Safi kaka ally kiba kwakutoa fursa lakini pia tukija kwenye mziki hata kama ukitoa. Nyimbo isipokuwa hit song Mimi nikiwa getho naenjoy kukusikiliza mziki wako iyo inanifanya nikupende pia
Only one king in Tanzanian ... me too my parent for kulima shambani but to be honesty Rich it 90% for the people in world wakulima or wanafonga ziama . 🙏🏼🇰🇲🇰🇲 Comoros islands
Dah hapo ulipotaja kigoma umenikmbusha mbali ile nyimbo y'ako ulioimba Kijijin kwa Bibi kigoma, dah Fanya mpango uimbe tena ile inatukkmbusha mbali sana tangia tumbiri ni watu, Leo watu ni viatu km huna hela hawana mpango na mtu,😂😂😂 mpaka madem wanakuona km mwanamke mwenzie tu wanakupta km gari la mwendo Kasi I🚑😂
Iv huyo mnamtaja kila wakati mama ni mama gani au mnahongwa mbona sioni anachokifanya na hana faida yoyote au mtu akiwa tu ikulu anatakiwa aabudiwe ebu badilik3ni maisha anayoyaishi hayana utofauti na tunayoyaishi sisi wengine amabao hatuko ikulu....jifunzeni kutokumwogopa mtu badala yake mtu asifiwe akiwa amefanya kitu cha maana
Karudi baba mmoja toka safari ya mbali kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili watoto wake wakaja ili kumtaka Hali wakatataka na kauli iwafae maishani mgonjwa akatamka kama mnataka Mali mtaipata SHAMBANI 😊. Kuna vingine nimesahau jamani. Msinicheke
Huyu mtt kweli kukosaa kupenda panya 2010 nakutana nae kongwa mdogo anakuja kwangu hakuna adamu eti ananiambia anafurahi kuniona jamani maisha haya Allah akupe maisha marefu yenye kheri ndani yake mdogo wangu Allah ❤
Kama unamkubali mfalume king kiba nipeni like twende
Namkubari sana Brother Kiba popote penye Fursa wanaume, tunachimba🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
My Heart King kiba 👑 brother Wewe ni Unstoppable wakweli Nakupenda Sana brother King 👑
Alikiba my favorite star in the world 😍 love him from Congo 🇨🇩
Wa Kwanzaa jmn nipeni like zsngu
big up king naona umekuja ktk field yetuu, Maan sisi ambao tumesomea kilimo huwa tnadharaulika mnoo, hongera sana king kibaaa
Kiba, you have done great to invest on agriculture
Vizur sana maisha ni popote na mtaftaji hachoki endelea kupambana mfalume wetuu kila kitu kitakuwa sawa inshallah
Kings music for life
Tupo pamoja
Ukiwa mutu makini utaelewa alafukunakujua nakuelewa
@@uwimananuriat712 come from our a m😊about.
Safi kaka ally kiba kwakutoa fursa lakini pia tukija kwenye mziki hata kama ukitoa. Nyimbo isipokuwa hit song Mimi nikiwa getho naenjoy kukusikiliza mziki wako iyo inanifanya nikupende pia
I love youuuuu Braza kazinzuriii hiyooo 👏👏👏👏
The king
Safi Sana
Kitu Cha kujiuliza kwanini Ali katumia Sana neno mkwanja somethinG biG comes..KILIMO NA MKWANJA
Nimekuelewa brother
Mfalumeeeeeeee nakukubali sana kakaa
😂😂😂😂😂😂Ally yupo seriously and looking good Mashaalah. Sawa tumekuelewa
Moz 👉 🇲🇿 tunasemaga, kama watu wa chamba awalimi watu wa mjini awali agriculture is Very good
King forever...igwe......
Likaka lizuri hilo ❤❤❤
Aisha mambo
Wapo wawili hapi
Kaelezea vzr sana hakika numejifuza ki2 🇶🇦
Ahsante kaka alikiba juu ya hicho unachokifanya mungu akusaidie
Hapa namsapoti sana Ali Kiba kongolee
Role model😍😍😍😍😍
Xawa Kaka mi mwenyewe nakukubali xana umetuonyesha kaz nzur unayofanya mkuu
King❤❤❤
Alikiba mzuri jamani❤
Vibaya mno
Mwambie akuoe yupo single
@@fredrickmatiku7783 😂😂😂😂😂😂
Only one king in Tanzanian ... me too my parent for kulima shambani but to be honesty Rich it 90% for the people in world wakulima or wanafonga ziama . 🙏🏼🇰🇲🇰🇲 Comoros islands
@alikiba yupo natural jmn mpk rahaaa🤗🤗🤗😍
King kiba ♥️♥️
Kiukweli unajitahdi kingkiba!!
Big up congrats
Mas força king kiba 💥
Mfalmeee kama mfalmeee ❤❤
Dah hapo ulipotaja kigoma umenikmbusha mbali ile nyimbo y'ako ulioimba
Kijijin kwa Bibi kigoma, dah Fanya mpango uimbe tena ile inatukkmbusha mbali sana tangia tumbiri ni watu, Leo watu ni viatu km huna hela hawana mpango na mtu,😂😂😂 mpaka madem wanakuona km mwanamke mwenzie tu wanakupta km gari la mwendo Kasi I🚑😂
Kiba🔥🔥🔥
Namkubali alikiba the king from zambia but burundian 🇧🇮🇧🇮🇿🇲🇿🇲
Anaelezea vizuri ofcoz, kama Horticulturalist namuelewa
Iv huyo mnamtaja kila wakati mama ni mama gani au mnahongwa mbona sioni anachokifanya na hana faida yoyote au mtu akiwa tu ikulu anatakiwa aabudiwe ebu badilik3ni maisha anayoyaishi hayana utofauti na tunayoyaishi sisi wengine amabao hatuko ikulu....jifunzeni kutokumwogopa mtu badala yake mtu asifiwe akiwa amefanya kitu cha maana
King motooo
Hongera sana kakangu
Ninakukubali sana King daaaa
Uko vizuri
Karudi baba mmoja toka safari ya mbali kavimba yote mapaja na kutetemeka mwili watoto wake wakaja ili kumtaka Hali wakatataka na kauli iwafae maishani mgonjwa akatamka kama mnataka Mali mtaipata SHAMBANI 😊. Kuna vingine nimesahau jamani. Msinicheke
unatujumbusha mbaali😂😂
001 king
King 👑
INTERVIEW YA KIBABE MASWALI NA MAJIBU YOTE YA KIFASWAHA NINGEPENDA AENDEELEE AZUNGUMZIE KUHUSU MZIKIII
YE BABAAAAA🍒🍒
Naomba kazi yakulima ikoo
nimeikubali sana iyo broo
Hapo sawa
Nikweli kabisa kigi
Kaz nzurii
LGBT utawajua tu
ni kweli kilimo kinalipa aiseee... sema wengi hua wanadharau kilimo but huko kunalipa.
King
Kiba mzuri jmn MashaAllah
Na mm mzuri pia
@@kassimali2273 😂😂😂 Ongela
@@salma9390 asante
Sana Mashaalla handsome hasa. Ila watoto WA Mm Kiba wote mandsome ❤
Muito bom brada com sua ideia
anavoongelea ali utadhan kilimo unaingia bila hata mia 😂😂 ila big up king una tuinspire
😀😀😂😂😂😂😂
Nalipenda hili likaka jamn😊😊
Nakubari
Ila vido nimzuri jamani 😂😂 kama huna mke naomba unichukuwe 😢😢 sisi wote tunavimacho 👁️👁️
Ana vimacho konkiii
Huyu mtt kweli kukosaa kupenda panya 2010 nakutana nae kongwa mdogo anakuja kwangu hakuna adamu eti ananiambia anafurahi kuniona jamani maisha haya Allah akupe maisha marefu yenye kheri ndani yake mdogo wangu Allah ❤
Usjali Aisha hata Mimi ni mzuri sana Njoo kwangu
Mshapata nyegeeeee.. mamae
Nampenda kiba aje aniowe,aachane na ilo li Amina
King kiba ww noma kwel
King una AKILI
Mkulima halisi huyo
Kilimo kinahitaji Pesa sana
Alikiba wewe ni mpambanaji blo hongera sana kwamana unalisha jama la Tanzania nzima kaka
Lima baba ndo ela unazo ckuiz kilimo hadi uwe na ela
noma sana
Kwel lile tuta lako tuli lihona kbs Dah! Unakumbuka mbali kweli
King alikiba, ni msani ambao namkubali tangu utoto wangu.
Yaap King
🎉
Yani mama mama seriously??? Ao mko kwenye kampeni? ???
Hee naona interview nyingi anataka kutembelea nyota ya baddest
Just so you know 24 acres is equivalent to 24 soccer fileds!!
Is this true?? And how much does it cost for 1 acre?
Kilimo kinalipa broo
Kibakuli 😂
brother Ali mwongo kinouma 😁🤣🤣🤣tuambie tu ukweli umelamba dili na wizara ya kilimo #last born wa mama😁🤣🤣🔥🙌
Darasa zuri sana tuwekeze kwenye kilimo
Yani Tanzania Rais ndo kilakitu 😂
King de Kiba
Nakubal mwaesa
Kumbe n mnene ivi
King kaingia kwenye kilimo,mimi ni nani nishindwe kumuiga king Kiba.
🔥🔥🔥
Aya lema alisema kazi ya boda boda ni laana hata alikiba amesema leo
#nakubal kiba pambana
Maflana ya king nayataka
Hivi hamna alie amua kufanya maamuzi yake asimjumuishe mama ?? 😂😂😂 Vijana wahovyo
Huyo nd0 mwambaa ebwana kiba anaweza heshima kwake
bro jobba
Pesa ipo kwenye kilimo na alikiba sio wasafibet na Diamondplatnumz
Alikiba huzeekagi lbsa🤣🤣🤣
👑👑👑
🎉🙌
Mtu na nusu
Mbn kama Kiba kesha anza kuchanganya fans yaan he is king in music but now ni mkulima
Una akili sana
Interview za kiba azichoshi unatamani isiishe.
Can't talk, WhatsApp only