Kila Mwenye pumzi na akalisifu Jina La Ko eh Mungu wa Majeshi. Pongezi kwa Essence of Worship kwa kutuletea nyimbo za kumsifu Muumbaji wetu. Mungu na akawa bariki na kuwainua katika maisha yenu. Mnavyo litukuza Jina la Mungu nyi akawatukuze mbembe za wafalme wa na wakuu wa Dunia.
Hallelujah watumishi wa Bwana..... Hongera kwa kazi nzuri.....tunawapata uzuri kabisa toka Jamhuri ya Muungano wa watu wa Kalobe.....We are really blessed na huu wimbo.
Aisee mnapangilia vizuri mno... Mnafurahisha... Utukufu wa MUNGU uwafunike.. Nabarikiwa.. Jina lako litukuzwe.. kwa vinanda na vinubi twalisifu jina lako... Huhuhuuuuu❤❤❤..Essence of worship mna mafuta yenu ya utumishi🎉
Mapinduzi makubwa saaaana yamziki wa live Tz... Wimbo mkali saaaana wapiga vyombo shikamoo 'waimbaji mmeutendea haki wimbo, mwongoza wimbo una voko lahatari sound engineer pokea maua yako....
Wangap tumerudia zaidi ya mara nne bila kujali bundle wala dakika. This Man Godwin kuna kitu anaweka kwa Sauti yake.... Proper sana. Keep it Up MOG. Respect to you @Joshua Charles and @Gwamaka for this Powerful service to God.
Tuliwa miss sana kwa huo muda ambao hamkuachia nyimbo hatimaye mmetuletea kitu kikali Mungu awabariki team yote ikiongozwa na mtumishi Gwamaka Mwakalinga
Kama unabarikiwa na huu wimbo nione likes...
Kama uko pamoja na essence of worship gonga like hapa
Jina lako litukuzwe milele. If we wont worship Him, even mountains can. True...This is a blessing.
Kila Mwenye pumzi na akalisifu Jina La Ko eh Mungu wa Majeshi. Pongezi kwa Essence of Worship kwa kutuletea nyimbo za kumsifu Muumbaji wetu. Mungu na akawa bariki na kuwainua katika maisha yenu. Mnavyo litukuza Jina la Mungu nyi akawatukuze mbembe za wafalme wa na wakuu wa Dunia.
Tumekuja kulitukuza jina lako🎉 maana wewe unastahili 🙌🙌 Jina lako litukuzwe✨💃 Unastahili Jehovah 🙌
More blessed watumishi kwa kaz nzur
Iconic... this man G. O. D. W. I .N ❤❤❤🎉 the Holy spirit flows within Him. Amaizing vocals . May the name of Jesus Christ be exalted
Beautiful song
God is taking you people to another level
Watching from Kenya🇰🇪🇰🇪
Nawapenda
Peana hi kwa watu wa kiambuu
I literally have goosebumps every time nikisikiliza huu wimbo🙌🙌...kuna namna sio wa kawaida🔥
Bassist anakunywa soda gani jamani😃 so blessed.
My thinking,ana hatari sana huyu
Apewe soda kwakweli 🙌
😂😂😂
His name is John Peter ama JP bass ndo chair wa Agape Gospel band
Bassis ajuwa kazi
Hallelujah watumishi wa Bwana..... Hongera kwa kazi nzuri.....tunawapata uzuri kabisa toka Jamhuri ya Muungano wa watu wa Kalobe.....We are really blessed na huu wimbo.
From Mbeya city we glorify Lord our creator
The wordings, ambience and the coordination is on point
Wow, amazing
🙌🙏🏾🔥Hakika Jina la BWANA wetu Yesu Litukuzwe ndani yenu, nanyi ndani yake, kwa neema ya Mungu wetu na ya Bwana Yesu Kristo. 2 Wathesalonike 1:12
Bassist mambo fireeee 🔥🔥🔥🔥🔥💓🇰🇪🇰🇪
bassist on fireeeeeeeeeeee ukitumia earphone ndo utaelewa huwezi elewa kama HUNA D mbili hahahahahah
Aisee mnapangilia vizuri mno... Mnafurahisha... Utukufu wa MUNGU uwafunike.. Nabarikiwa.. Jina lako litukuzwe.. kwa vinanda na vinubi twalisifu jina lako... Huhuhuuuuu❤❤❤..Essence of worship mna mafuta yenu ya utumishi🎉
Essence of worship mweeee😂😂😂😂
Naona baba amekaa anawatazama.. Aloooo.. MUNGU anajivunia ninyi
Beautiful song asee
Litukuzwe jina lako Bwana......jina kuu kuliko majina yote.
Mapinduzi makubwa saaaana yamziki wa live Tz... Wimbo mkali saaaana wapiga vyombo shikamoo 'waimbaji mmeutendea haki wimbo, mwongoza wimbo una voko lahatari sound engineer pokea maua yako....
Eagerly waiting
much love from Zimbabwe, loving the song❤
Zvirikunzii kazen
Mungu anaketi katikati ya sifa HALLELUJAH
that music jamaaaaani nice arrangement 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
It's the trumpets for me🙌 🔥🔥
Mungu azidi kuwabariki sanaaaa Essence of Worship
Umemuona Jona wa agape
Nabarikiwa sana may God bless you 🙌🙌
Àseee noma sana bassist kaua sana
Wow beautiful song wow
Jina la Bwana litukuzwe
Wow.. jina lako litukuzwe milele. 1735..
Wangap tumerudia zaidi ya mara nne bila kujali bundle wala dakika. This Man Godwin kuna kitu anaweka kwa Sauti yake.... Proper sana. Keep it Up MOG. Respect to you @Joshua Charles and @Gwamaka for this Powerful service to God.
Am here waiting. Something anointed is about to be released. In 23 Minutes.
Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tuko ndani
Tutakosaje Yani😂ndani sanaa
Aaaah!! Hallelujah!! My brother @Godii!! This song blessed me greatly!!
Binafsi nimekwisha barikiwa
Everything is on fire, bassist,drummer,keyboard player,
Zaburi 145:21 "Kinywa changu kitazinena sifa za Bwana; Wote wenye mwili na walihimidi jina lake takatifu milele na milele"
Namkubali Sana huyo DRUMMER... "Unanibariki Sana kaka" .... "Mungu akutunze" .
Kina lakoliimidhiwe.. Hallelujah
HAYA WALIOSEMA JP 🎸 ANAPIGA SEBENE TU NJOENI MPOKEE ADHABU HUKU😂😂🔥🔥🔥 BASS LINE YA MOTO
Itabidi waheshimu😂😂
Music unatembea balaa, MD kazi nzur, na masauti kama yote duh! Utukufu kwa Bwana wetu Yesu Kristo. ❤❤❤
Powerful praise song 🔥
Wow ❤😊🤗May glory be to him🤗
Wow... Am so blessed essence of worship thank you so much Mungu hawabariki pia Sana kwa kazi nzuri mnaifanya kwa ufalme wa Mungu 🙏🙏🙏
I'm waiting for that blessing
GOD ainuliwe milele
Tuliwa miss sana kwa huo muda ambao hamkuachia nyimbo hatimaye mmetuletea kitu kikali Mungu awabariki team yote ikiongozwa na mtumishi Gwamaka Mwakalinga
Jina la bwana litukuzwee
Nilikua nawamiss tu❤
Hallelujah 🔥🔥🔥
I'm waiting now
Waiting eagerly ❤
Utukufu kwa MUNGU
Following from Eldoret Kenya 🇰🇪🇰🇪🙏🙏
Beautiful 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Heee nyie mmemsikia sololist lakini anaimba hadi goosebumps😂😂😂😂🎉🎉🎉🥰🥰🥰
One minute to goooooo🎉🔥
praise jesus 🎉🎉🎉
Mungu ainue huduma yako Godwin unaimbisha vizuri na unatumika sana Mtumishi👏🏿👏🏿
huu mziki umeenda shule nzuri kabisa
Glory is to God hakika ni ibada njema🙌🏿
🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻Unastahili kutukuzwa Bwana
Lovely mbarikiwe kwa viwango vya juu
my anthem
Yaan mimi nakosa La kusema si kwa mafuta haya 🎉🎉🎉🎉
Waiting eagerly
I cnt have enough of this praise song
Ameen Jina Lako YESU litukuzwe
Huyo jamaa ni nomaa mpk anaboaa 😂
Essence Mungu awabariki sana
Md ubarikiwe mno
I felt some thing good when I saw Minister Gwamaka is out of this poem/song. Kwamba maono yamekua/revealed.🎉
Ooh powerful
❤❤barikiwa watumishi
Mziki umelia 😊😊
Mtuwekeee na boomplay tnasbr
Lead na Bassit ❤️🔥
We Worship Jesus 🙏🙏
The dance❤️
Bassist umetishaaaa
JP bass🔥🔥🔥🔥 Mungu akubariki chairman
Hallelujah Hallelujah 🙌 🔥 🔥 🔥
😭😭🙏❤️❤️❤️such a great song
🔥 🔥🔥🔥 the Anointing wuuh
Mmbarikiwe sana
God bless you MOG
Motto 💥🔥🔥🔥
Waiting.....
JP Bass 🔥🔥🔥🤗🙌🏾
Bassist 🔥🔥🔥
❤❤ essence of worship
🔥🔥
I'm blessed ❤
Wow....Nice❤
Jpkazire tusamehe sisi tuliosema unapiga seben tuu tumekosa sisi tumekosa sana
Be blessed team
Very Nice🎹🎹🎺🎺🎺
Kwakwl it is GLORIOUS JMN
nice song
Jina lako litukuzwe
Blessed ❤
Hallelujah
❤❤🔥🔥
Amen ❤❤❤❤❤
My family