huna akili wewe umejaza mavi kichwani hivi wewe huyu chizi analialia kwami mzee wa yanga ni yeye mwenyewe huyo ni njaa tu atatapika mwisho atanyamaza ngoja tumlipishe milioni 70 zetu akauze shamba lake la mihogo
Huyu Mzee anaongea point za msingi Sana ila uto mashabiki oyaoya wanambeza Bure ila watamuelewa badae baada ya kuwa washapigwa kichwan cz Bado waapumua
Wewe mzee basi waambie wanainchi wote waende bungeni ❤wakasimamie nchi yao. Acha unanja ujanja njaa itakuwa. Wakati wa yanga bakuli ulikuwa wapi? Hats baiskeli hauna Acha unababaishaji.
Mzee wape nyundo vizuwi na vipofu wamejazana utoporo kuanzia mwanasheria wao sijui alisoma memkwa hakuna kes hata moja kashinda nae kaanza kuwa kama Ally komwe
Yanga ina wanachama hai wanakaribia laki moja...chukulia wamekuja elfu 60 tu kwenye mkutano minz ni benjamin mkapa full house...ni mkutano gani utaendeshwa??? Yeye agombee kwenye tawi lake ashinde akusanye maoni na maswali aje aulize...hana hata point ya maana
Mzee zama zako zimeisha, mlishindwa kuifikisha yanga enzi zenu, waachieni vijana wafanye yao hata kama wanaiba mabadiliko yapo, wewe subiri kesi yako ya kugushi.
Magoma kwa hiyo na wewe unataka maokoto kama Azizi K sio wewe si ushasema ulikuwa unacheza Yanga B sio wewe wacha tamaa za bange. Magoma hapo umeangukia pua ujuwe hivyo Eng. Heris sio muhindi ujuwe hivyo. na una lolote unapoteza wakati wako bure
Hata mwana sheria wao hajui kwamba Release letter na TMS ndo vitu vyenye kuamua huyu mchezaji acheze wapi? Kama kuna mpunga mlimpa mlimpaje wakati bado ana mkataba na Fountain Gate wa zaidi ya miezi 6? Ina maana kabla ya Kagoma kuvuta pesa,Yanga ndiye alieanza kutenda kosa kwa kuzungumza na mchezaj ambae ana mkataba
Mzee Magoma, Mimi ni Mwanasheria na niko Mwanza hapa... Unaongea usivyo vijua wewee😂😂 Wewe sio mwanachama wa FIFA ndo maana umekwenda kwenye mahakama za Kiraia, uko sahihi sana Yanga wanapokuwa na kesi na mtu au taasisi au timu isiyo mwanachama wa FIFA, unadhani watashitakiana wapi?? Wakikushitaki wewe FIFA ili ulipe hizo milioni 70 za fidia na wewe sio mwanachama FIFA, Usipolipa FIFA wataku trit vipi?? Usiwe mpotoshaji wewe bhana, na kama kuna mwanasheria anakufanganya basi mdai fedha yako anakupotosha na utaonekana huna akili... Yanga wako sahihi kwa 99.9% na ndio maana wanashinda kesi zako zote........ Acha kujitoa akili kwa kuingilia taaruma za watu na kuzifanya ni kama za dalasa la saba...
😂😂kama wewe kweli mwanasheria basi vyeti vyako vichunguzwe kwakweli!! Mbona magoma yuko clear kabisa, kawashtaki body of trustees wa Yanga ambao ni kina mama karume sasa hawa wanaoshinda now wa 2021 wanatoka wapi ambao hata katiba yao haijasajiliwa kuiongoza yanga!? Hebu jibu haya kama mwanasheria.
@@heimkon7236 Hii nikwa taarifa yako tu wewe usiye jua kitu... 1.Sio kweli kwamba katiba ya Yanga haijasajiliwa. TFF hata BMT isingeweza kuruhusu hilo 2.Soma vizuri huja yangu ili uelewe vizuri ndg 🙄Nimezungumzia juu ya mzee Magoma kushtaki FIFA au kushtakiwa FIFA, kuwa ni jambo lisilo wezekana, kwa kuwa FIFA haitambui uana chama wa Magoma... So kama yeye mzee Magoma alivyokwenda Mahakama za kiraia, ndivyo naye anapaswa kuwajibishwa huko... Kwa hili Yanga wako sahihi
Kagoma alisaini Yanga mkataba wa awali ambao Yanga walishindwa kutimiza masharti ya mchezaji pamoja na masharti ya timu ya Kagoma, hivyo baada ya Yanga kushindwa kutimiza masharti mkataba ukawa umekufa kifo cha mende
@@saidsuleiman1753 ujui kitu wewe. Mkataba ambao viongozi wa singida wanadai ulikufa ni wa singida na yanga sio wa kagoma na yanga ilo ilijue na utofautishe. Pia mkataba wa singida na yanga aujafa bali viongozi walikua na Tamaa tu ya pesa
Magoma uko sahihi Sana tatizo mazuzu hawawezi kuelewa hayo. Ni WA kupiga makofi th
Inavyo onekana ww ndozuzu hauja muelewa
Wewe na magoma akili zenu ni sawa,na nina uhakika kuwa wewe ni kolo😂😂😂
huna akili wewe umejaza mavi kichwani hivi wewe huyu chizi analialia kwami mzee wa yanga ni yeye mwenyewe huyo ni njaa tu atatapika mwisho atanyamaza ngoja tumlipishe milioni 70 zetu akauze shamba lake la mihogo
Wew ndio hujui huyu mzee anahitaj elimu Sasa mwanachama ananunua hisa gan hisa zinauzwa kwa mwekezaji sio mwanachama
Huyu Mzee anaongea point za msingi Sana ila uto mashabiki oyaoya wanambeza Bure ila watamuelewa badae baada ya kuwa washapigwa kichwan cz Bado waapumua
Huyu mzee kuna siku mtamuelewa tuu nyuma mwiko😂😂😂
Huyu Mzee anajua sana sheliya ubaya ubwera
Uko vizuri Sana mzee Magoma,ila mazuzu hawaelewi kitu tatizo ni njaa za supu wanazokunywa kila siku.
Mzee magoma anaeleweka kuliko huyu anaejiita mwanasheria,
Genious💪💪
Makolo mchukueni Magoma awe kocha na mwanasheria wenu
Mzee Magoma anaonekana ana uelewa mkubwa wa Sheria kuliko Mwanasheria wa Yanga
Wanao kuoji wenyewe utoto mwingi hawana maswali ya msingi
Mzee magoma tumekuelewa wengi
Wewe Mzee unanjaa kacheze bao huko kwenu
Kila mtu mwenye tumbo yumkin kukosa njaa ha gsm ana njaa ndo maana anajishughulisha ww mchallange kwa hoja cyo utopolo wako
Kwa huyu mzee yanga hatuvuki salama,
Wewe mzee basi waambie wanainchi wote waende bungeni ❤wakasimamie nchi yao. Acha unanja ujanja njaa itakuwa. Wakati wa yanga bakuli ulikuwa wapi? Hats baiskeli hauna Acha unababaishaji.
Magoma tulia GSM afaidi😂😂😂😂😂
Mzee wape nyundo vizuwi na vipofu wamejazana utoporo kuanzia mwanasheria wao sijui alisoma memkwa hakuna kes hata moja kashinda nae kaanza kuwa kama Ally komwe
YANGA HIP HOP
Nani kweli yanga ni mazuzu
Unakosaje kupigwa pesa kwanyodo izo😅😅
mzee hana point yeye pia ana njaa akae atulie apewe kitengo cha pesa
Kinyesi Fc 💩💩💩
Mzee Magoma ana akili nyingi mno lkn Uto wanamchakulia mwehu ipo cku watamuelewa
Yanga ina wanachama hai wanakaribia laki moja...chukulia wamekuja elfu 60 tu kwenye mkutano minz ni benjamin mkapa full house...ni mkutano gani utaendeshwa??? Yeye agombee kwenye tawi lake ashinde akusanye maoni na maswali aje aulize...hana hata point ya maana
Mpe familia yako akushauri
Ww ni wa zamani sana..teknologia ndg hata kwa skype mtawasiliana tu ninyi utopolo
Sawa yuko sahihi lakn kumbuka hat. Samia alisema hizi timu zipate. Hela vzr amewapunguzia kodi wa miliki wa timu
Huyu mzee ana akili sana.
Nyinyi amuna swaga
Muongo Yanga inakushitaki wew kwa jinai hawafanyi kosa nenda kashitaki
Huyu mzee huna kazi ya kufanya maana yanga inawashaboki wangap Tanzania zima wote waingia
Huyu mzee anawazidi wasomi wote wa yanga
Hiyo katiba unayoikomalia haipo Magoma, kale mihogo.
Ila jamani mm sio yanga ila huyu mzee nyuma ya kagoma ana mzuka mwenzake anaongea yy ana manua mdomo😂😂😂😂😂😂😂
Katafute timu yako umukabizi huyo magoma wako kama anahakili aiongoze
Huyu mzee kumbe hana akili, wanachama wote wahudhurie Mkutano, watakaa wapi? Uwakilishi ni muhimu hatuwezi kwenda wote!
Mkundu Wewe hio kauli kawaambie makolo wenzako
Tanzania tupo zaidi ya milioni 70 wanaoingia bungeni ni watu si zaidi ya 350 jee tukaingie bungeni watu wote
Magoma muda wa ninyi kula bila kufanya kazi umeisha.
Hivyo yanga hawajielewi kabisa kesi ya mpira ni CAS hawana weledi kabisa MAGOMA PELEKA FIFA HAWANA LONGOLONGO
Wewe Akili auna wataendaje cas na magoma kesi kaipeleka maakamani? Akurizika Akaenda maakama kuu?
Kwa iyo apo yeye Ndio Kasi hujielewi
We mzee acha njaaaaaa wewe ni Teja na huyo mkundu wa nyuma hovyoooo wewe kwanini hukwenda cash mkunduu wewe
Atakae ifungia yanga nan kwenye hii inch
Salehe jembe angalia mitambo yako mbona head phon inagoma lakin midia zingine inakubalu tena nyingi sana hili tafiza
Mzee magoma wewe ndio yanga kindakindaki haswa suala la mwenyekiti ni muhimu
Huyu mzee labda ila n kama anakitu chenye mantiki
Yaani nyie wazee mtamaliza viwanja na vibanda vya urithi😂😂😂😂
Huyu angekuwa Afrika kusini mpaka leo tungeshamsahau.
Wee akili finyu Yanga inaenda sajiri mamilioni ya wanachama watakaa ukumbi gani
Mzee zama zako zimeisha, mlishindwa kuifikisha yanga enzi zenu, waachieni vijana wafanye yao hata kama wanaiba mabadiliko yapo, wewe subiri kesi yako ya kugushi.
Huyu mzee ukimsikiliza sana utajua katumwa na wale, halafu muda wote anawaza maokoto tuu. Kuna ajabu gani wawekezaji wakiongezeka??
Magoma hujafikia kuwa Mzee ni Mtoto wa Jana TU.
Mzee wewe
Simba hashindwagi jambo
Acheni udwanzi@Kagoma hakuwa mchezaji huru_timu yake Singida ndy answarable
Huyu mzeè ni gaidi tuwe naye makini atavuruga Hali ya hewa ushuzi wake unanuka sana😢😢
Ukila vizuri lazima ushuz unuke..ww endelea kula matembale
Mzee maliza kesi zako kwanza ndio tuendelee kukusikiliza!!!
Magoma kwa hiyo na wewe unataka maokoto kama Azizi K sio wewe si ushasema ulikuwa unacheza Yanga B sio wewe wacha tamaa za bange. Magoma hapo umeangukia pua ujuwe hivyo Eng. Heris sio muhindi ujuwe hivyo. na una lolote unapoteza wakati wako bure
Huyu mzee Ana hitaji kukaa na muwekezaji na kamati zake wamueleze pesa ikiwekezwa ina simamiwa na alie iwekeza. Si vinginevyo
Wazee wa hovyo kabisa 😀
Mzee wewe ni jinga sana .Achana naYanga si saizi yako kwa sasa.
Hajakuzidi
Mjibu kwa hoja.ingekuwa Yanga inafanya vibaya ungemuelewa.
Ndo timu yake
Hata mwana sheria wao hajui kwamba Release letter na TMS ndo vitu vyenye kuamua huyu mchezaji acheze wapi? Kama kuna mpunga mlimpa mlimpaje wakati bado ana mkataba na Fountain Gate wa zaidi ya miezi 6? Ina maana kabla ya Kagoma kuvuta pesa,Yanga ndiye alieanza kutenda kosa kwa kuzungumza na mchezaj ambae ana mkataba
@haidarris.kalunga9541 kabla ya ku post ulianza kuongea na nani?
Hapa mwanashelia hakuna hajawai kushinda kesi hata moja kilaza huyu
Umeyatimba lipa pesa acha kulalamika kwenye mídia
Uyu Mzee anajicho la tatu najua ni ngumu kumuelewa
Kweli kabisa 8:14
Kaza baba kaza
Hatuna waandishi
We mzee utafungwa jera
Mzee Magoma, Mimi ni Mwanasheria na niko Mwanza hapa... Unaongea usivyo vijua wewee😂😂
Wewe sio mwanachama wa FIFA ndo maana umekwenda kwenye mahakama za Kiraia, uko sahihi sana
Yanga wanapokuwa na kesi na mtu au taasisi au timu isiyo mwanachama wa FIFA, unadhani watashitakiana wapi??
Wakikushitaki wewe FIFA ili ulipe hizo milioni 70 za fidia na wewe sio mwanachama FIFA, Usipolipa FIFA wataku trit vipi??
Usiwe mpotoshaji wewe bhana, na kama kuna mwanasheria anakufanganya basi mdai fedha yako anakupotosha na utaonekana huna akili...
Yanga wako sahihi kwa 99.9% na ndio maana wanashinda kesi zako zote........
Acha kujitoa akili kwa kuingilia taaruma za watu na kuzifanya ni kama za dalasa la saba...
😂😂kama wewe kweli mwanasheria basi vyeti vyako vichunguzwe kwakweli!! Mbona magoma yuko clear kabisa, kawashtaki body of trustees wa Yanga ambao ni kina mama karume sasa hawa wanaoshinda now wa 2021 wanatoka wapi ambao hata katiba yao haijasajiliwa kuiongoza yanga!? Hebu jibu haya kama mwanasheria.
@@heimkon7236 Hii nikwa taarifa yako tu wewe usiye jua kitu...
1.Sio kweli kwamba katiba ya Yanga haijasajiliwa. TFF hata BMT isingeweza kuruhusu hilo
2.Soma vizuri huja yangu ili uelewe vizuri ndg
🙄Nimezungumzia juu ya mzee Magoma kushtaki FIFA au kushtakiwa FIFA, kuwa ni jambo lisilo wezekana, kwa kuwa FIFA haitambui uana chama wa Magoma...
So kama yeye mzee Magoma alivyokwenda Mahakama za kiraia, ndivyo naye anapaswa kuwajibishwa huko... Kwa hili Yanga wako sahihi
Na nyie waandishi uchwara mnafanana tu na huyo mnaemhoji ---- " halafu atufafanulie " kazi ya kanisa maana yake nini "
Huyu jamaa vyura watamwelewa wakianza kuharibu
Wamemshindwa KAGOMA, Watamuweza MAGOMA,,,,???
Nenda Pan africa
Huyu mzee mnapompa mapuvu siku ya mwisho mumsaidie
Kama viongozi wa yanga ni waongo mbona mchezaji mwenyewe anakubali kama alisaini mkataba na yanga? Wewe ni nani unakataa?
Kagoma alisaini Yanga mkataba wa awali ambao Yanga walishindwa kutimiza masharti ya mchezaji pamoja na masharti ya timu ya Kagoma, hivyo baada ya Yanga kushindwa kutimiza masharti mkataba ukawa umekufa kifo cha mende
@@saidsuleiman1753 ujui kitu wewe. Mkataba ambao viongozi wa singida wanadai ulikufa ni wa singida na yanga sio wa kagoma na yanga ilo ilijue na utofautishe. Pia mkataba wa singida na yanga aujafa bali viongozi walikua na Tamaa tu ya pesa
Mwanasheria ambaye huwa ana feli linapokuja suala la mikataba ya WACHEZAJI.
Mwandishi unapomhoji Magoma tuliza Kichwa.