Jamanii weee Zatiti ni msichana mzuri sn na mwenye hekima tena una tabia km zangu za kujitenga,Nakupenda sn kipenz ,pamoja na Tasha ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Weeeeeeee zuuu na kai pamoja na zatiti na Tasha wote wako vizuri yaani wako sawa hakuna cha kuzidiana wala nini ila ingependeza mngekuwa wapenzi kweli achana na move
Tunakupenda sanaa zatiti na Mr tasha 🥰💕 nawapa maua yenu 🥀🥀🌹🌹🌺💃💃💃
Dada zatiti naomba uwe rafk angu
Nawapenda sana zatiti na tasha mmependeza mno na tabia zenu zina fanana pia 🎉🎉🎉❤❤❤
Mashallah mumependeza sana jamani Mr Tasha na zaztiti muko vizur vipenzi tunawapenda ❤🎉❤ kazi yenu nzuri sana
Yes best couple we love you Mr. Tasha and Zatiti 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mashaallah nimefurah Mr Tash Kwa kumsifia zatiti iko mashaallah 💕💕💕💕🎉🎉🎉🎉🎉
Yani hapo ndo nimechoka jaman sasa mambo gan Tena kusema hamna mahusiano sisi tunapenda muishi pamoja jaman nje na sanaa Yani muoane kabica jaman 🎉😭😭
Jamanii weee Zatiti ni msichana mzuri sn na mwenye hekima tena una tabia km zangu za kujitenga,Nakupenda sn kipenz ,pamoja na Tasha ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Pole
mmh
Zatiti na tasha much ❤❤from kenya ....mnapendezana 🎉🎉🎉
Tasha na zatiti nawapenda sana mdumu naupendo katika maisha yenu❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Polee zatiti Hadi umeniliza 😢😢pia hongeraa🎉🎉
❤❤❤❤❤❤Nawapenda kweli Zatiti na Mr Tasha 💐💐💐
❤❤❤❤ jamani zatiti na tashaa mmependezana sana sana
Good 💍💗💕 couple
Zatiti na tasha wanapendeza kwa tabia zao nawapenda sana ❤❤❤
Jaman mashallah nawapenda sna naombq house girl iyendelee jmn nawapenda sna San ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nawapenda sanaaaaaaa da zatiti na mr tashaaa mwenyezi Mungu awafanyie wepesi mno na kazi zenu ishaallah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Zatiti na Tasha mko vizur mng azid kuwafanyia wepec na awaepushe kwa Kila lililo baya.ktk maisha yenu
kweli mmetisha sana zatity na mr tasha nawapenda sana zatity unajua na unajua tena maua yako tafadhali 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Zatiti ni pole kweli je t'aime ma cherie❤❤🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Much love from Kenya tasha and zatiti hongera sana kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉❤
I love this couple ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mr tasha peleka mali umuoe zatiti awe mkeo nawapenda ❤❤❤sana Mr tasha na zatiti 🇸🇦 🇸🇦 🇸🇦
Aki pia mm nawaombea waowane kabisa
❤
Mr Tasha dada yetu Zatiti ndio mke thaniti kwako fanya harakati awe mkeo, nawapenda nyote.🎉🎉🎉
Mimi pia nawapenda sana Tasha na Zatiti.ninapenda episode ya 4
Zatiti mrembo wangu❤❤ nakupenda🎉🎉🎉❤ww pamoja na Mr.Tasha mnapendeza kweli❤🎉❤🎉❤🎉🎉❤❤❤
Weeeeeeee zuuu na kai pamoja na zatiti na Tasha wote wako vizuri yaani wako sawa hakuna cha kuzidiana wala nini ila ingependeza mngekuwa wapenzi kweli achana na move
Nawapenda sans zatity na tasha❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mgefunga ndoa tu jamani mmependeza sanaa❤❤❤❤❤
Nimeipenda hiyo zatiti na Mr tasha❤❤❤❤❤❤
Nawapenda san zatiti n Tasha ❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mr /miss tasha nawapenda bure endeleeni kutupa 🎉🎉🎉🎉mwendelezo wetu
Yani majibu ya Mr Tasha nayakubali sanaaa 🫡🫡🫡 Zatiti naee much love 🥰🥰🥰🥰
Zatiti nakupenda❤❤❤❤❤❤
Ila nawapenda nyinyi simwendeleee tuuu na mwooane tuu❤❤❤🎉🎉🎉
Zatiti Mungu akupe maisha marefu tunakupenda Sana kutoka kenya🥰🥰
Love u guys ❤❤.....From kenya
Wao zatiti mchaga mwenzangu i love you ❤❤❤❤❤❤❤❤ wewe nimefurahi sana
Tasha and zatity you're the best sababu aunga kifurushi kwaajili yenu ❤❤❤❤❤
Mngependana tu iwe ya ukweli 🎉🎉🎉hakakika mumependezana sana ❤❤❤🎉🎉🎉
Jamani sio kwa kukamatiana huko😂pendaneni tu tuje tule ubwabwa 🎉🎉🎉🎉🎉twawapenda sana❤❤❤❤❤❤
Hak tena but hawa wanatundangny hakna hta mmoja atasema n wapenz kwl hta Kai na zuu walisem n washkaj hapa napo washkaj 😂😂😂😂😂
Yaan nina amani kumwona zatiti na Tasha 🎉🎉🎉🎉 nawapenda bure ila zatiti punguza kuwa so emotional 😂😂
Nakupenda sana zatiti wew na tasha❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nawapenda san nimefurah mno kuwaon mpo pamoja zatit na mr Tasha 🎉❤
Jmn za titi na Mr tasha mnaendana kwa kweli❤❤
Nawapenda sn wote 🎉🎉❤❤❤❤❤
Nawapenda san zatiti na Mr tash yan munasheza vizuri san ❤❤❤❤
Mr Tasha na zatiti mumependezana sanaa ❤❤❤❤❤❤twawapenda mama kijacho na baba kijacho
Usijali mtoto utapata leo nimejua wewe ni somo yangu nakupenda sana Christian nzatiti
Very good mndenge mwenzangu
Kweli wako viziri Sana wamenifanya kuwa mhanga wa hausger 🎉🎉🎉🎉 tasha zatiti
Zuri sana 🎉🎉🎉
Mr tacha hongela kwa kua na zatiti 🎉🎉❤🎉🎉
Wako poa sana ❤❤❤❤❤
Nyundo tv nawapenda mnasikiliza mashabiki kutuletea tuvipendavyo 🎉🎉🎉
Ninyi ni wamuhimu kwetu ❤️
@@nyundotv tushushie part 2 ya Tasha na Zatiti 😂😂😂❤❤❤❤🎉
NOPE KUNA BEHIND THE SCENES ZAO SOON NTAZIPOST WAKIWA LOCATION
Hapo mama umesema kweli kabisaaa❤❤❤
Mashalla allah nawapenda mpak bas❤❤❤
🎉🎉🎉🎉 from Dubai we love you Mr Tasha and zatiti❤
Zatiti na Mr Tasha mnaupiga mwingi mpewe 🎉🎉🎉 yenu
Kweli kabisa tunakupenda Sana zatiti na Mr Tasha tumefurahi kutuletea❤😂🎉🎉🎉🎉🎉
Zatiti na Mr Tasha mumeweza kwahivo pokeeni maua yenu❤❤
Nawapenda sn Zatiti na Tasha ❤❤❤Mumependeza sn ❤❤❤ jamani Zatiti nikulete Kaka yangu Basi akuowe Nakupenda sn ❤❤❤
Mimi hawaja nikwaza zatiti Wala Tasha I'll munajitahid mumg awasimamie kwenye kaz yet inshallah. Nawapenda sna❤❤❤❤❤❤❤
Nawapenda sana tasha na zatiti❤❤❤❤❤
Mr Tasha na Zatiti mnaendana saana. Kwa tabia na uzuri wenu pia. Wafatiliaji tunatamani hivyo. Tunawapenda saana.❤️🌹
Mleteni Zuu tena.na Kay nawapenda sana
Nyie halafu nyie ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mwenyez mungu awalinde sanaaaaaaaaaaa
Nawapenda San zatiti na Mr Tasha natuman muwe mk na mume kwl jamn umependeza San ❤❤❤
Hiyo wameongeya zatiti na tassa nikweli kabisa munapendezaga kwenye movi❤❤❤❤
Jmaniii zatit Hadi 😭😭 umelia pole san unapendeza sana unavyoingza nakupend san 🙏
Na wapenda sana zatiti na Mr tasha muoane jamani ata venye mmeshikana mikono hapo mwapendeza Sana ❤❤🎉
Zatiti nakupenda sana na Mr tasha
Fanyeni mambo zatiti na Tasha mnapendezana sana❤
Mmependeza sana zatiti na tasha❤❤🎉
Waoo ❤❤❤ zatiti kumbe wewe nimchaga wetu hongera sana zatiti.
Mr Tasha na zatiti wapewe mauwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kutoka Kenya 🇰🇪
Mr Tasha na Zatiti nawapenda sana naomba muoane jaman mnapendeza sana
Endeleeni. Nilikua naipenda saana
Mmependeza mnooo❤❤
Nice couple in town ❤❤❤❤even in real life wanapenda ❤❤❤mwaaaaaa
The best couple
Umeona ee fanya mambo apo ndoa ije sawa mr Tasha 😂😂
Like 🎉🎉🎉🎉❤
Kabisaa yaani
Zu nakai ❤
Mbali na kazi muoane kwel😃🔥🥰🥰
Favorite Nice couple ❤❤❤
Nawapenda sana 🎉🎉🎉kutoka Rwanda
Mm nampenda zuu na Kai pamoja na zatiti na Tasha nawapenda sana pamoja na mama ake na tasha
Mm nawaombea muwe mke na mume kweli ❤
O0😊
Nwapenda sna zatiti n Mr tasha❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Waoooow zatity wajina wangu nakupenda sanaaa 🥰🥰
😢🎉❤ nawapenda sana
Zatiti mm nawangalia kwa jicho la tatu ❤
Nawapenda sana zatiti na Mr tasha❤❤❤
Nyie mnaendana ukweli ukweli bna 😂😂😂😂❤❤❤❤ Ila mmeendana bna
❤️🔥❤️🔥😍😍❤️🔥🧡🧡🧡Zatiti & Tasha much love ❤️ 😍 💖
Very nice zatiti and Mr tasha❤❤🎉
Nawapenda san 🎉🎉🎉
Eee jamani mister tasha NA zatiti tu nawapenda sana ❤❤❤
Mr and Mrs tasha ❤❤❤😊😊🎉🎉🎉🎉💓💖💖💖💖
Tunakupenda sn zatiti na Mrs tasha mungu awabariki sn
Miminataka msimu wa nne iyendeleeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤