BOSS WA DOTTO MAGARI AUCHAMBUA MJENGO WA MWIJAKU AACHE UONGO SIO WA B 1.3/HARMONIZE ACHA KUJITETEA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
  • Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
    #alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
    #BinaTv #WasafiTv #ManaraTv
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 78

  • @moussaayubuchris7491
    @moussaayubuchris7491 8 หลายเดือนก่อน +8

    Boss yuko vizuri sana yani ana maneno ya busara sana kwa kweli😢 jama anaelimisha kweli kweli

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 8 หลายเดือนก่อน +10

    Uzuri huyu jamaa anamijumba kibao hivyo Kweli Mwijaku katupiga.

  • @PeterMiti-k6w
    @PeterMiti-k6w 8 หลายเดือนก่อน

    Gari yangu mbovu ila nitakuja nalo

  • @monicemedia4078
    @monicemedia4078 8 หลายเดือนก่อน +11

    Tambuu boss asie na majivuno, Allah akuifadhi inshaallah....

  • @omanmct135
    @omanmct135 8 หลายเดือนก่อน +5

    Atamimi napenda nyumbachini nizuri kuliko gorofa❤

  • @jamesmutale9302
    @jamesmutale9302 8 หลายเดือนก่อน +5

    Nimemupenda mwandishi wa Abar Yuko vizuri amekoma namaswari aropoki na maswari ya meni motivate.sawa na isa tambu Yuko vizuri namupenda anajizushusha na uko vizuli

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 8 หลายเดือนก่อน +4

    jamaa yukoo sawaa anahekima yakuongea na anahofu ya munguu ukitoa elimu ya darasni ana uweliwa mkubwa sana kuhusiana na maishaa

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 8 หลายเดือนก่อน +5

    Jamaa anajibu kwa utulivu sana na sio mlopokaji kama msomi fulani hivi

  • @iyancoba9612
    @iyancoba9612 8 หลายเดือนก่อน +3

    Unahekima sana kaka kuongea kwako tu ni somo kwetu tunao jitafuta ✊

  • @khamismsoma8698
    @khamismsoma8698 8 หลายเดือนก่อน +2

    umepita na mimi mule mule.. fundi rangi ni local sanaa hajui kazi yake.. hata fundi decoration ni fake pia..

  • @YunusiAthuman-ep5mc
    @YunusiAthuman-ep5mc 8 หลายเดือนก่อน +3

    Issa nakukubali Sana kwa busara zako

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 8 หลายเดือนก่อน +2

    Tambuu umesema kweli

  • @MzeeKweka
    @MzeeKweka 8 หลายเดือนก่อน +1

    Isa boss huna maneno ya busara na heekima,pia huna majivunomkuu.

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 8 หลายเดือนก่อน +2

    Isa umekosea kidogo sababu unajenga za kawida gorofa ujenzi wake sio mchezo ndio si kila mtu anagorofa

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 8 หลายเดือนก่อน +2

    Watu awaelewi kinacho endelea.
    Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 8 หลายเดือนก่อน

    Bro anaongea Kwa hekma Sana
    Tuige kitu kwa huyu Bwana tajir

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mwandishi wa habari yuko vizuri.

  • @jonasiedy39
    @jonasiedy39 8 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo mtangazaji akatafute kazi nyingine

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 8 หลายเดือนก่อน +4

    Boss wangu auna hata mbwembwe za mjin

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 8 หลายเดือนก่อน +5

    Nyumba ina Rangi mbili kama Ampicloxy😂😂

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 8 หลายเดือนก่อน +4

    Mashaa allah unahekma sanaa

  • @titokanubo
    @titokanubo 8 หลายเดือนก่อน +1

    kaka kile co kiwanji bar nisehem ya machimbo alinunua shimo

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 8 หลายเดือนก่อน +3

    Issa uko poa sana aiseee

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 8 หลายเดือนก่อน +2

    Tajiri ana jielewa sana asee

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 8 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ndo nyamwiga asie na baya

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 8 หลายเดือนก่อน +3

    Tambuu Tajr huna baya boss umepoa xn huna mbwembwe nakkubar

  • @Amanikizota
    @Amanikizota 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nawapata vzur nikiwa Mozambique 🇲🇿

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂👏👏..Hata mimi mwenyewe...tokea mbali huku..nilivyoitazama tu.....nikajua....hhh

  • @PeterMiti-k6w
    @PeterMiti-k6w 8 หลายเดือนก่อน

    Issa tambuu nakuelewa sana mimi nipo songea ila nakufatilia na jina lako nalitangaza huku songea

  • @PeterMiti-k6w
    @PeterMiti-k6w 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nagari yangu ya 250000 nimekuandika issa tambuu auna ngwengwe upo smatt sana kuna siku nitakuja kinondoni nikutane na wewe issa tambuu

  • @edwinmeenda9171
    @edwinmeenda9171 8 หลายเดือนก่อน +2

    Issa upo vizuri bro safi sana

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 8 หลายเดือนก่อน +4

    Hapana ile ghorofa inazd milion 150 inawezekana kufka had 400-500

    • @GetrudeMajaliwa
      @GetrudeMajaliwa 8 หลายเดือนก่อน +3

      We nyumba ya million 400 unaijua kwel au unaisikia tu😂

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 8 หลายเดือนก่อน

      ile nyumba ni 200ml

    • @DenisyMhozya
      @DenisyMhozya 8 หลายเดือนก่อน

      Ile ikizid 140

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 8 หลายเดือนก่อน

      Anababaika kwa sababu ni ghorofa eti​@@GetrudeMajaliwa

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 8 หลายเดือนก่อน +1

    But why debate about it? Nyumba ya Mwijaku let him be! whether katudanganya or not what is the big deal???

    • @khamisjohn7639
      @khamisjohn7639 8 หลายเดือนก่อน

      It becomes a big deal because Mwijaku himself made it public. Watu katika jamii wana ndoto za kujenga so over exaggeration ni hatari mno kwani watu wengine watakata tamaa completely. Imagine mtu ana mil. 400 amejipanga kujenga ghorofa then kama ile ya kawaida kiasi kile anaambiwa inabidi awe na 1.3 billion??????

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 8 หลายเดือนก่อน

      @@khamisjohn7639 that would be the power of blindness talking

  • @NorascoKipeto
    @NorascoKipeto 8 หลายเดือนก่อน

    huyu jamaa makini sana, katutia moyo, tunaweza ila bwana mwija, alikuwa anavunja moyo, kwanza mwija kaponda nyumba za chini, kakosea,

  • @ReyzDon
    @ReyzDon 8 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa amenyoka kama Lula

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂hapana bhana inafika mia 300 ile

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 8 หลายเดือนก่อน

    Pia Mimi nishasema Wemba kaongeza Sana hiyo ni 135M wajenzi tunaelewa Kila kitu

  • @emmanueljisendi8928
    @emmanueljisendi8928 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa Issa tambuu hata ukiwa na milioni 5 anakusikiliza na anaukuzia gari tofauti na chawa wake

  • @Mainda-q5b
    @Mainda-q5b 8 หลายเดือนก่อน +1

    Na hapa ipo

    • @Mainda-q5b
      @Mainda-q5b 8 หลายเดือนก่อน +1

      Issa Tambuu mara zote nikimsikiliza huwa ananyooka sana

  • @medidaudi8335
    @medidaudi8335 8 หลายเดือนก่อน

    Ma boss watulivu hawanag maneno mengi hua wanatulia

  • @MtumbaOG
    @MtumbaOG 8 หลายเดือนก่อน +4

    Brother Issa Salute kwako Allah akujalie kheri Insha-Allah

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 8 หลายเดือนก่อน +4

    Issa hata wewe umetudanganya ile nyumba haiwezi kuwa na samani ya 150

    • @frankngoloka2589
      @frankngoloka2589 8 หลายเดือนก่อน +1

      Inawezafika na zaidi gharama za ujenzi ziko juu

    • @YustoMlay-cv4zb
      @YustoMlay-cv4zb 8 หลายเดือนก่อน +1

      Inafika 350m+

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 8 หลายเดือนก่อน +7

    Milioni 150 huwezi kuijenga ile nyumba. Nina mashaka ya uzoefu wako ndugu Issa.

    • @emmanuelbarnabas2577
      @emmanuelbarnabas2577 8 หลายเดือนก่อน +1

      Yupo sahihi mzee

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 8 หลายเดือนก่อน

      @@emmanuelbarnabas2577 Sasa kama kiwanja pekee ni kati ya mil 25 hadi 30, hiyo nyumba ndio iwe milioni 150. Labda mimi bado niko usingizini.

    • @andrewIzdory-sk4cu
      @andrewIzdory-sk4cu 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ikizidi sana mil. 170, no more money

    • @allynguba2579
      @allynguba2579 8 หลายเดือนก่อน +1

      Nafikili watu awajui kila maisha yanavyoenda na huu ujenzi na ghalama inapungua tofauti na zamani vijana tupambane ndomana SA ujenzi wa gholofa rahisi sana so nasisi tutafika tuu

    • @zuberikamote2078
      @zuberikamote2078 8 หลายเดือนก่อน +2

      Sikuzote km hujajenga ndio utona gharama ila kwa wanaojua ujenzi million 100 ninyingi sana nghrofa ni nondo zamilimeta kubwa hzo ndio zinasimamisha ghorofa

  • @AshroffBrown
    @AshroffBrown 8 หลายเดือนก่อน +2

    Broh nyumba ya mwijaku sio chini ya milion mia 7 mi kama engineer

  • @gilbertfuria5817
    @gilbertfuria5817 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kizimkazi

  • @devgodfrey
    @devgodfrey 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hello hellooo pita kule😅

  • @koffianodichisesa238
    @koffianodichisesa238 8 หลายเดือนก่อน

    Huna baya boss

  • @titokanubo
    @titokanubo 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂nakubar fund

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 8 หลายเดือนก่อน

    Your boss ni wivu

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mbwen nyumba zipo ila kigambon zaid kibada kuna kufuru broo acha kabisa

    • @pharesdismas8876
      @pharesdismas8876 8 หลายเดือนก่อน +1

      Upajui mbweni ww tulia

    • @Wiseoneclassic
      @Wiseoneclassic 8 หลายเดือนก่อน +1

      Hapajui mbweni ahafika

    • @AlbertHenry-gq5rd
      @AlbertHenry-gq5rd 8 หลายเดือนก่อน +1

      Mmemjibu vizur hajawahi fika mbweni

    • @karimjuma4019
      @karimjuma4019 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@AlbertHenry-gq5rd iyo mbwen haiingi kibada mara hata mia jaman ivi mnapajua block 16 au mnaongea tu ?

    • @JosephMilinga-nl4zh
      @JosephMilinga-nl4zh 8 หลายเดือนก่อน

      Ujafika mbweni mkuu, jaribu kupita uone mahekaru