Hongereni Sanaa Millard ayo na Ayo tv,,mmekuwa Kila mahali penye habari na matukio yakweli,,kwelii kidogoma inafungukaa maana hataa barabara za mijini zinajengwa kwa wingii.
Hao idara ya maji wanajua wanachofanya maji yapo mengi tu kuvuta inakuwa vigumu je hao kwa hiyo akili na wizi wa Bill tungetemea maji ya bahari kama nchi nyingi ingekuwaje .
Hongereni Sanaa Millard ayo na Ayo tv,,mmekuwa Kila mahali penye habari na matukio yakweli,,kwelii kidogoma inafungukaa maana hataa barabara za mijini zinajengwa kwa wingii.
Kigoma oyeeee
Hao idara ya maji wanajua wanachofanya maji yapo mengi tu kuvuta inakuwa vigumu je hao kwa hiyo akili na wizi wa Bill tungetemea maji ya bahari kama nchi nyingi ingekuwaje .
Du waafrica alie turoga kashakufa sasa icho ndo chakushangaa c vitu vya miaka 47
Asante milard
Wanakigoma hapo hawakawii kuwaona wakishinda siku nzima wakiangalia sinema ya matangazo ya biashara 😅
Kweli kigoma mnafurahiya matangazo badara mkadaii viwanda wahaaaa mmepooooaaaaaa
😂😂😂😂kigomaaaa,icho si cha sebuleni??
Jamani,mtafanya watu watagongwa,ajali zitazidi hapo
Ila Millard acha utani, hv kweli hiyo ndo habari au umeamua kutumia MB zetu? But kigoma hongereni
Wacha weeeee!!!
Acha usenge Ayo