BAMBO ATANGAZA VITA NA DIAMOND, ATAJA SABABU YA UGOMVI WAO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 150

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 29 วันที่ผ่านมา +8

    Huyu mnafiki tu

  • @doctorpillo
    @doctorpillo 29 วันที่ผ่านมา +10

    Yaaani Kila mtu akitaka jambo lake liende lazima amtaje diamond

    • @thelightindarknessapp.8209
      @thelightindarknessapp.8209 28 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli

    • @sadamissa5687
      @sadamissa5687 27 วันที่ผ่านมา

      Mtaje na ww tuone kama utaenda mbali😂😂

    • @user-rt6ki6cc6l
      @user-rt6ki6cc6l 26 วันที่ผ่านมา

      Fuatilien Chanzo mpaka kufikia hapo achen kukurupuka Bambo anajielewa

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o 28 วันที่ผ่านมา +5

    Sasa kwa mtizamo huwo kosa la mondi nilipi kwani mondi ndo alipanga utaratibu za show nyie wote mlialikwa , pili umesema unahisi, neno nahisi linamaanisha ,hauna ushahidi

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o 28 วันที่ผ่านมา +10

    Muache kutumiya jina la mondi kwakutaka kupandisha vipaji vyenu anapambana kama mwanaume na nyie pambaneni kivyenu

  • @HenryNuhu
    @HenryNuhu 28 วันที่ผ่านมา +2

    Yaan wasanii wetu bila mondi kwenda nishida sana sana yaaan mond mond kila sku

  • @user-cv4yx4uf8u
    @user-cv4yx4uf8u 29 วันที่ผ่านมา +6

    Unazeeka vibaya bambo unabaniwa nn wakati huna mpya

  • @omaar5693
    @omaar5693 28 วันที่ผ่านมา +4

    mboso haangalii nyuma,,
    najikuti nacheka tu😅😅

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi 28 วันที่ผ่านมา

      Mboso ni fata upepo hata kwa harmo ametengeneza chuki ata haihereweki

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 28 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani wewe mchekeshaji,diamond na wewe wapi na wapi?Acha kiki,hamtoki mpaka diamond mwacheni mtoto wa Sandra,wanga wakubwa na hamumwezi

  • @user-cr6xk7cy1v
    @user-cr6xk7cy1v 29 วันที่ผ่านมา +3

    Mzee bambo umekua chawa wa makonde

  • @user-gn8zs4qx2y
    @user-gn8zs4qx2y 28 วันที่ผ่านมา +3

    Ukweli lakini msamehe

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 29 วันที่ผ่านมา +3

    Kwani bambo umenuna au umefrahia maana sikuelewiiii😀😀😀😀😀

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 29 วันที่ผ่านมา +3

    Mimi nimemuelewa Jamaa, yaani anamanisha, mfano choo cha kuchangia harafu mtu anaingia ndani, anaanza kuchezea simu , wakati watu wapo nje wamebanwa na haja . Siyo sawa

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 28 วันที่ผ่านมา +1

    Bambo kama unatafta kiki hapo sawa ila kwa kudai wenae msanii mmmmmh kweli

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kalee wajukuu mzee acha kuzunga Media kuntukana momdi

  • @methordbuzinza9378
    @methordbuzinza9378 26 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe babo umeshachoka turia murikuwagawapi zamani tusapotisana hakunana murichokifanya

  • @aidanmaganga7051
    @aidanmaganga7051 22 วันที่ผ่านมา

    Mtangazi mwenyewe choko,hajui kuhoji maswali

  • @philimonmwakio647
    @philimonmwakio647 29 วันที่ผ่านมา +3

    Kaka bambo nichuma cha zamani sana

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 28 วันที่ผ่านมา +1

    Nakujibu zigge. Mimi siko kwenye list. Mimi niko mashambani tu huku LInd vijijini. Nampenda tu Nassibu mwanangu namwelimisha tu.

  • @omaar5693
    @omaar5693 28 วันที่ผ่านมา +1

    5:37 eh banaee
    mstari uu

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 28 วันที่ผ่านมา +1

    Bambooo kwa hili huna jipyaaaa jipange upya na huna la MSINGI ktk unacho semaaaaa

  • @priscusnyoni8933
    @priscusnyoni8933 28 วันที่ผ่านมา +2

    We bambo umetumwa kumuharibia mond,a

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 20 วันที่ผ่านมา

    Baba badilisha kazi wabongo hatuna furaha utamuchekesha nani tuna hasila bro hata Baar zenye mziki siku hizi hatuingi mawazo maisha ni magimu sana alafu nyinyi munach

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 29 วันที่ผ่านมา +5

    Diamond Ina maana alikua MC

  • @DENNISMUTUA-nf7qt
    @DENNISMUTUA-nf7qt 19 วันที่ผ่านมา

    Kama huyo mondi wenu ni mshezi,atabaki kuwa mshezi tu,,kitambo alikuwa mzuri bt anaendelea kujiaribia sifa zake

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 29 วันที่ผ่านมา +2

    Kwani aliekuwa ana panga wasanii kuim ba ni diamond hebu muulize swali bamb o aliekuwa anapang a wasanii kupanda jukwaani ni Nani ma nake msipende kum laumu mtu bila kosa

  • @user-dy8yc5ml1p
    @user-dy8yc5ml1p 26 วันที่ผ่านมา +1

    🤣🤣🤣🤣Sasa hapo diamond anahusika nanini?.

  • @Lilmbunah
    @Lilmbunah 29 วันที่ผ่านมา +4

    Jamaa haja nyooka mm mwenyewe si muelewi yani ana baniwaje mtu kama hakua kwenye ratiba

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 29 วันที่ผ่านมา +2

    aukuwepokwenye ratiba

  • @user-vm4zq7kf4e
    @user-vm4zq7kf4e 28 วันที่ผ่านมา

    Nimekupenda bambo umenyooka sana

  • @MwemajaphetyZackalia
    @MwemajaphetyZackalia 24 วันที่ผ่านมา

    Jamani Alrmasi NAE mtu na kama walitakiwa kupanda bambo awakupewa nafasi kwanini Kuna kitu apo

  • @isayajoram2434
    @isayajoram2434 15 วันที่ผ่านมา

    Zee zima akili chenga

  • @user-yq4sn6cq1l
    @user-yq4sn6cq1l 29 วันที่ผ่านมา +2

    SIMBAAAA ni brandi kubwa daraja

  • @aidanmaganga7051
    @aidanmaganga7051 22 วันที่ผ่านมา

    Daaaah!kweli diamond ni mti wenye matunda cz kwa hapo sioni kosa la diamond

  • @Hsmufalme-vv3rn
    @Hsmufalme-vv3rn 23 วันที่ผ่านมา

    kiekiekiekiekie hatumujuwi congo huyo anatafuta treding na jina la platnumz

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 27 วันที่ผ่านมา

    Pole bambo

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 18 วันที่ผ่านมา

    Wasanii wa kizazi cha leo ni wavuta bangi hawaoni matunda ya malegend

  • @user-eu5uy8vm6i
    @user-eu5uy8vm6i 21 วันที่ผ่านมา

    Siku diamond atakapoanza kufuatilia hizi lawama watafungwa wengi sana .huyo kiongozi aliyewalipa kina bambo mbona hasemi jambo ?

  • @Ommyblacktz13
    @Ommyblacktz13 25 วันที่ผ่านมา

    Kawaida kwenye shoo kila kitu kipo kwa mc anaratibu muda wa pafomance na muda na ww unamuliako acha umanga bambo kutembea magomen to fire imekuchanganya😂😂😂😂😂😂😂🎉

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 29 วันที่ผ่านมา +5

    Bambo kwani ulikuwa kwenye ratiba, ya performance, au ni chuki tuu.

    • @davidpaschal778
      @davidpaschal778 28 วันที่ผ่านมา

      😅😅 kwaiy ela alilipwa y nn au alienda kufanya Nini japo anachekesha😂😂

  • @user-fp4ir4ej9v
    @user-fp4ir4ej9v 23 วันที่ผ่านมา

    Hata alichokiongea hakieleweki bamboo Acha uchiz

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 26 วันที่ผ่านมา

    Huyu mzee nae njaa inamsumbua mda mrefu sana huwa anamtukana kiba na kumsifia Mwambino kama mme wake,,sasa leo unajitilisha huruma ya nini...achana na vijana kaa kwako utulie ulee watoto 😅

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 29 วันที่ผ่านมา +5

    Katoka kwa konde kunywa bia sasa anamchafua simba wasanii wa bongo hamna kitu kichwani

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 29 วันที่ผ่านมา +1

    Mondi apendwe na.watu wote kwani yeye pesa! Mwacheni mtoto wa watu apite na maisha yake! Mondi brand kubwa sasa na huyu mzee mwenzangu hajamaliza tu!!

    • @Boyluke-luke
      @Boyluke-luke 28 วันที่ผ่านมา

      ❤❤❤❤❤ yes good

  • @JamesThomas-fx5tp
    @JamesThomas-fx5tp 22 วันที่ผ่านมา

    Bambo usha potea jitafute saiz mond anakubalika😅😅😅

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 29 วันที่ผ่านมา +3

    Diamond ni tunu ya taifa! Kwanza anauma sana, na kila alie potea ktk game anatumia jina lake kutaka kurudi mjini 😅 sasa diamond show ya mwenge ni yake? Enzi zenyu zishapita hamkutumia umaarufu wenyu ipasavyo acheni wivu nendeni ITV

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 28 วันที่ผ่านมา

      Nani alikuambia bamboo anachukaga 😂😂 neno Moja tu la kuchekesha tayari yupo mjini😂😂 .. hapo Enyewe anaongea ni vichekesh 😂😂

  • @user-zq2be4xr1o
    @user-zq2be4xr1o 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mondi mumuache mondi ni brand kubwa , lazima awe makini ,sio kila mwenye kutaka jina apatiye kwamondi , wewe pesa ulipata ugali wako uliula Sasa nini tena, unaroho mbaya na wivu Kama unataka sapoti kwa mondi wewe sema

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 24 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji unarudi rudia maswali mtu anahasira Halafu unamwambia anapenda wimbo gani wa adui yake ni aibu

  • @robertj.4484
    @robertj.4484 26 วันที่ผ่านมา

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nyumanyuma kama wachezaji ngonjera....🤣🤣🤣🤣🤣😅

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h 21 วันที่ผ่านมา

    Sasa bambo naye apande stejini kupaform nyimbo zipi sasa?mzee bambo unazingua

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 28 วันที่ผ่านมา

    Bambo mkongwe sana kwenye fani

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 26 วันที่ผ่านมา

    Bambo Tuuungane wasanii tumuombee kifo huyo ni jini mtuuu kuwapoteza wengi kina rich mavoko nk wengi mimi ata radio yake sisikilizagi kama kumkataa baba yake mzazi mzee Abduli Utakua Wewe Bambo??? sasa ivi anajiita ukooo WA muuza mchele huku kwetu tandale sokoni

  • @kindulijumanne7632
    @kindulijumanne7632 26 วันที่ผ่านมา

    Mwacheni aseme ya Moyon kwenye Music kuna kubaniana Sana

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 22 วันที่ผ่านมา

    Uchawi

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 29 วันที่ผ่านมา +2

    Nassibu usiwe na tabia ya kuwazibia wenzio ridhiki sio jambo jema.Wewe ni tajiri sana sio wa kugombana na wenzako. Mimi nakupenda sana Nassibu. Ukipata show za kwa pamoja waachie wa chini yako.

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 28 วันที่ผ่านมา +1

      Kwani ulikua kweny list

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 24 วันที่ผ่านมา

    Anatafuta kaz ya urinzi

  • @MusabmusakotiKoti
    @MusabmusakotiKoti 20 วันที่ผ่านมา

    Yani apa duuh Amna ata ukweli ila mjue mnavojitaftia chakula ivo hamjuy tu Yani mnazidid kumuongezea rizki tu Yan mtasubiri sana duuh mtakufa wajukuu zenu ndo watashuudia akianguka simba

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 28 วันที่ผ่านมา

    Kama mbwa koko😂😂

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 29 วันที่ผ่านมา +1

    Diamond hana mak osa msipende kuml aumu mtu bila kosa utaratibu pengine s io wa diamond mum laumu aliepanga sio diamond

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 28 วันที่ผ่านมา

    Hapo umemuone mzeee pia huo siouungwana bambo

  • @shamamamalisa6513
    @shamamamalisa6513 29 วันที่ผ่านมา +3

    Bambo mbona hujanyooka maelezo yako halafu mtu mzimaa

  • @user-vh4rz4qp8z
    @user-vh4rz4qp8z 21 วันที่ผ่านมา

    Mbona nyinyi wambongo munafituko sana why kila mtu simba fanyeni kazi asheni simba in peace

  • @user-fy3um6vu2i
    @user-fy3um6vu2i 24 วันที่ผ่านมา

    Hapan vyema wasanii kupenda

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 29 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona aeleweki kwani iyo show ilikuwa ya simba mpaka awazuie wao wasipande

    • @steverwillecha8559
      @steverwillecha8559 29 วันที่ผ่านมา +2

      Simba yeye anakuwa kimbele mbele kila sehem kama mtu mkubwa anaeweza kuamua chochote ndo alichokifanya kwa kina bambo

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 28 วันที่ผ่านมา +1

    Kumbe Huna akili yeye alikua mc au muandaaji? Umekwisha nenda songea ukalime au endelea kunywa visungura

  • @MamaBaraka-gw9sw
    @MamaBaraka-gw9sw 28 วันที่ผ่านมา

    Duuu Atari laxana mwamba ndoyuko ivyoo😂😂😂

  • @abdallahmindika1641
    @abdallahmindika1641 27 วันที่ผ่านมา

    bambo mhuni anatafta Hela tuu hahahah uongeaj wake tu niuhun anausanii gan mkubwa wakati joti peke yake tu amuwezi hahahahah

  • @user-rk9ut4nz3z
    @user-rk9ut4nz3z 19 วันที่ผ่านมา

    Mpuuzi uyoo anaongea pumba

  • @salehekaswahili3236
    @salehekaswahili3236 28 วันที่ผ่านมา +1

    Sa we upaform unapaform nn vitu vingine bwana

  • @user-fy3um6vu2i
    @user-fy3um6vu2i 24 วันที่ผ่านมา

    13:41

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 28 วันที่ผ่านมา

    mond hanakosa kwa hapi

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 28 วันที่ผ่านมา

    kkkkkkkk mlienda kuuzasula

  • @kasandaRichard
    @kasandaRichard 29 วันที่ผ่านมา +3

    Nahona majabu yeye diamond amelipwa naww umelipwa Sasa awezi kumzuhiya msani wowote

  • @JofuAmuko
    @JofuAmuko 17 วันที่ผ่านมา

    POLE SANA,, BAMBO,, NIMEKUELEWA VIZURI SANA, WEWE NI COMEDIAN,,, MZURI SANA SANA, NA WALA UJAZEEEKA KIIIVYO, NIMEANGALIA, MAIGIZO YAKO YOOOTE KABISA, TOKA ENZI HIZO HUJAWAHI KUCHUJA, BADO UKO VIZURI MNOOO, WEWE NA MTANGA, WASAMEENI BURE TU, KWA WALICHO WAFANYIA, MIMI NAWA KUBALI SANA.

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 28 วันที่ผ่านมา

    kkkkkkkk we kicha

  • @user-ml1yx5jk8z
    @user-ml1yx5jk8z 28 วันที่ผ่านมา

    Kwann usimfuate mwenyewe unaongea mitandaoni na una levo gn ya kupanda stage na diamond halafu bambo we mshamba Sana au tuseme ni mjinga uliezeeka

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul 27 วันที่ผ่านมา

    Atulize pumbu

  • @RehemaHaruna-di6sk
    @RehemaHaruna-di6sk 27 วันที่ผ่านมา

    Kiki hzooooo

  • @emmanuelmpuya8164
    @emmanuelmpuya8164 27 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa n muongo coz ile sherehe ya kupokea mwenge ilikuwa ya kiserikali..na diamond na team yake ya wasafi walikuwa waalikwa na ile show ilikuwa na ratiba zake sasa huenda hamkuwa kweny ratiba ya show za mwenge...mzee acha kuzeeka kwa ktafuta kiki ...si ungemwambia aweso na si diamond .

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 27 วันที่ผ่านมา

    RAKINI MACHO YANGU WEWE NA DAIMOND MSIKITI NA KANISA MUPO MBALI MBALI SANA WASANII WETU MJIPANGE SIO CHUKI NA ROO MBAYA 😂😂😂

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 29 วันที่ผ่านมา +1

    zitakukosti ww

  • @Juma-de9uh
    @Juma-de9uh 27 วันที่ผ่านมา

    uyo choko mbona diamond akuwepo alikua dubai

  • @user-nw3ie8yq1x
    @user-nw3ie8yq1x 29 วันที่ผ่านมา +1

    bambo acha zako una lolote wana kijiji wametaka mpafomu inaonekana hamkua mumepangiwa sasa la wama zanini kwa daymond wala hakujua kama ukopale

    • @Boyluke-luke
      @Boyluke-luke 28 วันที่ผ่านมา

      Ni kweliii

  • @alisuleiman303
    @alisuleiman303 28 วันที่ผ่านมา

    Hamna tunu wala nini ana roho mbaya

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 29 วันที่ผ่านมา +1

    Dah pole sana Bambo

  • @user-cr6xk7cy1v
    @user-cr6xk7cy1v 29 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa wewe ulilipwaje alafu uzuiliwe kuingia mimi nazani umetumwa na hamo

  • @JumanneMungula
    @JumanneMungula 27 วันที่ผ่านมา

    Mtu mjinga na mpuuzi ndio atasikiliza huu ujinga shughuli ya serikali WCB ni nani kupanga nani atumbuize huyu ni chuki na mfitinishaji.

  • @boniphacejames3356
    @boniphacejames3356 28 วันที่ผ่านมา

    Aliogopa kufichwa Mbwa yule pole sana Bambo

    • @ronaldngwavi8993
      @ronaldngwavi8993 26 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 eti aliogopa kufichwa

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy 26 วันที่ผ่านมา

    huyu mbwa tu mchekeshaji atakuwa yeye? tafuta pesa mzee kwanza hata huchekeshi, acha njaa njaa zako kajambe mbele huko

  • @zainabmuhammed6294
    @zainabmuhammed6294 28 วันที่ผ่านมา

    No .sorry kwa storry ndogo niliyyo sikia bc my bro ulitakiwa uwa kuze pleas say sorr for that my bro

  • @VisentiPatrik
    @VisentiPatrik 2 วันที่ผ่านมา

    Changamoto tunazo mpaka mitaan ko wewe jitafutie namna

  • @KingsleyHachiwa
    @KingsleyHachiwa 28 วันที่ผ่านมา

    Do you remember what happened 2 chid benz

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 28 วันที่ผ่านมา

    Iliii msanii afanikiwe nilazima amchane diamond? Huu ni ushamba tena ushamba mkubwa

  • @user-sf3ys8rm5s
    @user-sf3ys8rm5s 28 วันที่ผ่านมา

    Nyie wapumbavu sn kutafuta riski zio lazima kuwa kijana wala mzee ndio nyie munawatoa wazazi wenu mafala wa kibongo

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 28 วันที่ผ่านมา

    Hivi huwa mnataka diamond awanyenyekee? Hata mkimchukia haimpunguzii kitu huyu bambo kalipwa na harmonize juzi tu alikuwa na harmonize nyumban kwake et leo anaongea utumbo na maelezo yake hayaeleweki kwan diamond ndo alikuwa promoter

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 28 วันที่ผ่านมา

    We mtangazaji mnafiki mkubwa we!

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 21 วันที่ผ่านมา

    Usipoteze muda na Diamond hana mji wa kujibu na bado utaongea mpaka utajiona mpuuzi inapoteza nguvu zako. Maana unaongea media zote. Take your time..Time is money

  • @user-uo8xw9kr4b
    @user-uo8xw9kr4b 28 วันที่ผ่านมา

    Sasa una mlaum mtu sio mwenye sherehe na wala hujaongea nae na wala yy hakuelewa lengo laww kuepo hapo je km ulienda tu km wengne yy atajuje .

  • @user-ip4ie7pt6i
    @user-ip4ie7pt6i 28 วันที่ผ่านมา

    Mshamgeuza diamond jalala sasa

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 28 วันที่ผ่านมา

    Mimwenyewe cjaelewa jamaan

  • @WISDOMMUSANYA-kt1ry
    @WISDOMMUSANYA-kt1ry 28 วันที่ผ่านมา

    kwanza ww siomusomi kingeleza akipandi we mshamba