Angalieni sana toeni taarifa kwa uongozi wa tff yanga wasiwaruhusu kuvunja geti na kuacha kuingilia mlango maalumu wao wanavunja geti lakini tff wanaacha tu na wananyamazia tu
Mlango unahsoana na mpaka ya Simba nn mpira unachezwa uwanjani Cha msingi mtu aingie uwanjani swala la kuingilia wapi sio tatizo Simba anaamini sana kwenye ushirikina dunia na afrika yote inajua Hilo ndo paniki hizi unazoona wasipofanikiwa hamna mpira pale
Wewe unamtaka simba tu kakutane na wasiorogeka hao makatili si mumezoea kumroga simba nakuvunja mageti yasiyoruhuaiwa kupitia nyie ndio milango yenu kwa ajili uchawi wenu, ila klabu bingwa naiona yanga ikifika mbali makundi naiyona yanga ikimaliza na point 16 kibabe na kuongoza kundi, mazembe atapigwa nje ndani al hilaly nje ndani.
Yes! ni ukweli mtupu kwamba simba yupo juu ya Mazembee🎉
Hata Simba angekuwa CAF Championship angekuwa kwenye port A badala ya TP Mazembe kwa kuwa Simba ina points nyingi kuliko TP Mazembe.
Wewe una point 30.5 halafu Tp mazembe unajua ana ngapi😅😅😅😅
Pia ana 30.5
Pot 1 ya ugali labda ,huna chakumzidi mazembe hata kimoja,huna chakumzid espetance hata kimoja unakaaje pot 1😂😂
@@hamisiselemani601630.5 sooo.!! Only time of collection matters..do you know this?
@@greysonkisinda7390you know nothing so you know?
Semaji likitema cheche....🔥🔥
@U&D Tv
Angalieni sana toeni taarifa kwa uongozi wa tff yanga wasiwaruhusu kuvunja geti na kuacha kuingilia mlango maalumu wao wanavunja geti lakini tff wanaacha tu na wananyamazia tu
Ety kun watot 😂
Ahmedy unaongea sana adi unawashitua walio lala
Timu nne (top 4) tu ndo zilikuwa port 1
Semajiii languuu😂😂😂
Watu wanaanza kula fanyeni muondoke 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 semaji Acha uchoyo 😂😂😂😂😂 wakaribishe waandishi wale chakula cha ubaya ubwela 😂😂
Nyie ni mateja wa yanga yani mtapigwa gori 20 mgawane viongozi wenu mashabiki na muwekezaji wenu timu bovu
Mlango unahsoana na mpaka ya Simba nn mpira unachezwa uwanjani Cha msingi mtu aingie uwanjani swala la kuingilia wapi sio tatizo Simba anaamini sana kwenye ushirikina dunia na afrika yote inajua Hilo ndo paniki hizi unazoona wasipofanikiwa hamna mpira pale
Ubaya ubwela
KILA siku bas kuongea tu 😂😂😂😂😂
Usijimalize jamaa😂
😂😂😂Ahmed😂😂hadi tumesahau swali
🎉🎉🎉
Kujigamba ndo ushindi wa Thimbaaaaa
Hamjielewi makolo😂😂😂😂😂
Malofa msiniangushe mlangoni nikitoa comment yangu sijui mnakimbilia kukoment nn kuhusu simba sc na haiwahusu
😂😂😂😂 yaani ..
Ila uyu jamaa, ya mwandishi kauliza swali zuri sanaa ila kamtoa kwenye reli kiainaaa😂
Tarehe 19 siku ya TV yenye inchi 78, tukutane kwa Mkapa
Unajioshea upumbavu wewe ndo unacheza?
Afu tungepangwa kundi moja na nyie simba mbona ingekua pambee ngemnyanyasa mtu mzima
Wewe unamtaka simba tu kakutane na wasiorogeka hao makatili si mumezoea kumroga simba nakuvunja mageti yasiyoruhuaiwa kupitia nyie ndio milango yenu kwa ajili uchawi wenu, ila klabu bingwa naiona yanga ikifika mbali makundi naiyona yanga ikimaliza na point 16 kibabe na kuongoza kundi, mazembe atapigwa nje ndani al hilaly nje ndani.
Pambana kwanza na haoo uliopangwa nao
😂😂kamwambie semaji wako😂
😂😂😂😂 yaani ..