Wakaazi wa Murang'a wamsuta vikali Betty maina kuanzisha cheche za maneno na naibu rais Gachagua
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024
- Baadhi ya wakaazi wa kaunti ya Murang'a wamemsuta vikali mwakilishi wa wanawake Betty maina kwa madai ya kuanzisha cheche za maneno dhidi ya naibu rais Rigathi Gachagua .
Wakaazi hao wamemshtumu vikali Maina kwa kupanga njama ya uchokozi kwa naibu rais hatua ambayo wanasema itazuiliwa kwa njia zote ,huku wakidai kua Maina anashawishiwa na wahusika wengine wa kisiasa kuchafua jina la Gachagua mlimani. Isitoshe mbunge huyo amejiingiza katika vita na naibu rais vya kuonyesha nani mbabe katika uongozi wa sasa huku wakitazamia uchaguzi wa mwaka 2027. Jambo hili limejiri wakati ambapo Gachagua anazidi kupoteza uungwaji mkono kutoka kwa wabungemhaswa wa mlimani ingawa wenyeji wa mlima wanasema wanamuunga mkono
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Beth akweeeeeede.
Betty maina heshimu deputy President usilete ugomvi Murang'
Huyu Betty has a combative spirit.
Her smile tells it all
As my birth county rep...she is very very incompetent...she was actually elected by default. She should start preparing to go and serve her in-laws to know what type of a "wife" she is....😮😮😊
atarudi nyumbani her husband has filed an impeachment motion against rigathe after that i am sure ni kumburithio mathira the way mathira people love Rigathe magutweka ahoi toro
tugege twa mlima hoiyeee... serikali ya mungu inawapeleka aje??
n vizuli kuandika JINA YA MUNGU na jina kubwa please
n vizuli kuandika JINA YA MUNGU na jina kubwa please