HANS RAFAEL AWACHOMOLEA BETRI YANGA KIMATAIFA/ KUCHEZA FAINALI NI NDOTO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ต.ค. 2024
- Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Crown FM for LIFE
Huyu hans nadhani ndiyo mchambuzi bora Duniani 🙌
😂😂😂😂😂😂kamzid mwaduke
Uchambuza uliotukuka kazi nzuri sana wachambuzi Crown Media iko poa sana.
Hatuogopi lolote lililo mbele yetu,kila timu tuliyopangiwa nayo lazima ionje umauti wa magori .,Daima mbele nyuma mwiko 💚💚💛💛
Nashauri mje na Recap ya nyimbo ya Goodluck Gozbert- Bado pia muuluzeni kwanini hatumii acaunt ya Goodluck Gozbert- anatumia Gozbert-ministry inayopelekea nyimbo zake kuto zunguka kwa ukubwa kwenye platform kulinganisha na ukubwa nyimbo
Yanga VS mazembe will pass through team nzuri.
Kundi hili Yanga aache kiburi.Wajiandae na wapambane kweli kweli.Hili kundi yeyote anaweza kupenya kwenda 'last 8'.Kwa upande wangu kundi hili nasubiri kuenjoy football maana hakuna mechi nyepesi hata moja.
Maoni yako ni sahihi kabisa
Kwa kwelii apa ni kukaza kila kitu sio mchezoo
@@frayy5595haswa tusubiri kuinjoy
Unajuwa sana mwamba
Yani hapo kwa kuwataja DUBE , CHAMA , ABUYA na BALEKE kwahawa umefeli. Hakuna wachezaji hapo. Ni ilimradi wachezaji lkn sio wachezaji Bora. Wote hao Ni maproo waliokua wanaochezaa humhum. Ni uhaba wa pesa ndio sababu ya Yanga kuwasajiri. Huwezi eti kuwatgmea hao eti kuivusha Yanga nusu fainali. Huo Ni uongo
Hiyohiyo ndoto utaiona yanga fainali!
Ki ukweli wachambuzi nyinyi humjui mnacho kiongea, hadi timu Kuingia Makundi jua hakuna mteremko, hivyo timu yoyote kuvuka makundi jua imekuwa bora zaidi, Yuko wapi Luanda?
Hakuna kundi gumu hapo hao wenyewe wanatujua vzur sisi 😂😂😂
Waambie tena wanahanya huko waliko wanatuogopa 😂😂
Safi crown
Mm naona hizo bado ni timu za kawaida tu wala haina haja ya kumtisha mtani
Uyu jamaa juma Ayo ni mkaidi ata approach yake Tu ya kuhoji anaonekana upande flan, taaluma haiko hvo Kaka badilika juma Ayo bro.
Kwani Yanga ni ile ile??
Usiwadanganye waambie wajipange acha kuwapa watu ujinga utawaponza halafu huna history juu yao
Makolo hawapendi ukweli
Bado muda upo hadi tarehe 26/11/2024 Makocha wana Nafasi kubwa ya Kurekibisha Mambo kwenye vikosi vyao.
Hans eee wewe unamawazo kama Mimi msimamo utakuwa ivi
1 yanga
2 mc Alger
3 tp mazembe
4 al hilal
Niivotu Wala tusupepese macho aisee cronmedia mko vizur
Dk 8 mmemaliza uchambuz na yanga inapoint 6 za mazembe na 6 za hilal hme na mc alger hme Jmla 12. Kaen sas msubir dk 360 za mechi hzo 4 af mtaon yanga anapat point hzo au malilo?
Hans atengw
Simba wananafasi kubwa ya kufuzu benjamini mkapa simba anachukua point 9 zote
Hakuna ugumu hapo yanga robo uhakika
Kweri dingi razima tutoboe
Utopolo wanajidanganya wana timu Kali sana katika afrika😁😁😁
Msianze kusema wanaloga mara wanahonga mara vibonde hilo mlishikilie hvo hvo ,ila nachojua ni kwamba nafsi zenu ndo zinawambia hvo sababu ni wachache wanaotakianaga mema
😂😂😂😂😂😂😂😂 hans una chekesha sana😢😢😢😢😢
BADO akutejenye
Kila timu hapo ni ngumu hazijafika kwa bahati mbaya.
we huwezi wafundisha Yanga nn cha kufanya, tushawazoea nyinyi waandishi uchwara hua amielewekagi, timu inakuanzuri kabla haijacheza na yanga baada ya game utasikia sio ile hii imeshuka!
Yanga hawana uzoefu na michuano hii. Yanga Ni Tim changa yakuanzia mchujo wa awali. Nisahihi awafunde. Msikatae ushauri
Saivi mnakiri kundi la Yanga gumu halafu Yanga akishaanzq kuchapa watu tano tano mnasema kapangwa na vibonde
Muwakumbushe kabisa naizo kauli zao wasije kusema tim mbovu
Hawana ubora wwte yanga wanakutana na timu siku imeamka vibaya.
huyu has ana matatizo acha tuone anacho kiongea
sasa Tukisema yanga ni underdog Tumekosea?
Haijalishi tuwe underdog au underhen shughuli yetu wanaijua na tutawaonyesha.
Mkude alicheza ile mechi kwa kujaza nafac hakuna alichofanya km unabisha rejea ule michezo utaona
😂
Bwana said, yanga walikua na majeruhi wangapi wa kikosi cha kwanza kwenye zile mechi mbili lazima mwalimu awe na game plan kulingana na kikosi chake
YANGA ANAVUKA HAPO WALA TUSIDANGANYANE. QUALITY YA YANGA KWA SASA INAWAZIDI WOTE HAO WATATU. HATA KWENYE RANK ZA CAF HAPO NI MAZEMBE PEKEE NDIO ANAIZIDI YANGA AMBAE HUYO MAZEMBA HAWEZI IFUNGA YANGA.
Hamna Quality yoyote wachambuzi uchwara ndiyo wanawajaza upepo subiri uone Mazembe aliyecheza unafikiri utapata Tena Ndondokela Uwanja wa Mazembe umerudi km zamani ukienda pale lazima ya uache point 3 utopolo 😂😂😂😂😂😂
MANENO ya NDOTO YANGA KUFIKA FAINALI YANATUPELEKA MBALI
Hans mi nakuelewaga sana
Hata yanga kama siyo mizengwe angefika nusu fainali
Nusu fainal hipi?
Mnacheza na mamelod hamchez mpira mpaki bas nyumbanj na ugenini mnasubili kubahatisha!!!
@@JohnEugeni-f8m mjomba club bingwa so show games, Al ahly anachukua ubingwa mwaka jana angalia record zake tangu makundi
Mc ulger na tp mazembe wanasonga mbele aiseee
Sio rahis kumtoa kabisa yanga
KUSUBIRI MECHI ZA MWISHO HIYO NI KAZI YA SIMBA
Kisasi ni lazima na kufuzu sio ombi
Badala ya kuchambua mpira wewe mwenye nguo au jezi ya blue unakuwa mshauri.
Tip mazembe ni balaa kwanza ni wazoef yanga msijidanganye
Uo uzoefu ndo alipigwa nje ndani yanga akaingia fainali federation na hapa wameuza wachezaji wengi na pia hawaruusiwi kusajili.
Tilipowapga in out hawakuwa wazoefu
Utopolo shughuli yake imeishia hapa
Tushawazoea huu ndio wimbo wenu hat mwak Jan mmeuimba sana nin kilimtokea shughuli yetu mliiona
Hao walimfunga nabi sio gamondi
Huyu kaka yeye ni shabiki wa yanga anawaza ujinga
UTOPOLO hana uwezo wa kuingia robo fainali mbili mfululizo tupo hapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hili kundi anafuzu mazembe na hilal ukitaka ni hivyo hutaki ni hivyo
Tutarajie nini zaidi ya maneno yako haya ya husuda kutoka kwako wewe Kolokwinyo tena ukiwa katika ubora wako na kugeuka kuwa mtabiri mganga wa kienyeji
hans wa utopol🤣🤣🤣🤣
Hans eee wewe unamawazo kama Mimi msimamo utakuwa ivi
1 yanga
2 mc Alger
3 tp mazembe
4 al hilal
Niivotu Wala tusupepese macho aisee cronmedia mko vizur
Simba wananafasi kubwa ya kufuzu benjamini mkapa simba anachukua point 9 zote
Simba wananafasi kubwa ya kufuzu benjamini mkapa simba anachukua point 9 zote
Simba wananafasi kubwa ya kufuzu benjamini mkapa simba anachukua point 9 zote
Simba wananafasi kubwa ya kufuzu benjamini mkapa simba anachukua point 9 zote
Simba wananafasi kubwa ya kufuzu benjamini mkapa simba anachukua point 9 zote