Hisia za mtu na alichosema uyo unju ni tofaut sana.... Ni obviously kwamba ata uyo nick mbishi amependa ....,mbona mabeste ameenda live mamb ni ya mapenz??
Wewe kijana tafuta pesa acha ujinga unampenda mtoto mzuri kama abby huna hela unategemea nini? Mtoto wa kishua utamweza wewe huna hata mia . Mjinga kweli wewe. Katafute pesa utafute anayefanana na wewe jinga wewe.
Yuko sahihi @victoriajoachim7271, Abby, is the celebrity most influenced. Hapo jamaa ashuru Mungu kama anaakili Abby anampenda mwana kwa hiyo anampa gep ajitafute. Kumbuka mapenzi ya Harmo na Wolper ilivyompa Harmo hasira ajitafute. We have to learn when you're red flagged my people tujiongeze.@randomclips5474
Kwn nyie vp mbn makasiliko sana kwhy siku hizi kupenda hadi uwe na pesa daaah mnashangaza kwl yaaan kuna mtu hap anamtukana mwenzake yeye hana hata mia na anampenzi ok bc tufanye me ni mpenzi wako alafu nikwambie tuachane kisa huna hela neno la kwanza kutamka utasemaje😮😮 jinga kbc kakojoe ulale huko bola hata mwenzako ni star ⭐ anafahamika ww nan anakufaham ukitoa wazaz wako chefuuu tutolee kelele kwendraaaa😏😏😏
Kwa anayejua maumivu ya mapenz hawez kumcheka huyu jamaa zaid atamuhurumia
Waliopata funzo gonga like 👍 apa
Kam bahati yko utaipat tu kaka mapenz Co pesa mapenz ni strong feeling God be with you forever more..🙏
Mm niko Moçambique uko mzee pole sana mm najua maumivu ya mapenzi
Mapenzi hayachagui Tajiri au Maskini msichukulie vibaya Toxic, mchizi Toxic yupo Sawa Kwan pesa kitu gani apunguzen kuabudu pesa.
Nunca pense que seu amor é impossível, nunca diga 'eu não acredito no amor'. A vida sempre nos surpreende😢😢😢
Baba hauja kubaliwa unalalamika😂
Nakubali sana Toxic umeongea kilichopo moyoni💘....muwazi yani🙌😄
Pole sana kakaangu
Narudia unaweza komaaxnaa na kipaji chako kuna ki2 Umefungiwa kwenye box,
Jamaa namkubali sanaa ..Ila harmize awez kutoboa nae
Yaan hizi hela!....Aisee tutafute hela wazee
Sali sana kaka😅
Acha ujinga Rudi kijijini tafuta demu, harmo ipo.... Umesha ona ndege mzee.
Bro sahau
Nakukubali sana Toxic ..yule dem myb angekuzingua koz ashaonesha anatamaa ndogo ndogo
Tunashukuri😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢
Watoto wa elfu mbili wanataka mtu wa kumnunulia Gari hawataki madogy 😂😂
🤣🤣
daaah
Toxic unajua kwenda na kick sana
Bro nibora uchezetu single yake konde , hajajiimbiya yeye pekeyake bro. Alafu ukishapata mwengine cheza sasa nimependa tena yake konde 😂😂💔💔💔💔💔💔
Haaa 😅
Kwel toxic tafut ela brooh hao madem wapo san mzee acha kulialia
Mwaume wa hip hop wakulialia.... Wewe demu kweli
Demu wa kawaida usipagawe fanya mambo mengine,,,,, we bado chalii xnaa
Si Ushawahi Kusem Kuna Watu Uwaone Mwakanii Sas Na Wew Atukuoniii😂😂😂
bombo cluuuuuuuu
Subiri kesho zamu yako 😂😂😂😂
Konde endelea kujimenyea tundaaa
Aendelee kufanya nn?? 😂😂
Sarafina usilegeze macho utaniumiza mpenzi af ujue jana nililala nikakuota, nikakuwaza😂.
Mwisho wa siku huyo harmo anachezea anamuacha, halafu ndo anskumbukwa myu km huyu ambapo muda huo huyu anakua amesha move on na kafanikiwa
Leo ndio nmeamini alichosema unju bin unuki kwamba kuna hiphop ngumu halisi af kuna hawa madogo wa hiphop chips mayai
Hisia za mtu na alichosema uyo unju ni tofaut sana.... Ni obviously kwamba ata uyo nick mbishi amependa ....,mbona mabeste ameenda live mamb ni ya mapenz??
@mchox1679 kupenda sio tatizo, ila shida nmfanya hiphop kujiliza kama msani wa bongo fleva, itakua umeelewa soma ssa
Tafuta pesa kaka
toxic Ni mwanaflani hivi namkubali sana
Uy mwandish jau nae
Badala ya kumpa demu mimba ukampa mbwa, pumbavu kabisa.
Ni haki yake akukimbie.
Buraza niuzie huyo nimchinje.
Endelea na Maisha dogo kama ni wako mpe muda,usiache kutongoza wapo wengine wengi kama na zaidi yake
Tafuta anayekupenda usipoteze muda wako.
sasa wa kwenda Kwa giggy ni konde au ni wewe mzee Cha kufanya we ndo umtafute giggy
Toxic mm nakubali kaka mchane huyo harmonize anakuingiliaje kwenye penzi lako
Live kak mchane kazingua kinoma harmonize
Wewe kijana tafuta pesa acha ujinga unampenda mtoto mzuri kama abby huna hela unategemea nini? Mtoto wa kishua utamweza wewe huna hata mia . Mjinga kweli wewe. Katafute pesa utafute anayefanana na wewe jinga wewe.
kwaiyo haturuhusiwi kupenda wakishua?? acha ujinga 😂 love isn't about money MF 💔
Yuko sahihi @victoriajoachim7271, Abby, is the celebrity most influenced. Hapo jamaa ashuru Mungu kama anaakili Abby anampenda mwana kwa hiyo anampa gep ajitafute. Kumbuka mapenzi ya Harmo na Wolper ilivyompa Harmo hasira ajitafute. We have to learn when you're red flagged my people tujiongeze.@randomclips5474
Kweli uyu mwamba anajicholesha bule tu mitandaoni iyo lak Tano tu ya mbwa kabandika na den bado halijaisha abi atamuwezakwer😆
Wajinganyinyi ko kupenda kakosea wewe toka umeza kutafuta hela unashingap au unamzidi hela mbona wewe huna hela unamahusiano
Kwn nyie vp mbn makasiliko sana kwhy siku hizi kupenda hadi uwe na pesa daaah mnashangaza kwl yaaan kuna mtu hap anamtukana mwenzake yeye hana hata mia na anampenzi ok bc tufanye me ni mpenzi wako alafu nikwambie tuachane kisa huna hela neno la kwanza kutamka utasemaje😮😮 jinga kbc kakojoe ulale huko bola hata mwenzako ni star ⭐ anafahamika ww nan anakufaham ukitoa wazaz wako chefuuu tutolee kelele kwendraaaa😏😏😏
Please guys leave hamo alone. I don’t understand why we do Black people rude hate each other so much.
Tanzania 😂
😂😂😂😂
Good looking compared to Konde..😢
Mwambiye atafute hela aache ujinga
Yani hatakama hutaki kugaria watu wanakutumia wanakukomesha sana