Uyuuu jamaaa nimekugundua hana cha kusema maan kaguswa pabayaa alafuu piaa. Mdomo mwingii , ilaa ina maishaa magumuu 😂😂ila ndugu zake wanampelekaa mjinii b levoo bar hanagwaaa Huyuuu heheebheeheheee 😅😅😅😅
Huyu hawamuezi kitu kimoja huyu mualisia hafichi na hafake na watu wote wanamuona anauza magari dalali na anapata Sana matangazo watu wanamueleww hao wengine hawaeleweki kazi zao shughuli zao ni kulelewa sana mjini kulipiwa kulipiwa Kila kitu then huyu wa mjini sana na kuongea hawamuezi go on dotto u will be another lever soon mdogo wangu
Doto tuonee huruma kila nkiingia mtandaoni we ndio wa kwanza kukuangalia, Big up bro
Uy jamaa angepata elimu
@@SaimonEmmanuel-h9t Yani angekuwa tishio aanzie English course tu mjini watu watahama
Yan ata mm napenda sana kumuangalia
mnaoshindana na mzaramo nawapa pole, hawa jamaa kumlomo ndo kipaji chao 🤣🤣🤣🤣🤣
DOTTO Europe tunakukubali from München
Huyu mwamba ashakuwa mtu mkubwa ni miongoni mwa watanzania 🇹🇿 wenye ushawishi mkubwa mitazamo babu kubwa mtu sio nyau👍
Kabisaaa Yani
DAH JAMAA ALIE ENDA KWAKO MWANANYAMALA KUMBE "PANCHA"😂😂😂😂
Doto magari 😂😅 big up broo hawakuwezi wale wote wana maisha ya kufeki wewe mzawa halisi babkubwa broo
Kwan Mwalimu and Shira GANI Mbona anadharau HUYU MTU teaching is a noble proffesion Kweli atakuwa hajasoma ndo maana anadharau walimu.
Daa jamaa anaongea huyu hatariiii
Si mzarami🤣🤣🤣
Iforensa brother sisi tunakuelewa...
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿 Big up 🔥🔥🔥🔥 DOTTO MAGARI 😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣dotto anatufurahishaaa😂😂 eti mirunzi😅😅😅
Dotto nakukubali sana mwamba❤❤❤❤
Uyuuu jamaaa nimekugundua hana cha kusema maan kaguswa pabayaa alafuu piaa. Mdomo mwingii , ilaa ina maishaa magumuu 😂😂ila ndugu zake wanampelekaa mjinii b levoo bar hanagwaaa
Huyuuu heheebheeheheee 😅😅😅😅
Na hapa ipooooo😅😅😅😅
akiinama anapiga mruzi 😂😂😂
DOTTO WETU HUKU EUROPE TUNAKUPEDA
Hili jamaa hawaliwezi Dotto shindikanaaaa
Doto magari hatali sana kiboko
Hahahahaha mwalimu kafanyaje😂😂😂😂😂😂❤❤
KONTEKT.....😂😂😂😂 DOTO MSENGE SANA
Mkubali huyu jamaa yanii
Huyu hawamuezi kitu kimoja huyu mualisia hafichi na hafake na watu wote wanamuona anauza magari dalali na anapata Sana matangazo watu wanamueleww hao wengine hawaeleweki kazi zao shughuli zao ni kulelewa sana mjini kulipiwa kulipiwa Kila kitu then huyu wa mjini sana na kuongea hawamuezi go on dotto u will be another lever soon mdogo wangu
Ila doto , 😂😂😂😂😂😂 noma sana
Eti baba levo kakatiwa umeme 😮 kwani bd Kuna umeme unaokatwa jamani au Mimi Niko nyuma ya sayari hii ya ndio maana Sina taarifa
Hizi hasira ni za kuambiwa ukweli.binzari lkn maisha 0 ufifeki maisha.
But he has never faked his lifestyle from the word go unless you are just a hater 😏
Doto aja fake maisha yani awamuwezi napa ipo 😂
Nakukubali sana mzee wa kizikazi
Ukiinama unapiga mluzi 😂😂😂😂 lazima uliogope gholofa😂😂😂
Mwambieni dotto aseme neno influencer Mara 10
Halisaidiii
Doto jeshi la mtu mmoja😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Doto ndio faraja ya Tanzania 😂😂😂
Ukiinama unapiga mruzi 😅😅 huyu kweli mzaramo 😂😂
Gari ya milion 40 chumba cha kupanga cha laki mbili kwa mwezi haya Lets see next episod😂😂
" ubalozi wa majusi 🤣🤣🤣🤣🤣 " kweli Dotto magari "
Mtoto wa mama kizimkazi
😂😂😂😂😂 Ati ukiinama unapiga mluzi ndio waogopa nyumba ya gorofa tz sitaacha kuwasikiza
Awe dogo noma 😂😂😂😂
Mwambie juma lokole aje mkapime serekali ijue nani mwanaume kati yako na yeye
Wapangaji wako wan shida wakichelewa kulipa pango ahaha
Anatembea na sandosi km mwalimu Hassani 😂😂😂😂
Inflolensa sio influencer 😂😂
Wewe ni mrarahoi tuuu kama sisi mbona tumerizika
Jamaa ako n confidant Atari yani n fluezer
Pambana dotto magar
Wachane hao we in ukweli kabisa
Kumesha haoooo machoko
Kwamba punga😅😅😂😂
Bon hiya hiya😂
Uyujama hawamiwz wauche😂😂😂😂
Na hapa ipo one doto magali 🤣🤣🤣
Baba levo kapata kiboko yake Sasa hivi
Kabisaaa
maji yakitoka mapovu.pancha hyo😅😅
Jamaa anatumia nguvu nyingi kujieleza tumejua wew huna lako
Mzaramo kalonga
Mtu akifikiwa nyumbani kwake lazima awe mkali
Doto unalala ukweni wewe usitudanganye
dotto ❤
Haruke kichura churaa😂😂
Mzaramu kulonga ndio asili Yao wameyakanyaga
😂😂😂
Japo na Mimi natak nije ninunue gali kwako
Infolensa 😅😅
Mzaramo mjanja
Mruzi gani😂😂😂😂
Hawakuwezi
contect kwel doto 😅😅😅
Dotto ❤😂
😂😂😂mzalamo
Dotto wewe unatupa madini naapa ipo
Contact?
Na yule puwa refu
Eti contect hahahahaa😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 doto et mruzi
Na ww mbn unawataja 😂😂
Wanatajana halafuuu wakikuranaaa qanagongaaa cheasi
HV MRUZI NDIO NNI
Ushuzi
Atarudi kuchezea vumbi la chaki Msorwa
Hahahahahaha
Ss pesa halfu una chumba na sebure
😊s
Contect 😂
😅😅
😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Hehehehehe
😅😂
Haha
😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂