Sheh naomba unifahamishe ju ya kusafiri ya muqiim namusaitir je nimeondoka kabla ya wakti ya sala na public trans wakti imefika hali bado Niko kwa safari siwezi kusimamisha dereva sikubaliwi jam'u wala kasri nifanyeje ? Naomba jibu hapa hapa tafadhali
Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akujalie umri mrefu wa afya amin
Asalk warahatuallh wabarakatuh mm ninaswali shekhe wetu mm ninatabia ya kupenda kusikiza mawaitdha huku nimeshika tasibii jee inafaa
Naomba jibu hapa hapa Inshallah
Umesema kweli moto utaingia watu wengi sana ya Allah tunusuru ya Rabb
SubhanaAllah certificate ya form 4 na dini wapi na wapi...mtihani wallah
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh
Sheikh nauliza je mke anaweza kumswalisha mume wake swala yoyote ( faradhi ama Sunnah)?
w lekum salam hawezi nawala swala ya mume haitaswihi akimfuta mkewe.
Sheh naomba unifahamishe ju ya kusafiri ya muqiim namusaitir je nimeondoka kabla ya wakti ya sala na public trans wakti imefika hali bado Niko kwa safari siwezi kusimamisha dereva sikubaliwi jam'u wala kasri nifanyeje ? Naomba jibu hapa hapa tafadhali
Ukifikaa kailipee swala kamili