Wenye walichoma gari washikwe walipe gari, accident ni kitu Huwa inafanyika , if burning the vehicle is the solution no need of insurance companies in kenya, hii tabia ya wanaboda ikomeshwe kabisa ata wengi hawana driving licence na insurance,,, so walipe gari.
Sasa kuchoma gali ilisaidia nini hata wangempeleka police hii ni wifu dio maana watu wataishi kuwa maskini miaka yao yote na wengine hata hawatawai nunua hata pikipiki zao wataishi kuajiliwa
@@bonfacekaranja5782 you're the big fool kwani ajari haina kinga just shout your mouth kuchoma iliwasaidia???two wrong can't be right Tena ata Adabu huna unajua watu Wangu ikili kidogo
Mwenye gari atalipwa ingine na insurance yake alaf mwenye nduthi atabaki KU hospital akilipa bill, police amesema vizuri no evidence, at all, watu wa nduthi ni kama wanatumia matako kufikiria, si waede basi wakamlipie iyo bill ya hosi
Nashangaa watu wengy waki comment ety watu wa nduthi hawana akili na wenye wanaongea hua wanazitumia kila siku ...what about ni wewe ulikua umebebwa then gari iovertake kwa daraja na iwagonge ama nduthi inastahili ikiona gari iki overtake upepee juu ... kila mtu kwa barabara ako na right ya kua pale bila kudharauliwa mtu wenu akikufa juu ya ajali ya nduthi hua mnalaumu gari but juu si nyinyi mko hapo mnalaumu nduthi na mnaskia aliovertake kwa daraja😢
We mwerevu unajua ata Bei ya nduthi ile day mtu wenu atagongwa akiwa kwa nduthi na gari iwagongee kwa lane yao sijui utalaumu nduthi ama gari then nani anaruhusiwa ku overtake kwa daraja
Wenye walichoma gari washikwe walipe gari, accident ni kitu Huwa inafanyika , if burning the vehicle is the solution no need of insurance companies in kenya, hii tabia ya wanaboda ikomeshwe kabisa ata wengi hawana driving licence na insurance,,, so walipe gari.
kumbafu sana
@@stephenmacharia1397 stop abusing people hii inaonye ujinga
Aki nyinyi mtaishi bila magari if you can dare to burn vehicle....Hawa watu wakamatwe na walipe gari la wenywe
Kwani gari ni Nini lazima mtu akue nayo we ni mjinga bwana
Hao watu wa nduthi wanakaa wamelewa wote😢😢😢 wakwende na huko kwanini wachome gari na hii iconomi walai
Just arrest them Wacha story
This is insane,
Sasa kuchoma gali ilisaidia nini hata wangempeleka police hii ni wifu dio maana watu wataishi kuwa maskini miaka yao yote na wengine hata hawatawai nunua hata pikipiki zao wataishi kuajiliwa
@@wilsonmuriuki3292 wapie tena
Hii ni ujinga Wa hali juu mnachoma gari kwani ajari haina kinga majority of these motorbikes are fools
Fool ni wewe na watu wa kwenu una overtake aje kwa daraja tumia akili mtu wangu ama motorbike zinastahili zipitie wapi
@@bonfacekaranja5782 you're the big fool kwani ajari haina kinga just shout your mouth kuchoma iliwasaidia???two wrong can't be right Tena ata Adabu huna unajua watu Wangu ikili kidogo
@@borntowinborntoshine698 so nyamazisha mdomo we unajua Bei ya nduthi usipende gari sana bro
Hiyo ndiyo Dawa, mkifika station MTU wa nduthi hugeukwa, this is the way forward👏
Mwenye gari atalipwa ingine na insurance yake alaf mwenye nduthi atabaki KU hospital akilipa bill, police amesema vizuri no evidence, at all, watu wa nduthi ni kama wanatumia matako kufikiria, si waede basi wakamlipie iyo bill ya hosi
Mjinga wewe mtu wa gari ana overtake aje kwa daraja what about ni siz yako alikua amebebwa na boda gari iwagongee side ya lane yao bro tumia akili
Ndio maana mtaishi kwa pikipiki.
Ni muthukitie ritwa rianyu biu andu a nduthi na wira uria murutaga wi bata muno
*No wonder madere wakigonga nduthi huwa hawasimami*
Akili ya watu wa duthi
kenya hakuna justice
Accident is inevitable sio kupenda Kwa mtu.i don't see the reason ya kuchoma gari.
So sad
Nashangaa watu wengy waki comment ety watu wa nduthi hawana akili na wenye wanaongea hua wanazitumia kila siku ...what about ni wewe ulikua umebebwa then gari iovertake kwa daraja na iwagonge ama nduthi inastahili ikiona gari iki overtake upepee juu ... kila mtu kwa barabara ako na right ya kua pale bila kudharauliwa mtu wenu akikufa juu ya ajali ya nduthi hua mnalaumu gari but juu si nyinyi mko hapo mnalaumu nduthi na mnaskia aliovertake kwa daraja😢
Watu wa nduthi mkue na akili , u behave so illiterate
We mwerevu unajua ata Bei ya nduthi ile day mtu wenu atagongwa akiwa kwa nduthi na gari iwagongee kwa lane yao sijui utalaumu nduthi ama gari then nani anaruhusiwa ku overtake kwa daraja
Baadala mngetokeeea twende demonstration hii unjinga mngepabana na police twende state hse
walai sai sakayo ange kuwa Uganda
Wanjinga sana