BOSS WA DOTTO MAGARI AUCHAMBUA MJENGO WA MWIJAKU AACHE UONGO SIO WA B 1.3/HARMONIZE ACHA KUJITETEA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv - บันเทิง
Boss yuko vizuri sana yani ana maneno ya busara sana kwa kweli😢 jama anaelimisha kweli kweli
Uzuri huyu jamaa anamijumba kibao hivyo Kweli Mwijaku katupiga.
Gari yangu mbovu ila nitakuja nalo
Tambuu boss asie na majivuno, Allah akuifadhi inshaallah....
Atamimi napenda nyumbachini nizuri kuliko gorofa❤
Nimemupenda mwandishi wa Abar Yuko vizuri amekoma namaswari aropoki na maswari ya meni motivate.sawa na isa tambu Yuko vizuri namupenda anajizushusha na uko vizuli
jamaa yukoo sawaa anahekima yakuongea na anahofu ya munguu ukitoa elimu ya darasni ana uweliwa mkubwa sana kuhusiana na maishaa
Jamaa anajibu kwa utulivu sana na sio mlopokaji kama msomi fulani hivi
Unahekima sana kaka kuongea kwako tu ni somo kwetu tunao jitafuta ✊
umepita na mimi mule mule.. fundi rangi ni local sanaa hajui kazi yake.. hata fundi decoration ni fake pia..
Issa nakukubali Sana kwa busara zako
Tambuu umesema kweli
Isa boss huna maneno ya busara na heekima,pia huna majivunomkuu.
Isa umekosea kidogo sababu unajenga za kawida gorofa ujenzi wake sio mchezo ndio si kila mtu anagorofa
Watu awaelewi kinacho endelea.
Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.
Bro anaongea Kwa hekma Sana
Tuige kitu kwa huyu Bwana tajir
Mwandishi wa habari yuko vizuri.
Huyo mtangazaji akatafute kazi nyingine
Boss wangu auna hata mbwembwe za mjin
Nyumba ina Rangi mbili kama Ampicloxy😂😂
Mhm Jose 😂😂😂
Mhm Jose 😂😂😂
😂😂😂😂
Mashaa allah unahekma sanaa
kaka kile co kiwanji bar nisehem ya machimbo alinunua shimo
Issa uko poa sana aiseee
Tajiri ana jielewa sana asee
Huyu ndo nyamwiga asie na baya
Tambuu Tajr huna baya boss umepoa xn huna mbwembwe nakkubar
Nawapata vzur nikiwa Mozambique 🇲🇿
😂👏👏..Hata mimi mwenyewe...tokea mbali huku..nilivyoitazama tu.....nikajua....hhh
Issa tambuu nakuelewa sana mimi nipo songea ila nakufatilia na jina lako nalitangaza huku songea
Mimi nagari yangu ya 250000 nimekuandika issa tambuu auna ngwengwe upo smatt sana kuna siku nitakuja kinondoni nikutane na wewe issa tambuu
Issa upo vizuri bro safi sana
Hapana ile ghorofa inazd milion 150 inawezekana kufka had 400-500
We nyumba ya million 400 unaijua kwel au unaisikia tu😂
ile nyumba ni 200ml
Ile ikizid 140
Anababaika kwa sababu ni ghorofa eti@@GetrudeMajaliwa
But why debate about it? Nyumba ya Mwijaku let him be! whether katudanganya or not what is the big deal???
It becomes a big deal because Mwijaku himself made it public. Watu katika jamii wana ndoto za kujenga so over exaggeration ni hatari mno kwani watu wengine watakata tamaa completely. Imagine mtu ana mil. 400 amejipanga kujenga ghorofa then kama ile ya kawaida kiasi kile anaambiwa inabidi awe na 1.3 billion??????
@@khamisjohn7639 that would be the power of blindness talking
huyu jamaa makini sana, katutia moyo, tunaweza ila bwana mwija, alikuwa anavunja moyo, kwanza mwija kaponda nyumba za chini, kakosea,
Jamaa amenyoka kama Lula
😂😂hapana bhana inafika mia 300 ile
Pia Mimi nishasema Wemba kaongeza Sana hiyo ni 135M wajenzi tunaelewa Kila kitu
Huyu jamaa Issa tambuu hata ukiwa na milioni 5 anakusikiliza na anaukuzia gari tofauti na chawa wake
Na hapa ipo
Issa Tambuu mara zote nikimsikiliza huwa ananyooka sana
Ma boss watulivu hawanag maneno mengi hua wanatulia
Brother Issa Salute kwako Allah akujalie kheri Insha-Allah
Issa hata wewe umetudanganya ile nyumba haiwezi kuwa na samani ya 150
Inawezafika na zaidi gharama za ujenzi ziko juu
Inafika 350m+
Milioni 150 huwezi kuijenga ile nyumba. Nina mashaka ya uzoefu wako ndugu Issa.
Yupo sahihi mzee
@@emmanuelbarnabas2577 Sasa kama kiwanja pekee ni kati ya mil 25 hadi 30, hiyo nyumba ndio iwe milioni 150. Labda mimi bado niko usingizini.
Ikizidi sana mil. 170, no more money
Nafikili watu awajui kila maisha yanavyoenda na huu ujenzi na ghalama inapungua tofauti na zamani vijana tupambane ndomana SA ujenzi wa gholofa rahisi sana so nasisi tutafika tuu
Sikuzote km hujajenga ndio utona gharama ila kwa wanaojua ujenzi million 100 ninyingi sana nghrofa ni nondo zamilimeta kubwa hzo ndio zinasimamisha ghorofa
Broh nyumba ya mwijaku sio chini ya milion mia 7 mi kama engineer
Bei ya kiwanja
150 Hadi 200. Haizidi 200
Kizimkazi
Hello hellooo pita kule😅
Huna baya boss
😂😂😂😂nakubar fund
Your boss ni wivu
Mbwen nyumba zipo ila kigambon zaid kibada kuna kufuru broo acha kabisa
Upajui mbweni ww tulia
Hapajui mbweni ahafika
Mmemjibu vizur hajawahi fika mbweni
@@AlbertHenry-gq5rd iyo mbwen haiingi kibada mara hata mia jaman ivi mnapajua block 16 au mnaongea tu ?
Ujafika mbweni mkuu, jaribu kupita uone mahekaru