Sasa kwa mtizamo huwo kosa la mondi nilipi kwani mondi ndo alipanga utaratibu za show nyie wote mlialikwa , pili umesema unahisi, neno nahisi linamaanisha ,hauna ushahidi
Mimi nimemuelewa Jamaa, yaani anamanisha, mfano choo cha kuchangia harafu mtu anaingia ndani, anaanza kuchezea simu , wakati watu wapo nje wamebanwa na haja . Siyo sawa
Baba badilisha kazi wabongo hatuna furaha utamuchekesha nani tuna hasila bro hata Baar zenye mziki siku hizi hatuingi mawazo maisha ni magimu sana alafu nyinyi munach
Kwani aliekuwa ana panga wasanii kuim ba ni diamond hebu muulize swali bamb o aliekuwa anapang a wasanii kupanda jukwaani ni Nani ma nake msipende kum laumu mtu bila kosa
Kawaida kwenye shoo kila kitu kipo kwa mc anaratibu muda wa pafomance na muda na ww unamuliako acha umanga bambo kutembea magomen to fire imekuchanganya😂😂😂😂😂😂😂🎉
Huyu mzee nae njaa inamsumbua mda mrefu sana huwa anamtukana kiba na kumsifia Mwambino kama mme wake,,sasa leo unajitilisha huruma ya nini...achana na vijana kaa kwako utulie ulee watoto 😅
Mondi mumuache mondi ni brand kubwa , lazima awe makini ,sio kila mwenye kutaka jina apatiye kwamondi , wewe pesa ulipata ugali wako uliula Sasa nini tena, unaroho mbaya na wivu Kama unataka sapoti kwa mondi wewe sema
Diamond ni tunu ya taifa! Kwanza anauma sana, na kila alie potea ktk game anatumia jina lake kutaka kurudi mjini 😅 sasa diamond show ya mwenge ni yake? Enzi zenyu zishapita hamkutumia umaarufu wenyu ipasavyo acheni wivu nendeni ITV
Yani apa duuh Amna ata ukweli ila mjue mnavojitaftia chakula ivo hamjuy tu Yani mnazidid kumuongezea rizki tu Yan mtasubiri sana duuh mtakufa wajukuu zenu ndo watashuudia akianguka simba
Bambo Tuuungane wasanii tumuombee kifo huyo ni jini mtuuu kuwapoteza wengi kina rich mavoko nk wengi mimi ata radio yake sisikilizagi kama kumkataa baba yake mzazi mzee Abduli Utakua Wewe Bambo??? sasa ivi anajiita ukooo WA muuza mchele huku kwetu tandale sokoni
Huyu jamaa n muongo coz ile sherehe ya kupokea mwenge ilikuwa ya kiserikali..na diamond na team yake ya wasafi walikuwa waalikwa na ile show ilikuwa na ratiba zake sasa huenda hamkuwa kweny ratiba ya show za mwenge...mzee acha kuzeeka kwa ktafuta kiki ...si ungemwambia aweso na si diamond .
POLE SANA,, BAMBO,, NIMEKUELEWA VIZURI SANA, WEWE NI COMEDIAN,,, MZURI SANA SANA, NA WALA UJAZEEEKA KIIIVYO, NIMEANGALIA, MAIGIZO YAKO YOOOTE KABISA, TOKA ENZI HIZO HUJAWAHI KUCHUJA, BADO UKO VIZURI MNOOO, WEWE NA MTANGA, WASAMEENI BURE TU, KWA WALICHO WAFANYIA, MIMI NAWA KUBALI SANA.
Huyu mnafiki tu
Yaan wasanii wetu bila mondi kwenda nishida sana sana yaaan mond mond kila sku
Sasa kwa mtizamo huwo kosa la mondi nilipi kwani mondi ndo alipanga utaratibu za show nyie wote mlialikwa , pili umesema unahisi, neno nahisi linamaanisha ,hauna ushahidi
Yaaani Kila mtu akitaka jambo lake liende lazima amtaje diamond
Kweli
Mtaje na ww tuone kama utaenda mbali😂😂
Fuatilien Chanzo mpaka kufikia hapo achen kukurupuka Bambo anajielewa
mboso haangalii nyuma,,
najikuti nacheka tu😅😅
Mboso ni fata upepo hata kwa harmo ametengeneza chuki ata haihereweki
Mzee bambo umekua chawa wa makonde
Kaka bambo nichuma cha zamani sana
Kwani bambo umenuna au umefrahia maana sikuelewiiii😀😀😀😀😀
Unazeeka vibaya bambo unabaniwa nn wakati huna mpya
Ila wewe jaman 😂😂😂😂
Mimi nimemuelewa Jamaa, yaani anamanisha, mfano choo cha kuchangia harafu mtu anaingia ndani, anaanza kuchezea simu , wakati watu wapo nje wamebanwa na haja . Siyo sawa
kkkkk
Ukweli lakini msamehe
Jamani wewe mchekeshaji,diamond na wewe wapi na wapi?Acha kiki,hamtoki mpaka diamond mwacheni mtoto wa Sandra,wanga wakubwa na hamumwezi
Baba badilisha kazi wabongo hatuna furaha utamuchekesha nani tuna hasila bro hata Baar zenye mziki siku hizi hatuingi mawazo maisha ni magimu sana alafu nyinyi munach
Muache kutumiya jina la mondi kwakutaka kupandisha vipaji vyenu anapambana kama mwanaume na nyie pambaneni kivyenu
Bambo kama unatafta kiki hapo sawa ila kwa kudai wenae msanii mmmmmh kweli
Pole bambo
Kalee wajukuu mzee acha kuzunga Media kuntukana momdi
Mtangazi mwenyewe choko,hajui kuhoji maswali
Diamond Ina maana alikua MC
5:37 eh banaee
mstari uu
Wewe babo umeshachoka turia murikuwagawapi zamani tusapotisana hakunana murichokifanya
We bambo umetumwa kumuharibia mond,a
Kama huyo mondi wenu ni mshezi,atabaki kuwa mshezi tu,,kitambo alikuwa mzuri bt anaendelea kujiaribia sifa zake
Nimekupenda bambo umenyooka sana
Bambooo kwa hili huna jipyaaaa jipange upya na huna la MSINGI ktk unacho semaaaaa
🤣🤣🤣🤣Sasa hapo diamond anahusika nanini?.
Kwani aliekuwa ana panga wasanii kuim ba ni diamond hebu muulize swali bamb o aliekuwa anapang a wasanii kupanda jukwaani ni Nani ma nake msipende kum laumu mtu bila kosa
SIMBAAAA ni brandi kubwa daraja
Nakujibu zigge. Mimi siko kwenye list. Mimi niko mashambani tu huku LInd vijijini. Nampenda tu Nassibu mwanangu namwelimisha tu.
kiekiekiekiekie hatumujuwi congo huyo anatafuta treding na jina la platnumz
Jamani Alrmasi NAE mtu na kama walitakiwa kupanda bambo awakupewa nafasi kwanini Kuna kitu apo
Wasanii wa kizazi cha leo ni wavuta bangi hawaoni matunda ya malegend
aukuwepokwenye ratiba
Kawaida kwenye shoo kila kitu kipo kwa mc anaratibu muda wa pafomance na muda na ww unamuliako acha umanga bambo kutembea magomen to fire imekuchanganya😂😂😂😂😂😂😂🎉
Daaaah!kweli diamond ni mti wenye matunda cz kwa hapo sioni kosa la diamond
Huyu mzee nae njaa inamsumbua mda mrefu sana huwa anamtukana kiba na kumsifia Mwambino kama mme wake,,sasa leo unajitilisha huruma ya nini...achana na vijana kaa kwako utulie ulee watoto 😅
Bambo usha potea jitafute saiz mond anakubalika😅😅😅
Zee zima akili chenga
Mondi mumuache mondi ni brand kubwa , lazima awe makini ,sio kila mwenye kutaka jina apatiye kwamondi , wewe pesa ulipata ugali wako uliula Sasa nini tena, unaroho mbaya na wivu Kama unataka sapoti kwa mondi wewe sema
Siku diamond atakapoanza kufuatilia hizi lawama watafungwa wengi sana .huyo kiongozi aliyewalipa kina bambo mbona hasemi jambo ?
Jamaa haja nyooka mm mwenyewe si muelewi yani ana baniwaje mtu kama hakua kwenye ratiba
Hata alichokiongea hakieleweki bamboo Acha uchiz
Mondi apendwe na.watu wote kwani yeye pesa! Mwacheni mtoto wa watu apite na maisha yake! Mondi brand kubwa sasa na huyu mzee mwenzangu hajamaliza tu!!
❤❤❤❤❤ yes good
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nyumanyuma kama wachezaji ngonjera....🤣🤣🤣🤣🤣😅
Mtangazaji unarudi rudia maswali mtu anahasira Halafu unamwambia anapenda wimbo gani wa adui yake ni aibu
Duuu Atari laxana mwamba ndoyuko ivyoo😂😂😂
Mwacheni aseme ya Moyon kwenye Music kuna kubaniana Sana
bambo mhuni anatafta Hela tuu hahahah uongeaj wake tu niuhun anausanii gan mkubwa wakati joti peke yake tu amuwezi hahahahah
Sasa bambo naye apande stejini kupaform nyimbo zipi sasa?mzee bambo unazingua
Mbona nyinyi wambongo munafituko sana why kila mtu simba fanyeni kazi asheni simba in peace
Uchawi
Diamond ni tunu ya taifa! Kwanza anauma sana, na kila alie potea ktk game anatumia jina lake kutaka kurudi mjini 😅 sasa diamond show ya mwenge ni yake? Enzi zenyu zishapita hamkutumia umaarufu wenyu ipasavyo acheni wivu nendeni ITV
Nani alikuambia bamboo anachukaga 😂😂 neno Moja tu la kuchekesha tayari yupo mjini😂😂 .. hapo Enyewe anaongea ni vichekesh 😂😂
Bambo mkongwe sana kwenye fani
Anatafuta kaz ya urinzi
Hapan vyema wasanii kupenda
Mbona aeleweki kwani iyo show ilikuwa ya simba mpaka awazuie wao wasipande
Simba yeye anakuwa kimbele mbele kila sehem kama mtu mkubwa anaeweza kuamua chochote ndo alichokifanya kwa kina bambo
Yani apa duuh Amna ata ukweli ila mjue mnavojitaftia chakula ivo hamjuy tu Yani mnazidid kumuongezea rizki tu Yan mtasubiri sana duuh mtakufa wajukuu zenu ndo watashuudia akianguka simba
Bambo Tuuungane wasanii tumuombee kifo huyo ni jini mtuuu kuwapoteza wengi kina rich mavoko nk wengi mimi ata radio yake sisikilizagi kama kumkataa baba yake mzazi mzee Abduli Utakua Wewe Bambo??? sasa ivi anajiita ukooo WA muuza mchele huku kwetu tandale sokoni
13:41
Hapo umemuone mzeee pia huo siouungwana bambo
😂😂😂😂😂
Diamond hana mak osa msipende kuml aumu mtu bila kosa utaratibu pengine s io wa diamond mum laumu aliepanga sio diamond
😂😂😂
kkkkkkkk mlienda kuuzasula
Mpuuzi uyoo anaongea pumba
Kumbe Huna akili yeye alikua mc au muandaaji? Umekwisha nenda songea ukalime au endelea kunywa visungura
Nyie wapumbavu sn kutafuta riski zio lazima kuwa kijana wala mzee ndio nyie munawatoa wazazi wenu mafala wa kibongo
kkkkkkkk we kicha
Sa we upaform unapaform nn vitu vingine bwana
salehe umetisha hahahahahahha
huyu mbwa tu mchekeshaji atakuwa yeye? tafuta pesa mzee kwanza hata huchekeshi, acha njaa njaa zako kajambe mbele huko
mond hanakosa kwa hapi
Sasa wewe ulilipwaje alafu uzuiliwe kuingia mimi nazani umetumwa na hamo
Atulize pumbu
RAKINI MACHO YANGU WEWE NA DAIMOND MSIKITI NA KANISA MUPO MBALI MBALI SANA WASANII WETU MJIPANGE SIO CHUKI NA ROO MBAYA 😂😂😂
Bambo kwani ulikuwa kwenye ratiba, ya performance, au ni chuki tuu.
😅😅 kwaiy ela alilipwa y nn au alienda kufanya Nini japo anachekesha😂😂
Do you remember what happened 2 chid benz
Kama mbwa koko😂😂
Hamna tunu wala nini ana roho mbaya
uyo choko mbona diamond akuwepo alikua dubai
zitakukosti ww
Aliogopa kufichwa Mbwa yule pole sana Bambo
😂😂😂 eti aliogopa kufichwa
Kiki hzooooo
Mtu mjinga na mpuuzi ndio atasikiliza huu ujinga shughuli ya serikali WCB ni nani kupanga nani atumbuize huyu ni chuki na mfitinishaji.
Changamoto tunazo mpaka mitaan ko wewe jitafutie namna
Dah pole sana Bambo
Iliii msanii afanikiwe nilazima amchane diamond? Huu ni ushamba tena ushamba mkubwa
Bambo mbona hujanyooka maelezo yako halafu mtu mzimaa
Katoka kwa konde kunywa bia sasa anamchafua simba wasanii wa bongo hamna kitu kichwani
Sasa ww bambo nae kuanzia lini unaimba?au unatafuta tu kiki.km ungealikwa c ungepandishwa na wenye shuhuli?
No .sorry kwa storry ndogo niliyyo sikia bc my bro ulitakiwa uwa kuze pleas say sorr for that my bro
bambo acha zako una lolote wana kijiji wametaka mpafomu inaonekana hamkua mumepangiwa sasa la wama zanini kwa daymond wala hakujua kama ukopale
Ni kweliii
Mimwenyewe cjaelewa jamaan
Sasa una mlaum mtu sio mwenye sherehe na wala hujaongea nae na wala yy hakuelewa lengo laww kuepo hapo je km ulienda tu km wengne yy atajuje .
Kwann usimfuate mwenyewe unaongea mitandaoni na una levo gn ya kupanda stage na diamond halafu bambo we mshamba Sana au tuseme ni mjinga uliezeeka
hahahaha
Usijali my pleas nakuomba kikubwa n8kuomba samahani mpenzi
Huyu jamaa n muongo coz ile sherehe ya kupokea mwenge ilikuwa ya kiserikali..na diamond na team yake ya wasafi walikuwa waalikwa na ile show ilikuwa na ratiba zake sasa huenda hamkuwa kweny ratiba ya show za mwenge...mzee acha kuzeeka kwa ktafuta kiki ...si ungemwambia aweso na si diamond .
POLE SANA,, BAMBO,, NIMEKUELEWA VIZURI SANA, WEWE NI COMEDIAN,,, MZURI SANA SANA, NA WALA UJAZEEEKA KIIIVYO, NIMEANGALIA, MAIGIZO YAKO YOOOTE KABISA, TOKA ENZI HIZO HUJAWAHI KUCHUJA, BADO UKO VIZURI MNOOO, WEWE NA MTANGA, WASAMEENI BURE TU, KWA WALICHO WAFANYIA, MIMI NAWA KUBALI SANA.
Mshamgeuza diamond jalala sasa
We mtangazaji mnafiki mkubwa we!
Acha shobo. Mwache mondi