Yaani wewe kaka mungu anakuona kumuumiza dada wawatu utalipwa na mungh hapa hapa duniani utapitis maisha magumu zaidi ya huyo dada anayo yapitia naona uchungu sana kwaanayo yapitia huyo dada aron mungu anakuona
Mimi nahisi yule kaka alite mshirikisha siri yk na akamwambia asimfanyie unya,Atamwambia yule madam kuhusu hiyo mishen,na mali atazirudisha mikononi mwake,na Aron atabaki hana kitu tena😂 mie nipo hapa
Huyu Aron ni mwizi, atapokonywa Mali zote, kutokana na upuuzi wake,na iwe hivyo, hivi anafananaje,? Waweza kuta hats sura Hana ila anajisikia Tu, sasa kama hakumpenda Mali zake ulichukua za nini?
@@MakkaSaidi ndio hapo sasa kama hakumpenda tokea mwanzo angekataa kabisa kwamba madam mm moyo wangu haujalizika kuwa nawewe bas kuliko kumuumiza hivo dada wawatu ila kuna kilicho mkuta mbaka kaamua kutoa histolia bas yamemkuta mambo ngoja tuendele kusikiliza mwisho ilikuwaje
ARON CHOZI LA HUYO USIEMPENDA LITAKUTESA SANA,USINGERUHUSU MAHUSIANO UKAMUOMBA AKUWEZESHA KISHA AWE KAMA DADA NA MALI YAKE UTARUDISHA.TATIZO UMEMWAMINISHA KUWA NA WW SHAURI YAKO
Yani Mimi nipate mtu anaenipenda ivyo alafu moyo ugome!!! ningeenda kujiloga mwenyewe mpk nimpende😂😂😂 hapana chezea pesa wewe. Watu wanaenda kuua family ili wapate pesa alafu moyo unagoma kijinga jinga ivo😂😂😂😂
Inauma sana nyinyi wakaka Mungu anawaona.
Yaani wewe kaka mungu anakuona kumuumiza dada wawatu utalipwa na mungh hapa hapa duniani utapitis maisha magumu zaidi ya huyo dada anayo yapitia naona uchungu sana kwaanayo yapitia huyo dada aron mungu anakuona
Yarab tuonyeshe watu sahihi kwenye Maisha yetu insha'Allah na utuepushe na Madhwaalim kama Aron 😢
Mmmh hii Dunia 😢
Bahati kama hizo mbona hatuzipati ss jamani,😅
Dada vero tokea jana mitambo haipo sawa unakwama kwama
Aivofanya huyu mkaka sio haki kabisa ht mungu atamrudi
Hii Simulizi ni ya siku 5 tu but imempata msiimuliaji mtoa ushauri nasaha
Ila Aron una roho ngumu
Aron hasira siyo kwako kwakizazi chako waka umesahau uta wafanya watoto au wajukuu waishi kwa shida
Morohampatikani mna miezi sasa kwenye masafa ya 95.5
Mi pia nipo morogoro ila naangalia youtube
Mimi nahisi yule kaka alite mshirikisha siri yk na akamwambia asimfanyie unya,Atamwambia yule madam kuhusu hiyo mishen,na mali atazirudisha mikononi mwake,na Aron atabaki hana kitu tena😂 mie nipo hapa
Hata me nilihisi hivyo kipenz hebu wacha tusubirie picha litaisha vipi😂
Mm natamani iwe hivo ampokonye mali zote abaki hana kitu yaani azibiwe ridhiki zote akose hata pesa ya kula mshenzi huyo Aron jaman
Naiwe ivyo jamani uwezi mfanyia mwanamke
Huyu Aron ni mwizi, atapokonywa Mali zote, kutokana na upuuzi wake,na iwe hivyo, hivi anafananaje,? Waweza kuta hats sura Hana ila anajisikia Tu, sasa kama hakumpenda Mali zake ulichukua za nini?
@@MakkaSaidi ndio hapo sasa kama hakumpenda tokea mwanzo angekataa kabisa kwamba madam mm moyo wangu haujalizika kuwa nawewe bas kuliko kumuumiza hivo dada wawatu ila kuna kilicho mkuta mbaka kaamua kutoa histolia bas yamemkuta mambo ngoja tuendele kusikiliza mwisho ilikuwaje
Mmmh
Natamani kujua adhabu na mateso atayoipata aron ajute maisha yake yote,,,huyu mwanamke asije akafa kwaajili ya magum haya jmn
Binadamu inabidi tuache hii upuuzi wa “siwezi kuishi bila wewe”. Kuumia kupo ila sio hivi jamani.
Yaan wewe kaka kama unasoma hizi coment hiii dhambiii haito kutokaaa wewe n mnyama sana
We nawe mpk unaona kaleta huu tayari yameisha kheee laana zako zikupate mwenyewe
ARON CHOZI LA HUYO USIEMPENDA LITAKUTESA SANA,USINGERUHUSU MAHUSIANO UKAMUOMBA AKUWEZESHA KISHA AWE KAMA DADA NA MALI YAKE UTARUDISHA.TATIZO UMEMWAMINISHA KUWA NA WW SHAURI YAKO
We dada mwache lakini hizo mali ulizompa zintaisha na abaki maskini kabisa
Yani Mimi nipate mtu anaenipenda ivyo alafu moyo ugome!!! ningeenda kujiloga mwenyewe mpk nimpende😂😂😂 hapana chezea pesa wewe. Watu wanaenda kuua family ili wapate pesa alafu moyo unagoma kijinga jinga ivo😂😂😂😂