Innalillahi wa inna ileyhi raji'un.. Allah Amrehemu ndugu yetu na Amuingize Jannatul firdaws...Mashekhe wetu tunawaomba mwafichue hawa wauwaji. Inaonekana kuna njama ya kumaliza wanaosilimu haswa wachungaji...itabidi mkae chonjo na mjaribu kuhakikisha usalama wa ma xpastors... hasbunallahu wa ni'mal wakiil
Tunamuombea Allah amjaalie jannatul fardaus.yeye ndo aliempenda zaidi na kumjalia husnul khatim.hio ni ibra kwetu Allah atujalie mwisho mwema sote.Aamin.
Inna lillahi wa inna illaihi rajiun...Ya Allah kwa mapenzi yako msamehe ndugu yetu Wahshy na uiweke roho yake pema peponi in Shaa Allah na umuepushie adhab kabri in Shaa Allah
INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAJIUUN.....Ameishi miaka mingi kwenye hasara Lkn ALLAH amempa mwisho mwema...!’ Ama hakika jamaa amefaulu ‘ ....ALLAH Ampe kauli thaabit....!....AMIIN
Inalillah waina ilahirajiun. Shekhe yahya awondugu zetu mumekua mukiwahoji live sirigwa za ndani kule walikotoka. Tena kwa mdamchache baada ya wao kusilimu. Mngewahoji kisiri siri paka moto wa upande wa pili ukapoa . Insha Allah mashekhe wetu mtajifuza kwa hili. Mola wetu mlezi ndiye mjuzi wa yote.
Mungu amuhifadhi mahali pema Inshallah na sheikh waziri Mungu akupe moyo wa ujasiri na akuhifadhi na shari yoyote. 'Irjii ilaa rabbika raadhiatan mardhiyyah' hakika sheikh wetu ndundthi ameregea kwa Allah akiwa radhi kabisa.
Allah awalipe kheri mashekh wetu awape umri mrefu nyote mlio msitiri kakaetu kipenzichetu nduguyetu tulimpenda lkin Allah kampendanzaidi imetuuma sana but ALLAH KAREEM.
INSHALLAH TUNAMUOMBA ALLAH AMUEKE NDUGU YETU MARHUM WAHSHY MAHALA PEMA PEPONI. TUNAMUOMBA ALLAH AWANUSURU WAISILAMU DUNIANI KOTE. TUNAMUOMBA ALLAH AWANUSURU MASHEKHE WETU NA WANAOINGIA KWENYE DINI YA ALLAH. TUNAMUOMBA ALLAH ATUEPUSHIE NA MAHASIDI. TUNAMUOMBA ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA
#INNALI LLAHI WAINNA ILEYHI RAJIOUN KWA HAYA YANAYOENDELEA YANANITIA HUZ'NI SANA..,😭😭😭 #NAMKUMBUKA SANA ABOUD ROGO.. #WAH'YISH ALLAH KAMPA IZZA NA NEYMA.KUBWA SANA.HATA WAENDELEE KUTUUWA SISI TUTAKUFA NA LAILLAHA ELA LLAH #MUHAMMAD RASUL LLAH☝🏻
YAA LAITA KAUMI YAALAMUUN BIMAAGHAFARALYY RABBY WAJAALANY MINA LMUKRAMIIN. HAYO INSHALLAH YAWE MANENO YA SHEKH WAHSHI NDUNDI KABURINI MWAKE. "LAITI INGELIKUA WANAJUA WATU WANGU '"AMENISAMEHE MOLA WANGU NA AMENIJAALIA NI KATIKA WALIONIKIRIMU" .
Inalilah Wainaileh Rajiun. Mungu àmjalie na ampe pepo ya firdaus. Maskini mara tu baada ya kuijua haki na kuingia katika dini ya haki mbele ya mwenyezi Mungu ameiaga dunia. Lakini kosa moja limefanyika kwa kutowashirikisha Polisi wafanye kazi yao ya uchunguzi ili adui ajulikane maana anaweza kuendelea na watu wengine muhimu katika dàawa na kuendeleza uislam ambayo wallahi ni kazi ngumu sana. Mungu atufanyie wepesi wote tulioguswa na msiba huu. Amin.
Innalillah wainna ilaih raajiun, Allah amjalie kaul thabit na alijaze Nuru kabr lake na twamuomba Allah amsamehe madhamb yake biidhnihi Lkareem. Aaamin
Allahu Akbar, Allah amrehemu ndugu yetu na amsahilishie makosa yake nasi atujaalie mwisho mwema, hakika Allah anamuongoa amtakaye kasilimu muda mchache, kauliwa kwa nia yake ya kutaka kutetea dini ya Allah, kapata shahada kabla ya mauti, haya yote yanaonyesha wazi Allah amemridhia mja wake, ila wale waliofanya hiko kitendo laiti wangejua uzuri wa waliomfanyia wahshy wasingetamani hata kujaribu kufanya hivo, na wangejua ubaya wa kitendo kwa upande wao wasingewa hata kujaribu kufanya hivo, rai yangu huyo Muhammad awe makini na hao watu wanaowafata kutaka mazungumzo nao Muhammad asikubali tena kukutana nao japo mauti ni ahadi lkn ajitenge nao
Allah akitupenda basi hutujaribu. Marehem umauti umemkuta hali yeye Muislam. Hili la kushukuru sana kilichobaki tuvute subira. Nasisi tuko njiani na kila mmoja atalipwa kwa alichochuma.
Walaatahsabana Allaha ghafilan ama ya3malu dthalimun most important thing amestirika Allah ampe makazi mema peponi na nyote wahadthiri muliomstiri wallahy jazza yenu kwa Allah
Hakika umepata mwisho mwema ndugu yetu Wahshiy...kauli zako na ujasiri wako ulionesha wazi kua ww uliukubali uislam.. Allah akulipe lililobora na uwe wa darja za juu za maswahaba waliojitolea uhai wao kwa ajili ya dini hii tukufu ya Uislam...tuna huzuni lkn tunafuraha pia maana umebahatika kupata lile tunaloliomba kila siku la husnil hatima.. inshallah na sisi tunaomba kwa Allah tupate mwisho mwema tufe tukiwa waislam.. Amiin.
ALLAHU AKBAR yani marehemu alikua na hamu kweli na kazi yake ya kutangaza uislamu na kutoa siri za makafiri , yarab mjaalie kauli thabit na umsamehe dhambi zake umjaalie janatul firdaus. Aameen aameen.
SubhanaAllah, Allah mustaani. Allah awalaani na awadhihirishe waliofanya. Uislamu InshaAllah utazidi kuenea na watu wataslimu makundi kwa makundi. Ndugiyetu Wahshy Allah akupe janaah. Allah ampe Akhy Wazir sabr na nyote.
Ni huzni kubwa katika jamii ya kiislam kumpoteza sheikh wetu ila ni mipango ya ALLAH, na kama kweli walimpa sumu itawagharimu in sh Allah, masheikh hapo napendekeza papite kisomo tu cha dua zakutejesha ubaya uliko toka na majibu tutayapata bi idhin llah taala
Amini allah ata kama aliuliwa walio muua pia nao watakufa akuna atakae ishii milele lazima kila mtu afe n kila mja amepangiwa kifo chake kwa hivio tuelewe kua n mpango wa allah tusije tuka kufuru zaidi
Innalillaahi wainnaa ilaihi rajiuun. Kama imeshathibitika kuwa aliuwawa na watu kwa namna moja au nyengine na hao watu wanajulikana waliompa vitisho vya kumuuwa hapo awali, basi twatakikaniwa tu take action kwa watu hao kwani damu ya muislamu ina thamani mnoo ktk uislamu. And ALLAH KNOWS BEST.
Simsitikii mwende zake ila najisikitia mimi na wewe , sisi tuliobaki nyuma . Alhamdullilah Allah kamjaalia khatima njema 😭😭😭😭Allah atujaaliye mwisho merman’s. MaybAllsh forgive his sins and grant him the Hoghest Paradise Al FIrdhaus. Amiin
Kifo Ni Haki..... InshaAllah amekufa shahidi......sisi tulobakia jee tunao uhakika tutakufa na shahada .....Allah ailaze pema roho yake palipo na wema.....innaa lillahi wainnaa ilayhi raaji3un
😭😭😭😭😭😭innalilah wainnaillah rajuiun Allah amekuhifadhi wahyshi tulikupenda sana sanaa lkn Allah alikupenda zaid kama kunamtu ameshirki ktk kuidhulum nafsi yako atamuadhir hapa hapa dunian
I wish waangelikuwa wamepeleka ripoti kwa polisi kuhusu hizo vitisho na hizo messages waoneshe as proof evidence kuwa kitakachotokea ni watu gani wakuchukuliwa hatua kali sana, still kama hizo messages ziko basi munaweza kuzipeleka na hatua ichukuliwe haraka iwezekanavyo
Inna lillah wainna ilahi rajioon, Allah ampe makazi mema peponi. Hakika huyu ni shahid na Allah ndie mjuzi, Najua COVID19 ipo Kenya na shinikizo la kuzikwa haraka litakuwepo kulingana na protocol zilizopo. Kulingangana na ripoti ya Dr, anasuspect marehemu alipewa sumu. Hapa kuna cases mbili kiutaam. 1. Mgonjwa kama alipewa sumu je Dr, alichukua vipimo vya damu au haja ndogo kwa ajili ya uchunguzi? Au alitumia visual assessment? Km hakufanya vipimo vya damu hapo kunatakiwa postmortem ifanyike japo kwa baadae iwapo Corona itatulia na gharama itakuwa juu kidogo ila suala hili linshitaji sheria yaani mahakamani. 2. Baada ya visual medical assessment, Dr alimchoma sindano km nimemsikiza vizuri ni adrenaline na kumpa vidonge viwili, je katika assessment yake alijiridhia marehemu hakuwa na allergy yoyote ya dawa alizompa? Mm kwa ujuzi km nimesikiliza vizuri hiyo adrenaline alitakiwa atumie baada ya reaction ya anaphylactic shock. Ila kila nchi huwa wana policies zao. Kwa hili inatakiwa report kamili ya Dr kujiridhia kuwa marehemu hakufa kwa reaction ya dawa alizopewa. Hili Dr asilamiwe sana ila anatakiwa awe muwazi kitaalam. Na hii humtokea mtu yoyote bila Dr kujua. Ila km alijua hapo ana case ya manslaughter kortini. Waislam tusichukulie kila kitu poa tu. Likipita hili kirahisi. Watafanya mengine makubwa zaidi wakijua hakuna uchunguzi ila kulalamika tu. Chukulieni hili jambo serious. Watafuteni madaktari bingwa wawashauri. Inshallah Allah atawapa ulinzi wahadhiri wetu na tujiepushe kula na kunywa kwa tusio wajua hasa watu muhimu.
Innalillahi wa inna ileyhi raji'un.. Allah Amrehemu ndugu yetu na Amuingize Jannatul firdaws...Mashekhe wetu tunawaomba mwafichue hawa wauwaji. Inaonekana kuna njama ya kumaliza wanaosilimu haswa wachungaji...itabidi mkae chonjo na mjaribu kuhakikisha usalama wa ma xpastors... hasbunallahu wa ni'mal wakiil
Mungu amuhifazi pia ampe kauli sabiti
Ammin
Naaa Allah ni mjuzi nanimwenyenguvu mwenye hekima mwenye kujua inshaallah amjalie makaz mema kaburini na siku ya kisimamo allahuma ameen
Tunamuombea Allah amjaalie jannatul fardaus.yeye ndo aliempenda zaidi na kumjalia husnul khatim.hio ni ibra kwetu Allah atujalie mwisho mwema sote.Aamin.
Mungu atawadhihirisha waliomuuwa lnshaAllah
Malipo ni hapahapa duniani
Allah awazamishe ndani ya moto wa uthuma
Kutoka ZANZIBAR,,ALLAH amjaalie pepo ya FIRDAUS amiin ila tumeondokewa waislamu.
Inna lillahi wa inna illaihi rajiun...Ya Allah kwa mapenzi yako msamehe ndugu yetu Wahshy na uiweke roho yake pema peponi in Shaa Allah na umuepushie adhab kabri in Shaa Allah
😢😢😢Innalillah wainna ilayhi rajiun Allah alifanye kaburi lako liwe bustani miongoni mwa mabustani ya pepon yaa Rabby
We may not find justice for our deceased brother here in the world but i have a full trust in the hands of the almighty inshallah 😭😭😭
Shk U r right we wil nt find justice lets us leave in the hands of Most powerfully Allah lnsha Allah
INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAJIUUN.....Ameishi miaka mingi kwenye hasara Lkn ALLAH amempa mwisho mwema...!’ Ama hakika jamaa amefaulu ‘ ....ALLAH Ampe kauli thaabit....!....AMIIN
Wallah tena Amiyn
Inalillah waina ilahirajiun.
Shekhe yahya awondugu zetu mumekua mukiwahoji live sirigwa za ndani kule walikotoka. Tena kwa mdamchache baada ya wao kusilimu. Mngewahoji kisiri siri paka moto wa upande wa pili ukapoa . Insha Allah mashekhe wetu mtajifuza kwa hili. Mola wetu mlezi ndiye mjuzi wa yote.
Mungu amuhifadhi mahali pema Inshallah na sheikh waziri Mungu akupe moyo wa ujasiri na akuhifadhi na shari yoyote. 'Irjii ilaa rabbika raadhiatan mardhiyyah' hakika sheikh wetu ndundthi ameregea kwa Allah akiwa radhi kabisa.
Allah awalipe kheri mashekh wetu awape umri mrefu nyote mlio msitiri kakaetu kipenzichetu nduguyetu tulimpenda lkin Allah kampendanzaidi imetuuma sana but ALLAH KAREEM.
INSHALLAH TUNAMUOMBA ALLAH AMUEKE NDUGU YETU MARHUM WAHSHY MAHALA PEMA PEPONI. TUNAMUOMBA ALLAH AWANUSURU WAISILAMU DUNIANI KOTE. TUNAMUOMBA ALLAH AWANUSURU MASHEKHE WETU NA WANAOINGIA KWENYE DINI YA ALLAH. TUNAMUOMBA ALLAH ATUEPUSHIE NA MAHASIDI. TUNAMUOMBA ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA
AMIIN YAA RABBAL AALAMIIN!!!!!!!
Àaameen
اللهم اغفر له وارحمه وعافه واعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء والثلج والبرد ونقه من الخطايا كما ينق الثوب الأبيض من الدنس
Amin
Allahumma Amin
Amiin
أمين يارب، إن لله وإن إليه راجعون، لا تحرمنا اجره ولا تفتينا بعده ورزقنا وإياه الفردوس الأعلى
Allah amrehemu wallah mwingize Katika pepo yake ya firdaus pamoja Na Mtume Muhammad (s.a.w)
Ameen
Subhanallah..innalillah wainnailayh rajiuun Allah amjaalie PEPO nac atujaalie mwisho mwema
Amiin 🤲
Amiin
Background instrumentation imeharibu sauti ya waongeaji haisikiki vizuri.
Ni kweli video haisikiki vizuri na vinanda vya background
Next jaman musiweke vinanda vinaharibu sana na hatusikii
So sad wallah nimeumia mnoo! Upumzike kwa amani Ndundi wetu inshallah
#INNALI LLAHI WAINNA ILEYHI RAJIOUN
KWA HAYA YANAYOENDELEA YANANITIA HUZ'NI SANA..,😭😭😭
#NAMKUMBUKA SANA ABOUD ROGO..
#WAH'YISH ALLAH KAMPA IZZA NA NEYMA.KUBWA SANA.HATA WAENDELEE KUTUUWA SISI TUTAKUFA NA LAILLAHA ELA LLAH
#MUHAMMAD RASUL LLAH☝🏻
MashaAllah may Allah grant you the highest jannah Amin
YAA LAITA KAUMI YAALAMUUN BIMAAGHAFARALYY RABBY WAJAALANY MINA LMUKRAMIIN. HAYO INSHALLAH YAWE MANENO YA SHEKH WAHSHI NDUNDI KABURINI MWAKE. "LAITI INGELIKUA WANAJUA WATU WANGU '"AMENISAMEHE MOLA WANGU NA AMENIJAALIA NI KATIKA WALIONIKIRIMU" .
اللهم اغفرله وارحمه وعافيه واعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله واغسله بالماء الثلج والبرد ونقهه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس ، اللهم اجعل قبره روضة من رياض الجنة ...
Ndundi Allah amrehemu amesliimu kisha kaafa shahid Allah anampenda sana
Dah ana bahati sjjapata kuona
Subhanallah. Allah akulipe firdaus. N aAllah aisimamie family yake na Allah awalipe kheri mashekhe mlioshiriki kikweli kwa ajili ya mwenzetu.
Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habu yamiin ampe kauli thabit Amiin yaarab
Inalilai wainalrajul inasikitsha allah amjalie mlango wa pepo
Inalilah Wainaileh Rajiun. Mungu àmjalie na ampe pepo ya firdaus. Maskini mara tu baada ya kuijua haki na kuingia katika dini ya haki mbele ya mwenyezi Mungu ameiaga dunia. Lakini kosa moja limefanyika kwa kutowashirikisha Polisi wafanye kazi yao ya uchunguzi ili adui ajulikane maana anaweza kuendelea na watu wengine muhimu katika dàawa na kuendeleza uislam ambayo wallahi ni kazi ngumu sana. Mungu atufanyie wepesi wote tulioguswa na msiba huu. Amin.
Innalillah wainna ilaih raajiun, Allah amjalie kaul thabit na alijaze Nuru kabr lake na twamuomba Allah amsamehe madhamb yake biidhnihi Lkareem. Aaamin
😢😢😥😥😥😥😥😥😥 innaa lillah wa innaa ilayh raajiuun Allahu Akbar...... Walaa yadhwlimu rabbuka ahadaa
Mpaka raha pamoja nskua ni msiba,a to a shahada mashallah
Allahu Akbar, Allah amrehemu ndugu yetu na amsahilishie makosa yake nasi atujaalie mwisho mwema, hakika Allah anamuongoa amtakaye kasilimu muda mchache, kauliwa kwa nia yake ya kutaka kutetea dini ya Allah, kapata shahada kabla ya mauti, haya yote yanaonyesha wazi Allah amemridhia mja wake, ila wale waliofanya hiko kitendo laiti wangejua uzuri wa waliomfanyia wahshy wasingetamani hata kujaribu kufanya hivo, na wangejua ubaya wa kitendo kwa upande wao wasingewa hata kujaribu kufanya hivo, rai yangu huyo Muhammad awe makini na hao watu wanaowafata kutaka mazungumzo nao Muhammad asikubali tena kukutana nao japo mauti ni ahadi lkn ajitenge nao
Inna lillahi wainna ilayhi rajiun. Sisi hapa kutoka London UK, tunasikitika sana na Allah amweke mahali pema peponi.
SubhanaAllah kulnafsi zaikatulmauti Allah sw ndio anae jua yote. Yeye mbele na sie nyuma yake.
Inna Lilahi Wa Inna Ilaihi Rajiun, Allah ampe rehma na amuifadhi kwenye kaburi lake na kesho akhera, Amiin Thumma Amiin
Inna lillah wainalillahi rajau'n Alhamdulillah akafariki akiwa mwislamu Allah amjalie pepo Ameen 😭😭😭😭
Allah akitupenda basi hutujaribu.
Marehem umauti umemkuta hali yeye Muislam. Hili la kushukuru sana kilichobaki tuvute subira.
Nasisi tuko njiani na kila mmoja atalipwa kwa alichochuma.
Mwenye ezi mungu ampe janatul fardos inn shaa Allah
Amina lnshaAllah
SubhanallaMungu amuingize peponi Muhamad asivunjike moyo amtegemee Allah ndio kila kitusote tunakufa Mashallah amekufa kwenye hali nzuri
Walaatahsabana Allaha ghafilan ama ya3malu dthalimun most important thing amestirika Allah ampe makazi mema peponi na nyote wahadthiri muliomstiri wallahy jazza yenu kwa Allah
😭😭Allahummaghfirlahu warhamhu waskin hu fil jannah😢
Inalillahi wa ina ileyhi rajiuun Allah bless him with janatulfirdaus Ameen
Inna lillahi wa Inna ilayhi raji'un ta allah mlaze shekhe wahshi pahala pema na umthabiti katika qauli thabiti ameen.
YAA ALLAH MPE MWISHO MWEMA NA JANNATULFIRDAUS DA"AWAH GROUP ALLAH AWALIPE KWA KHERI KWA KAZI NZURI MNAYOFANYA
Hakika umepata mwisho mwema ndugu yetu Wahshiy...kauli zako na ujasiri wako ulionesha wazi kua ww uliukubali uislam.. Allah akulipe lililobora na uwe wa darja za juu za maswahaba waliojitolea uhai wao kwa ajili ya dini hii tukufu ya Uislam...tuna huzuni lkn tunafuraha pia maana umebahatika kupata lile tunaloliomba kila siku la husnil hatima.. inshallah na sisi tunaomba kwa Allah tupate mwisho mwema tufe tukiwa waislam.. Amiin.
ALLAHU AKBAR yani marehemu alikua na hamu kweli na kazi yake ya kutangaza uislamu na kutoa siri za makafiri , yarab mjaalie kauli thabit na umsamehe dhambi zake umjaalie janatul firdaus. Aameen aameen.
SubhanaAllah, Allah mustaani. Allah awalaani na awadhihirishe waliofanya. Uislamu InshaAllah utazidi kuenea na watu wataslimu makundi kwa makundi. Ndugiyetu Wahshy Allah akupe janaah. Allah ampe Akhy Wazir sabr na nyote.
Ina Lilahi wa Ina Ileyhi Rajiun. Insha Allah abarikiwe kaburini na aingie Janatul Firdaws. امين يارب
انا لله وانا اليه راجعون اللهم اغفر له وارحمه وعافه واعف عنه ووسع مدخله واكرم نزله.
May ALLAH reward him JANNAH.
Ni huzni kubwa katika jamii ya kiislam kumpoteza sheikh wetu ila ni mipango ya ALLAH, na kama kweli walimpa sumu itawagharimu in sh Allah, masheikh hapo napendekeza papite kisomo tu cha dua zakutejesha ubaya uliko toka na majibu tutayapata bi idhin llah taala
Wallah thumma wallah wameshindwa kutetea hoja kwa maandiko wameona watumie nguvu kuuwa ...ikhwaan mushahidina muwe makin sana na hawa makufaru....Allah ampe kheir qaburin kwake ampe qaul thabit akhy yetu nimeumia sana
I felt sad wallahi, mungemfanyia hiyo pasmoter tukajua kilichomuua,
Allah amjaalie kauli thabit lnshaAllah 😭😭😭😭
Nivizuri kumstiri hakika postmortem ya kweli na haki ipo kwake Allah, hakika kila jambo litakua dhahiri siku ya malipo, tuombe subira kwake Allah
...yaitwa post mortem
Amini allah ata kama aliuliwa walio muua pia nao watakufa akuna atakae ishii milele lazima kila mtu afe n kila mja amepangiwa kifo chake kwa hivio tuelewe kua n mpango wa allah tusije tuka kufuru zaidi
Zena kadiara swadakta
اللهم اجعل قبرها روضة من رياض الجنة
Allah amsamehe na amrehem amjalie pepo
Inna lillahi wainna ilayhi rajiuun
Allah amsamehe madhambi yke n amjaalie janatul Firdaus,,, Allahumma amiin y rabbal aalamiin
Amiinna inshallah mungu awajalieni pepo Amina👍
Innalillahi wainna ilayhi rajiun, Allah amlaze pema penye wema Inshallah😭😭😭
Mungu amweke mahali pema peponi.Mungu amekupenda zaidi
innalillah waiynnailaiyh rajiun inasikitisha sana ila allah ndo hakimu wa hili jambo
Sauti ya background iko juu maneno hayasikiki vizuri
اللهم اغفر له وارحمه، وعافه ،واعف عنه ،وأكرم نُزُله ، ووسع مُدخلهُ ، واغسله بالماء والثلج والبرد ، ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس ، وأبدله داراً خيراً من داره ، وأهلاً خيراً من أهله وزوجاً خيراً من زوجه، وأدخله الجنة ،وأعذه من عذاب القبر (ومن عذاب النار)
الله يغفرله ويرحمه ويدخله جنة الفردوس
SUBHANALLAH WALHAMDULLILLAH WA LAILAHA ILLA ALLAH ALLAH HUAKBAR
tunamshukuru allah kwa mwisho wa wahashi ila bado tunalia sana kiwa nijambo lamtu basi nae atamfata2 wala hataishi milele
INALLILLAHI WAINAILLEHI RAJIUUN mwenyezi mungu mpe rahma
Innalillah wainaillaih rajiun Mungu ailaze roho yake mahali pema Peponi Ameen yarabil Aalamin
Assalam aleikum.tusimsikitikie al marhum...bila shaka yeye ni shahid.kwa kuwa amesilimu si mda mrefu na nia yake ilikuwa safi.Allah amrahamu.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raajiun. Miujiza ya Allah mwisho wa safari kafa akiwa muislamu. May Allah grant him Jannat Firdaus.
Allah ajalie heri nuru amsamehe madhambi yake na amjalie pepo inshallah
Allah mpe kauli thaabit na umzawadie jannatul firdaus. AAMIN
Innalillaahi wainnaa ilaihi rajiuun. Kama imeshathibitika kuwa aliuwawa na watu kwa namna moja au nyengine na hao watu wanajulikana waliompa vitisho vya kumuuwa hapo awali, basi twatakikaniwa tu take action kwa watu hao kwani damu ya muislamu ina thamani mnoo ktk uislamu. And ALLAH KNOWS BEST.
Ina Lillahi waina Ileyhi Rajicun, So sad 😞 to know the death of our fellow Muslim, May Allah grant him the highest ranks of jannah 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Amiin
SubhannaAllah
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
MOLA ATATUPA BADALI IN SHA Allah
Pia hali ikisha tulia andaendi mihadhara ili Muhammad awepo afikishe ujumbe ambao walitaka kuufikisha yeye na marehemu Wahshy
Simsitikii mwende zake ila najisikitia mimi na wewe , sisi tuliobaki nyuma . Alhamdullilah Allah kamjaalia khatima njema 😭😭😭😭Allah atujaaliye mwisho merman’s. MaybAllsh forgive his sins and grant him the Hoghest Paradise Al FIrdhaus. Amiin
اللهم امين
Mungu amueke mahali pema peponi yarabb
Mungu akueke pema poponi shek akukutanishe na kipenzi chetu
Kifo Ni Haki..... InshaAllah amekufa shahidi......sisi tulobakia jee tunao uhakika tutakufa na shahada .....Allah ailaze pema roho yake palipo na wema.....innaa lillahi wainnaa ilayhi raaji3un
ALLAH amjaalie ndugu yetu jannat firdaus inshaallah
Innalillah waina ilaihi raji'un, Allah ampe mafikio mema in sha Allah
Inna lillah waina lillah llajuni yaa Allah msamehe mjawako makosa yake msamehe mjawako hakika kaona haki
Mda huu ukifariki tu inasemekana ni corona..that's why the killers took advantage to accomplish their mission.. Truth will prevail inshaAllah..
DA UKISIKIA HUSUNU LLHATIMA NDIO HII ALIEIPATA NDUGUYETU WAH SHII ALLAH AMLEHEM
Naam
Am jealous for him
Masha Allah, Allah amewapenda na huchagua watu wake, kamtoa wapi na kampa firdaus. Allah Akbar.
ألله يرحمه شهيد وحشي
Mungu ndo anajua ni mfuasi wa mtume Muhammad (s.a.w) Allah amjalie pepo Amin
Amina lnshaAllah
Sub hana llah very sad Allah amswamehe alifanye kaburi lake kua miongoni mwa nyumba na makaz y peponi
Dah mungu ampe kauli thabit kweli mwenzetu amekua na mwisho mwema
😭😭😭😭😭😭innalilah wainnaillah rajuiun Allah amekuhifadhi wahyshi tulikupenda sana sanaa lkn Allah alikupenda zaid kama kunamtu ameshirki ktk kuidhulum nafsi yako atamuadhir hapa hapa dunian
Innalillah wainnailaihir rajiun 😢😢😢😢😢
I wish waangelikuwa wamepeleka ripoti kwa polisi kuhusu hizo vitisho na hizo messages waoneshe as proof evidence kuwa kitakachotokea ni watu gani wakuchukuliwa hatua kali sana, still kama hizo messages ziko basi munaweza kuzipeleka na hatua ichukuliwe haraka iwezekanavyo
اللهم أحسن عاقبتنا في الأمور كلها
Allahumma nghfir lahuu warhamhu
Innaa lillahi wainna ilayhi rajiuunn...😭
ALLAH amuweke pahali Pema peponi , na awape subra familia yake, ni uzuni mkubwa kama wamemua basi ALLAH atuthirishiye.
Innalillaah wainna ilayh rajiuun,Allah akurehemu ndugu yangu amiiiin
Allah atamlipia na nyinyi Allah atawaifadhi
ALLAHUMMA AMEEN
Inna lillah wainna ilahi rajioon, Allah ampe makazi mema peponi. Hakika huyu ni shahid na Allah ndie mjuzi,
Najua COVID19 ipo Kenya na shinikizo la kuzikwa haraka litakuwepo kulingana na protocol zilizopo.
Kulingangana na ripoti ya Dr, anasuspect marehemu alipewa sumu.
Hapa kuna cases mbili kiutaam.
1. Mgonjwa kama alipewa sumu je Dr, alichukua vipimo vya damu au haja ndogo kwa ajili ya uchunguzi? Au alitumia visual assessment? Km hakufanya vipimo vya damu hapo kunatakiwa postmortem ifanyike japo kwa baadae iwapo Corona itatulia na gharama itakuwa juu kidogo ila suala hili linshitaji sheria yaani mahakamani.
2. Baada ya visual medical assessment, Dr alimchoma sindano km nimemsikiza vizuri ni adrenaline na kumpa vidonge viwili, je katika assessment yake alijiridhia marehemu hakuwa na allergy yoyote ya dawa alizompa? Mm kwa ujuzi km nimesikiliza vizuri hiyo adrenaline alitakiwa atumie baada ya reaction ya anaphylactic shock. Ila kila nchi huwa wana policies zao. Kwa hili inatakiwa report kamili ya Dr kujiridhia kuwa marehemu hakufa kwa reaction ya dawa alizopewa. Hili Dr asilamiwe sana ila anatakiwa awe muwazi kitaalam. Na hii humtokea mtu yoyote bila Dr kujua. Ila km alijua hapo ana case ya manslaughter kortini. Waislam tusichukulie kila kitu poa tu. Likipita hili kirahisi. Watafanya mengine makubwa zaidi wakijua hakuna uchunguzi ila kulalamika tu. Chukulieni hili jambo serious. Watafuteni madaktari bingwa wawashauri. Inshallah Allah atawapa ulinzi wahadhiri wetu na tujiepushe kula na kunywa kwa tusio wajua hasa watu muhimu.
Innalilah wainna ilaihy rajiun, wamemuua ndio, lkn hawajui kafia kwenye dini ya haki, kesho kwa Allah wanayomajibu
Amen .
Innan lillahy wa inna hillahy rajirun 😭 😭 😭 😭 😭
Allah ampe darja ya juu Darja ya mashahidi Aamin