UJENZI STENDI ya KISASA ARUSHA WAIVA, PICHA 3D ZAONESHA, SERIKALI KUJENGA UWANJA wa KISASA PEMBENI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 พ.ย. 2022
- UJENZI STENDI YA KISASA ARUSHA WAIVA, PICHA 3D ZAONESHA, SERIKALI KUJENGA UWANJA WA KISASA PEMBENI
Halmashauri ya jiji la Arusha imeeleza kuwa mradi wa ujenzi wa stand ya kisasa ya mabasi katika eneo la Bondeni city sasa utaanza rasmi...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
MashaAllah!!!
Mnatudanganya hadi lini sasa!!,
Msema kweli alikuwa Jpm akisema kitu kinafanyika.
Acheni bhana mnatumiaga mwezi wa 3 na mwezi wa 7 kutudanganyia huo mwezi wa 3 ukifika mtasema mwezi wa 7..tunzeni maneno yangu..na kama wanajenga Kwa pesa za ndani stend itaisha 2045.
Upo sahihi. Siasa nyingi sana.hamna lolote
Awa wamekuja kutangaza Biashara yao tu hapo...mwanzo walisema eneo nila serikal leo wanasema wamepewa Tena Duuh za uso mchana kweupe...unakuja kutangaza viwanja wakat watu wanataka Stand🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Hii ndio Tz
Wanafiki tu vitendo hakuna😂😂
Tatizo vitu vyetu havina muendelezo wa vitendo maneno mingi sanaaaa
Ivii madiwanii ndo wanakwamishaa maendeleo ya arusha mikoa mingine yotee maendeeleo yamepambaa motoo ila arusha storii mingii sanaa
Mimi sipendi kudanganywa Na mtu kama anataka kunidanganya Kwanza aanze kunidanganya mama yke
Mwezi wa tatu wa mwaka gani?😂😂
Maneno mengi sana
😂 huu mchezo wa kuigiza sijui utaisha lini
Huyu jamaa anaongea sana
Kajengeni na bukoba sitendi mbaya
Bora nyie huko maana majiji yote stendi zitakuwa tiyar Isipokuwa Jiji la Mbeya stendi amna ukianza Dar tiyari, mwanza tiyari, Dodoma tiyar Arusha ndo iyo, Haya jiji la Mbeya vip!
Mbeya si nanenane au?
Ayo tv mmzidi ubaguzi habari nyingi ni za kaskazini yani Arusha na moshi michaga bhana hadi kero
Kila mkoa kuna muwakilishi wa AyoTV, sema wawakilishi wengine wamelala 😂
Bado gari za taka ni aibu watalii wanatushangaa
Kwel
Afadhali
Hapo m naona wanafanya matangazo ya viwanja tuuu
NI kweli Mkuu isitoshe huko bondeni city inawabidi pia waoteshe miti maana NI jangwa Kali Sana.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Arusha na Mbeya stand hamna kwani hayo siyo majiji? Mwanza mpaka ina stend 2 Nyegezi na Nyamongolo ila muda mwingine naye Magufuli alikuwa mbaguzi sn mpaka Mwanza anabariki zijengwe stend mbili za kisasa miji mingine haukuiona?
Acha ujinga maguful alkua na mipango mikubwa hakuwa na mawazo yaliyo jibana
@@LinusFrancis-rr8rwalikuwa mbaguzi kabisaa. Alisema kuwa kaskazin wasubiri kwa maana tayari imeshaendelea