Kazi njema wapwa, tujitahidi kuzingatia maandishi kabla ya kupeleka Yyoutube. Huyo mama hapo anaitwa Mwanahela Salum. Ni kumkosea kuweka jina tofauti. rekebisheni hilo tafadhali
Aisha Swalleh atampa saa ngapi ndivyo alivyokwambia? mbona zengine yuwampa mwenyewe mkononi!pengine naeza unga mkono mwenye amesema hakuiba Bali alizochukua kaambiwa na waliompa ni zake
mama kipenzi wa wengi penda xana nyimbo zako watching from Kenya toto la kipwani hapa
Loice Bushuti me also dada from 254
Masha Allah bi mwanahela wimbo watoa nyoka pangoni mtamu alo nao anitumie plz.
MWANAHALIMA MWACHILI unazitaka nyimbo zake
mashaallah tabaraQillah Mama mwanahela Mungu ampekilalakheir..Afya njema Inshaallah
Legend😍😘
Jina lake halisi ni MWANAHELA SALUM, Mumewe ni MUSSA MAJENGO ambae wanafanya kazi pamoja GOLDEN STARS TAARAB YA TANGA BARABARA 14.
SIO MWANAHAWA ALLY
Yuko huyu mum jaman
this show was classic👌
Nice jux
Old is gold
mm nailimuona alirudisha duuuh wabongo I say noma
Mmmhh bimwanahela weeee!!
acha kuiba hela sio vizuri
محمدmashaAllah Alhamdulilah احمد aa
Mwenye link ya wimbo huu tafadhari tusaidiane.
mwana umetisha umekomesha pesa za watu
Frank Kanyara hahahahahhaha
Maashaalah umenikosha hadi basi
Salum
heshima ya mama
napozisikia nyimbo za huyu mama nafarijika sana
Matchachari haya
Jux leo amekuwa mpwani
JUX BILA AIBU UNAMUIBIA PESA MAMA WA WATU,, DAAAHHH DAKIKA 07:05 na 07:07. SIO VIZURI KABISA
kweli kabisa anahamisha mikono
zaman kulikuwa na viumbe aisee!
Kazi njema wapwa, tujitahidi kuzingatia maandishi kabla ya kupeleka Yyoutube. Huyo mama hapo anaitwa Mwanahela Salum. Ni kumkosea kuweka jina tofauti. rekebisheni hilo tafadhali
yani ninavyompenda bi mawanahera nishidaa
Anaitwa mwanahela salim sio mwanahawa ally
kwakweli bi Mwanahela si mchezo
Jamani nauliza tu huyu mama nilimskia nikiwa mdogo kwani kabila gani maana hatari xana
Jux bhana
Jamani huyo kijana hanahata haya anachukuwa pesa akieka mfukoni tabia ozaa
xawa wote mwana bt tafautxha kat ya hawa na hela ucbdlxhe majina apa
jux hapo mbele veepe
hiyo veepe veeepeee
jamani tuelewe huyu mama ni mlemavu so jux amechukua hiyo pesa kumuwekea akishuka jukwaani atampa
Aisha Swalleh atampa saa ngapi ndivyo alivyokwambia? mbona zengine yuwampa mwenyewe mkononi!pengine naeza unga mkono mwenye amesema hakuiba Bali alizochukua kaambiwa na waliompa ni zake
Aisha Swalleh 😂😂😂😂😂
kulingana bi mkubwa mwenyewe kw stage hakuwa hata na clutch
Aisha Swalleh aisee wamtaftie wheelchair atleast akihidhuria sehem inamsupport
Ni kweli jux ni kibaka hana hata aibu
ahhaha jux anatafuta kiki
jux unaib Pesa za watu😂😂😂😂
umeona hee nilidhani macho yangu
hakuiba jmn kaambiwa ya kwake lool
yani kweli hana ata aibu kaeka ela mfukoni mtoto mroho sana uyo mshamba hafkrii kama aonekana dunia zima shame on you na mama kajua
Atampa jux hana njaa