Zogo Mchongo S2EP7 (Sehemu ya 2): Kwa Maelezo haya, Je Biashara yako ina Ubunifu?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
- Ubunifu kwenye biashara za kila siku ni jambo linaloongeza thamani kwa wajasiriamali na kuvutia wateja wengi. Ubunifu unapokosekana, uwezekano wa biashara kurudi nyuma.
Kwenye Episode hii ya saba ya Zogo Mchongo tutakuwa na alwatan Masoud Kipanya , ambaye ni mtangazaji, mchoraji na mjasiriamali ambaye atatupa uzoefu wake kinaga ubaga kuhusu mada inayosema Ukosefu wa ubunifu watajwa kuua biashara nyingi. Lakini pia tutapata ufumbuzi kutoka kwa Bi Jenipher Tondi kutoka Benki ya CRDB unaotatua changamoto za Wajasiriamali.
Kipanya anahitaji Elimu. Hata maduka ya nguo yawe mia sehemu Moja ubunifu sio kitu kabisa
SIO KWAMBA BIASHARA INAHITAJI UBUNIFU, UBUNIFU NI SEHEMU NDOGO SANA, SWALI NI JEE BIASHARA UNAYOFANYA N
Ubunifu mahitaji mazingira yenyewe ndio ubunifu utakaa sawa
😂😂😂ila sijapenda mmemkatili nyani ngwengwe nguluman ila ubaya ubwela leo umemuokoa udg wangu alafu wew😅😅
😂😂😂😂🎉🎉❤❤
sorry kumbuka kunisubscribe
UNAWEZA SEMA UNAFANYA UBUNIFU, LAKINI IKAWA NI UJINGA SIO UBUNIFU
SWALI NI JEE KIKWELI UNAPASWA KUFANYA BIASHARA? KAMA NI NDIO BIASHARA GANI?
Pia biashara inahitaj ubunifu na kaulii pia
The first