Huyu bint Mimi namkubali Sana lkn kuna vitu anakula vinamchanganya kichwa ipo siku ataenda soba kabisa hayuko sawa huyu ila Mungu amsaidie tu namwombea sana
Sema Gigy bhana anajiona amefika yaani akitumika kwenye kitu utajua tuuu cos majibu yake kwenye interview yanajionesha kabisaaa hachukulii kazi aliyopewa serious only princess ndio anaichukulia serious hizi zingine utajua tuuu km katumika kalipwa mfyuuu😏 kuna baadhi ya kazi anazizarau lakini anafanya ila c ipasavyo ila poa
To hell with you ,the only religion is islam .i wonder why some of this muslims pretend as if they are perfect or the only ones who know God .let people believe in what they want ,either muslim or christianity God is one .Use that ur big coconut head to think before u comment .with this stupid comment u seem evil and selfish person.
@@veronicajuma1829 kwakweli watu huwa wana kwaza sanaaa eti bora ufate uislamu and so what ndo itakufikisha mbinguni ama?????? Yani ukikosa wisdom ndani yako ni sawa sawa na mtu bure tu kwa dunia hii…
Akiii siwezi andika sana lakini NAKUPENDA SANA GIGY since day one ❤❤❤❤
Wengi awawez elewa hyu dada hila usiombee yakukute maisha ya mtu ni fumbo hasa ukiwa yatima🙆🙆
Kabisa umenena vyema
Yatima wapi na ana mama yake yupo tu. Uyatima huo vipi!!!
Me nampenda dada gigy Mungu akubariki na mengine ambayo Mungu anayajua ni mema kwako
Nakupenda sana gigy kwasababu unajikubali mwenyewe Ata watu wasemeje unahabariii nakupenda sana.
Ila kasema kweli maisha fanya mweke Mungu mbele
Keep pressing ON gigy 👏 you'll never go wrong with God, he's good all the time and that's his nature 🙏
I love giggy, too real. God bless and keep you na ukae kwa mungu bby.
yaani from my heart napenda one thing from her she is honestly trust c mnafki hata ila ukiweza kuwa mvulilivu na cmuongeaji utafka mbali sana
Gigi unajua unajua unajua tena 🙌🙌🙌😅😅😅
God is the only way my dear Gigy..keep going❤
Gigy nakupenda kinooomaaaa
Gigy mimi nakuerewagasana pia nakupenda pia dadayangu
Huyu bint Mimi namkubali Sana lkn kuna vitu anakula vinamchanganya kichwa ipo siku ataenda soba kabisa hayuko sawa huyu ila Mungu amsaidie tu namwombea sana
Gigy nakupenda,🥰
Gigi namkubali Sana, nampenda🌹
Upo vizuri wakukaja
Hii gift ❤ love some.mouch ❤️ if icam tanzania 🇹🇿 iwill come to see
Karibu sana kanisani kwetu Gigy Malisa baba lao
Mwanamke ww acha nakupenda sana jomon
Gigy usimuache Mungu
Na wewe unalea mtoto wako mwenyewe nae atasema unavyosema. Mungu akusaidie hiyo roho ikutoke, uolewe na mwanao ajaye alelewe na baba na mama.
Giggy jamani 😂😂😂😂wee ni mjinga kweli eti rafiki zake nziii na mende
Aiseeé gigi sijui jaman kwakweli mungu amuongoe ila mm bnabs nampenda gigi
Gigi in one in two😂😂😂🤣🤣🔥🔥🔥eti niwe kilema
Shenzi sana giggy 🤣🤣🤣ndio mana nakupenda bible hukubeba ety
Ila gigy jaman mcheshi pia
Nimeokoka na ukija naokota😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
ahahahahha ameshaanza kuongea ujinga siku hata aijaisha
😅😅😅😅😅Najichekea tu hapa
😂😂😂😂😂😂
Ndo ujue huyo bado ana roho ile ile ya kishetani ingawa anajitangaza ameokoka
Nimecheka gigy 😂😂😂😂😂
Gig unanawaje na izo kucha mamaangu au unakulaje jaman mbona mm mwezio sijaelewa
😂😂😂😂 na mm ntakuja uko
Anaokoka anaokota maisha yanaendelea😂😂😂😂
Gigy karibu kanisani Kwa Malisa malisa ni baba lao
Ameimba Angel benad
Sema Gigy bhana anajiona amefika yaani akitumika kwenye kitu utajua tuuu cos majibu yake kwenye interview yanajionesha kabisaaa hachukulii kazi aliyopewa serious only princess ndio anaichukulia serious hizi zingine utajua tuuu km katumika kalipwa mfyuuu😏 kuna baadhi ya kazi anazizarau lakini anafanya ila c ipasavyo ila poa
😂😂😂😂gigy wanichekesha kwel na hiyo kope yako moja
🤣🤣🤣🤣🤣
Lkua natafta hii comment 😂
❤
Ila g money ww nampenda mkweli anaongea acheki anaisia
😂😂😂😂😂😂😂
RIP kope moja 😂😂😂
Gigy nakupenda mkweli jaman eti nilikopa saadaka
😂😂😂😂❤❤❤
The only religion is Islam. Jesus is not God but prophet of God. Learn Islam Gigi and revert you will have peace and contentment
Next time usiseme hvyo tena, believe in what you believe don’t act to perish someone else to believe on your thoughts….
To hell with you ,the only religion is islam .i wonder why some of this muslims pretend as if they are perfect or the only ones who know God .let people believe in what they want ,either muslim or christianity God is one .Use that ur big coconut head to think before u comment .with this stupid comment u seem evil and selfish person.
huyu nae mchawi nini amini unachoamini ww usilazimishe watu kuamini unachoamini wewe
@@veronicajuma1829 kwakweli watu huwa wana kwaza sanaaa eti bora ufate uislamu and so what ndo itakufikisha mbinguni ama?????? Yani ukikosa wisdom ndani yako ni sawa sawa na mtu bure tu kwa dunia hii…
Correct