2. UPONYAJI KWA WALIOVUNJIKA MOYO | Mwl. Isaac Javan

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Hili ni somo la uponyaji wa moyo uliovunjika. Moyo wako ni kiungo muhimu cha maisha yako ya sasa na ya baadae. Maisha yako baada ya kufa, yanategemea hali ya moyo wako.
    Katika somo hili, utaenda kujifunza vitu vinavyosababisha moyo uvunjike, lakini pia utaenda kujifunza mambo ya kufanya ili uweze kupokea uponyaji pale ambapo moyo wako umevunjika.
    Mungu akubariki na kukupa amani.
    Isaac Javan | +255 745 76 45 72

ความคิดเห็น • 28

  • @IsaacJavan
    @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

    BWANA YESU asifiwe. Mafundisho haya yanapatikana Boomplay. Unaweza kudownload kwenye simu yako kupitia link ifuatayo:
    bit.ly/3vGOFdH

  • @beatricechepkurui9161
    @beatricechepkurui9161 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏 please pray for me and my family i receive in Jesus name amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen Amen my daughter

  • @serinaserina9639
    @serinaserina9639 2 ปีที่แล้ว +2

    Ameen baba

    • @emachangale769
      @emachangale769 2 ปีที่แล้ว +1

      Haleluya.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Karibu tena uungane nasi kwenye muendelezo wa somo hili hapo jioni

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele. Karibu uungane nasi kwenye muendelezo wa somo hili

  • @elizabethwanjiku5155
    @elizabethwanjiku5155 2 ปีที่แล้ว +1

    May GOD BLESS YOU for this teachings

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen mwanangu, GOD bless you and don't forget to join us later as the teaching continues

  • @lembalai
    @lembalai 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana mwalimu kwa somo nzuri.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote

  • @malipamkumbo6023
    @malipamkumbo6023 2 ปีที่แล้ว +1

    Nabalikiwa sana.Nawe Mwalim Mungu azidi kukutumia

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen mwanangu zidi kubarikiwa na BWANA YESU milele. Karibu uungane nasi tena hapo baadae jioni tunapoendelea na somo hili

  • @mercysamuel9281
    @mercysamuel9281 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen napona ,Hili ni Hitaji limenitesa mnoo,

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen mwanangu, Mungu akubariki na YESU akutane na haja ya moyo wako. Usisahau kuungana nasi hapo baadae jioni kwenye muendelezo wa somo hili

    • @mercysamuel9281
      @mercysamuel9281 2 ปีที่แล้ว +1

      @@IsaacJavan Amen yaani toka nijue huu ukurasa ,naanza kuwa tofauti ,maombi nayopata hapa na ufunuo Mungu akubariki Baba ,hujui Tu maumivu yanayotusumbua na mapito makali

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      @@mercysamuel9281 Amen mwanangu jina la BWANA YESU libarikiwe sana. Mungu ni mwaminifu sana. Nami nakuombea YESU azidi kukuonekania na kukushindia katika mambo yote. Ushindi upo

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      @@mercysamuel9281 Zidi kubarikiwa zaidi na BWANA YESU milele yote

  • @miriamndunda4459
    @miriamndunda4459 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen 🙏🙏 ubarikiwe sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Karibu uungane nasi hapo baadae tunapoendelea na mafundisho haya

  • @risperbaraza260
    @risperbaraza260 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @katemwende357
    @katemwende357 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen ...

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen my daughter, God bless you and dont forget to join us later as the teaching continues

  • @bataboyulledi5138
    @bataboyulledi5138 2 ปีที่แล้ว +1

    Aman

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 2 ปีที่แล้ว +1

    Shallom baba

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 ปีที่แล้ว

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele yote. Karibu tena uungane nasi kwenye muendelezo wa somo hili hapo baadae