ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
FUMAU MSHAIRI AWAKOSHA MASHABIKI WA YANGA NA SHAIRI KUIVAA RIVERS UNITED/"WAMEYAKANYAGA KWA MKAPA"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 เม.ย. 2023
- Hamasa za Wananchi Young Africans kuelekea Mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya Robo Fainali dhidi ya Rivers ambao utapigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.
Hamasa hizi zimefanyika maeneo ya Temeke Mwembe Yanga zikiongozwa na Meneja Habari na Mawasilino wa Yanga Ally Kamwe pamoja na Mkurugenzi wa Wanachama na Mashabiki Haji Mfikirwa.
Waoooooo daima mbele nyuma mwikoooooo💛💛💛💚💚💚💚🖤🖤🖤🖤🖤
Kaka hongela Sanaa uko vyema yanga oyeeeee
Huyu kijana ni tunu ya Kiswahili anastahiki kutnukiwa nishani ya kiswahili
Masha Allah
WOW wa kwe2 Wananchi huyu
💚🖤💚💚🖤🖤🖤💛💛💛💛💛💛💛💛
Jamani, Yanga tamu 🥰🥰
❤❤❤❤❤
Hatar sana kijana
HONGERA SANA YANGA AFRICANS KILA LA KHERI
Yanga tamu.
Hii yanga itatuuwa kwa rahaaa
💚💚💛
Yanga wanapaswa kushambulia na kudefend wote na keeper acheze corner na mipira yote kwenye Box
Waooooooo