Dunia simama wengine tushuke!!Sikia Hekaheka hii ya mchungaji anayeibia waumini wake huko Madale

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 53

  • @saidndimbwa4976
    @saidndimbwa4976 7 ปีที่แล้ว +15

    Dalili za qiyama...Allah atupe mwisho mwema inshaallah...

  • @estherkoya8410
    @estherkoya8410 5 ปีที่แล้ว +7

    Mchungaji ni binadamu, iman inatoka kwa MUNGU, mwanadamu anapokosea msihukumu iman maana aliyeiba ni mwanadamu sio iman imeiba,

  • @vinozamhone1110
    @vinozamhone1110 7 ปีที่แล้ว +9

    Don't call him mchungaji now just call him Mr. Footprints 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @rukianzalawahe2773
    @rukianzalawahe2773 3 ปีที่แล้ว +1

    Sijapenda picha mlooweka 😃😃😃 mngeweka hata ya Nabil Tito 😃

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 4 ปีที่แล้ว

    Shindwa kwa jina la yesu pepo

  • @reginalaurent5175
    @reginalaurent5175 6 ปีที่แล้ว +3

    Huyu dada.anavyoongea saut yake kama kajala

  • @wardamunguakuzidishew9399
    @wardamunguakuzidishew9399 2 ปีที่แล้ว +1

    Kama Amna picha ya mtuumiwa usiweke kitabu cha mungu aliokosea ni binadamu kama nyie kwa nn mnaweka biblia mm muislamu lakini sijapenda

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 3 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 anaiba hadi chumviii na maharage 🙈🙈

  • @stellamwakatulile3202
    @stellamwakatulile3202 3 ปีที่แล้ว

    Kivuri. Cha uchungaji

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu5456 7 ปีที่แล้ว

    Hahaha jamani nime cheka da huu alipo sema siku akiludi na kikombe mama anasema Leo hali mbayaa wallah

  • @manahiljamal834
    @manahiljamal834 ปีที่แล้ว

    Wasimfate matendo yake wayafate maneno yake

  • @zainabuyahya190
    @zainabuyahya190 5 ปีที่แล้ว +1

    Makubwa mchungaji mwizi masikini

  • @roseuwambe893
    @roseuwambe893 3 ปีที่แล้ว

    Huyo sio mchungaji ni muizi mkubwa anajificha kwa mungu😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mozahpretty1030
    @mozahpretty1030 3 ปีที่แล้ว

    Duuuuuuuh 🤔🤔🤔🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @sinamohammed6938
    @sinamohammed6938 6 ปีที่แล้ว

    Mhh Kali hiyo

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj583 2 ปีที่แล้ว

    Mmmmmh

  • @wemamtotochanelyusuphomari8262
    @wemamtotochanelyusuphomari8262 7 ปีที่แล้ว

    Dah jamani dunia imeisha

  • @ebisalum8828
    @ebisalum8828 6 ปีที่แล้ว

    Jaman sasa wachungaji wapate wap

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 4 ปีที่แล้ว

    Uyo alijivika jina la mchungaji kama kivuri ila ukweli ni mwizi,

  • @naymahh3504
    @naymahh3504 5 ปีที่แล้ว

    Ila uyo mke nayeye nimwizi

  • @nadhlfasalmazena7444
    @nadhlfasalmazena7444 7 ปีที่แล้ว +1

    Mama yangu mzazi😨😨😱😰

  • @ramamohammed4334
    @ramamohammed4334 6 ปีที่แล้ว +3

    kwani ukiristo n dini

  • @wemapingu5580
    @wemapingu5580 7 ปีที่แล้ว +1

    Hee makubwa mwizi huyo. Huo uchungaji ni kisingizio

  • @رحيمهخميس
    @رحيمهخميس 6 ปีที่แล้ว

    Huyo mwizi hapo hapa mfai uyo., ni bora

  • @mamatuishi-mamatuondoke8822
    @mamatuishi-mamatuondoke8822 7 ปีที่แล้ว +2

    Mmh huyu zoa zoa mamaye,Akome uichafua dini yetu,kibaka mkubwa

  • @salmadashlaquimanelaquiman4427
    @salmadashlaquimanelaquiman4427 6 ปีที่แล้ว

    Kkkkkkkkkk Ni shdaaa

  • @suleimanaula447
    @suleimanaula447 7 ปีที่แล้ว +1

    M'mbwa mwitu kavalia ngozi ya kondoo.

  • @anajohn9392
    @anajohn9392 5 ปีที่แล้ว

    Kwani uislamu n dini?

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 5 ปีที่แล้ว +1

    Jamani kuna Waislam wangapi wanafanya makubwa hata zaidi ya haya? wapo Mashekhe waliolawiti je? na sisi tuwaulize Uislam nao ni dini? maana huyu mchungaji tu kudokoa ndo mseme Ukristo siyo dini. Hakuna kitu kibaya kama mwanadamu kujifanya mkamilifu kuliko wenziwe!

    • @thegreattx
      @thegreattx 5 ปีที่แล้ว

      huyo alie sema kua ukristo sio dini yeye sio muislam kamili ni msalia uji tu. anadhalilisha ukristo sababu ya huyo mwizi anaye jiita mchungaji. usishangae ni muislam kajifanya mchungaji yote ya wezekana.

    • @fabiolabeni71
      @fabiolabeni71 4 ปีที่แล้ว +1

      Waambie ni kabila

  • @manahiljamal834
    @manahiljamal834 ปีที่แล้ว

    😂

  • @zenasalumu2560
    @zenasalumu2560 7 ปีที่แล้ว

    Duh uyo kiboko

  • @nayigaagnes746
    @nayigaagnes746 6 ปีที่แล้ว

    Hhh makubwa

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 7 ปีที่แล้ว +5

    Anachafua sifa za dini huyo shetwani

  • @reshaofficial
    @reshaofficial 7 ปีที่แล้ว

    Duuuhh haya mambo kwel tabu sana

  • @maryjulias6372
    @maryjulias6372 7 ปีที่แล้ว +1

    hahahaha

  • @haniballbashirw2731
    @haniballbashirw2731 7 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂

  • @fidesbenard2701
    @fidesbenard2701 5 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna dini inayompeleka mtu mbinguni... ni Mimi na wewe kuacha matendo mabaya yaliokatazwa kwenye vitabu vya dini... ohooo uislamu ndio dini poa sio kweli jamani tuache kuanyooshea watu vidole uyo ametenda dhambi kama mtu mwingine