ASILI YA KABILA LA WANGONI SEHEMU YA KWANZA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ส.ค. 2018
  • Wangoni ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Ruvuma, hasa upande wa Kusini wa Songea. Pia wako Msumbiji. Lugha yao ni Kingoni.

ความคิดเห็น • 25

  • @MrEmman95
    @MrEmman95 2 ปีที่แล้ว +1

    Asanteni sana kwa kutuletea hiki kipindi, kwa heshima ninamuomba Chifu hii historia isi ishie apa tu, vitabu viandikwe kwa manufaa ya watu wetu. Mimi ninaweza kumasaidia mkuu kuandika kama akinialika. Asanteni sana

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 4 ปีที่แล้ว

    Nashukuru sana Gama kwa history ya kwetu najivunia asili yangu maana nami ni Gama pia. Hongera sana Wangoni wote

  • @MAWAZOFESTOKIZUNGU
    @MAWAZOFESTOKIZUNGU 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wako kigoma ukoo wao unaita wasuka ndio blaza k

  • @yasintangonyani6304
    @yasintangonyani6304 5 ปีที่แล้ว +4

    NIMEFURAHI SANA KUSIKIA KWA MARA NYINGINE HISTORIA YETU

  • @luhendesoloshija9502
    @luhendesoloshija9502 ปีที่แล้ว

    Napenda kujua wangoni walio elekea bushetu, kahama, shinyanga na geita Bado wapo au washakuwa wasukuma, wasumbwa, wanyamwezi, Waha, wasubi, wahangaza, wazinza, au wahaya

  • @richardlizomba3142
    @richardlizomba3142 5 ปีที่แล้ว

    Daaaahhhh... nimefurahiii sanaaaaa...i don't know what can i say but wooooowwwwwww from Dabani to Songeaaa.....

  • @YomePyd
    @YomePyd 11 หลายเดือนก่อน

    Xongea iz ma home I will be back there

  • @augustuss4503
    @augustuss4503 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa hiyo history yetu.

  • @salumshaibu
    @salumshaibu 11 หลายเดือนก่อน

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni2847 5 ปีที่แล้ว +4

    Wangoni oyeeeee mm najivuni kuwa mngoni ata mume wangu natamani awe mngoni

  • @charleserasto3749
    @charleserasto3749 5 ปีที่แล้ว

    Saf sana

  • @kahimbaalphonce9564
    @kahimbaalphonce9564 5 ปีที่แล้ว

    Pamoja asante

  • @felicianmapunda2328
    @felicianmapunda2328 5 ปีที่แล้ว

    mwenga takavi kadeni hinu tavazeyi

  • @hildakihwili8821
    @hildakihwili8821 5 ปีที่แล้ว

    Kwetu pazuri

  • @maxelinambawala3933
    @maxelinambawala3933 5 ปีที่แล้ว

    Ni vizur kujua historia yetu ya zamani kuusiana na ngoni tribal wengi tunapendana kujua vizuri kabila letu màana wengine hatukuwepo kipindi icho

  • @depravooh169
    @depravooh169 5 ปีที่แล้ว

    Natakakujua historian ya ukoo wa kapinga