Jamani kuna Waislam wangapi wanafanya makubwa hata zaidi ya haya? wapo Mashekhe waliolawiti je? na sisi tuwaulize Uislam nao ni dini? maana huyu mchungaji tu kudokoa ndo mseme Ukristo siyo dini. Hakuna kitu kibaya kama mwanadamu kujifanya mkamilifu kuliko wenziwe!
huyo alie sema kua ukristo sio dini yeye sio muislam kamili ni msalia uji tu. anadhalilisha ukristo sababu ya huyo mwizi anaye jiita mchungaji. usishangae ni muislam kajifanya mchungaji yote ya wezekana.
Hakuna dini inayompeleka mtu mbinguni... ni Mimi na wewe kuacha matendo mabaya yaliokatazwa kwenye vitabu vya dini... ohooo uislamu ndio dini poa sio kweli jamani tuache kuanyooshea watu vidole uyo ametenda dhambi kama mtu mwingine
Dalili za qiyama...Allah atupe mwisho mwema inshaallah...
Said Ndimbwa kweli
Aamiin
Mchungaji ni binadamu, iman inatoka kwa MUNGU, mwanadamu anapokosea msihukumu iman maana aliyeiba ni mwanadamu sio iman imeiba,
Don't call him mchungaji now just call him Mr. Footprints 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Vinoza Mhone 😂😂😂😂
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sijapenda picha mlooweka 😃😃😃 mngeweka hata ya Nabil Tito 😃
😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Shindwa kwa jina la yesu pepo
Huyu dada.anavyoongea saut yake kama kajala
Kama Amna picha ya mtuumiwa usiweke kitabu cha mungu aliokosea ni binadamu kama nyie kwa nn mnaweka biblia mm muislamu lakini sijapenda
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 anaiba hadi chumviii na maharage 🙈🙈
Kivuri. Cha uchungaji
Hahaha jamani nime cheka da huu alipo sema siku akiludi na kikombe mama anasema Leo hali mbayaa wallah
Wasimfate matendo yake wayafate maneno yake
Makubwa mchungaji mwizi masikini
Huyo sio mchungaji ni muizi mkubwa anajificha kwa mungu😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duuuuuuuh 🤔🤔🤔🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mhh Kali hiyo
Mmmmmh
Dah jamani dunia imeisha
Jaman sasa wachungaji wapate wap
Uyo alijivika jina la mchungaji kama kivuri ila ukweli ni mwizi,
Ila uyo mke nayeye nimwizi
Mama yangu mzazi😨😨😱😰
kwani ukiristo n dini
Hapana ni kanisa
Ni kabila
Mungu na akulaanii
@@fabiolabeni71 😂😂😂 wewe unamajibu konk san
@@asmanicolaus1328 😂😂😂 oooh my gosh
Hee makubwa mwizi huyo. Huo uchungaji ni kisingizio
Huyo mwizi hapo hapa mfai uyo., ni bora
Mmh huyu zoa zoa mamaye,Akome uichafua dini yetu,kibaka mkubwa
Kkkkkkkkkk Ni shdaaa
M'mbwa mwitu kavalia ngozi ya kondoo.
Kwani uislamu n dini?
Jamani kuna Waislam wangapi wanafanya makubwa hata zaidi ya haya? wapo Mashekhe waliolawiti je? na sisi tuwaulize Uislam nao ni dini? maana huyu mchungaji tu kudokoa ndo mseme Ukristo siyo dini. Hakuna kitu kibaya kama mwanadamu kujifanya mkamilifu kuliko wenziwe!
huyo alie sema kua ukristo sio dini yeye sio muislam kamili ni msalia uji tu. anadhalilisha ukristo sababu ya huyo mwizi anaye jiita mchungaji. usishangae ni muislam kajifanya mchungaji yote ya wezekana.
Waambie ni kabila
😂
Duh uyo kiboko
Zena Salumu naam
Hhh makubwa
Anachafua sifa za dini huyo shetwani
Duuuhh haya mambo kwel tabu sana
hahahaha
😂😂😂😂
Hakuna dini inayompeleka mtu mbinguni... ni Mimi na wewe kuacha matendo mabaya yaliokatazwa kwenye vitabu vya dini... ohooo uislamu ndio dini poa sio kweli jamani tuache kuanyooshea watu vidole uyo ametenda dhambi kama mtu mwingine