Kwenye maulid kuna kusoma Quraan kumswalia mtume kuamrishana mema na kukatazana mabaya, haya yote ni mambo ya kheri ama ubaya wa Mawahabi ni kuleta uongo na bidaa mbaya zaid ya Tauhid 3 kitu ambacho hukukifundisha mtume wala kwenye Quraan hakuna ama mawahabi ni wapotovu na ni pote baya liloanzishwa miaka ya hivi karibuni
Okay
Nakuelewa sana Shekhe wangu. Wahabi wanajulikana kwa tabia zao. Utawaona hapa wakija mboga
Kwenye maulid kuna kusoma Quraan kumswalia mtume kuamrishana mema na kukatazana mabaya, haya yote ni mambo ya kheri ama ubaya wa Mawahabi ni kuleta uongo na bidaa mbaya zaid ya Tauhid 3 kitu ambacho hukukifundisha mtume wala kwenye Quraan hakuna ama mawahabi ni wapotovu na ni pote baya liloanzishwa miaka ya hivi karibuni
Soma usomavyo Maulid ni bidaa
Bidaa nzur kbs hain ubishii
Sawa ni bidaa nziri iliyokua swafi kabisaaaa
Hilo! Limelipuka! Adui la Mtume hilo!