KAZI IMEANZA MCHUNGAJI USO KWA USO NA Muhubiri Mwaipopo # PART 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya TH-cam ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Maashalah allahu akbar Allah akulinde shekhe mwaipopo mkono kwa mkono mpaka pepon inshAlah.
Mashalah shk Mwaipopo Allha akujaalie na akupe ujasiri wa kutangaza dini ya uislam vyema akuepushe na mahasidi na wanaokushafua
Hakika ya Allah ndie mjuzi wa yote
Usijali kuchafuliwa kwake mungu anampunguzia dhambi ana mpandisha daraja mungu atawalinda wahadhiri wote ishaallah
Mashaalllah
Aaminy yaraby allah ataleta heri
Inshaallaa M,mungu mkubwa Mambo yatakuwa tu
M,mungu ajalie iwe kama zile dibeti za akina Yusuph Wambugu,wa Kenya,ina wekwa mada ,mwenyekiti anatoa DAkika,kila anacho zungumza, Aya,hakuna maoni ya mtu,akizumza kitu ushahid
Ya Allah Wa fanyie wa pesi wahione haki
In shaa Allah mwenyezi mungu awafanyie wepesi hao wachungaji wasilimu.
Mwaipopo irudi wewe ulikuwa mkroto mchanga elimu ilikuwa haipo mjin unayo mwaipopo
Mashalah shk Mwaipopo Allha akujaalie na akupe ujasiri
Tunasubiria uwendelezo inshallah
Binafsi Wahadhiri Nawakubali Sana, Tena ni wote, Waliozaliwa ktk Uislam na Waliotokea ktk Ukristo. Wanapokuwa Ulingoni Hawa. Ht Aje Pastor, Padri, Papa, Cjui Nani Akikutana na Hawa tu. Kwisha Kazi. (M /mungu azidi kuwaongoza na atuongoze sote.)
❤️✍🏾
Safi sana sheik Mwayipopo muringaniniya uyo mucungaji ayione haki
Amejua ukwli ila tumbo bro ndio inakusumbua tu
mashaAllah...safi sana
Muendelezo jamani please patamu hapa nasia nisilali
Namba ya kuchangia tumeiona inshallah tupo pamoja
Ishaallah
ALLAH ALETE KHERI MAANA KAOMBA AFINGIWE MEDIA ISICHUKUE MANENO YAKE.
Sasa mbona hadith imeishia njiani shekhe
Muendelezo sheikh
Sheikh mbona mmeikata tena, mwendelezo tafadhali.
Muendelezo sheikh
Muendelezo
Muendelezo please
Yarabi akulinde, MWAIPOPO
Amine
Dah mmekata sehemu ambayo inatamanisha kusukia, sijui
mchungaji amepapatua vipi maana ana mkwara. Najua hatoki hapo.
😂😂😂 apo kunamajibu watakosaga anayeyajuwa ni popo wa room tu awo wapingaji wakikirisu wananiuwaga sana
Ndugu yenu anapewa darasa unajua mwaipopo ni mtu mzima na oja zake mchungaji ameomba amsaidie kwamaana ni za kitoto
Haaa!! Kumbeee mama alikuwa mwisilmu huyu maroho ya upande wa mama alimvaa akuweza kuyakemea shetani mtu yoyote aliyemuhacha lazima atamfatilia tu Yesu amsaidie aludi kwenye njia ya kweli ya Yesu
@@prochesernest5439 kabisaa
@@prochesernest5439
Pole Sana watu wanapenda uwe una ushahidi kwa hayo maneno yako
Ulikuwa mkristu siyo mkristo! Na bado hujui habari za uzima wa milele maana Yesu kristo ndiye mwokozi- YOHANA 14;6-9
Hapo umekalilishwa
We nimuisolam kabisa sheikh wambiye nayesu kataja Muhamadi kama atakuja kwa abari yahaki zambi na hukumu mubibilia uwaonyeshe vimeja nikibao na uswambiy jinsi paulo njomutume yesu alitabiri atakua muongo nayeye meenyewe anajiita mutume washetani badala yakufunulia ok
Rudi shule
Andiko lipi Tena yaani raisi amtabiri mtendaji WA nyumba kumi wapi na wapi?
@@luganomwaisumo1938 kabisaa maana wanakoelekea watakua machizi
@@josephwilliam5813 huyu jamaa vigezo anavyodai vimtoa katika ukristo avieleweki ninamashaka alikutata kwenye ukristo awaluhusu ndoa ya wake wengi ukisikia mchungaji Kawa shekh akaowa wanawake wengi
@@prochesernest5439 atakua alitamani KUONGEZA mke akaona apa itakua haibu