I cried ... couldn't eat..prayed .. when I saw that video of Rose..I know God will make her rise again. God bless you Anastasia. It's not in vain. All will be well... Willy be blessed ...you have make sure to Get real truth. .Most of media personalities wameoza akili especially wa Tanzania
I do not know you sister but I love the way you are led by the Holy Spirit- God bless you-you are quite an inspiration. I wish all of us Christians emulated you. Oh my!
The grace of God is so sufficient even in the most difficult situations. Big up Anastacia, this is the true meaning of friendship. Kenyans, we love Rose Muhando, we will always stand by her no matter what!
Waweru Sarah :our Sister Rose Muhando Hz been judged wrongly by many. may God heal her & allow her to Testify upon The goodness of The Lord.🙏 Father in Heaven, Redeem ur servant Rose for The Glory of your Name, In Jesus'name I pray🙏AMEN.
Mungu awabariki wote wanaochangia Kwa namna moja au nyingine kuhakikisha kuwa anarudi katika hali yake mwanzoni. Haya ni mapito tu. Dada Wa watu atapona tu kwa jina la Yesu!
Amina , Amina 🙏 rafiki wa kweli wakati wa shida yako , Mungu akubariki dada anna na dada yetu rose bwana aendeleze uponyaji wake hakuna kinacho mshinda muumba bingu na dunia na vyote tuvionavyo , yeye ni jana na leo kama alimponya ayubu na kumbariki atashindwa nini kwa rose 🙏 Tunarudisha nguvu na heshima kwako baba , kiti chako kiko mahali pa juu sana umezungukwa na utukufu 🙏 Tunakuitaji mchana na usiku
Amina sana Anastazia Mungu akubariki kwa maneno yako ya busara. Hakika Mungu wetu ni mkuu yeye ndiye awezaye kuponya na kuokoa. Hakika ametenda juu ya Rose Mhando. Ahimidiwe Jehova
Ooh i even cried God bless u dada Anna...Yesu akutetee na kupigana na wote wanao pingana nawe katika hili..na muombea Rose since nmeona video..MUNGU AKUBARIKI MNO.
God please heal rose coz we still need her for more deliverance of many Souls..rem she's is your chosen one among many..sometimes I don't eat when I think of mama Rose..it pains my hrt bt what I know is we serve a big God who never fails..quick recovery mum
A lot of heavenly blessings to you sister Anastasia....May God see you through and bless the work of your hand......for sure He alone knows our future...Humbly plz don't be tired of what God as choosen you to be in the life of sister Rose.........May God help you,hold your hand as you accomplish this great mission...Sister many are the words of men but God as the final word.Job went through a hard situation but he never gave up.....plz on your next visit tell my sister Rose never to loose hope...she as a great mission ahead... And she should be brave as the lioness of fierce.......
Mungu akubariki sana Anastacia pia Namuombea Rose Muhango uponyaji wa haraka. Watanzania watangoja umbea wao utimie bt Mungu atawaibisha. Mie ni kenya from Gulf
Be blessed Annastacia it takes a Godly heart to do all this. Umesema vyema tusiwe wa haraka kusambaza au kuhukumu atujui mapito yetu Itakuwa vipi. Kama wimbo inavyo sema tukimwona mwezetu anashida tu muombe. Tumkumbuku dada Rose Muhando kwenye maombi.
Annastazia MUNGU akubariki sana kwa kazi nzuri tumeitwa na MUNGU kuinuana na sio kuchekana Leo kwa Rose lkn hatujui kesho itakuwa kwa nani. Asante kwa kuujenga mwili wa kristo
Thank you very much name sake for assisting our sister Rose! Wewe Mungu atakubariki zaidi mpaka ushangae!You've also thot me that l should have a heart of helping ppl bcoz When Rose was assisting you to reach where you are 2day,she didn't know one day you will help her to get to the Hospital, will continue to pray for her, and this time round akipona Nyimbo zake nitakua fire!
you made tears came over my cheeks today is Rose,!?!*&% tomorrow? that's the life in the world there are mountains and valleys,. thanks Ann, thanks Mr. speaker, sorry for laghters People let's pray for sister and mother Rose Muhando ,, "Rossy wherever you are may the Lord raise you in Jesu's Name amen" Bernard in Kampala Uganda.
Love yu Ana, unaongea kwa hekima na kwa akili sana. Mungu akuzidishie hekima hiyo. Tuendelee kumuombea. Penda wewe saaaaaaaaaaana. Akitoka hospitali mbane sana asiongee chochote kwenye media, atulie kwanza. atakachompa Mungu kuongea ndo aongee ikiwezekana atulie kabisa
Kila jambo Lina mwanzo na mwisho na kila kipindi na watu wake Kama kipindi Cha Nuhu kikapita Cha Musa kikapita na Yohana mbatizaji na Yesu pia kikapita mbona hamuendi na nyakati don't force donkey to drink water huu wakati Mungu anainua wengine
Dada Anacitancia Mungu akubariki saana kwa kukubali Mungu kukutumia kumsaidia Rose mtumishi wa Mungu,kazi yako si bure,nimeiona hekima ya Mungu kwako,Kristo Yesu akusimamishe panapo nafasi from Tanzania
Ameen,Ameen Anastacia Mungu akubariki a uponyaji uwe juu ya Dada yetu,Mwimbaji wetu Rose.Eeeh Mungu wape ujasiri Familiya yake kipindi hiki cha matibabu yake,Ameeeeeen.
Dada Anastasia ni mungu tu anajua kile umetenda.Dada Rose anahitaji UPENDO sio kuthalilishwa.Nyimbo zake zimekuwa nguso kwa wokovu wangu.Mungu akubariki sana
Asante sana Anastacia Mukabwa Mungu na akubari pamoja huyo mwana habari kwa kufanya roho i yangu itulie na za wengine wanao mpenda Rose tuzidi kumuombea Rose Mungu atatenda jambo kwa kuwa hakuna jambo ngumu kwake
We need media like this one short and clear thank u dada Anastasia for taking care of her na wengine waimbaji wote muungu azidi kuwa nanyi na ahibariki kazi ya mikono zao. Pia nami pia bado nazidi kumweka kwa maombi na mungu atasimama nayeye kwakila Jambo
May God bless you Anastacia for showing and doing what a true friend should.Rose is rising up again. The righteous falls seven times but rises again.The Lord heal and restore Rose.
And he send his word and healed my disease,by thy stripped we are healed and it cannot be otherwise....we as believers we believe in healing and perfect health...and because sickness is not excluded from believers since it is an oppression from the devil we will go by the current situation but we will stand by with the word of God that we are healed...yes Rose is healed in Jesus name
God's grace is sufficient. May God intervene. We love Rose Muhando. Our heavenly Father, May you heal Rose Muhando. You're loving God. Forgive her, her sins.
Mungu na amlinde mama yangu Rose; kwani nyimbo zake ni za kumfanya kila mmoja wetu awe kwenye njia sawa ya kumfuata Jalali. Mungu akubariki pia Mama yangu Anastacia.
Asante sana mwana wefwe, kutuambia hali ya Rose, aki tangu Rose apatane na majanga haya, nmelia sana kiukweli, kuna wimbo yake waitwa, Ee Mungu Wangu Nitakushukuru, erikiboshalo Mungu unaitika, aki napenda huo wimbo, Mungu amkumbuke dadayetu, arudi qwa huduma wakuimba tena, Anastasia karibu tena Budalangi again
....Nipishe nipite song, ....Hivyo ndivyo ulivyo song...Babeli...Salama salama kwa Yesu. We know God is transforming her daughter. May God's will be done.
Damu ya Yesu ilio mwagika msalabani ina guvu nyingi sana na inaponya. na achilia uponyaji wa Yesujuu ya maisha ya Rose muhando Anastasia mungu akubariki sana kwa kutumikia hekima
Huyu mama abarkiwe juu mungu amemtumia kwa haki naukweli nawaombea maisha marefu sana kisha wakuje kuungana hao wawili watoe nyimbo nawata barkiwa kwa jinaka yesu muokozi wetu....
be blessed Ann, and healing is your portion Rose, cha Mungu ni cha Mungu tu na hakuna kitakacho jaribu mipango ya Mungu, eee Mungu utukufu ni wako tu, na mataifa watajua kuwa ni wewe tu uliye na mamlaka dunia yote.
When moses' hands became heavy,Aaron and Hur supported his hands....My sister Annastacia its ur turn to support the hands of ur sister Rose....thats why God directed rose to u....may the Lord giv u courage and strength to go about thz,I knw he will never leave u alone.am together wit u in my prayers!
MUNGU akubariki sana dada,,,ANASTANSIA ZAIDI MIMI BINAFSI NAKUOMBA MTUMISHI WA MUNGU ANASTANCIA USIMUWACHE DADA ROSE MUHANDO KWA VYOVYOTE MUSAIDIE ZAIDI HADI ARUDI SAWA TUNAZIDI KUMUOMBEA KILA WAKATI MUNGU ATAMPONYA IN JESUS NAME
Dada Anacitancia Mungu akubariki saana kwa kukubali Mungu kukutumia kumsaidia Rose mtumishi wa Mungu,kazi yako si bure,nimeiona hekima ya Mungu kwako,Kristo Yesu akusimamishe panapo nafasi from Tanzania
I cried ... couldn't eat..prayed .. when I saw that video of Rose..I know God will make her rise again. God bless you Anastasia. It's not in vain. All will be well... Willy be blessed ...you have make sure to Get real truth. .Most of media personalities wameoza akili especially wa Tanzania
Amen
Mungu azidi kukupa ujasiri Dada mukabwa uendelee kumhudumia Rose na Yesu akamponye!
I do not know you sister but I love the way you are led by the Holy Spirit- God bless you-you are quite an inspiration. I wish all of us Christians emulated you. Oh my!
The grace of God is so sufficient even in the most difficult situations. Big up Anastacia, this is the true meaning of friendship. Kenyans, we love Rose Muhando, we will always stand by her no matter what!
Waweru Sarah :our Sister Rose Muhando Hz been judged wrongly by many. may God heal her & allow her to Testify upon The goodness of The Lord.🙏 Father in Heaven, Redeem ur servant Rose for The Glory of your Name, In Jesus'name I pray🙏AMEN.
Waweru Sarah ❤
It's true
th-cam.com/video/bZnxs0hPyhQ/w-d-xo.html
@@saadmaridadi7743 th-cam.com/video/bZnxs0hPyhQ/w-d-xo.html
This is what we call true friendship,God bless you our sister and rose will be on her feet again
Asanteni sana wa Kenya kwa kujitolea kumsaidia Rose. Huo ndio undugu. Thumbs up!
Mungu awabariki wote wanaochangia Kwa namna moja au nyingine kuhakikisha kuwa anarudi katika hali yake mwanzoni. Haya ni mapito tu. Dada Wa watu atapona tu kwa jina la Yesu!
Mungu awabariki wote wanaomsadia rose kwa kifedha na maobi
I am the Lord that healeth thee...I am the Lord your healer..Gods Message to Rose Muhando🙏🙏🙏🙌🙌
God bless you Mukhana,you are Rose's Elizabeth,keep it up dear. I still pray for Rose she was a big blessing to me.
Fanya kazi Ya Mungu dada, Na baraka ni zirunde Mungu . Quick recovely Our one n only Rose Muhando .
Ahsante mtangazaji kwa taarifa nzuri pia umeitendea kazi tasnia yako.
Dada Annastazia,we are happy for you.May God bless you abundantly..
From Tz
Rose you will not die,,you will live to declare the goodness of God in the land of living
Huyo mwana muziki shujaa ningependa apelekwe kwa prophet tb joshua church of all nations nigeria.Mungu amuonekanie
Mungu mwenye rehema akubariki Annastacia😢you are one in a million
Amina , Amina 🙏 rafiki wa kweli wakati wa shida yako , Mungu akubariki dada anna na dada yetu rose bwana aendeleze uponyaji wake hakuna kinacho mshinda muumba bingu na dunia na vyote tuvionavyo , yeye ni jana na leo kama alimponya ayubu na kumbariki atashindwa nini kwa rose 🙏 Tunarudisha nguvu na heshima kwako baba , kiti chako kiko mahali pa juu sana umezungukwa na utukufu 🙏 Tunakuitaji mchana na usiku
Amen 🙏 sifa zote zimurudirie mwenyezi Mungu kwa kumu chunga dada Rose Muhando natunaendelea kumuombea uponyaji katika jina la Yesu
God extend your healing powers to dada Rose Muhando. Willy na dada Anastacia God bless u for clearing the air
God is good all the time.....may God bless u Anastasia... quick recovery dada Rose.
Amina sana Anastazia Mungu akubariki kwa maneno yako ya busara. Hakika Mungu wetu ni mkuu yeye ndiye awezaye kuponya na kuokoa. Hakika ametenda juu ya Rose Mhando. Ahimidiwe Jehova
Amina
It is well...
Ooh i even cried God bless u dada Anna...Yesu akutetee na kupigana na wote wanao pingana nawe katika hili..na muombea Rose since nmeona video..MUNGU AKUBARIKI MNO.
God please heal rose coz we still need her for more deliverance of many Souls..rem she's is your chosen one among many..sometimes I don't eat when I think of mama Rose..it pains my hrt bt what I know is we serve a big God who never fails..quick recovery mum
Asante mama Ann Mungu akubariki kwa yote na uzidi kuwa na moyo hyo, tunamwombea mama wetu wa kuroho rose apone na aendelee na kazi ya Mungu
A lot of heavenly blessings to you sister Anastasia....May God see you through and bless the work of your hand......for sure He alone knows our future...Humbly plz don't be tired of what God as choosen you to be in the life of sister Rose.........May God help you,hold your hand as you accomplish this great mission...Sister many are the words of men but God as the final word.Job went through a hard situation but he never gave up.....plz on your next visit tell my sister Rose never to loose hope...she as a great mission ahead... And she should be brave as the lioness of fierce.......
Get well soon dear Rose Muhando we love you and be blessed Annastazia kwa uliyofanya kwa Rose Mungu akulipe mema dada nakupenda sana.
Mungu akubariki sana Anastacia pia Namuombea Rose Muhango uponyaji wa haraka. Watanzania watangoja umbea wao utimie bt Mungu atawaibisha. Mie ni kenya from Gulf
Be blessed Annastacia it takes a Godly heart to do all this. Umesema vyema tusiwe wa haraka kusambaza au kuhukumu atujui mapito yetu Itakuwa vipi. Kama wimbo inavyo sema tukimwona mwezetu anashida tu muombe. Tumkumbuku dada Rose Muhando kwenye maombi.
Love you Anastasia mpende rozi Sana twangoja nyimbo wew na rozi muhando
Amen Anastasia mungu akubariki akuzidishie mno.
Quick recover sister rose in jesus name
MUNGU akubariki hadi ushangae Dada Anna, your are true friend for sure, hakuna silaha iliyoinuka kinyume chenu itakayofanikiwa kamwe!!!
Wah! Hio testimony kubwa Sana mungu akubless Sana dada annastacia 🙏🙏
Mungu akusimamie Dada Anna, naamini Mungu hashindwi na kitu atamponya.
God bless you Annastaciah Mukabwa.
May God heal Rose muhando .
She has been a blessing to many
Mungu akubariki dada...Mm nampenda sana Rose Muhando.Namuombea Mungu amponye.
Quick recovery Rose Muhando and God bless you Annstacia❤️
quick recovery Dada yetu Rose
Quick recovery rose muhamdo God bless
Ana God bless...you are a true friend....rafiki wa dhati.....Rose will come out stronger...and i love the song by Anna and Rose
Annastazia MUNGU akubariki sana kwa kazi nzuri tumeitwa na MUNGU kuinuana na sio kuchekana Leo kwa Rose lkn hatujui kesho itakuwa kwa nani. Asante kwa kuujenga mwili wa kristo
Mungu yu Enzini..Asante Dada Anastacia kwa huduma yako, Mungu akubariki..Rose atatoboa kwa Jina la Yesu
Love you mum anastacia you did well God bless you
tunakupendasana
Be blessed Anastasia ,Dada Rose muhando ,Mungu Wa mbinguni aachilie uponyaji juu yako,kwa jina la yesu christo
Thank you very much name sake for assisting our sister Rose! Wewe Mungu atakubariki zaidi mpaka ushangae!You've also thot me that l should have a heart of helping ppl bcoz When Rose was assisting you to reach where you are 2day,she didn't know one day you will help her to get to the Hospital, will continue to pray for her, and this time round akipona Nyimbo zake nitakua fire!
you made tears came over my cheeks today is Rose,!?!*&% tomorrow? that's the life in the world there are mountains and valleys,. thanks Ann, thanks Mr. speaker, sorry for laghters People let's pray for sister and mother Rose Muhando ,, "Rossy wherever you are may the Lord raise you in Jesu's Name amen" Bernard in Kampala Uganda.
Love yu Ana, unaongea kwa hekima na kwa akili sana. Mungu akuzidishie hekima hiyo. Tuendelee kumuombea. Penda wewe saaaaaaaaaaana. Akitoka hospitali mbane sana asiongee chochote kwenye media, atulie kwanza. atakachompa Mungu kuongea ndo aongee ikiwezekana atulie kabisa
Amina, ni kweli kabisa !
Kila jambo Lina mwanzo na mwisho na kila kipindi na watu wake Kama kipindi Cha Nuhu kikapita Cha Musa kikapita na Yohana mbatizaji na Yesu pia kikapita mbona hamuendi na nyakati don't force donkey to drink water huu wakati Mungu anainua wengine
Me too penda wewe sanaaa..msijali tuko pamoja kwa maombi...one love
Tumaini letu ni kwa mungu sote.
Dada Anacitancia Mungu akubariki saana kwa kukubali Mungu kukutumia kumsaidia Rose mtumishi wa Mungu,kazi yako si bure,nimeiona hekima ya Mungu kwako,Kristo Yesu akusimamishe panapo nafasi from Tanzania
Mungu akubariki Sana Dada Ann kwa huduma yako njema. na ole waowanaomualibia Jina waibike. rose atapona mungu yupo. God is faithful to her.
neema ya Mungu iwe juu yako, na Mungu akamponye mtumishi wake Rose Mhando
Mungu akupe uponyanji Rose i love you .God is with you
Mungu yu mwema maombi mengi juu yako mama yetu Rose,asante kwa busara zenu dd Anna pamoja na mwanahabar wetu Mungu awazidishie hekima na busara.Ameen
Ameen,Ameen Anastacia Mungu akubariki a uponyaji uwe juu ya Dada yetu,Mwimbaji wetu Rose.Eeeh Mungu wape ujasiri Familiya yake kipindi hiki cha matibabu yake,Ameeeeeen.
Mungu Aku bariki dada Annastacia kwa musahada ambao ume fanya kwa Dada Rose.
Mungu amponye Dada yetu Rose,nimewapenda sana Mzazi Tuva na Dada Ana,be blessed more
Hongera Sana mtumishi, MUNGU azidi kukubariki zaidi na zaidi
Am happy to know Rose is getting treated, I want to hear Rose sing for God again and she will by the Grace of God.
Mungu akubariki Anastanciah. Rose wetu, mama yetu twakuomboea dua njema. Shetani ashindwe
Dada Anastasia ni mungu tu anajua kile umetenda.Dada Rose anahitaji UPENDO sio kuthalilishwa.Nyimbo zake zimekuwa nguso kwa wokovu wangu.Mungu akubariki sana
May God bless u Mama,N May God heal Rose Muhando I have faith Rose atasimama tena kwa imani 🙏
Mungu akubariki dada anastazia
God has the final say. Thanks dada Annastacia. God heal Rose God bless Annastacia.
Mama Anne Mungu akubariki na aendelee kukutumia kwa utukufu wako..... thanks for wisdom words n statements...
Used to go to church with Annastacia some years ago back in Kenya she’s such a humble soul God will Bless you mama🙏
th-cam.com/video/bZnxs0hPyhQ/w-d-xo.html
Ubarikiwe mtangazaji Kwa kutujuza. Be blessed Annastazia for your serving Rose's life. Our prayers are with her.
Ann, Mungu Akutende Mema Kwa Kusimama Na Rose..Still Nazindi Kumwombea Mungu Amponye Alenjeze Hari Yake Ya Kawaida👏
AMEN blessed dear we LOVE ROSE MUHANDO and we PRAY GOD to deliver her and restore her faith
She will come out victorious and God bless you Anastasia Mukabwa .....
Thanks so much Anastasia. God will reward you in a huge way!! May the healing hand of our God touch Rose
Mungu azidi kumkumbuka dada Rose,Wakenya twazidi kumuombea Mungu kwa kila hali anayo pitia.
Nampenda sana Rose Muhando na niko na Yakima na mani kuwa atapona na aendelee kuifanya kazi ya Mungu. God bless u Annastacia
Many are the afflictions of the righteous but God...May He receive all the glory and honour.May rose's gift in God's life shine again in Jesus name
May God bless you Anastasia .. wishing rose mhando quick recovery..
Hongera sana dada Anna kwa hatua ulifikia kumsaidia dada yetu Rozi.Yesu aendelee kukubariki katika huduma yako.
quick recovery Rose, thanks to Mkabwa God bless you
Mungu awape mwisho mwema waimbaji wake...barikiwa sana Dada yangu Anastanzia
Asante sana Anastacia Mukabwa Mungu na akubari pamoja huyo mwana habari kwa kufanya roho i yangu itulie na za wengine wanao mpenda Rose tuzidi kumuombea Rose Mungu atatenda jambo kwa kuwa hakuna jambo ngumu kwake
Nimeomba sana nikililia mungu akumbuke Rose na yale mazuri alitenda kumsifu Mungu.Asante Yesu kwa habari njema tunazopata.Get well Rose we love you.
We need media like this one short and clear thank u dada Anastasia for taking care of her na wengine waimbaji wote muungu azidi kuwa nanyi na ahibariki kazi ya mikono zao. Pia nami pia bado nazidi kumweka kwa maombi na mungu atasimama nayeye kwakila Jambo
Godbless you Dada Anna.mtangazaji uko vizuri unajua kaz yako
Mm na simama na rose mpaka mwizo...na muombea sana sana sana...
Amen.
Haki tena. Rose weapons na ninaona nyimbo za upako kutoka kwa Rose Muhando. Ninayo tumaini.
Wow!I like pple like u...
same to me
Hongera sana ANNASTACIA kwa kweli bila Rose hungekuwa uliko Mungu akubariki kwa juhudi zako,salute my role model MZAZI WILLY TUVA
Nakutakia afueni ya haraka dadangu Rose Muhando .Mungu hamwaachi mcha wake
Ubalikiwe mno dada Ana Kwakujuwa Rose wapi amekutoa wengine huwa hawakumbuki walikotoka Mungu Amponye Rose Tunampenda sana
Thank you bwana M TUFA kwa kuwaonya Wambea wanao muaribia Rose muhando jina,
God bless you so much Anastasia mama wa nguvu ,hakuna kitu inashinda mungu I remember nilikua mungu kupitia nyimbo za Rose muhando
May God bless you Anastacia for showing and doing what a true friend should.Rose is rising up again. The righteous falls seven times but rises again.The Lord heal and restore Rose.
God bless you Anastasia mukabwa, may Almighty God add you more grace and strength
Dada Anna ubarikiwe sana kwa msaada wako , kwakusimama imara juu ya Dada Rose M
Rise and stand again my dada rose muhando wewe ni muinjilishaji mkubwa sana kupitia nyimbo zako.
Anastazia ubarikiwe sana na umekomaa sana kiufahamu.
And he send his word and healed my disease,by thy stripped we are healed and it cannot be otherwise....we as believers we believe in healing and perfect health...and because sickness is not excluded from believers since it is an oppression from the devil we will go by the current situation but we will stand by with the word of God that we are healed...yes Rose is healed in Jesus name
am gland that u stood with ur fellow ..Nasi tunaomba naye. God bless u for Noble work.
ubarikiwe sana Annastasia kwa kumsaidia dada Rose muhando na mungu amponye Rose.
God's grace is sufficient. May God intervene. We love Rose Muhando. Our heavenly Father, May you heal Rose Muhando. You're loving God. Forgive her, her sins.
Mungu na amlinde mama yangu Rose; kwani nyimbo zake ni za kumfanya kila mmoja wetu awe kwenye njia sawa ya kumfuata Jalali. Mungu akubariki pia Mama yangu Anastacia.
Congrats Tuva. Hapo umeongea ukweli kabisa hamna haja kusambaza Habari za uongo kuhusu Rose Muhando. Anastacia God bless you
Asante sana mwana wefwe, kutuambia hali ya Rose, aki tangu Rose apatane na majanga haya, nmelia sana kiukweli, kuna wimbo yake waitwa, Ee Mungu Wangu Nitakushukuru, erikiboshalo Mungu unaitika, aki napenda huo wimbo, Mungu amkumbuke dadayetu, arudi qwa huduma wakuimba tena, Anastasia karibu tena Budalangi again
Amina Mungu amponye rose in Jesus name, annastazia Mungu akubariki Sana
....Nipishe nipite song, ....Hivyo ndivyo ulivyo song...Babeli...Salama salama kwa Yesu. We know God is transforming her daughter. May God's will be done.
Damu ya Yesu ilio mwagika msalabani ina guvu nyingi sana na inaponya. na achilia uponyaji wa Yesujuu ya maisha ya Rose muhando Anastasia mungu akubariki sana kwa kutumikia hekima
Thank you God,she iz alive. Endelea kumpigania apone naamini kwa Mungu hakuna lishindikanalo kila kitu chawezekana. Ameen
Huyu mama abarkiwe juu mungu amemtumia kwa haki naukweli nawaombea maisha marefu sana kisha wakuje kuungana hao wawili watoe nyimbo nawata barkiwa kwa jinaka yesu muokozi wetu....
be blessed Ann, and healing is your portion Rose, cha Mungu ni cha Mungu tu na hakuna kitakacho jaribu mipango ya Mungu, eee Mungu utukufu ni wako tu, na mataifa watajua kuwa ni wewe tu uliye na mamlaka dunia yote.
Mungu amponye mtumishi wake Rose na mungu akubariki sana dada Anna kwaajili ya iyo uduma
When moses' hands became heavy,Aaron and Hur supported his hands....My sister Annastacia its ur turn to support the hands of ur sister Rose....thats why God directed rose to u....may the Lord giv u courage and strength to go about thz,I knw he will never leave u alone.am together wit u in my prayers!
Thank you God for healing, delivering, restoring, protecting and delivering Rose Muhando. In Jesus Christ Mighty name. Amen
Amen kwa mungu. .mungu akubariki sana dada Ann
MUNGU akubariki sana dada,,,ANASTANSIA ZAIDI MIMI BINAFSI NAKUOMBA MTUMISHI WA MUNGU ANASTANCIA USIMUWACHE DADA ROSE MUHANDO KWA VYOVYOTE MUSAIDIE ZAIDI HADI ARUDI SAWA TUNAZIDI KUMUOMBEA KILA WAKATI MUNGU ATAMPONYA IN JESUS NAME
Dada Anacitancia Mungu akubariki saana kwa kukubali Mungu kukutumia kumsaidia Rose mtumishi wa Mungu,kazi yako si bure,nimeiona hekima ya Mungu kwako,Kristo Yesu akusimamishe panapo nafasi from Tanzania
Mungu akubariki Anna I pray for my sister in Christ and All shall be well with her.