Mawaidha ya Bi.Msafwari | Mbona 'mpango wa kando' hujitokeza wakati wa mazishi?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • #CitizenTV #citizendigital #citizentvkenya

ความคิดเห็น • 32

  • @supu1237
    @supu1237 5 หลายเดือนก่อน +2

    This man in black suit he is wright 💯

  • @vivaciousviv2984
    @vivaciousviv2984 5 หลายเดือนก่อน +5

    Kwa nini ufungue siri wakati wa kifo ?

  • @wanjiruolive
    @wanjiruolive 5 หลายเดือนก่อน

    Izi episodes muweke vizuri citizen tunarudi kuzitafuta kupata he kimani tafadhali.

  • @user-nx5ct4mu8j
    @user-nx5ct4mu8j 5 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks marimu

  • @zamzamibrahim97
    @zamzamibrahim97 5 หลายเดือนก่อน +5

    Kuwa na mpango wa kando ni dhambi jameni.TUSIJIDANGANYE.WANAWAKE WAACHANE NA NDOA ZA WATU.

    • @itsTheTruthTeller
      @itsTheTruthTeller 5 หลายเดือนก่อน +1

      Sio dhambi na vile unaongea na uchungu hivi nashuku wee ni wale husa wanafanya bwana aende kutafuta mpango

    • @mercychepkemoi2254
      @mercychepkemoi2254 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 mwambie ukweli

  • @Lillylilothefirst
    @Lillylilothefirst 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo ni mtoto wa haramu na hawafai na mamake kuruhusiwa kwa mazishi,io ni kuaribu mazishi.

  • @oleubaiga3748
    @oleubaiga3748 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hii topic ni kali

  • @markokindo8913
    @markokindo8913 5 หลายเดือนก่อน

    mafundisho mema

  • @Grace-Kagendo
    @Grace-Kagendo 5 หลายเดือนก่อน

    Mariam👏👏

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian9700 5 หลายเดือนก่อน

    Very true, ladies tuache hii,.. I

  • @FaithImani-qj1ci
    @FaithImani-qj1ci 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona mwanamke anakubali kuwekwa kwa siri?? Mimi siwezi

  • @jamillahmussa3775
    @jamillahmussa3775 5 หลายเดือนก่อน +1

    Bii Miriam amesema ukweli, ju wanaume wengine huwenda nje na sababu wengi wao sio kwa raha,

  • @marykinuthia6067
    @marykinuthia6067 5 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😅😅😮 kweli.

  • @HdjNzkdk-ef4zr
    @HdjNzkdk-ef4zr 5 หลายเดือนก่อน

    Nakubaliana na Mariamu

  • @mercychepkemoi2254
    @mercychepkemoi2254 5 หลายเดือนก่อน

    Bii Miriam amesema ukweli,,kuna familia watoto wao usumbua sana ... unaeza pata mtoto anagonjeka ukimfikisha kwao na mmoja wa family amshike unapata mtoto anacheza vizuri ashapona sasa...damu ni nzito kuliko maji

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 5 หลายเดือนก่อน

    Na watokomee wote na siri zao

  • @directorme6669
    @directorme6669 5 หลายเดือนก่อน

    Kinyangarika
    😂😂😂

  • @sarahmukoya5120
    @sarahmukoya5120 5 หลายเดือนก่อน +3

    Bi mswafari mbona unatumia mfano wa mfanyikazi wa nyumbani? Kwani hao si watu? Au ndio mmezoe tu kudhalilisha hii nafasi ya kazi?

    • @itsTheTruthTeller
      @itsTheTruthTeller 5 หลายเดือนก่อน

      Hao ni watu na ndio sababu amewatumia kama mfano. Usikasirike juu ni kazi yako na haupendi ikitumiwa ka mfano Relax 😂

  • @janeshigami8769
    @janeshigami8769 5 หลายเดือนก่อน

    Miriam wa Wamigomba 👌

  • @zamzamibrahim97
    @zamzamibrahim97 5 หลายเดือนก่อน

    Mipango ya kando ni katili sana

  • @evelynomwenga823
    @evelynomwenga823 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona hakuleta mtoto wala watoto before death

    • @stephen-S7n
      @stephen-S7n 5 หลายเดือนก่อน

      Mbona mwanaume hajai tokea mwanakme akifariki adai walikuwa naye?

  • @janeshigami8769
    @janeshigami8769 5 หลายเดือนก่อน

    Benjamin Nzulu 0%

  • @waithirahnaomy1573
    @waithirahnaomy1573 5 หลายเดือนก่อน

    Doa ya sirii sio nxurie

  • @nancynyaga7675
    @nancynyaga7675 5 หลายเดือนก่อน

    Kitanda hakizai haramu

  • @evelynomwenga823
    @evelynomwenga823 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona wewe ukubali kufichwa. Go to hell Side chicks for all we care

    • @itsTheTruthTeller
      @itsTheTruthTeller 5 หลายเดือนก่อน

      They're not going to hell... They're going with your husbands and boyfriends 😂