Zari adai anataka Zuchu na Diamond wakutane kwenye Young Famous and African

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 83

  • @RehemaKatana-m6l
    @RehemaKatana-m6l 10 วันที่ผ่านมา +22

    Zari anampenda sana zuchu kwakwel

  • @OliviaOlivia-rh1eb
    @OliviaOlivia-rh1eb 10 วันที่ผ่านมา +8

    Team zari for life 🎉🎉🎉🎉

  • @azizahuruma7463
    @azizahuruma7463 9 วันที่ผ่านมา +1

    🙌👑diamond

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 10 วันที่ผ่านมา +4

    Zari likes Zuchu so bad ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 10 วันที่ผ่านมา +5

    Zari hajakosea, it's true💯

    • @mwatumsaidi5104
      @mwatumsaidi5104 10 วันที่ผ่านมา

      Huyu bibi anazarau sana

  • @ingridninanahazwe1497
    @ingridninanahazwe1497 10 วันที่ผ่านมา +10

    Mimi sioni ubaya kuona mondi kasema kama zuchu ni msani wake kila mtu anajuwa kuwa nimsani wake ila hajawahi kumtambulisha kama mcumba wake ila ni mzizi mwenziye si mcumba wala mke zuhura mi ningekuomba tu umuombe Allah akupe Mme bora apana awo wasani dada yangu Allah akupe subra

    • @benjaminmartin4548
      @benjaminmartin4548 8 วันที่ผ่านมา

      Hivi Zuchu unelogwa na nani? ONDOKA.

  • @Sarah-e1o9k
    @Sarah-e1o9k 10 วันที่ผ่านมา +5

    Mama lao ❤❤❤

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 10 วันที่ผ่านมา +5

    Zari anapenda Zuchu bcs siyo kiwango chake yanni ni kama dada wa kazi ivi hataki diamond apate mwanamke wa high level than her

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 9 วันที่ผ่านมา

      Kwa kipi na yeye ashaolewa jamani?

  • @General-contents12
    @General-contents12 10 วันที่ผ่านมา +31

    Na hzo hasira zake watampanikisha huyo zuchu atavunja Camera za watu huko 🤣🤣

    • @QmnananadineNadine
      @QmnananadineNadine 10 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂

    • @General-contents12
      @General-contents12 10 วันที่ผ่านมา

      @ 🤣

    • @ROSEROBERTROBART
      @ROSEROBERTROBART 10 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @RayChausa-g6m
      @RayChausa-g6m 10 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂wampumzishe asiwape hasara 😂

    • @Bravo-or8oy
      @Bravo-or8oy 10 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 10 วันที่ผ่านมา +3

    Zuchu ataweza kabisa

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 10 วันที่ผ่านมา +3

    Zuchu akiwemo itakuwa👍

  • @naimazuber3646
    @naimazuber3646 8 วันที่ผ่านมา

    Jamani mnaelewa story?

  • @ZulfaHabib-o6x
    @ZulfaHabib-o6x 10 วันที่ผ่านมา +3

    Kwel bora tu awemo zuchu watauwa sana hapa kajaribu kumuonea huruma zuchu kila cku anamtia pressure akiwemo mbn atafit tu n atakuwa pambe n ndio sasa tutajivunia zaid watanzania

  • @alwankoabdalla1640
    @alwankoabdalla1640 10 วันที่ผ่านมา

    That 100% true 👍

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 9 วันที่ผ่านมา

    Mzungu mzungu tu Africa bdo Sana

  • @fitinajustine7801
    @fitinajustine7801 10 วันที่ผ่านมา +9

    Nakupenda bure Zari we ni mzungu huna roho mbaya

    • @MomaDedu
      @MomaDedu 10 วันที่ผ่านมา +1

      wewe ni mzungu huna roho mbaya we forget and keep colonize our mind
      Uzungu na roho nzuri wapi na wapi

    • @hopechidera
      @hopechidera 10 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂mbona povu ​@@MomaDedu

    • @neemanyove9130
      @neemanyove9130 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@MomaDedu Nisaidie kushangaa😂

  • @Bravo-or8oy
    @Bravo-or8oy 10 วันที่ผ่านมา +2

    Zari kaongelea upande wa wanawake kuingia kwenye show sio wanaume. Na hajasema uongo tunapenda umbea sana hata waume zetu tunateta nao kabla ya kulala😂😂😂😂

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 9 วันที่ผ่านมา

    Ukweli unauma

  • @anicyaedward6257
    @anicyaedward6257 10 วันที่ผ่านมา +3

    But that is the reality zari kaongea ukweli. Kataa kibali ndo hvyo kumbuka watz wengi especially stars they fake life. So reality show hawewez maana 80% ni reality ya maisha ya mtu

  • @naimazuber3646
    @naimazuber3646 8 วันที่ผ่านมา

    You don’t have any Netflix you have to listen the story what is going on?

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 10 วันที่ผ่านมา

    Udaku na mm naipenda

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 10 วันที่ผ่านมา

      Zari kasema kweli 😂😂😂😂

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 10 วันที่ผ่านมา +1

    Zuchu atawapiga kwamana hasira zake sio zakawaida 😂😂 😂

    • @Bravo-or8oy
      @Bravo-or8oy 10 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂ampige bwana ake na yule Fantana

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 10 วันที่ผ่านมา +2

    Amesema zuchu akuwepo aone diamond akimkana...waaa 😮

  • @ckukuu8404
    @ckukuu8404 10 วันที่ผ่านมา +4

    Zari alimpenda sana zuchu ❤

    • @isabellarkageha7707
      @isabellarkageha7707 10 วันที่ผ่านมา +1

      Kwa zuchu ameongea kwa unafki

    • @Zuu673
      @Zuu673 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@isabellarkageha7707watanzania kweli mwisho hovi unajuajr moyo wa mtu? 😂😂😂😂

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 10 วันที่ผ่านมา

      Unafki gani...walishaachana na diamond siku nyingi kabla ya kumjua zuchu hawezi kumnafkia zuchu hata siku moja...amisa mobeto ndo alisababisha zari na mondi waachane acha uchonganishi😯

    • @isabellarkageha7707
      @isabellarkageha7707 10 วันที่ผ่านมา

      @@mamboshepea8888 hebu skiza vyenye ameongea ...zuchu akuje aone vyenye Mondi anaongea halafu akacheka

    • @isabellarkageha7707
      @isabellarkageha7707 10 วันที่ผ่านมา

      @@mamboshepea8888 ama kizungu ni shida....

  • @jimyjastini9995
    @jimyjastini9995 10 วันที่ผ่านมา +1

    zuchu hafai kuwa sehemkamahio kwasababu kiwangochake chamonekano hafai

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 9 วันที่ผ่านมา

      Kwani ni mlemavu?

  • @FAELEnterprise
    @FAELEnterprise 9 วันที่ผ่านมา

    Sasa zuchu ataweza ile kiingereza ya hiyo show

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 9 วันที่ผ่านมา

      Zuchu ni msomi sana tu kama huna habari

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 9 วันที่ผ่านมา

    Mbona hata wao wanafanya umbeya tu km wa kina juma lokole🤣huko kusutana tu

  • @EmmyNamoyo
    @EmmyNamoyo 10 วันที่ผ่านมา

    😉🙃🤸‍♂️🤸‍♀️🤸

  • @sabihasalim942
    @sabihasalim942 10 วันที่ผ่านมา +1

    Anamanisha Ladies (wanawake) nilivyoelewa mimi.

    • @Bravo-or8oy
      @Bravo-or8oy 10 วันที่ผ่านมา

      Yes, na huyu mtangazaji hakuelewa

  • @aminamahamudumtumba5897
    @aminamahamudumtumba5897 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mi nataman zuchu angekuwepo ili ajionee mabusu ya chibu na fantana 😂😂😂😂zuchu amezidi majigambo saana alafu mondi amkane akiwa anasikia xx😂😂😂 nitacheka

  • @lydiahmartinz925
    @lydiahmartinz925 10 วันที่ผ่านมา +3

    She's sarcastic on diamond n zuchu coz the dude is a liar😂

    • @Bravo-or8oy
      @Bravo-or8oy 10 วันที่ผ่านมา

      Let him say that on Zuchu's face he'll see fire 😂😂😂

  • @LucyNgowi-r2o
    @LucyNgowi-r2o 10 วันที่ผ่านมา

    Zuchu angalia ustaarabu wako huyo mond anakutumia iweje?aseme ww ni msanii wake tu na wakati pia ni mpenzi wake 😮😮

  • @stevenchenga1978
    @stevenchenga1978 10 วันที่ผ่านมา +1

    Wengi kitu ambacho hamjui Zari anamaanisha nin kuwepo kwa Zuchu kule kweny #YFA ni kutaka kumuaribia Diamond drama zake za wanawake wakina Fantana, Nadia na wengine coz uwepo wa Zuchu kule itamfanya Diamond ashindwe kumreject Zuchu hadharani

    • @Bravo-or8oy
      @Bravo-or8oy 10 วันที่ผ่านมา

      Hivi unamjua yule unamsikia? Zari mwenyewe alimshangaa ile clip anakula denda na Fantana, Zuchu aliachwa hotelini na watoto wa Zari. Wamerudi kajikausha kimya kama sio yeye katoka kumbusu mwanamke mwingine. Yule shetani hashindwi

    • @hamiduhamdun1858
      @hamiduhamdun1858 10 วันที่ผ่านมา +1

      Na pia inaoneka Zari bado anampenda Mondi

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 9 วันที่ผ่านมา

      ​@Bravo-or8oy
      Atakua hamjui vizuri

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@hamiduhamdun1858
      Sio kweli

  • @sharonvugutsa969
    @sharonvugutsa969 10 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 10 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani uongo? Wabongo tunapenda kiki za kijinga na udoku, well said mama t

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 9 วันที่ผ่านมา

      Sure thing

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 10 วันที่ผ่านมา +1

    Asitusemee, huo udaku wanapenda wachache tu wala sio watanzania wote

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 9 วันที่ผ่านมา

      Asilimia kubwa wanapenda na huo ndio ukweli

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 10 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @Mrsflower-g2n
    @Mrsflower-g2n 10 วันที่ผ่านมา +1

    Exactly 👍 alicho ongea zari anasema ukweli maana wa Tanzanie 🇹🇿 wengi wanataka sana umbea mimi ni congo 🇨🇩 lkn nilikuiya Tanzania 🇹🇿 wa Tanzanie 🇹🇿 wana roho mchafu sana

    • @Bravo-or8oy
      @Bravo-or8oy 10 วันที่ผ่านมา

      Roho chafu hapo umetusingizia ila umbea ni kweli tunapenda😂😂😂hadi pesa ya kula mtu ananunua bando

    • @Mrsflower-g2n
      @Mrsflower-g2n 10 วันที่ผ่านมา

      @ ila nyie yaani muna kera sana wa tanzania 🇹🇿 alafu utakuta wambea ni jiinsia zote duuuh nimelia sana 😂😂😂😜😜😜

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 9 วันที่ผ่านมา

      Shika adabu yako wewe, watz Wana upendo

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@Mrsflower-g2n
      Tz hakukufai, kinachokuliza ni kitu gani, baki kwenu.

  • @QmnananadineNadine
    @QmnananadineNadine 10 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂

  • @AsiaShaban-zz4yr
    @AsiaShaban-zz4yr 10 วันที่ผ่านมา +1

    Na hizo hasira SI atajiua zuchu hawezi ana roho ndogo mtamuuwa jmn modi manina anampinga demu matukio we zari unapenda zuchu kwas7nimfanya kazi wa watoto wako sio vinginevyo hahaha unachekeshaa wew

    • @rerisamba
      @rerisamba 10 วันที่ผ่านมา

      Pengine watoto wake wana mpenda sana