Halafu tz bado ni masikini?, we can't imagine. Hii inch kweli ishauzwa, yaani wazungu wanakuja kuwekeza pasipo sisi wabongo kujua. Hii sio sawa kabisa.
Daa we Nizaid ya vyombo vya habari maana unavo tuonyesha huwezi amini kama vipo tz hiyo hoteli ni noma na hiyo inshu ya sumury imenifanya niamini popote unaweza kutoboa safi sana ayo kwakutangaza utalii wetu mungu akupe Maisha malefu joo
mungu ametujalia kila kitu Tz,ukitaka kujua Tz tumechelewa kuzitangaza mbuga na mapolomoko ya kitalii fika kalambo force,utaona wazambia walivyo tuzidi maujanja
Mirad ayo ukotofaut na wengine sijui wanajiita nan TV we we kilichoandikwa ndicho kinaonekana wala hauna swaga nyingi , uneenda moja kwa moja kwenye point husika , na unatuwekea video plus sauti wengine ni picha tuuu hata hawaeleki , mm nikipata taar yako ninuhakika wa kusambaza kwa watu coz unajitambua kwa kweli ktk kaz yako
Huyo ni nani mbona anajibu majibu sio ameulizwa ni hotel ya anold anajibu tu hapana basi sasa mpaka aseme anold anatokea sehemu moja na tajiri angalia kama hilo jimbo la kalifonia ni kubwa kama Tanzania
Lupita ni majina ya wamexico labda mtuambie ukweli tu na California wenyeji ni wamexico wanaongea Spanish or kihispaniola na haya majina ya Lupita ndiyo mengi na kila siku nakutana nao, tuambieni maana halisi ya jina hilo
Nakuona kaka yangu Shaban kipenzi be blessed namm ntakuja hapo tena nipazur sana mambo ya namanyele mcn u bro by Amina
Sjawahi waza au imagine kuna sehemu nzuri kiasi hiki hii Tanzania I think pananihusu kwenda soon thanks Millard
Pemba mantariff
Nisha fika hapo, ni pazuri sana aiseeee, nilienda kwenye ukaguzi wa hizo boat
Uko vizuri sana ayo habari zako kaka wengine kero unamaliza bando hakuna ukweli big up
i love and I'm proud to be a Tanzanian....ahsante millard
Asante Millard kwa kuitangaza nchi yetu nzuri
kazi nzur kaka Millard ayo penda sana kazi zakooo
Mashallah tz
Good bless
Safi sana ndiyo maana sipendi kupitwa na Ayo tv
Mashallah, safi sana mandhar ya hii sehem Nzur sana
Halafu tz bado ni masikini?, we can't imagine. Hii inch kweli ishauzwa, yaani wazungu wanakuja kuwekeza pasipo sisi wabongo kujua. Hii sio sawa kabisa.
umeelewa kweli wewe?
Iko pwa sana mzeiyaa Ongela pia Tanzania yeeah
Uko Vizuri millady vichwa vya habari huendana na habari yenyewe sio wengine huandika kitu ukifungua Hamna kinachoeleweka
Ni kweli, wengine mpaka wana kera ndugu yangu
meneja upo vzr unajua kujieleza good blees.
Nami namuomba mwenyez mungu anifanyie wepes ili nije huko kutembelea naipenda Tanzania yangu
aminia kaka millard
nakukubari sana chifu
be blessed millard
napenda sana jinsi unavyo sogea manyuzi
by joseph siwale
daaaa bro mm huwaga nakukubar sana habar zako big up
Ayo Godbless you
Millard ayo flexible man as airplane congatration I trust too
Napenda sana kutembelea TH-cam channel yako maana kuna zaidi ya habari
kwetu uko jamani
Lazaro William naja..
Asante Millard kuitangaza Tanzania yetu👌👌👌👌
asante na wewe pia mtu wa nguvu kwa kutazama AyoTV, usisahau kubonyeza subscribe ili kila mpya ikufikie kwa notification mtu wangu.
+Millard Ayo gud
I love Jesus mambo
Daa we Nizaid ya vyombo vya habari maana unavo tuonyesha huwezi amini kama vipo tz hiyo hoteli ni noma na hiyo inshu ya sumury imenifanya niamini popote unaweza kutoboa safi sana ayo kwakutangaza utalii wetu mungu akupe Maisha malefu joo
Millady Ayo nakukubal xn una2leteah v2 amazing good work
Sun set
Big up mtu wangu wa nguvu ayo tv
big up kwa Millard ayo ,,unafanya kazi nzuri sana
Mildayo nakukubali sanaaaaa kazi yako
Gi-up millad Ayo
Kwetu Tz mbali but nice from USA,
Ayo well job done
Daa nikiona lake Tanganyika.nakumbuka sana kwetu kalemie.+254.
sasa hivi dunia kama kijiji
Pametulia saana hii sehemu,,Millard anafanya vzr sana
sio vzur kuhojiwa harafu unakuwa unatafuna Jojo Ndo nn sasa.. asante Millard
A noma sana
safi sana....
Daah iko poa sana
sawa sawa Ayo
sana mtu wa kazi
waoooh
Uko vizuri millard
Uko njema millard
Atimaye niona mwezi Millard ayo miss sana broo
asante kwa kutazama AyoTV Abuu na kuniachia comment yako hapa
mungu ametujalia kila kitu Tz,ukitaka kujua Tz tumechelewa kuzitangaza mbuga na mapolomoko ya kitalii fika kalambo force,utaona wazambia walivyo tuzidi maujanja
Ni yetu ni nzuri
Millard asante ....karibu tena huko kwetu!!
Nikijiji gani kinaitwa sorry lkn
iko poa saan thanks Millard Ayo
Halima Lwayo mambo
Halima Lwayo
HALIMAA
safi kabisaaa
smart san😍😍😘😘😘 1day i I'll visit there
farida bakari dont forget to take me with you
jacksoma bartholomeow INSHALLAH 1day Gud well
jamani huyu kaka mimi nampenda sana tena sana millard ayo unatuletea taarifa nzuri sana michezo na burudani
farida bakari mambo
Anodi Pesa poaa nambie
Duuuu inshaa Alllah nitakujaa kutembelea hapoo
Dainess Zuberi mambo
Anodi Pesa poa Anod habari yako!
Dainess Zuberi mzima
Anodi Pesa yaaa wewe je!
Dainess Zuberi mimzima pinde zipi uripo
Sorry naomba no ya cm nataka kuja kutembelea
Interview iko poa sana hii
dhhhhh Millard ayo ubarikiwe kunitangazia kwetu jamni nakukubali san uwiiiiii apan chezea sumbawanga
good broo it is fine
karibu tena rukwa
yah ipo gud
Mirad ayo ukotofaut na wengine sijui wanajiita nan TV we we kilichoandikwa ndicho kinaonekana wala hauna swaga nyingi , uneenda moja kwa moja kwenye point husika , na unatuwekea video plus sauti wengine ni picha tuuu hata hawaeleki , mm nikipata taar yako ninuhakika wa kusambaza kwa watu coz unajitambua kwa kweli ktk kaz yako
Huyo ni nani mbona anajibu majibu sio ameulizwa ni hotel ya anold anajibu tu hapana basi sasa mpaka aseme anold anatokea sehemu moja na tajiri angalia kama hilo jimbo la kalifonia ni kubwa kama Tanzania
Kipo waa
Daaaa napenda dana
Millad ayo naomba Namba ya WhatsApp
dah!!! mwenzio nipo mkoa huu wa Rukwa lakin sijawahi fika si upumbav.... millad umefika mi bado
Janeth Peter sema lini nikupeleke!
290 dollars ni sawa na 652500Tshs
kusini tamuu
Kwetu hapo need nice hotel brother
gud
Maneo ya nyumbani huko
Nakuelewa sana mzazi mirado
mmh tenaaa
Lucas Amos
👏👏👏👏👏😍
Hufanyi kazi njaa unafanya harisi
dame
kipindi kizuri ila huyo jamaa anayehojiwa sijui hajaswaki miezi mingapi mbona akiongea kunanata mwee
haha hah
mwajuma msham kafurahi sikia mnato! 😃
Nipazuli sana jmn hapo nipazuri sana jmn
parizu kimona yani
Lupita ni majina ya wamexico labda mtuambie ukweli tu na California wenyeji ni wamexico wanaongea Spanish or kihispaniola na haya majina ya Lupita ndiyo mengi na kila siku nakutana nao, tuambieni maana halisi ya jina hilo
Masele William kwaio lupita nyong'o ni mmehiko kumbe
Pazurii jaman eehhhhhh
Huyo jamaa anataka kuramba me me au ni nini na nikama ana shida yakupumua 🤣🤣🤣
Hao maisrael sema ukweli uzihirike.
Millard unatisha
millar ayo unachagua watu wa kuwa shukuru,
panzur jmn ngoja mm niendelea kutizama tu kufika ni majaliwa
poa sana apoo
millardy nimekuelewa mwanangu
ntaenda lupita pia kucheki sun set ziwani Tanganyika...
huyu jamaa anaongea kama anatafuna jojo....
hahahaha
Selemani Hussein umemsoma kumbe, 😁😂😂😂😂😂
Hahahaaaa
Daah pazuri kama sio tz...!?
Makin
Ayo huyo mtu wako vipi Anaongea humu anamunghunya midomo kama mgonjwa
najivunia kuwa mtanzania bwwna
Dollar 290sawa na sh ngapi za kibongo msaada
Mariam Mbughi dola moja ni 2225 then convert to dollars
laki 5
Mariam Mbughi 2800 Mala hizo
Daahh unajua nini miladiyo, hahahaha uyo jamaa mirungi nini teheteheeee aaahaha nooomaa mbaba
Huyo kuma anatafuna nini....!?
Illuminet the DOn aaaaaàhaaaaaaaaaahaaaaaaa
@@barnabasstanslaus6895 mamdo
Mwanamme amshikA makalio mwAnamke
hahaha kunawatu walinidanganya nikaamini
kaka uko vizuri
Kijana pako vizuri sanaa, kutoka ziwani kwenda kwenye hizo lodge unapanda vigari fulani hiviii yaani raha mpaka basi
Kwetu ukooo,Kipiliiii,Lupita,Nimefika Apo ,Nipazuri Mnoo hasa Kpindi cha Mvua.
sio BORDER ya Zambia , Huna AKILI, ni border ya TANZANIA na Zambia .......Anafanya utalii gani huyu ambaye hajui hata kuelezea Nchi yake? Idiot :)
Mkundu tu wewe