ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Director Wang mpendwa kakoso ujawai kuniangusha kwenye kazi zako❤❤❤
Hii Ep 2 umetumia ubunifu ❤ nimependa sana umevyochanganya matukio imevutia sana ❤ kazi nziri Director Kakoso ❤❤❤
😂😂😂😂..kipara wanaman mtaani wanapenda kuniita jaiva
Mm ndio goli keeper hapa team mbwela mko wp gonga like kama unamkubali mbwela 😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mm wa kwanza like zangu please
Naomba like zangu director kakoso
Kazi nzuri kaka sema unachelewa sanaa kutoa ep mpaka tunaanza kuisahau move yenyewe❤❤❤❤❤❤
Heeee mbwelaa weee unapaa tena hongera 😂😂😂😂😂
Director kakoso unajw mpk unajw tn❤❤❤🎉🎉🎉
Am the first one today lo❤ from Zambia
Usiicheleweshe bc toa kila baada ya siku 3 tamthilia nzuri sn
Kazi nzuri ❤❤
Nimejifunza aisee😢kazi nzuri sana ❤
Kaz nzur sn yenye mafndisho kwa wanawke wote wapuuzi nakupnda sn kaka kakoso❤❤❤🇰🇪🇸🇦
Director wa Africa na kati jamaa ana jua sana wanaomkubali Director kakoso gonga like hapa
Ni balaaa
Kaz nzuri
Mnachelewesha mnooo jaman...Ila good job
Super director genious hongera yako
Kazi nzuri kaka sema unachelewa sanaa kutoa ep mpaka tunaanza kuisahau move🙏🙏🙏🙏🙏 toa episode kak
Na mm nacomment ,ipo hiv hongereni sana ,na kama kuna sehemu mmetumia maudhui sahihi ni hapa kwenu,
Good job sandra❤ from 🇧🇮💐 tunawapenda san
Aisee we jamaa unajua sana kutengeneza muvi Hii kali sana
First comment I need like🙏🙏🙏
Mbona una chelewa Sana Broo Kaz mzuri Sana Tena sana
Mmmmh kumbe huyu kaka muongo hv Co kwahyo mistar 😂😂😂😂😂🤔
Dah Ila Sandra mzuri sanaa pokea maua yakoo🎉🎉🎉🎉
Kuna Madirector halafu kuna Director Kakoso
Good work ❤ haina kupoa mpambanaji kakoso🎉
Broo tunakuamini lkn unachelewesha sana hii kaz wakat ni nzur na mafunzo piaaa
Wee kaka chibu haongera sana uko na busara mimi dadako kutoka kenya ❤❤❤❤❤❤❤
Kaz kubwa
Wee SENGO weee mzee wa kuchepukaa😅😅😅
Iyikazininzuli nani kubwa tunaomba mtuwaishiye episode yatatu3 asanteni san from 🇧🇮💐 tunawapenda san
Wa 1
Amazing
Hili n funzo wanawake muache tamaa mwanaume anaekupenda ni yule aliyekueka ndani hao wanaukuja ni kwa ajili ya kukuchezea tu😊😊
Ogopa sana rafiki yye yupo kwenye ndoa halaf anakushawishi ww uachike marafiki wengine wabaya sana
Hii ni zaidi ya zote 💯💯💯💯🔥🔥🔥
Mafunzo mazuri mashallah 🎉🎉🎉#big kaka sijapendaaaa
Director kakoso unatucheleweshea sana aisee
MASHAALLAH.movie yaonekan Iko poa san.nimeipenda sana❤❤❤❤❤.basi msicheleweshe
Kilanga komwaaaa sandraaa
Wee ii kali aky
Chuma kikali
Tisha sana bosi
Kipara mshenzi ww say haweee😂😂😂gonga like ekipara wana man
Mbwembwe😁😁😁mbwelaa umeharibuu
Inafundisha sana bro,,bonge la kazi
😄😄😄😄kipara jmn
p1 mr kakoso and the entire gang
This video is so much better
Much love from Kenya mie apa wa thelathin like back guys❤
From Kenya ❤❤❤🎉
From Kenya we love them❤
Mbwela kwakutongoza🎉🎉🎉😂😂😂😂😂umetisha baba
Mbwela maneno mengi aisee😂😂😂
Mbwela kumbe ndo hivi mchepuko mnatuibiaga wake zetu??? 😳😳 mlio kwenye ndoa watunzeni wake zenu
❤❤❤❤❤❤❤
Mbn nimeipenda sana ❤❤
Can we move there please 😂😂 kipara Wana man
Hii nzuri kakak kakoso usiicheleweshe Kaka tunaifuatiliya sana
Aya shongaako ashakuruka ona marafiki wenine siwo km kweli jmn tujifunze sn kupitiya hii
Link plz
Mwanamke mjinga anabomowa ndowa yake kwamikono miwili Sandra mwanamke mjinga mbwela weye muhongo unamuhogopeya sandra🇧🇮 😢
Chuma Kali sana hii
Oi waEe mnqchelew saaana ,naomba msizidishe siku3 itawainua sana sio mpk mtu asaau aliishia wap
Yaani scene zenu huwaga zinanipa mafuzo san asanteni san jamani nawapenda hatari
Dada mbaya kweli unamshauri mdogo wako ujinga pole sana mwaya yamekukuta yalomukuta😢
Aweeeeee😂😂😂
Kazi nzuri sana sana ❤❤
Much 💕 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪,, likes 2
Wanaume kwa uongo kali hii mbwela ww😂😂😂😂😂
Kakoso ila wew jamaa hatari wakimbizee ivo ivoo👊👊
say away kipara jaiva😅😅😅😅
Mim.rafiki kama huyu simtaki kwa maisha yangu haya ona alishakuharibia ndoa yko
Hawa wanawake duhh
Ken we move there please kipara jamani 🤣🤣🤣🤣🤣
Mm nampenda mbwela
Za leo tunasubir part 3 jaman director
Nmeipenda hiyo
Duuuuh 😊
Ni mzuri
Director kakoso ni nyoko...mtu na nusu
Hongereni
Season kali kbs
Waona marafiki walivyo wabaya
zatiti ndo yupi jamaniiii
Viumbe waongo hawa alishaolewa anatokea anakupeda kuliko alikoa usirogwe ukaamin😂😂😂
Big up sana.
Inachelewa sana mpk tunasahau
🔥🔥🔥
Kazi ya taifa muda utaongea
❤❤❤❤
Good 🎉🎉
Inachelewa Sana ila kazi nzur
Nice job
Tukiacha kusuport kazi zenu mnalaumu watanzania hawasaport kazi zenu axa we unatoa kazi ina malza mwez haujafanya chochote ..duuuu mnazingua kama hamwez kutafta mwendelezo bola tu mkatafte kazi zingne muache kuigza hii kazi imewashinda tu 👋👋👋👋
😂
Unyama
Kipara wanam 😂😂😂😂
Hii group ya hawa vijana inatisha mnaeza hadi bac
Mmmh hii nihatari
Turarindiriye
Mafudzo mazuri San ❤❤❤
Director Wang mpendwa kakoso ujawai kuniangusha kwenye kazi zako❤❤❤
Hii Ep 2 umetumia ubunifu ❤ nimependa sana umevyochanganya matukio imevutia sana ❤ kazi nziri Director Kakoso ❤❤❤
😂😂😂😂..kipara wanaman mtaani wanapenda kuniita jaiva
Mm ndio goli keeper hapa team mbwela mko wp gonga like kama unamkubali mbwela 😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mm wa kwanza like zangu please
Naomba like zangu director kakoso
Kazi nzuri kaka sema unachelewa sanaa kutoa ep mpaka tunaanza kuisahau move yenyewe❤❤❤❤❤❤
Heeee mbwelaa weee unapaa tena hongera 😂😂😂😂😂
Director kakoso unajw mpk unajw tn❤❤❤🎉🎉🎉
Am the first one today lo❤ from Zambia
Usiicheleweshe bc toa kila baada ya siku 3 tamthilia nzuri sn
Kazi nzuri ❤❤
Nimejifunza aisee😢kazi nzuri sana ❤
Kaz nzur sn yenye mafndisho kwa wanawke wote wapuuzi nakupnda sn kaka kakoso❤❤❤🇰🇪🇸🇦
Director wa Africa na kati jamaa ana jua sana wanaomkubali Director kakoso gonga like hapa
Ni balaaa
Kaz nzuri
Mnachelewesha mnooo jaman...
Ila good job
Super director genious hongera yako
Kazi nzuri kaka sema unachelewa sanaa kutoa ep mpaka tunaanza kuisahau move🙏🙏🙏🙏🙏 toa episode kak
Na mm nacomment ,ipo hiv hongereni sana ,na kama kuna sehemu mmetumia maudhui sahihi ni hapa kwenu,
Good job sandra❤ from 🇧🇮💐 tunawapenda san
Aisee we jamaa unajua sana kutengeneza muvi Hii kali sana
First comment I need like🙏🙏🙏
Mbona una chelewa Sana Broo Kaz mzuri Sana Tena sana
Mmmmh kumbe huyu kaka muongo hv Co kwahyo mistar 😂😂😂😂😂🤔
Dah Ila Sandra mzuri sanaa pokea maua yakoo🎉🎉🎉🎉
Kuna Madirector halafu kuna Director Kakoso
Good work ❤ haina kupoa mpambanaji kakoso🎉
Broo tunakuamini lkn unachelewesha sana hii kaz wakat ni nzur na mafunzo piaaa
Wee kaka chibu haongera sana uko na busara mimi dadako kutoka kenya ❤❤❤❤❤❤❤
Kaz kubwa
Wee SENGO weee mzee wa kuchepukaa😅😅😅
Iyikazininzuli nani kubwa tunaomba mtuwaishiye episode yatatu3 asanteni san from 🇧🇮💐 tunawapenda san
Wa 1
Amazing
Hili n funzo wanawake muache tamaa mwanaume anaekupenda ni yule aliyekueka ndani hao wanaukuja ni kwa ajili ya kukuchezea tu😊😊
Ogopa sana rafiki yye yupo kwenye ndoa halaf anakushawishi ww uachike marafiki wengine wabaya sana
Hii ni zaidi ya zote 💯💯💯💯🔥🔥🔥
Mafunzo mazuri mashallah 🎉🎉🎉#big kaka sijapendaaaa
Director kakoso unatucheleweshea sana aisee
MASHAALLAH.movie yaonekan Iko poa san.nimeipenda sana❤❤❤❤❤.basi msicheleweshe
Kilanga komwaaaa sandraaa
Wee ii kali aky
Chuma kikali
Tisha sana bosi
Kipara mshenzi ww say haweee😂😂😂gonga like ekipara wana man
Mbwembwe😁😁😁mbwelaa umeharibuu
Inafundisha sana bro,,bonge la kazi
😄😄😄😄kipara jmn
p1 mr kakoso and the entire gang
Amazing
This video is so much better
Much love from Kenya mie apa wa thelathin like back guys❤
From Kenya ❤❤❤🎉
From Kenya we love them❤
Mbwela kwakutongoza🎉🎉🎉😂😂😂😂😂umetisha baba
Mbwela maneno mengi aisee😂😂😂
Mbwela kumbe ndo hivi mchepuko mnatuibiaga wake zetu??? 😳😳 mlio kwenye ndoa watunzeni wake zenu
❤❤❤❤❤❤❤
Mbn nimeipenda sana ❤❤
Can we move there please 😂😂 kipara Wana man
Hii nzuri kakak kakoso usiicheleweshe Kaka tunaifuatiliya sana
Aya shongaako ashakuruka ona marafiki wenine siwo km kweli jmn tujifunze sn kupitiya hii
Link plz
Mwanamke mjinga anabomowa ndowa yake kwamikono miwili Sandra mwanamke mjinga mbwela weye muhongo unamuhogopeya sandra🇧🇮 😢
Chuma Kali sana hii
Oi waEe mnqchelew saaana ,naomba msizidishe siku3 itawainua sana sio mpk mtu asaau aliishia wap
Yaani scene zenu huwaga zinanipa mafuzo san asanteni san jamani nawapenda hatari
Dada mbaya kweli unamshauri mdogo wako ujinga pole sana mwaya yamekukuta yalomukuta😢
Aweeeeee😂😂😂
Kazi nzuri sana sana ❤❤
Much 💕 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪,, likes 2
Wanaume kwa uongo kali hii mbwela ww😂😂😂😂😂
Kakoso ila wew jamaa hatari wakimbizee ivo ivoo👊👊
say away kipara jaiva😅😅😅😅
Mim.rafiki kama huyu simtaki kwa maisha yangu haya ona alishakuharibia ndoa yko
Hawa wanawake duhh
Ken we move there please kipara jamani 🤣🤣🤣🤣🤣
Mm nampenda mbwela
Za leo tunasubir part 3 jaman director
Nmeipenda hiyo
Duuuuh 😊
Ni mzuri
Director kakoso ni nyoko...mtu na nusu
Hongereni
Season kali kbs
Waona marafiki walivyo wabaya
zatiti ndo yupi jamaniiii
Viumbe waongo hawa alishaolewa anatokea anakupeda kuliko alikoa usirogwe ukaamin😂😂😂
Big up sana.
Inachelewa sana mpk tunasahau
🔥🔥🔥
Kazi ya taifa muda utaongea
❤❤❤❤
Good 🎉🎉
Inachelewa Sana ila kazi nzur
Nice job
Tukiacha kusuport kazi zenu mnalaumu watanzania hawasaport kazi zenu axa we unatoa kazi ina malza mwez haujafanya chochote ..duuuu mnazingua kama hamwez kutafta mwendelezo bola tu mkatafte kazi zingne muache kuigza hii kazi imewashinda tu 👋👋👋👋
😂
Unyama
Kipara wanam 😂😂😂😂
Hii group ya hawa vijana inatisha mnaeza hadi bac
Mmmh hii nihatari
Turarindiriye
Mafudzo mazuri San ❤❤❤