iringa kwa pacha wako remember 50k
Nice❤❤❤❤
Wenye hira kama za Ros mushirwe namuregeye vizuri Anko Jy hutaki kuitwa Anko Mapesa nimeceka we acatu unawogopa Mukewe kuuawa Ongera sana👊👊👊👊👊👊👊👊🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷
God is powerful all the time, anko Jay keep it up.
Daaah anko jay unyama
Shukran ya habibi🎉
Nakubali anko
anko asante sana
Nimepitwa leo
Ankojay nimetokea kikubali sana na simulizi zako. Ombi langu ongeza muda kidogo walau nusu saa.
Imagine am the first one 😍 😊😊😊love u soo much Anko 💗 be blessed 🙌
Shukran ❤❤ uncle j
Thank you so much 🙏 Ankojay ❤❤❤❤
We kumbe Ankoj ana gari tena si gari tu gari la bei
Asanty sana. nko kwa simulizi hii nzr
Jinsi unavyoihadithia na aliotunga hongera zake
Kwa ujumla mnastahili sifa Allah. walinde zinagusa mno simulizi zenu
Asanty sanaaaa
Asante sanaa ankojay ♥️♥️♥️♥️♥️😂😂😂
Dah wewe ni kiboko ankojay
jamani akojay Asante kwa kunifuraisha jamani o🎉🎉🎉❤❤
Asante